ZANZIBAR NA OMAN NI NDUGU WA KWELI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 34

  • @Hawa-rt3jl
    @Hawa-rt3jl 3 месяца назад

    Masha Allah nafurahi sana kuona Oman wana moyo thabit na ndugu zao zanzibar Allah ibariki Oman 🇴🇲 na watu wake ibariki zanzibar na watu wake❤❤

  • @seifseif9215
    @seifseif9215 3 месяца назад +2

    Mashaallah hii misaada isiishie hapo iendelee na ya mambo ya kifua kikuu na cancer wao wako na vyombo vya kisasa walete wasaidie hispital zetu allah awajaaalien kila la kher

  • @saudalharthy9398
    @saudalharthy9398 3 месяца назад +1

    ❤🇴🇲

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 3 месяца назад +8

    Oman na zanzibar.zanzibar ni warab na km oman najivunia kua Mzanzibari je ww

    • @Hilali-ff5ul
      @Hilali-ff5ul 3 месяца назад

      Ndio

    • @111dudi
      @111dudi 3 месяца назад

      @@MAPETEE znz Ilikuwa ya mataifa mengi, Wahindi, Washirazi (Irani) Waafrika weusi, Wazungu, wachina

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 3 месяца назад +5

    Sio Oman na Tanzania,ni OMAN na ZANZIBAR.

  • @SultanAllyazaiz
    @SultanAllyazaiz 3 месяца назад +1

    Acheni mambo yakiswahili sasa eti nilithani waarabu hatuwataki ndonin sasa sema Mashallah

  • @obeidgalib1878
    @obeidgalib1878 3 месяца назад +2

    ondosheni ubaguzi oman nz zanzibar ni ndugu pia hhuduma hazitomfaa mzanzibar kila mtu itamfaa ondoen ubaguz watu wote ni wamoja

  • @mohammedkhkombo4439
    @mohammedkhkombo4439 3 месяца назад +1

    Watoto wa bwejuu mashallah wanajua kuongea kwa kujiamini.

  • @rajabrajab9747
    @rajabrajab9747 3 месяца назад +2

    Mashallah Allah akupeni kila la kheri ❤

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 3 месяца назад +1

    MashaAllah 💚 🎉🎉🎉

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 3 месяца назад +1

    Haya Nimaneno Tuu Siasa Wanyumbo Wanaimba Mpaka Kesho Mtoto Wanyoka Ni Nyoka..Nikawaida Unampenda Mtu Kwakitu Sio Utu..ila Allah Ndio..NK..

  • @TalibMuhsin
    @TalibMuhsin 3 месяца назад +3

    Oman na ZANZIBAR

  • @alhamiraj4570
    @alhamiraj4570 3 месяца назад +1

    Mashalla mama

  • @w4058
    @w4058 3 месяца назад

    Ubaguzi uondolewe ikifika kupiga kura waseme hawatowi Serikali hijaishia hapo tu na pia kusema maneno ya utovu wa adabu na kukiuka mpaka eti Mpemba kuingia ikulu haiwezekani Subhanallah kusamehe watu watasamehe lakini CCM hawasemeheki maana kila ikifika uchaguzi huwa kuliko hao wanyama

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa 3 месяца назад

    Mbwana ally kuwa mzalendo wacha kutaja tanzania zanzibar freee yule mbwana wa redeo nuru na wa hapa tofauti wa hapa anapangiwa cha kuongea

  • @111dudi
    @111dudi 3 месяца назад +1

    Mwaka 1964, undugu uliwekwa kando, akaja John Okello ndugu mpya.

    • @froma3732
      @froma3732 3 месяца назад +2

      Akauwa watu wasikuwa na hatia na anajivunia kwa kwa Hilo

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa 3 месяца назад

      Kakwambia nan zanzibar zimeungana na Oman na sio unyamwezini

    • @salehkhamis9994
      @salehkhamis9994 3 месяца назад +2

      Hivi jaman watoa comment mnabishana siasa2 Tuacheni migawanyiko wanayozungumzwa hapo maswala ya afya sio siasa

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 месяца назад +1

      Huwezi kuitowa histry ya Omani bila ya Zanzibar.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 месяца назад +1

      ⁠@@salehkhamis9994Kweli…. Wao lazima watie siasa na ubaguzi. 😂😂😂 hawataki afya kwenye Nchi yao wala furaha wao Siasa mbaya tuu ya kuharibu vizazi vyao.

  • @BestBest-rx3sb
    @BestBest-rx3sb 3 месяца назад +1

    Yaliyopita ni ndwele tukange yajayo someni uislam nini mtume kafanyiwa mecca na vipi alisamehe pia mzee mandela alisamehe

  • @pira7439
    @pira7439 3 месяца назад

    Oman ni ndugu wa kweli , wa bara ndugu wa vp ?

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 3 месяца назад

    😅

    • @Ali-uh9wb
      @Ali-uh9wb 3 месяца назад

      @Khadijahajajiali3918 naona unacheka😅

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 месяца назад

    Nilidhani waarabu hatuwataki.. wamerudishwa kabla ACT kuingia madarakani

    • @salumalriyamy
      @salumalriyamy 3 месяца назад

      Akija mzungu kuleta madaktari unasema hivohivo pia?

  • @obeidgalib1878
    @obeidgalib1878 3 месяца назад +2

    ondosheni ubaguzi oman nz zanzibar ni ndugu pia hhuduma hazitomfaa mzanzibar kila mtu itamfaa ondoen ubaguz watu wote ni wamoja

    • @111dudi
      @111dudi 3 месяца назад

      @@obeidgalib1878 Kuna watu wenye chuki hawataki kulisikia hili.

  • @obeidgalib1878
    @obeidgalib1878 3 месяца назад +1

    ondosheni ubaguzi oman nz zanzibar ni ndugu pia hhuduma hazitomfaa mzanzibar kila mtu itamfaa ondoen ubaguz watu wote ni wamoja