ZANZIBAR NA OMAN NI NDUGU WA KWELI
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Masha Allah nafurahi sana kuona Oman wana moyo thabit na ndugu zao zanzibar Allah ibariki Oman 🇴🇲 na watu wake ibariki zanzibar na watu wake❤❤
Mashaallah hii misaada isiishie hapo iendelee na ya mambo ya kifua kikuu na cancer wao wako na vyombo vya kisasa walete wasaidie hispital zetu allah awajaaalien kila la kher
❤🇴🇲
Oman na zanzibar.zanzibar ni warab na km oman najivunia kua Mzanzibari je ww
Ndio
@@MAPETEE znz Ilikuwa ya mataifa mengi, Wahindi, Washirazi (Irani) Waafrika weusi, Wazungu, wachina
Sio Oman na Tanzania,ni OMAN na ZANZIBAR.
Acheni mambo yakiswahili sasa eti nilithani waarabu hatuwataki ndonin sasa sema Mashallah
ondosheni ubaguzi oman nz zanzibar ni ndugu pia hhuduma hazitomfaa mzanzibar kila mtu itamfaa ondoen ubaguz watu wote ni wamoja
Watoto wa bwejuu mashallah wanajua kuongea kwa kujiamini.
Mashallah Allah akupeni kila la kheri ❤
MashaAllah 💚 🎉🎉🎉
Haya Nimaneno Tuu Siasa Wanyumbo Wanaimba Mpaka Kesho Mtoto Wanyoka Ni Nyoka..Nikawaida Unampenda Mtu Kwakitu Sio Utu..ila Allah Ndio..NK..
Oman na ZANZIBAR
Omani na Zanzibar ni mmoja.
Mashalla mama
Ubaguzi uondolewe ikifika kupiga kura waseme hawatowi Serikali hijaishia hapo tu na pia kusema maneno ya utovu wa adabu na kukiuka mpaka eti Mpemba kuingia ikulu haiwezekani Subhanallah kusamehe watu watasamehe lakini CCM hawasemeheki maana kila ikifika uchaguzi huwa kuliko hao wanyama
Mbwana ally kuwa mzalendo wacha kutaja tanzania zanzibar freee yule mbwana wa redeo nuru na wa hapa tofauti wa hapa anapangiwa cha kuongea
Mwaka 1964, undugu uliwekwa kando, akaja John Okello ndugu mpya.
Akauwa watu wasikuwa na hatia na anajivunia kwa kwa Hilo
Kakwambia nan zanzibar zimeungana na Oman na sio unyamwezini
Hivi jaman watoa comment mnabishana siasa2 Tuacheni migawanyiko wanayozungumzwa hapo maswala ya afya sio siasa
Huwezi kuitowa histry ya Omani bila ya Zanzibar.
@@salehkhamis9994Kweli…. Wao lazima watie siasa na ubaguzi. 😂😂😂 hawataki afya kwenye Nchi yao wala furaha wao Siasa mbaya tuu ya kuharibu vizazi vyao.
Yaliyopita ni ndwele tukange yajayo someni uislam nini mtume kafanyiwa mecca na vipi alisamehe pia mzee mandela alisamehe
Oman ni ndugu wa kweli , wa bara ndugu wa vp ?
Wa Muungano…
😅
@Khadijahajajiali3918 naona unacheka😅
Nilidhani waarabu hatuwataki.. wamerudishwa kabla ACT kuingia madarakani
Akija mzungu kuleta madaktari unasema hivohivo pia?
ondosheni ubaguzi oman nz zanzibar ni ndugu pia hhuduma hazitomfaa mzanzibar kila mtu itamfaa ondoen ubaguz watu wote ni wamoja
@@obeidgalib1878 Kuna watu wenye chuki hawataki kulisikia hili.
ondosheni ubaguzi oman nz zanzibar ni ndugu pia hhuduma hazitomfaa mzanzibar kila mtu itamfaa ondoen ubaguz watu wote ni wamoja