Tanzania yangu ni Tamu sana ALHAMDULILLAH nimepata kucheka ktk siku ya leo...mlela katepeta alipigwa kota kota moja kutoka mkono wa kushoto naona mtu mzima huyo chini bado kidogo tu alale pale pale 🤣 Mkali big up umeshinda bhaana sema ujuma tu 🤣🤣🤣🤣🤝🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
Mkali wenu ujui ngumi Unavurugu na uyu yusuph Mlela yeye ajui kulusha ngumi Hana utofauti na mwana mke kabisaaaaa mkaliwenu kumbe Ukikaa na Mimi hautoboi japo Na hizo furugu zako dogo
ndio maaana mm huwa siharibu usingz wang kuangalia ngumi, yaan mtu anaamua tu niamuweje, hata kama hawapgan kwa kufuata sheria sana lkn inaonesha waz mkaliwenu kampiga mlela haihitaj VAR
Hizi Wala sio ngumi,,,ukipata nafasi ya kutizama ngumi za ulaya Wala hizi huwezi ita ngumi...ni mchezo tu,,,MLELA Mikono Haina nguvu alivovaa gloves ndio kabsaaa imelegeaaa,,,mkali wenu nae hajui kurusha ngumi utafkiri anakata majani kwenye uzio..
Kama mashabiki wa mkalli tupo tujuwane ila naomba muni follow ❤
Mkali wenu akipata mwalimu anaweza kua Tyson wa bongo ana kasi ya ushambuliaji
Mlela kalegea sana
Mlela imenifurahisha sana,good start,work hard
Ududu ni mwing ❤❤❤ mlela
Mkali wenu angepewa Mandonga mechi ingekuwa kali sana
Inabidi waandae ligi ya tasnia zote za sana😂😂😂 so funny
Mbona kama hasira kubwa
Wote bado kwenye boxing lakini mlela bado Sana wanapgana kama wanawake 😊
Hapa mlela kabebwa
Mbona kama mkali ana pigana pekeake sasa 😄
Safi sana
Duh raha sanaaaa tz
Tanzania yangu ni Tamu sana ALHAMDULILLAH nimepata kucheka ktk siku ya leo...mlela katepeta alipigwa kota kota moja kutoka mkono wa kushoto naona mtu mzima huyo chini bado kidogo tu alale pale pale 🤣 Mkali big up umeshinda bhaana sema ujuma tu 🤣🤣🤣🤣🤝🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 Mimi siwezi kushindwa na mkaliwenu , nahitaji pambano naye
Congrats kwa mlela for doing this…kaonesha moyo wakiume to take punches
Hapana wapiganaji hapo. Kuna warushaji wa mikono tu. 😊
Huyo mlela nitahila ndo alikuaga anaomba pambano na nay wa mitego
Mlela nakusauli kapumzike ngumi huwez
Mkali wenu ujui ngumi
Unavurugu na uyu yusuph
Mlela yeye ajui kulusha ngumi
Hana utofauti na mwana mke kabisaaaaa mkaliwenu kumbe
Ukikaa na Mimi hautoboi japo
Na hizo furugu zako dogo
Jamaa wote wako vizuri
Aisee wamejitahidi sana
NAFIKIRI KUNA HAJA YA MOND NA HARMO KUKUTANA ULINGONI
Hahahahhahahaha
Weeee mwanang zombie amepiga tena😂😂😂
Kuna mtu atakufa round ya kwanza tu
Tatzo bwana mlela anaingia tayar yupo vibe,,lazima unyukwe
Kutoka 254 mkaliwenu uko vizuri ila acha makotakota kuwa n mpangilio w ngumi
Hadi raha aiseeee
Mlela dah😂😂 kama anabakwa vile😂😂😂
🎉Hii kali
Uyo mlela mbona karegea sana
Mkaliwenu yaliyomo yamooh respect
Huyo kipara ana kitumbo Cha ulevi
Mkali kashinda pambano
Huu mdomo nomads sana Mlela anahemiswa na mkali duh
mkali wen akipata mwalim anapgana
Me nomba niwe walimu wa mlela
Kiukweli kidunda kapigwa mbayaaaaa tusidanganyane pale walikuwa wamewaonea noma ma MP wetu waliomsindikiza...
Mlela mchumbangumii ajuiii achanenayoo
Kweli kila kazi zenawenyewe😁
Daah nimecheka sana mlela hoyii😅😅
Mlela huwezi kitu umepigwa na umepigika...engekua Ney ndo kabisa wengekufia uwanjani
Mlela anavyopiga ngumi kama li shangazi😂😂😂😂
Hiiv wanazingatia Nini?
Pongezi wa yusuf cz huyu jama uka sop spo naujiamini ugia kwa pambano bro morali namini atafika mbali
ndio maaana mm huwa siharibu usingz wang kuangalia ngumi, yaan mtu anaamua tu niamuweje, hata kama hawapgan kwa kufuata sheria sana lkn inaonesha waz mkaliwenu kampiga mlela haihitaj VAR
Mlela hayuko serious
Mamae nimecheka
Duuuuu hii sare wakat mkali ameshinda kabisa
Jamani nimejua kucheka😂😂😂😂
Haina fomula
Huyu mlela hawezi kupigana hata kidogo
Mlela anarusha ngumi zimelegea kam mtot wakike😅😅
This fight was personal😂😂
Mlela hajui ngumi
Tatizo mkali ngumi karusha vurugu vurugu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mkali wao mduwanzi sana...
Mkali wenu anapigana balaa
Mlela kabebwa kapigwa
😅😅😅Mkali wenu noma
Uzuri mlela mwenyewe low key anajua kadundwa😆😆😆😆
Masanja mnafiki😂😂😂
Huyu mlela ana mawili wa Tyson fyuri lakin hewa kabisa😅😅
Dah mkari wenu😂😂
chama na pacome
chama ataitaa mmaa
Mkali kashinda
😂😂😂😂"mameae nimecheka ama kweli ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi"
Mi naona kama wanaigiza tu
Jamaa kama boya , yani liko lege lege 😂😂
Upuuziii tuuu akuna ngumiiii
Mlela kapigwa sn
hahaha nomaaa
Mlitaka mkaliwenu apigwe
Rah sana
Hiii comedi ya mwaka hii 😂😂😂😂😂😂
Daah😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂 jmn
Teh teh
😂😂😂😂😂😂dah mlela bhana😂🏃🏾
Hii ni vita😅😅😅
😂😂😂😂😂😂 Tanzania ukifa na stress unajitakia
Ha ha haha ha ha dah nmecheka sana
Tumbo ya mlela 😂
😂😂😂😂mlela kapagawa
Draw kivipi? Mlela kashindwa peupe
Neyma jr 😅😅😅😅
😁😁😁😁😁😁mlela kaja kufata nn uku 😁
Atakuja kufa mtu jukwaan bongo mov😂😂
Majaji wakisenge kweli
🤣🤣🤣mtangazaj mxenge xn😁😁eti hz ngumi zao leo ni kama wamekutana bar😁😁🤣
😂😂 fara kwel
Tunataka masanja ndani ya mbilinge next match na diamond 😂
Miyayusho mkali kwanza kashinda bwana but kama anataka ngumu iwe profession yake ajiandae kikwelikweli
Kumbe Mkali Wetu yuko fiti
😂😂😂😂😂Jamani kiboko leo jmanii mbona Kama vitaa Hapaa mana co ngumu izi
Makuku ya broila
😂😂😂😂
COMEDY
😅 sare akati kitambaa hakitoshi nyie vp bhna
🤣🤣🤣eti kama ni gari kaanza na gear no.5🤣🤣🤣
Ukweli kidunda Leo kapigwa
ttzo yule msauz anachrza sn faulo n refa kazingua, mabondia w Tanzania wapunguze pombe
Tanzania raha sana 😅😅😅😅
Hizi Wala sio ngumi,,,ukipata nafasi ya kutizama ngumi za ulaya Wala hizi huwezi ita ngumi...ni mchezo tu,,,MLELA Mikono Haina nguvu alivovaa gloves ndio kabsaaa imelegeaaa,,,mkali wenu nae hajui kurusha ngumi utafkiri anakata majani kwenye uzio..
Kumi za uraya ata tanzania zipo ipo siku utazkuta 2utasem hahaa
Hii ni sawa na street beaf