VITASA | Yusuph Mlela Vs Mkaliwenu - Usiku wa Vita 01/03/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 фев 2024
  • Hili hapa pambano la @mlelandro dhidi ya @mkaliwenuoriginal lililochezwa raundi tatu bila mshindi licha ya wawili hawa kulambishana sakafu.
  • СпортСпорт

Комментарии • 162

  • @makutampesa-
    @makutampesa- 2 месяца назад +8

    Kama mashabiki wa mkalli tupo tujuwane ila naomba muni follow ❤

  • @user-rp1ly4xc8k
    @user-rp1ly4xc8k 2 месяца назад +9

    Mkali wenu akipata mwalimu anaweza kua Tyson wa bongo ana kasi ya ushambuliaji

  • @user-cy8el2pg6t
    @user-cy8el2pg6t 2 месяца назад +4

    Mlela kalegea sana

  • @user-wz7uk5ox4g
    @user-wz7uk5ox4g 2 месяца назад +1

    Mlela imenifurahisha sana,good start,work hard

  • @user-kh2ee2tc7g
    @user-kh2ee2tc7g 2 месяца назад +2

    Ududu ni mwing ❤❤❤ mlela

  • @ShaqueeBlackrapper
    @ShaqueeBlackrapper 2 месяца назад +5

    Mkali wenu angepewa Mandonga mechi ingekuwa kali sana

  • @jobizzotv2415
    @jobizzotv2415 2 месяца назад +2

    Inabidi waandae ligi ya tasnia zote za sana😂😂😂 so funny

  • @omaryahya337
    @omaryahya337 2 месяца назад +2

    Mbona kama hasira kubwa

  • @salimalikhamis6472
    @salimalikhamis6472 2 месяца назад +2

    Wote bado kwenye boxing lakini mlela bado Sana wanapgana kama wanawake 😊

  • @user-mj8ct4ki9l
    @user-mj8ct4ki9l 2 месяца назад +3

    Hapa mlela kabebwa

  • @Keyjop
    @Keyjop 2 месяца назад +2

    Mbona kama mkali ana pigana pekeake sasa 😄

  • @zuberibidiga7641
    @zuberibidiga7641 2 месяца назад +2

    Safi sana

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 2 месяца назад +1

    Duh raha sanaaaa tz

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 2 месяца назад +18

    Tanzania yangu ni Tamu sana ALHAMDULILLAH nimepata kucheka ktk siku ya leo...mlela katepeta alipigwa kota kota moja kutoka mkono wa kushoto naona mtu mzima huyo chini bado kidogo tu alale pale pale 🤣 Mkali big up umeshinda bhaana sema ujuma tu 🤣🤣🤣🤣🤝🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 2 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂 Mimi siwezi kushindwa na mkaliwenu , nahitaji pambano naye

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 2 месяца назад +1

    Congrats kwa mlela for doing this…kaonesha moyo wakiume to take punches

  • @user-hk2oz2eg4j
    @user-hk2oz2eg4j 2 месяца назад +1

    Hapana wapiganaji hapo. Kuna warushaji wa mikono tu. 😊

  • @drinozzsamson8676
    @drinozzsamson8676 2 месяца назад +2

    Huyo mlela nitahila ndo alikuaga anaomba pambano na nay wa mitego

  • @wardaluambano2177
    @wardaluambano2177 2 месяца назад +3

    Mlela nakusauli kapumzike ngumi huwez

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 месяца назад +2

    Mkali wenu ujui ngumi
    Unavurugu na uyu yusuph
    Mlela yeye ajui kulusha ngumi
    Hana utofauti na mwana mke kabisaaaaa mkaliwenu kumbe
    Ukikaa na Mimi hautoboi japo
    Na hizo furugu zako dogo

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 2 месяца назад +1

    Jamaa wote wako vizuri

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 2 месяца назад +1

    Aisee wamejitahidi sana

  • @elipendodavid1773
    @elipendodavid1773 2 месяца назад +6

    NAFIKIRI KUNA HAJA YA MOND NA HARMO KUKUTANA ULINGONI

  • @josephevaristi8923
    @josephevaristi8923 2 месяца назад

    Tatzo bwana mlela anaingia tayar yupo vibe,,lazima unyukwe

  • @johnmuyanga9588
    @johnmuyanga9588 2 месяца назад

    Kutoka 254 mkaliwenu uko vizuri ila acha makotakota kuwa n mpangilio w ngumi

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 2 месяца назад

    Hadi raha aiseeee

  • @hameesmohamed9236
    @hameesmohamed9236 2 месяца назад +3

    Mlela dah😂😂 kama anabakwa vile😂😂😂

  • @user-oj2zs4cd3f
    @user-oj2zs4cd3f 2 месяца назад

    🎉Hii kali

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 2 месяца назад +1

    Uyo mlela mbona karegea sana

  • @dafetz0808
    @dafetz0808 2 месяца назад +1

    Mkaliwenu yaliyomo yamooh respect

  • @AhmedAhmed-ff6dp
    @AhmedAhmed-ff6dp 2 месяца назад +1

    Huyo kipara ana kitumbo Cha ulevi

  • @user-ct3kz3rq1q
    @user-ct3kz3rq1q 2 месяца назад +2

    Mkali kashinda pambano

  • @MwanamkuuMohammed-vp9ev
    @MwanamkuuMohammed-vp9ev 2 месяца назад

    Huu mdomo nomads sana Mlela anahemiswa na mkali duh

  • @user-il2ne2wd3c
    @user-il2ne2wd3c 2 месяца назад +4

    mkali wen akipata mwalim anapgana

  • @user-ol6ui4fw8r
    @user-ol6ui4fw8r 2 месяца назад +1

    Me nomba niwe walimu wa mlela

  • @user-gf2ko2sf4p
    @user-gf2ko2sf4p 2 месяца назад +2

    Kiukweli kidunda kapigwa mbayaaaaa tusidanganyane pale walikuwa wamewaonea noma ma MP wetu waliomsindikiza...

  • @stevenmeshack467
    @stevenmeshack467 2 месяца назад +1

    Mlela mchumbangumii ajuiii achanenayoo

  • @adamvandersar_
    @adamvandersar_ 2 месяца назад +1

    Kweli kila kazi zenawenyewe😁

  • @yusuphsenkondo8030
    @yusuphsenkondo8030 2 месяца назад +1

    Daah nimecheka sana mlela hoyii😅😅

  • @user-tb5mc2wm1z
    @user-tb5mc2wm1z 2 месяца назад +1

    Mlela huwezi kitu umepigwa na umepigika...engekua Ney ndo kabisa wengekufia uwanjani

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 2 месяца назад +3

    Mlela anavyopiga ngumi kama li shangazi😂😂😂😂

  • @bakarikisuda4948
    @bakarikisuda4948 2 месяца назад +3

    Hiiv wanazingatia Nini?

  • @MohamedAhmed-ns5mi
    @MohamedAhmed-ns5mi 2 месяца назад +1

    Pongezi wa yusuf cz huyu jama uka sop spo naujiamini ugia kwa pambano bro morali namini atafika mbali

  • @paulmichael342
    @paulmichael342 2 месяца назад +2

    ndio maaana mm huwa siharibu usingz wang kuangalia ngumi, yaan mtu anaamua tu niamuweje, hata kama hawapgan kwa kufuata sheria sana lkn inaonesha waz mkaliwenu kampiga mlela haihitaj VAR

  • @jaquubjummah7538
    @jaquubjummah7538 2 месяца назад +1

    Mlela hayuko serious

  • @SleepyAquariumFish-ku6uq
    @SleepyAquariumFish-ku6uq 2 месяца назад

    Mamae nimecheka

  • @daxmtiwandege5063
    @daxmtiwandege5063 2 месяца назад +1

    Duuuuu hii sare wakat mkali ameshinda kabisa

  • @user-tb5bt8lq8j
    @user-tb5bt8lq8j 2 месяца назад +1

    Jamani nimejua kucheka😂😂😂😂

  • @nugwiziwe7577
    @nugwiziwe7577 2 месяца назад +1

    Haina fomula

  • @mussajuma7460
    @mussajuma7460 2 месяца назад +1

    Huyu mlela hawezi kupigana hata kidogo

  • @saddamommie5075
    @saddamommie5075 2 месяца назад +2

    Mlela anarusha ngumi zimelegea kam mtot wakike😅😅

  • @chidyblake1017
    @chidyblake1017 2 месяца назад +1

    This fight was personal😂😂

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 2 месяца назад

    Mlela hajui ngumi

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 2 месяца назад +1

    Tatizo mkali ngumi karusha vurugu vurugu

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 2 месяца назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ahadibuge5246
    @ahadibuge5246 2 месяца назад

    Mkali wao mduwanzi sana...

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 2 месяца назад +1

    Mkali wenu anapigana balaa

  • @user-mj8ct4ki9l
    @user-mj8ct4ki9l 2 месяца назад +2

    Mlela kabebwa kapigwa

  • @diclopar4687
    @diclopar4687 2 месяца назад +1

    😅😅😅Mkali wenu noma

  • @josephevaristi8923
    @josephevaristi8923 2 месяца назад

    Uzuri mlela mwenyewe low key anajua kadundwa😆😆😆😆

  • @user-iy4vt4it9k
    @user-iy4vt4it9k 2 месяца назад

    Masanja mnafiki😂😂😂

  • @simonbura7890
    @simonbura7890 2 месяца назад +1

    Huyu mlela ana mawili wa Tyson fyuri lakin hewa kabisa😅😅

  • @barakadaprince3742
    @barakadaprince3742 2 месяца назад

    Dah mkari wenu😂😂

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 2 месяца назад

    chama na pacome
    chama ataitaa mmaa

  • @G29mussa
    @G29mussa 2 месяца назад +1

    Mkali kashinda

  • @braggadachu1723
    @braggadachu1723 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂"mameae nimecheka ama kweli ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi"

  • @classicviewdaily6416
    @classicviewdaily6416 2 месяца назад

    Mi naona kama wanaigiza tu

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 2 месяца назад +1

    Jamaa kama boya , yani liko lege lege 😂😂

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q 2 месяца назад

    Upuuziii tuuu akuna ngumiiii

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML 2 месяца назад

    Mlela kapigwa sn

  • @zarafimnyamafitv
    @zarafimnyamafitv 2 месяца назад

    hahaha nomaaa

  • @dazzoofficial469
    @dazzoofficial469 2 месяца назад

    Mlitaka mkaliwenu apigwe

  • @davidlinus6940
    @davidlinus6940 2 месяца назад

    Rah sana

  • @user-wn7uz8kg9i
    @user-wn7uz8kg9i 2 месяца назад

    Hiii comedi ya mwaka hii 😂😂😂😂😂😂

  • @omaryjuma6086
    @omaryjuma6086 2 месяца назад

    Daah😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-um7xj9pj1g
    @user-um7xj9pj1g 2 месяца назад +2

    😂😂😂 jmn

  • @user-ne1ni8cp4b
    @user-ne1ni8cp4b 2 месяца назад +1

    Teh teh

  • @chitwangandembo6302
    @chitwangandembo6302 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂dah mlela bhana😂🏃🏾

  • @samsonanthony7236
    @samsonanthony7236 2 месяца назад +2

    Hii ni vita😅😅😅

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy9304 2 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂😂 Tanzania ukifa na stress unajitakia

  • @Twahamwela-ch5lz
    @Twahamwela-ch5lz 2 месяца назад

    Ha ha haha ha ha dah nmecheka sana

  • @rehemamajaliwa
    @rehemamajaliwa 2 месяца назад +1

    Tumbo ya mlela 😂

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa6809 2 месяца назад

    😂😂😂😂mlela kapagawa

  • @dennisizzrael1178
    @dennisizzrael1178 2 месяца назад +1

    Draw kivipi? Mlela kashindwa peupe

  • @Wedboy-wy7nc
    @Wedboy-wy7nc 2 месяца назад +2

    Neyma jr 😅😅😅😅

  • @user-vw5gy9mv6r
    @user-vw5gy9mv6r 2 месяца назад +1

    😁😁😁😁😁😁mlela kaja kufata nn uku 😁

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 месяца назад

    Atakuja kufa mtu jukwaan bongo mov😂😂

  • @dbrothers4551
    @dbrothers4551 2 месяца назад

    Majaji wakisenge kweli

  • @aronshehiza1933
    @aronshehiza1933 2 месяца назад +2

    🤣🤣🤣mtangazaj mxenge xn😁😁eti hz ngumi zao leo ni kama wamekutana bar😁😁🤣

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 2 месяца назад

    Tunataka masanja ndani ya mbilinge next match na diamond 😂

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 2 месяца назад +1

    Miyayusho mkali kwanza kashinda bwana but kama anataka ngumu iwe profession yake ajiandae kikwelikweli

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 2 месяца назад

    Kumbe Mkali Wetu yuko fiti

  • @user-uj4rt1vx3h
    @user-uj4rt1vx3h 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂Jamani kiboko leo jmanii mbona Kama vitaa Hapaa mana co ngumu izi

  • @mkwachatv8902
    @mkwachatv8902 2 месяца назад +2

    Makuku ya broila

  • @nassirali8342
    @nassirali8342 2 месяца назад +2

    COMEDY

  • @erickkilasi6182
    @erickkilasi6182 2 месяца назад +1

    😅 sare akati kitambaa hakitoshi nyie vp bhna

  • @aronshehiza1933
    @aronshehiza1933 2 месяца назад +1

    🤣🤣🤣eti kama ni gari kaanza na gear no.5🤣🤣🤣

  • @tubonemahalack7505
    @tubonemahalack7505 2 месяца назад

    Ukweli kidunda Leo kapigwa

    • @halidimgonza5945
      @halidimgonza5945 2 месяца назад +1

      ttzo yule msauz anachrza sn faulo n refa kazingua, mabondia w Tanzania wapunguze pombe

  • @Justin-eb2xn
    @Justin-eb2xn 2 месяца назад

    Tanzania raha sana 😅😅😅😅

  • @Almarsprince254
    @Almarsprince254 2 месяца назад +2

    Hizi Wala sio ngumi,,,ukipata nafasi ya kutizama ngumi za ulaya Wala hizi huwezi ita ngumi...ni mchezo tu,,,MLELA Mikono Haina nguvu alivovaa gloves ndio kabsaaa imelegeaaa,,,mkali wenu nae hajui kurusha ngumi utafkiri anakata majani kwenye uzio..

    • @shaibukhamis863
      @shaibukhamis863 2 месяца назад

      Kumi za uraya ata tanzania zipo ipo siku utazkuta 2utasem hahaa

    • @derickfelix8091
      @derickfelix8091 2 месяца назад

      Hii ni sawa na street beaf