VITASA | Tazama Ibra Class alivyomchapa KO Alan Pina kutoka Mexco | Mo Boxing 30/09/2022
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2022
- IBRA CLASS vs ALAN PINA: Hili hapa pambano zima kati ya Mtanzania Ibrahim Class dhidi ya Allan Pina raia wa Mexico, likimalizika kwa Ibra Class kupata ushindi wa KO raundi ya tisa... pambano likiwa ni la raundi kumi.
Ni katika #UsikuWaVitasa #MoBoxing uliofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam. - Спорт
I loved how referee jumped in to save the opponent, boxing is a high risk game. Someone can die in the ring. Well done Madam referee.
Ibra umetupeperusha vema. Hongera.
Refa Pendo Njau ni wa kimataifa.
Best Woman Referee I ever seen.
Nampongeza Ibra Classic kwa ushindi alioupata ila kakosa utambuzi wa kufahamu michezo ni fair play na ni friendship, mara baada ya kumzimisha mpinzani wake, kushangilia kwake kwa muda mrefu bila ya kuhitaji kujua hatma ya mpinzani wake haikukaa kiubinadamu. Furaha ya ushindi haikosekani ila iendane na hali halisi iliyojitokeza
Ibrah classic ngumi za kiwango san
Kwa mchezo huu niliouona sasa nitaanza kwenda kuangalia ngumi.
Asante sana kwa Mo asante kwa refa aliechezesha mchezo asante kwa wapiganaji mmeonyesha mchezo mzuri asante kwa security mpo vizur na mnaijua kazi yenu kwa ujumla kila kitu kilikuwa kipo sawa huo ndio mchezo tunaotaka kuona kwa kiwango hicho.
Natumaini azam and mo boxing mmeona jinsi uwanja unavyo teleza pale kati ktk zile stika yale maandishi nafikiri material yake ya rangi yapo makubwa ndio maana yanateleza mkiweka (soft copy printing) itakuwa powa zaid lifanyieni kazi hilo please...IBRA mo 🔥💪🇹🇿🇦🇪
Mnaosimamia mchezo wa boxing huyu refa mmuangalia kwa jicho la pili ikiwezekana apandishwe daraja la juu kabisa
Hayupo la chini ndio maana anapewa mapambano kama hayo
xg começara bvtyy6 yurou yurou o b
Uyu refa ree mungu amlinde aendeleee kuwa na umakin
I'm proud kwa referee, yupo viziri...apewe tuzo walah.......@Azamtv#Azamtv muangalie hilo
Pendo yupo makini sana kabisa
Kwa hiyo mmexico katoka kwao china Kuja kugombania bajaji 🧐🧐
Mngekuwa mnapiga hivyo hata mkiwa ugenini mngefika mbali.
Wamexico wagumu wasenge Hawa, yaani ukipigana na jitu la mexico linakuja tu' kama CHINO, ...
.Mzuka sana Ibra Classic, nimeona hiyo left hook alikua anakuelekeza sana Master KINYOGOLI ulipokua mazoezini, yaani unatoka kidogo na mguu wa kushoto kama unadesh vile, halafu unatia left hook, Yaani HISABATI zilezile zimekupa matokeo...BIG UP..!
Pendo Njau ,kazi safi unastahili pongezi.
wewe referee upo vzl
sana pendo njau sana
international referee east Africa
Class Muuaji
Mohammad Ali asingeshangilia hv. Angeenda kumsaidia baada ya kudondoka. Legends will always remain legends
Tanzania yangu💋💋💋
Exalent refareee anafanya kazi nzuri mungu akuzidishie keep up on good work
Nimempenda pendo njau
Upendo bonge la refa, aliiona left hook ya madhara kabla right hook yakumzimisha... Hongera madam
Pendo Njau umetisha pia
Kazi kazi kulakwa jasho🙌
Kwa style hii ndo Mana mwakinyo aliamua kujivunja mguu ebu fikiria mtu anazimia hvyo
Nimegundua jama chupi ilimbana Sana ndo mana alishindwa kupumua
Hawa watangazaji wanatakiwa wapewe elimu namna gani ya kutangaza huu mchezo wanaweka unazi Sana yaani utanzania na ushabiki wanauweka mbele kiasi mpaka inakuwa kero kwa tunaoangalia pambano hawatendi haki kwa wageni yaani ni Kama muda wote wanankuwa wanasubiria tukio la mtanzania afanye Jambo walitangaze hio sio profesional ya utangazaji.
We unajua hao wageni huko kwao inakuwaje?kila nchi inambeba wake huo ndio uzalendo....ukiishi nje ndio utajua ata akijamba mwenyeji utaambiwa we mgeni ndio uliejamba,,,shauri yako
@@ambokileasheengai1140 Ni kweli ndugu
Uko sahihi coz mtangazaji hapaswi kuonyesha mapenzi yake waziwazi
Uko sahihi coz mtangazaji hapaswi kuonyesha mapenzi yake waziwazi
Bongo ushamba mwingi
Hongera sana mwamba Ibrs
Mungu akubariki dada Pendo , Ongeza umakini, Tenda haki hivyo hivyo utafika mbali
Bondia ibra Ni bondia mzuri Sana jamani MPENi gari
Uyu dada pendo njau 🙌🙌
Hiki ndishokilichomfanya bondia mwakinyo ajisalimishe mapema. Aliogopa kifo
Amestaafu kupigana
Uyu bi dada naona anapatia kuchezesha game nyingi sana yani yuko proffessional sana ndo mana game nyingi kubwa huwa anakabidhiwa marefa wengine wajifunze kupitia yeye yuko proffesional sana Njau
Mi nazani leo ndo nimeona ngumi nzuri
Mnachelewa kuweka video mnaboa kinyama
Yaani haya jamaa wameza mzoea na kazi
@@Yangadamu unajua kuna vitu vya kuweka mazoea ila sio kazi ngoja tuone mwisho wao
Kazi nzuri hongera sana @
Sema naye huyo Mexican men ni mgumu sana
Huu ndo ushindi sasa so kubanwa na viatu
🤣🤣🤣
Hahaha
michezo migumu Class amewahi kucheza ni huu🙌🙌🙌
Pambano zuri KASORO ilikuwa kwenye JUKWAA.Jukwaa lilikuwa linateleza sana hivyo WAANDAAJI INABIDI Watafakari juu ya Kuandaa JUKWAA..
Safi saaaana.....
Wanyalukolo sie hatunaga masihara
Mnatangaza au mnamchambua Ibrah???? Tangazeni kwa haki.. Pendo umetishaaa sanaaa
Umetisha
Hii ndo tafsiri ya kula kwa jasho duuuh 🙌🙌🙌🙌
Mmechelewa ku upload the main game admin bwana
Nimejikuta nacheka kwa sauti pigwa ngumi hadi azimie😂😂😂😂wabongo tuko vizuri💪💪my mother land
The real champion
Hi michezo ni mibaya sana watu washerekea mwenziwe hayupo kabisa
Watangazaji sio balanced, ethics za utangazaji mmeshindwa kuzizingatia, shame on,! Hata kama Ibra alikua anafanya vizuri lkn muwe wazi pale anapozidiwa, refa nae mzembe kidogo kaonyesha upendeleo kidogo na kutokuwa mwepesi kuingilia na kumsimamisha Ibra mara baada ya upper cut ya kwanza ilipomuumiza mpinzani wake, hiyo ya pili haikustahili ilipashwa kuwa ameingilia kumuokoa, kwa uzembe huu wa marefa mtakuja poteza mabondia ulingoni hapa nyumbani
Sheria ni kwamba hadi alambe sakafu. Ngumi ya pili ilikua sawa kabisa.
Uyo refa n mkal jamaa alikuwa anapiga ngumi za kichogo ambazo sio nzur
Pendo refaree anajua sana
Kwa hiyo hili pigano mshindi anaishia kupewa bajaji pekee au na kitu kingine?
We refarii dada siwezi kkupinga
Dah Yani huyu refarii pendo njau Yuko makini na Kaz yke MUNGU azidi kumngarisha azidi kuanda viwango hadi kimataifa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ibraa is number one
Tamu saana
MOO BOXING MMEANZA VIZURI ILA NAOMBA MAIN FIGHTING IANZE SAA 3:30 usingizi unapunguza utamu. Ngumi hazifanyiki USA kwanini tuangalie usiku wa manane.
Naombeni kujua Jina la ngoma ilitumbuiza siku ya hili pambanoo🙏🙏
Huyo mdada ni refarii mzuri sana sijahi kuona pia hongere sana Ibraa mabonfia kama wewe duniani ni wachache sana Mimi nakufananisha na devonter Davis wa marekani bondia wa mayweather
Good broo
Dada pendo nakupenda sn unajua
Refa 🔥🔥🔥
Hata uwe mgumu vipi kwa ibra utakaa tu, dogo anajua sana kuadhibu jamaa anajifanya kichwa ngumu utakuja kufa uwanjani bure😂
Sifa za wahaya zimezidi et malikia Elizabeth II ni muhaya og 👉👉ruclips.net/video/gO0mTbwMCXg/видео.html. ruclips.net/video/gO0mTbwMCXg/видео.html
Usiku wa vitasa KAGERA kuzindua lasimi 👇ruclips.net/video/gO0mTbwMCXg/видео.html ruclips.net/video/gO0mTbwMCXg/видео.html
Huyu ni mmekiko kuna nchi mekiko au sielewi mm
Aisee Alan Pina amekomaa ila hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
Mandonga ajiangalie... unaweza kufia ulingoni
Ibrahim class
BAJAJ!!!!!
Yaani sio sawa
Mm ndo sijaelewa au yaan ngumi zote hizo anapigania bajaji au
Tanzania 🇹🇿boxing leynow🔥
Mwenyew sielew
Ngum sio POA wengine wanashangilia wengine wanatibiwa
Mabondia wetu wakiend nje wakipigwa hvyo tunasema wameuza mechi kumbe huwa wanakutana na mabondia wenye uwezo kuliko wetu
Kweli kabisa
Watangazaji nchi inaitwa Mexico rekebisheni midomo yenu
Inasomeka mekiko
Ibrahim class anaweza ila isije akaomba bambano na kiduku.
Unym san
Mh! Unakuja et du!
Pongez Kwa refa
Love EP 10 👉ruclips.net/video/gO0mTbwMCXg/видео.html
ruclips.net/video/gO0mTbwMCXg/видео.html
Ibra kakaaa
Mchezo wa kuuana huu
Mashaallah 🌹
Kenge hawa wote
mexico au mekiko???
Mtakuja kuleta watoto wawatu wauliwe na wataftaji
Umetisha refa yaani upo vizuri Sana inatakiwa upewe tuzo
Mtu kadanja watu wanashangilia duuh noumer kinoumer yani
Tz mabondia ni watatu tu clasc ,kiduku,kidunda
Relax
Mandonga 🏃🏃🤣🤣🤣🤣🤣🤣usinitukane lkn ni maon yangu tyu🤣🤣
Umemsahau mwakyembe
Mchale
Hyu pina mgumu san sijawahi ona
Hawa. Wstailand. Na. Mexico. Wa. Chovhoroni. Wanszitia. Aibu. Nchii. Zaoo. Tuu
Kwakweli yaani wanatoka kwao wanakuja Tz kupigwa kwaajili ya kugombania bajaji kweli 😂
@@djkombo3752 unajuwa bei ya bajaj lakini ebu ibadilishe hiyo bajaj kuwa pesa ndo utajuwa wamepigana kwa sh.ngap
235
Sina hakika na uwezo wa akili ya mtu au watu wanao shughulika na kupost matukio ktk Chanel ya Azam ya RUclips. Nadhani akili au uwezo wa kufkiria ni mdogo sana au hajui kwann yupo au wapo hapo katika kazi hiyo.
Kwanini unasema hivyo mkuu🤔🤔🤔🤔
Hahahaha kkkkk mmekiko ai
UKO VZR
Jamani wazamini maboss MPENi gari pendo njau kazi yake mzuri sana
Mnyalutanana uwulaga chali cha vene. Mnyalukolo kaa ilibidi wakupe Dolla 10 milioni co kwa kunifurahisha uko
Mutu inakufa nyie mnashangilia kwel w jmn....au ndo aina y vifoo vimetofautian
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Huyo pina wala sio mmexico, ni goa tu huyo. Mmexico gani mwepesi hivyo.
Iringa boy
mnatuabisha bwana kutamka mekiko badala ya mexico!
hahaha Wala hawajakosea
Ndivyo wenyewe wa Mexico wanajiita.
Kwenye mchezo huu tutafanikiwa kbsaa ila mpira tuachie simba na yanga tuu kwa ajili ya mapato
Kugombania bajaj? Duhhh bongo myoso
Hivi 10 m kasaro unauchukulia poa ?? Hata ingekuwa laki 2 hapo jamaa kasha jiongezea credit usiangalie pesa tu mafanikio ni hali maendeleo ni vitu
iiik
Kama linarudiwa kwao ibra anapigwa jamaa si mbaya ila hongera kwa ibra
Pina anaonekana ndizi sio bondia mzuri, ibra kakutana na ndizi.
Sio kwel