Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Yani ngumi sukunyo 😂😂😂kasukunyuliwa.mwenyewe mandonga mtu kazi
🤓🤓🤓🤓🤓
Hongera Pendo Njau,wanawake tunaweza unatuheshimisha sana,Mungu akubariki
Mbona hamuobi toshee choo pamoja mnaweza au mnafundishwa tabia za umalaya
Wakenya tunamshabikia Mandonga.Akiachilia Sungunyo.Akishinda kashinda,Akishindwa kashinda.
Pendo njau dada ang ana huruma sana ilitakiwa utuachie mandonga wetu mpk afie uwanjani
uyo madonga anakera sana yani akipigana kidogo tu anakumbatia mwenzie
Mandonga nipo na ww Hadi wakuuwe😅😅
😂😂😂😂😅
😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂 hapo sawa
NDONGA ANA IMPROVE
Yewah jarorya erokamano kwakweli imezidi kutuheshimisha Wana Rorya na Mara kwa ujumla❤❤🎉🎉
Kwa kweli nikiatazama kwa kina Mandonga huenda akawa na matatizo ya kichwa baadae,ni bora aache huu mchezo
Mandonga tupo na wew adi wakuuwe
😂😂😂😂
Hahahaha😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Uhakikaaaaa
Sema waaamuzi wetu wazidishe umakini sana hapo ukiangalia vizuri utaona kapigwa ngumi ya kisogo
Pamoja sana nduguzetu
Huyu refa boya tu. Kazi zingine ni za kiume aisee.
Hongera mandonga 😅
🤢🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
MANDONGA TUKO PAMOJA MPAKA WAKUUE😂😂
😂😂😂jamani
🎉🎉🎉🎉
Ngumi mbaya sana wanakumbatiana ivyo2 akuna mchezo mzr
Mandoga akipata kocha mzuri anaweza kuwa bondia mzuri. Naona ana style nzuri sana....lakini technically bado kidogo.
Hawezi kuwa bondia mzr anabahatisha tu ukosefu wa ajira
Kwa umri huo
Mandonga Kila siku anajifanya uko juu lakin raundi hii
mandonga anafurahisha sana ila watamua
Champion mandonga yupo kisport zaidi.
Wadau wa ngumi naomba tujuane kwa like hapa..... Nawapenda
Ndonga ameacha kupiga miti now anashinda gym naona body imekata
2po kaka
ruclips.net/user/shortsu51NDFGbxHA?si=5SaLp9FLu9vN9edz
😂
Yupo vizuri mandonga asaivi
Mchezo mtamu sana huu, natamani ungeruhusiwa kufundishwa na kuchezwa shuleni kuanzia chini ili kukuza vipaji kwa vijana wengi kuanzia chini.
Milembe wanaweza wakapelekwa weng
MANDONGA TUKO PAMOJA NA WEWE MPAKA WAKUUWE
Hakuna boxing Tanzania bila Mandonga. Pemda usipende
Tanzania Bado mupo nyuma mchezo wa ngumi ,hapo mm naona sioni mpiganaji yaani ni mfano wa boxing tu😂
Hawa ni comedy- boxers😂
One love bro, mandonga wewe ni Sisi na Sisi ni wewe ukiona ngumi nzito kimbia, uzima wako nibora Sana kwetu kaka.
mandonga akipigwa Hadi raha bn apigwe ivo ivo chizi wetu
Maugo ni Boxer, angalia ile punch ya K.O, very technic. Mandonga zaid ya kukumbatia sijaona boxer 😊
Tim mandonga mpooo❤❤❤
Kumbe maugo ameisha hivi mandonga tunajua sio boxer
Mada maugo kaja akiwa amepaniki hataki fea lakini mandonga mtu kazi kaja kwa furaha halafu muda wote anataka fea
Wanashikana sana.
Tatizo wachambuzi mnaongea sana mpaka mnakela aiseeeee
dada yetu mtangazaji naona nae nisha biki wa damu wa mandonga mtu kaz
Sign the contract big boy 👊👊🏋♀️🤛
Mandonga achana na ngumi kuna siku utafia ulingoni😂😂😂
Namkubali saana mandonga ,hizo ni ngumi bana
Mandogo akipigwa kapiga akipiga kapigaaa🔥🔥😂😂
mandonga Mzee wa kuyumba
Dada utangazaji wako hauna muelekeo😂
Mandonga mtu kazi baba nakukukubali😂😂😂😂
Mdomo huwa unamponza mandonga na mm nakuja dar nataka pambano na mandonga nimkande
The referee was poor. You only stop the fight if the boxer is out completely.
Countless head blows...... akipigwa a chizi nani ataleta 😅singinyo Nairobi ...n by the way,miss Njau is one of the top female referee in East n Central Africa
madaktari bingwa wa vichwa wapo wangapi TAnzania 😮😅
Mandonga Rudi stand utakufwa wewe
Yaani kama ni hivi Tanzania bado tuko nyuma kwenye mchezo wa ngumi😅
Mandongoh tupo na wewe mbaka ufie ulingon
Mandonga ni mcheshi, mtu wa fair
Tatzo azam tv na azamu media wana camera magumash maana camera zao mbovu
Nandonga ww ni Professional Boxer 😃😃😃
Mpenisifa afe
Pendo ni Refa bora zaidi nchini
great achievement Mandonga
NJAA MBAYA SANA.....
hongera mandonga
Liandaliwe pambano Maugo vs kaoneka .
Muache I..afe. Njaaaambaya
DAÀAAA MANDONGA HANA KITU KABISA MAKOCHA FANYENI KAZI MABONDIA HAWANA UWEZO KITAALAMU
Mandonga kawa mavi pumbaaaff
Mandonga bora awe mwigizaji tu
HUYU NDO ALIKUWA MBABE PALE MSAMVU? WALIMWOGOPA HUYU?
Anakumbatia sana uyo mandong
Mandonga tupo na wew mpaka wakuuwe
Mandonga ni mdomo tu...ata mi naeza mtoa na round ya kwanza
Mandonga tupo pamoja na wewe mpaka siku wakuue ulingoni😅
Mandonga hajuwi pambana
Sisi ata wakitupiga kama tumewapiga2
Ni Hatariii kwelikweli😂😂😂😂
Yaani ngumi Moja tu Kisha wanakumbatiana mandonga ni shida
Yaani hii ndio shida ya Mandonga akipigana. Nimeangalia michezo yake mingi kiukweli ndio tabia yake ya kukumbatia kwenye mapambano yake.
Huyu ndio Mandonga tunayemjua sisi..😂
Kaka mandonga sio bondia
Mandonga aombe mech ya marudiano na maugo
Mandonga yupo ktk maokoto akipigwa sawa ana juwa nimi anataka ktk maisha yake,Hila jitahidi usshinde maneno mengi kila siku
Asante maugo
Mandonga jitaidi usilete bwela
Mandonga anapenda kweli kukunbatia
Daah mandoga ww poa sana
Maugo katulia sana
Ss uyo madoga ata shinda lini
Ahhh kampiga kisogoni ngumi ya mwisjo.mnampaje ushindi ina maana hamuoni
This is comedy not boxing,,be serious lol!!!
Njaa kali
Pambano hili ndio bora zaidi ya yote. Naomba mada maugo na francis cheka wakutanishwe tupate burudani
Cheka Ni Moto wa kuotea mbali
Tupo pa1 mandonga mpaka wakuuwe😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mandonga jaman
Hii ni professional boxing kweli 😂😂
Hili pigano halina mvuto kabisa,ila mm nko kenya nalitazama
Watangazaji mko biased kwa maugo
Mandonga akubali tu achane na ngumi miaka himenda
Ila mandonga Leo katulia sana…
Mandoga sio boxer,,,
Asante.Je,ndani tundu moja,wastani mbegu ngapi?
Usijichanganye kwa tembo harmonize kaka tutakupoteza
Harmonize hajapigana hata pambano moja , au alivyomkaba baba levo au vile Ana mwili unafikir anajua kupigana
Yani maugo na mandonga 😂 wanacheza malede ngumi mbovuu
Lete mandonga
Mandonga aendelee comedy 🤣, kwenye ngumi watamwua
Hatutaki komedi mandonga
Sasa kama mandonga kapigwa na bondia mzee namna hii atamuweza nani 😅😅😅😅😅
Bondia wamchongo
Kaz tu kaz
comedian
Madonga sibondia. Aende wrestling
Yani ngumi sukunyo 😂😂😂kasukunyuliwa.mwenyewe mandonga mtu kazi
🤓🤓🤓🤓🤓
Hongera Pendo Njau,wanawake tunaweza unatuheshimisha sana,Mungu akubariki
Mbona hamuobi toshee choo pamoja mnaweza au mnafundishwa tabia za umalaya
Wakenya tunamshabikia Mandonga.Akiachilia Sungunyo.Akishinda kashinda,Akishindwa kashinda.
Pendo njau dada ang ana huruma sana ilitakiwa utuachie mandonga wetu mpk afie uwanjani
uyo madonga anakera sana yani akipigana kidogo tu anakumbatia mwenzie
Mandonga nipo na ww Hadi wakuuwe😅😅
😂😂😂😂😅
😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂 hapo sawa
NDONGA ANA IMPROVE
Yewah jarorya erokamano kwakweli imezidi kutuheshimisha Wana Rorya na Mara kwa ujumla❤❤🎉🎉
Kwa kweli nikiatazama kwa kina Mandonga huenda akawa na matatizo ya kichwa baadae,ni bora aache huu mchezo
Mandonga tupo na wew adi wakuuwe
😂😂😂😂
Hahahaha😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Uhakikaaaaa
😂😂😂😂😂
Sema waaamuzi wetu wazidishe umakini sana hapo ukiangalia vizuri utaona kapigwa ngumi ya kisogo
Pamoja sana nduguzetu
Huyu refa boya tu. Kazi zingine ni za kiume aisee.
Hongera mandonga 😅
🤢🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
MANDONGA TUKO PAMOJA MPAKA WAKUUE😂😂
😂😂😂jamani
🎉🎉🎉🎉
Ngumi mbaya sana wanakumbatiana ivyo2 akuna mchezo mzr
Mandoga akipata kocha mzuri anaweza kuwa bondia mzuri. Naona ana style nzuri sana....lakini technically bado kidogo.
Hawezi kuwa bondia mzr anabahatisha tu ukosefu wa ajira
Kwa umri huo
Mandonga Kila siku anajifanya uko juu lakin raundi hii
mandonga anafurahisha sana ila watamua
Champion mandonga yupo kisport zaidi.
Wadau wa ngumi naomba tujuane kwa like hapa..... Nawapenda
Ndonga ameacha kupiga miti now anashinda gym naona body imekata
2po kaka
ruclips.net/user/shortsu51NDFGbxHA?si=5SaLp9FLu9vN9edz
😂
Yupo vizuri mandonga asaivi
Mchezo mtamu sana huu, natamani ungeruhusiwa kufundishwa na kuchezwa shuleni kuanzia chini ili kukuza vipaji kwa vijana wengi kuanzia chini.
Milembe wanaweza wakapelekwa weng
MANDONGA TUKO PAMOJA NA WEWE MPAKA WAKUUWE
Hakuna boxing Tanzania bila Mandonga. Pemda usipende
Tanzania Bado mupo nyuma mchezo wa ngumi ,hapo mm naona sioni mpiganaji yaani ni mfano wa boxing tu😂
Hawa ni comedy- boxers😂
One love bro, mandonga wewe ni Sisi na Sisi ni wewe ukiona ngumi nzito kimbia, uzima wako nibora Sana kwetu kaka.
mandonga akipigwa Hadi raha bn apigwe ivo ivo chizi wetu
Maugo ni Boxer, angalia ile punch ya K.O, very technic. Mandonga zaid ya kukumbatia sijaona boxer 😊
Tim mandonga mpooo❤❤❤
Kumbe maugo ameisha hivi mandonga tunajua sio boxer
Mada maugo kaja akiwa amepaniki hataki fea lakini mandonga mtu kazi kaja kwa furaha halafu muda wote anataka fea
Wanashikana sana.
Tatizo wachambuzi mnaongea sana mpaka mnakela aiseeeee
dada yetu mtangazaji naona nae nisha biki wa damu wa mandonga mtu kaz
Sign the contract big boy 👊👊🏋♀️🤛
Mandonga achana na ngumi kuna siku utafia ulingoni😂😂😂
Namkubali saana mandonga ,hizo ni ngumi bana
Mandogo akipigwa kapiga akipiga kapigaaa🔥🔥😂😂
mandonga Mzee wa kuyumba
Dada utangazaji wako hauna muelekeo😂
Mandonga mtu kazi baba nakukukubali😂😂😂😂
Mdomo huwa unamponza mandonga na mm nakuja dar nataka pambano na mandonga nimkande
The referee was poor. You only stop the fight if the boxer is out completely.
Countless head blows...... akipigwa a chizi nani ataleta 😅singinyo Nairobi ...n by the way,miss Njau is one of the top female referee in East n Central Africa
madaktari bingwa wa vichwa wapo wangapi TAnzania 😮😅
😂
Mandonga Rudi stand utakufwa wewe
Yaani kama ni hivi Tanzania bado tuko nyuma kwenye mchezo wa ngumi😅
Mandongoh tupo na wewe mbaka ufie ulingon
Mandonga ni mcheshi, mtu wa fair
Tatzo azam tv na azamu media wana camera magumash maana camera zao mbovu
Nandonga ww ni Professional Boxer 😃😃😃
Mpenisifa afe
Pendo ni Refa bora zaidi nchini
great achievement Mandonga
NJAA MBAYA SANA.....
hongera mandonga
Liandaliwe pambano Maugo vs kaoneka .
Muache I..afe. Njaaaambaya
DAÀAAA MANDONGA HANA KITU KABISA MAKOCHA FANYENI KAZI MABONDIA HAWANA UWEZO KITAALAMU
Mandonga kawa mavi pumbaaaff
Mandonga bora awe mwigizaji tu
HUYU NDO ALIKUWA MBABE PALE MSAMVU? WALIMWOGOPA HUYU?
Anakumbatia sana uyo mandong
Mandonga tupo na wew mpaka wakuuwe
Mandonga ni mdomo tu...ata mi naeza mtoa na round ya kwanza
Mandonga tupo pamoja na wewe mpaka siku wakuue ulingoni😅
Mandonga hajuwi pambana
Sisi ata wakitupiga kama tumewapiga2
Ni Hatariii kwelikweli😂😂😂😂
Yaani ngumi Moja tu Kisha wanakumbatiana mandonga ni shida
Yaani hii ndio shida ya Mandonga akipigana. Nimeangalia michezo yake mingi kiukweli ndio tabia yake ya kukumbatia kwenye mapambano yake.
Huyu ndio Mandonga tunayemjua sisi..😂
Kaka mandonga sio bondia
Mandonga aombe mech ya marudiano na maugo
Mandonga yupo ktk maokoto akipigwa sawa ana juwa nimi anataka ktk maisha yake,Hila jitahidi usshinde maneno mengi kila siku
Asante maugo
Mandonga jitaidi usilete bwela
Mandonga anapenda kweli kukunbatia
Daah mandoga ww poa sana
Maugo katulia sana
Ss uyo madoga ata shinda lini
Ahhh kampiga kisogoni ngumi ya mwisjo.mnampaje ushindi ina maana hamuoni
This is comedy not boxing,,be serious lol!!!
Njaa kali
Pambano hili ndio bora zaidi ya yote. Naomba mada maugo na francis cheka wakutanishwe tupate burudani
Cheka Ni Moto wa kuotea mbali
Tupo pa1 mandonga mpaka wakuuwe😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mandonga jaman
Hii ni professional boxing kweli 😂😂
Hili pigano halina mvuto kabisa,ila mm nko kenya nalitazama
Watangazaji mko biased kwa maugo
Mandonga akubali tu achane na ngumi miaka himenda
Ila mandonga Leo katulia sana…
Mandoga sio boxer,,,
Asante.
Je,ndani tundu moja,wastani mbegu ngapi?
Usijichanganye kwa tembo harmonize kaka tutakupoteza
Harmonize hajapigana hata pambano moja , au alivyomkaba baba levo au vile Ana mwili unafikir anajua kupigana
Yani maugo na mandonga 😂 wanacheza malede ngumi mbovuu
Lete mandonga
Mandonga aendelee comedy 🤣, kwenye ngumi watamwua
Hatutaki komedi mandonga
Sasa kama mandonga kapigwa na bondia mzee namna hii atamuweza nani 😅😅😅😅😅
Bondia wamchongo
Kaz tu kaz
comedian
Madonga sibondia. Aende wrestling