USIKU WA VITASA | Karim Mandoga Vs Mada Maugo (TKO) - 11/04/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2024
  • Kwa TKO raundi ya sita, Mada Maugo amemkalisha Karim Mandonga.
  • СпортСпорт

Комментарии • 263

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 23 дня назад +7

    Yani ngumi sukunyo 😂😂😂kasukunyuliwa.mwenyewe mandonga mtu kazi

  • @beatricembunda6168
    @beatricembunda6168 23 дня назад +2

    Hongera Pendo Njau,wanawake tunaweza unatuheshimisha sana,Mungu akubariki

    • @suleymandachi782
      @suleymandachi782 23 дня назад +1

      Mbona hamuobi toshee choo pamoja mnaweza au mnafundishwa tabia za umalaya

  • @omarmutta4999
    @omarmutta4999 18 дней назад +2

    Wakenya tunamshabikia Mandonga.Akiachilia Sungunyo.Akishinda kashinda,Akishindwa kashinda.

  • @user-hz9tx1mi1h
    @user-hz9tx1mi1h 23 дня назад +2

    Pendo njau dada ang ana huruma sana ilitakiwa utuachie mandonga wetu mpk afie uwanjani

  • @noushaddammam8805
    @noushaddammam8805 3 дня назад

    uyo madonga anakera sana yani akipigana kidogo tu anakumbatia mwenzie

  • @user-uf4pb1hl2k
    @user-uf4pb1hl2k 23 дня назад +7

    Mandonga nipo na ww Hadi wakuuwe😅😅

  • @alexissaya9385
    @alexissaya9385 23 дня назад +2

    NDONGA ANA IMPROVE

  • @alexanderchacha8585
    @alexanderchacha8585 23 дня назад

    Yewah jarorya erokamano kwakweli imezidi kutuheshimisha Wana Rorya na Mara kwa ujumla❤❤🎉🎉

  • @nofatwamasha3475
    @nofatwamasha3475 23 дня назад +3

    Kwa kweli nikiatazama kwa kina Mandonga huenda akawa na matatizo ya kichwa baadae,ni bora aache huu mchezo

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 23 дня назад +8

    Mandonga tupo na wew adi wakuuwe

  • @frankmasimba9286
    @frankmasimba9286 23 дня назад +1

    Sema waaamuzi wetu wazidishe umakini sana hapo ukiangalia vizuri utaona kapigwa ngumi ya kisogo

  • @SaudarajabuMzogela
    @SaudarajabuMzogela 4 часа назад

    Pamoja sana nduguzetu

  • @mathewmweteli9428
    @mathewmweteli9428 23 дня назад +3

    Huyu refa boya tu. Kazi zingine ni za kiume aisee.

  • @dullahmakoko6608
    @dullahmakoko6608 23 дня назад +4

    Hongera mandonga 😅

    • @AmaniCosmetix
      @AmaniCosmetix 20 дней назад

      🤢🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓

  • @ALEXVICTOR-wk4pl
    @ALEXVICTOR-wk4pl 23 дня назад +6

    MANDONGA TUKO PAMOJA MPAKA WAKUUE😂😂

  • @emmanuelmwangila5358
    @emmanuelmwangila5358 23 дня назад +2

    Ngumi mbaya sana wanakumbatiana ivyo2 akuna mchezo mzr

  • @zonko0488
    @zonko0488 23 дня назад +3

    Mandoga akipata kocha mzuri anaweza kuwa bondia mzuri. Naona ana style nzuri sana....lakini technically bado kidogo.

    • @user-ih1pk1vs4q
      @user-ih1pk1vs4q 23 дня назад +1

      Hawezi kuwa bondia mzr anabahatisha tu ukosefu wa ajira

    • @complex7582
      @complex7582 23 дня назад

      Kwa umri huo

  • @WillisonGo
    @WillisonGo День назад

    Mandonga Kila siku anajifanya uko juu lakin raundi hii

  • @user-wx1ll3gs9l
    @user-wx1ll3gs9l 23 дня назад +2

    mandonga anafurahisha sana ila watamua

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v 23 дня назад

    Champion mandonga yupo kisport zaidi.

  • @MtessaAlly-rd4hf
    @MtessaAlly-rd4hf 23 дня назад +39

    Wadau wa ngumi naomba tujuane kwa like hapa..... Nawapenda

  • @KageraPs
    @KageraPs 23 дня назад +2

    Mchezo mtamu sana huu, natamani ungeruhusiwa kufundishwa na kuchezwa shuleni kuanzia chini ili kukuza vipaji kwa vijana wengi kuanzia chini.

    • @geofkabo7843
      @geofkabo7843 23 дня назад +1

      Milembe wanaweza wakapelekwa weng

  • @mwinyisarai-rm5oo
    @mwinyisarai-rm5oo 23 дня назад +3

    MANDONGA TUKO PAMOJA NA WEWE MPAKA WAKUUWE

  • @esaladennisandayi5409
    @esaladennisandayi5409 23 дня назад +2

    Hakuna boxing Tanzania bila Mandonga. Pemda usipende

  • @user-hn6kv6xe7m
    @user-hn6kv6xe7m 23 дня назад +4

    Tanzania Bado mupo nyuma mchezo wa ngumi ,hapo mm naona sioni mpiganaji yaani ni mfano wa boxing tu😂

  • @user-id3pf9tr4r
    @user-id3pf9tr4r 20 дней назад

    One love bro, mandonga wewe ni Sisi na Sisi ni wewe ukiona ngumi nzito kimbia, uzima wako nibora Sana kwetu kaka.

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 2 дня назад

    mandonga akipigwa Hadi raha bn apigwe ivo ivo chizi wetu

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 22 дня назад

    Maugo ni Boxer, angalia ile punch ya K.O, very technic. Mandonga zaid ya kukumbatia sijaona boxer 😊

  • @benikayange2605
    @benikayange2605 23 дня назад +1

    Tim mandonga mpooo❤❤❤

    • @hamisimkulu6571
      @hamisimkulu6571 20 дней назад

      Kumbe maugo ameisha hivi mandonga tunajua sio boxer

  • @user-qc5kq2zm2b
    @user-qc5kq2zm2b 23 дня назад +2

    Mada maugo kaja akiwa amepaniki hataki fea lakini mandonga mtu kazi kaja kwa furaha halafu muda wote anataka fea

  • @cliffkamau8863
    @cliffkamau8863 14 часов назад

    Wanashikana sana.

  • @mgogobeleko1411
    @mgogobeleko1411 23 дня назад +2

    Tatizo wachambuzi mnaongea sana mpaka mnakela aiseeeee

  • @SamManyota
    @SamManyota 23 дня назад +3

    dada yetu mtangazaji naona nae nisha biki wa damu wa mandonga mtu kaz

  • @JerrySamuel-zz4pz
    @JerrySamuel-zz4pz 23 дня назад

    Sign the contract big boy 👊👊🏋‍♀️🤛

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 21 день назад +2

    Mandonga achana na ngumi kuna siku utafia ulingoni😂😂😂

  • @yassinm69
    @yassinm69 20 дней назад +1

    Namkubali saana mandonga ,hizo ni ngumi bana

  • @wizzyjabary7777
    @wizzyjabary7777 21 день назад +1

    Mandogo akipigwa kapiga akipiga kapigaaa🔥🔥😂😂

  • @IssaIddi-zb1ef
    @IssaIddi-zb1ef 21 день назад +2

    mandonga Mzee wa kuyumba

  • @jamalmohamed3400
    @jamalmohamed3400 22 дня назад +2

    Dada utangazaji wako hauna muelekeo😂

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d 23 дня назад +1

    Mandonga mtu kazi baba nakukukubali😂😂😂😂

  • @mapachaentertainment2300
    @mapachaentertainment2300 22 дня назад +2

    Mdomo huwa unamponza mandonga na mm nakuja dar nataka pambano na mandonga nimkande

  • @peternduva-yv7mw
    @peternduva-yv7mw 16 дней назад +2

    The referee was poor. You only stop the fight if the boxer is out completely.

    • @kelvin8324
      @kelvin8324 15 дней назад +1

      Countless head blows...... akipigwa a chizi nani ataleta 😅singinyo Nairobi ...n by the way,miss Njau is one of the top female referee in East n Central Africa

  • @joycekaishozi1177
    @joycekaishozi1177 23 дня назад +3

    madaktari bingwa wa vichwa wapo wangapi TAnzania 😮😅

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 23 дня назад +3

    Mandonga Rudi stand utakufwa wewe

  • @danielmeleji6302
    @danielmeleji6302 23 дня назад +2

    Yaani kama ni hivi Tanzania bado tuko nyuma kwenye mchezo wa ngumi😅

  • @user-xr7bx1on5e
    @user-xr7bx1on5e 23 дня назад +2

    Mandongoh tupo na wewe mbaka ufie ulingon

  • @boscomfundo7953
    @boscomfundo7953 18 дней назад +1

    Mandonga ni mcheshi, mtu wa fair

  • @YohanaKagambo
    @YohanaKagambo 23 дня назад +2

    Tatzo azam tv na azamu media wana camera magumash maana camera zao mbovu

  • @abdimakame7929
    @abdimakame7929 23 дня назад +2

    Nandonga ww ni Professional Boxer 😃😃😃

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v 23 дня назад +1

    Pendo ni Refa bora zaidi nchini

  • @user-zh2ko6nj5g
    @user-zh2ko6nj5g 23 дня назад

    great achievement Mandonga

  • @alfredmambo5834
    @alfredmambo5834 23 дня назад +1

    NJAA MBAYA SANA.....

  • @salamamboda419
    @salamamboda419 23 дня назад

    hongera mandonga

  • @yohnayesaya5840
    @yohnayesaya5840 23 дня назад +1

    Liandaliwe pambano Maugo vs kaoneka .

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m 23 дня назад +2

    Muache I..afe. Njaaaambaya

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 21 день назад +1

    DAÀAAA MANDONGA HANA KITU KABISA MAKOCHA FANYENI KAZI MABONDIA HAWANA UWEZO KITAALAMU

  • @PanyaBuku-qo7tu
    @PanyaBuku-qo7tu 21 день назад +1

    Mandonga kawa mavi pumbaaaff

  • @AfonsoAugs
    @AfonsoAugs 20 дней назад +1

    Mandonga bora awe mwigizaji tu

  • @KennethNgoleka-fh5mi
    @KennethNgoleka-fh5mi 21 день назад +2

    HUYU NDO ALIKUWA MBABE PALE MSAMVU? WALIMWOGOPA HUYU?

  • @mengikibona1405
    @mengikibona1405 23 дня назад

    Anakumbatia sana uyo mandong

  • @EmanuelGurtu
    @EmanuelGurtu 22 дня назад +4

    Mandonga tupo na wew mpaka wakuuwe

  • @eddyboy1719
    @eddyboy1719 18 дней назад +1

    Mandonga ni mdomo tu...ata mi naeza mtoa na round ya kwanza

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 23 дня назад +2

    Mandonga tupo pamoja na wewe mpaka siku wakuue ulingoni😅

  • @praymwalu
    @praymwalu 21 день назад +1

    Mandonga hajuwi pambana

  • @user-xe5xt6ue1s
    @user-xe5xt6ue1s 20 дней назад +2

    Sisi ata wakitupiga kama tumewapiga2

  • @AllyBahjuni
    @AllyBahjuni 18 дней назад +1

    Ni Hatariii kwelikweli😂😂😂😂

  • @allyismaili1049
    @allyismaili1049 23 дня назад +1

    Yaani ngumi Moja tu Kisha wanakumbatiana mandonga ni shida

    • @user-hk2oz2eg4j
      @user-hk2oz2eg4j 23 дня назад

      Yaani hii ndio shida ya Mandonga akipigana. Nimeangalia michezo yake mingi kiukweli ndio tabia yake ya kukumbatia kwenye mapambano yake.

  • @ochuMay05
    @ochuMay05 23 дня назад +1

    Huyu ndio Mandonga tunayemjua sisi..😂

  • @DaxMatoch
    @DaxMatoch 23 дня назад

    Kaka mandonga sio bondia

  • @mrikongosi3151
    @mrikongosi3151 23 дня назад +1

    Mandonga aombe mech ya marudiano na maugo

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 20 дней назад

    Mandonga yupo ktk maokoto akipigwa sawa ana juwa nimi anataka ktk maisha yake,Hila jitahidi usshinde maneno mengi kila siku

  • @atislady3400
    @atislady3400 23 дня назад

    Asante maugo

  • @mhojapeter
    @mhojapeter 23 дня назад +1

    Mandonga jitaidi usilete bwela

  • @user-fq9dd4mu6y
    @user-fq9dd4mu6y 23 дня назад

    Mandonga anapenda kweli kukunbatia

  • @saidothman4527
    @saidothman4527 23 дня назад

    Daah mandoga ww poa sana

  • @bakarikisuda4948
    @bakarikisuda4948 23 дня назад

    Maugo katulia sana

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6z 23 дня назад +1

    Ss uyo madoga ata shinda lini

  • @mapikomkindu565
    @mapikomkindu565 23 дня назад +1

    Ahhh kampiga kisogoni ngumi ya mwisjo.mnampaje ushindi ina maana hamuoni

  • @petermuyanzi2869
    @petermuyanzi2869 2 дня назад +1

    This is comedy not boxing,,be serious lol!!!

  • @evanslyimo5835
    @evanslyimo5835 22 дня назад

    Njaa kali

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy5204 23 дня назад +1

    Pambano hili ndio bora zaidi ya yote. Naomba mada maugo na francis cheka wakutanishwe tupate burudani

  • @AmaniOdhiambo
    @AmaniOdhiambo 23 дня назад +2

    Tupo pa1 mandonga mpaka wakuuwe😂😂😂

  • @user-me2yw7ys8e
    @user-me2yw7ys8e 23 дня назад +1

    Mandonga jaman

  • @khamisisuedi1056
    @khamisisuedi1056 23 дня назад

    Hii ni professional boxing kweli 😂😂

  • @IsmaelKabuye
    @IsmaelKabuye 23 дня назад +1

    Hili pigano halina mvuto kabisa,ila mm nko kenya nalitazama

  • @outlook300
    @outlook300 21 день назад +1

    Watangazaji mko biased kwa maugo

  • @vincentnyabuto4605
    @vincentnyabuto4605 11 дней назад

    Mandonga akubali tu achane na ngumi miaka himenda

  • @user-dw4ve4xp3x
    @user-dw4ve4xp3x 23 дня назад

    Ila mandonga Leo katulia sana…

  • @mbuvikilonzo5826
    @mbuvikilonzo5826 23 дня назад

    Mandoga sio boxer,,,

  • @EzekieliNgwale-fh4br
    @EzekieliNgwale-fh4br 18 дней назад

    Asante.
    Je,ndani tundu moja,wastani mbegu ngapi?

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv9688 23 дня назад +1

    Usijichanganye kwa tembo harmonize kaka tutakupoteza

    • @Thuhddhjggkhfgnktfdsgbyrt
      @Thuhddhjggkhfgnktfdsgbyrt 23 дня назад

      Harmonize hajapigana hata pambano moja , au alivyomkaba baba levo au vile Ana mwili unafikir anajua kupigana

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 22 дня назад +1

    Yani maugo na mandonga 😂 wanacheza malede ngumi mbovuu

  • @user-zt2oc6oy9s
    @user-zt2oc6oy9s 23 дня назад

    Lete mandonga

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 23 дня назад

    Mandonga aendelee comedy 🤣, kwenye ngumi watamwua

  • @mhojapeter
    @mhojapeter 23 дня назад

    Hatutaki komedi mandonga

  • @thekibosoundband7489
    @thekibosoundband7489 23 дня назад +1

    Sasa kama mandonga kapigwa na bondia mzee namna hii atamuweza nani 😅😅😅😅😅

  • @JonasNgasa
    @JonasNgasa 23 дня назад +1

    Bondia wamchongo

  • @samweligodfrey6442
    @samweligodfrey6442 23 дня назад +1

    Kaz tu kaz

  • @japharymagesa735
    @japharymagesa735 19 дней назад +2

    comedian

  • @sugashTv
    @sugashTv 4 дня назад

    Madonga sibondia. Aende wrestling