CHADEMA MNAFELI SANA HAKIKA KUNGEKUWA NA MGOMBEA URAIS KAMA MAKONDA,POLEPOLE,AU MPINA KIUKWELI SISI TUNGEWAANGUSHA LAKINI KWA WEWE TUNDU LISU HAUPATI KITU NA UNAPOMSEMA MAGUFULI VIBAYA NDO UNAPOFELI MAGUFULI ALIKUWA KIPENZI CHA WATU SIYO WEWE KIBARAKA WA WAZUNGU
Tanzania ipi hata ccm wampitishe mbuzi huyo mbuzi atakuwa rais tengenezeni njia kwanza na njia yenyewe ni katiba . Tanzania inaongozwa na katiba na katiba yetu ni mbovu sana
Magu utaweza kumfananisha na huyu lissu.tundu huyu ni mziki mwingine huu magu kombora moja tu hayati.mwamba huyu makombora ya kufa mtu mwamba yupo huu mziki
Kwani Wewe nd,o unachaguana nd,o useme kuwa lisu hawezi kumshinda Samia endapo tukipata katiba mpya na kuwachana na ya Sasa mbovu yenye kumpa raisi kuwa kama kamungu na wakati ni mwanadamu na wanatangazwa kwa mabavu kuwa alishinda? Au kura yako Moja itamfanya ashinde kama ushaguzi itakuwa wa huru na haki Wewe?
Kama unajua yote hayo... kwamba utaratibu ni ule ule na katiba dhahiri ni ile ile ya kuibeba CCM, sasa kweli unategemea matokeo tofauti? Kweli unamdanganya nani? Njaa tu imewazidi sasa...semeni ukweli. Mtapewa madiwani na wabunge wachache kwa fadhila ya CCM ili tu kuleta legitimacy ya ushindi wa CCM.
@@msabahaali758 Hujui hata unalosema...sina bahati ya akili nyingi kama ww!! I'm an apolitical intellectual. Akili yangu ya kawaida inasema ukiingia kwenye uchaguzi ambao unajua hauna haki ukishindwa usilalamike...ukilalamika unaitwa mpumbavu maana hata kabla ya uchaguzi ulijua huwezi kushinda
@@melch3097 Kwako ww kushiriki uchaguzi ambao unajua hauna haki na huwezi kushinda bali unahalalisha ushindi wa CCM ndio kuwa na uchungu na nchi kweli??? Usinichekeshe....
Sasa muungane na TLS taasisi,wanaharakati na wananchi wote mfungue kesi ya 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍️🏿
Mamae hiv bila kumtaja JPm siasa zenu hazifanyiki? We usituchanganye hakuna kitakachotokea kama ww ni mjuzi mkabili mbowe kwenye uenyekiti mnapambana na nan?
Karibu sana viongozi mungu akurinde uwe rais wetu risu
Rais wa wajinga labda!
Raisi wa mashoga labda
Mchagueni lissu watoto wenu waowane
Karibu risu mungu akulinde hakika wewe unafaa kuwa rais wa tanzania
Lisu we ni tunu ya taifa
Karibu Baba Tanzania ❤❤❤❤
Tundu lissue ni Moyo wa Tz Ww mzee Mungu akupe nguvu nyingi sana uishi salama❤😂😂
mungu bariki kazi Yko
Mungu akutie nguvu baba kweli watanzania tunakupenda mwamini mungu ipo siku utafanikiwa
Nakuaminia tundu lazima uwe raisi wetu
Lisu ni mtanganyika halisi karudi kwao siyo kwa hisani
Pamoja sana shujaa wetu.
Tuko pamoja sana raisi wetu
Rais ajaye tunakuombea kwa Mungu Mh Tundu Lissu
Kalibu mteule wa mungu
Mteule wa mashoga
Mr President
unajua huyu jamaa ana akili sana sema ccm mnamdharau tu hata magufuri hafiki kwa huyu jamaa
Angekua ccm wangekua washampa kiti ila shida ni chama pinzani
Nakubal sana rais lisu
Home boy ❤❤❤
Lissu shikamooo
Welcome back home president to be Lisu
Mwamba huyu hapa🎉🎉🎉🎉
Nawapenda sana sisisote niwatanzania . Mabadiliko huanza na mmoja kama usingizi wote hamuwez kuamkia pamoja. Asante saaaana people,s power
Love lissu
Love chadema
Mabadiliko aya apa people power
Bwana akutunze akuepushe Tena uzidi kupambania haki
Karibu sana lisu tunakusubili
👏💪👍✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Nakuunga mkono mheshimiwa
Ila hiki kichwa mh kimerudi tena
Lisu tunakuku bali baba kura zote zako malaika watakupigania uck na mchana.ni moto🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Our future president Tanzania 🇹🇿 may God protect you always 🙏 ❤️
CHADEMA MNAFELI SANA HAKIKA KUNGEKUWA NA MGOMBEA URAIS KAMA MAKONDA,POLEPOLE,AU MPINA KIUKWELI SISI TUNGEWAANGUSHA LAKINI KWA WEWE TUNDU LISU HAUPATI KITU NA UNAPOMSEMA MAGUFULI VIBAYA NDO UNAPOFELI MAGUFULI ALIKUWA KIPENZI CHA WATU SIYO WEWE KIBARAKA WA WAZUNGU
Aliekwambia uwapigie kura ni nani😊
Hongera
Our future president of Tanzania 🇹🇿 may God protect you always 🙏 ❤️
Tundulisu hawezi kumshinda mama samia. Sababu zipo nyingine nihizo zakuhisi mambo ambayo hayapo .
Tatizo lako unagombea uongozi kwenye chama cha chadema. Ingekuwa CCM wakika ungeweza kushinda
Karibu
Mkutano huo ulikuwa una wahusu vijana vijana wote sikama chama chachadema tu
Rais mteule 2025 mweshimiwa Tundu lazima chini yako tuikomboe Tanzania kutoka kwa Manyang'ahu ya kijani yanayolithishana kwa vizazi kutafuna kodi zetu
Safari njema kwenye kapeni yko 12:31
Huyu mwamba namwelewa sana!
Kuipatia. Ccm kula lamda rais asimame. Waziri. Mkuu. Majaliwa
Safi sana lisu
Tanzania ipi hata ccm wampitishe mbuzi huyo mbuzi atakuwa rais tengenezeni njia kwanza na njia yenyewe ni katiba . Tanzania inaongozwa na katiba na katiba yetu ni mbovu sana
MUNGU AKULINDE AKUTIE NGUV KAMANDA WETU.TUNAKUTEGEMEA RAISI WETU 2025.TUKO NYUMA YAKO RAIS WETU KAMANDA USIOGOPE MANENO YA WAANDI YAKO KWENYE KANGA.
Nenda uko uwez kupat
Magu utaweza kumfananisha na huyu lissu.tundu huyu ni mziki mwingine huu magu kombora moja tu hayati.mwamba huyu makombora ya kufa mtu mwamba yupo huu mziki
chadema hili ndo gep la kupita na makonda huko washa mtia kitu mbaya
Tunataka kumchangia fomu yko Mh
Big brain thinker tundundulisu arive on ground ready fighting with the ccm under ground
Lowassa hakusema alivyo rudi
Usipoteze muda wako
Lisu wewe nae huwa tuna kuku bali lakin sasa tumesha choka na ahadi zakusema wakifanya mchezo mchafu watasababisha mabalaa mbona hautuyaonagi mabalaa yeyote kinacho tokea unachukua pipa unaenda kula zako mauno ubeligiji hua unapewa mpunga nini ?
Ametoka kuchukua maokoto Belgium, kwani lazima ufanye Siasa? Ila Karb tusikilize sera na sio matusi na kejeli
Kagombee. ubunge. Singida. uongeze. wabunge. bungeni. uras. bado. hawez. mshinda katu. rais. samia. plz. tundu. ludi. bungeni
Kwani Wewe nd,o unachaguana nd,o useme kuwa lisu hawezi kumshinda Samia endapo tukipata katiba mpya na kuwachana na ya Sasa mbovu yenye kumpa raisi kuwa kama kamungu na wakati ni mwanadamu na wanatangazwa kwa mabavu kuwa alishinda? Au kura yako Moja itamfanya ashinde kama ushaguzi itakuwa wa huru na haki Wewe?
Llsi njoo Bab
✌️✌️✌️
Umemaliza kila kitu mh rais ajae
Tuko nyuma yako
Hajajibu swali la kuhusu Mnyika kwann?
Kama unajua yote hayo... kwamba utaratibu ni ule ule na katiba dhahiri ni ile ile ya kuibeba CCM, sasa kweli unategemea matokeo tofauti? Kweli unamdanganya nani? Njaa tu imewazidi sasa...semeni ukweli. Mtapewa madiwani na wabunge wachache kwa fadhila ya CCM ili tu kuleta legitimacy ya ushindi wa CCM.
ww umefnya nini hichi ni ghama cha siasa lazma kiingie kwenye uchaguz lazma mapambano yaendelee
@@msabahaali758 Hujui hata unalosema...sina bahati ya akili nyingi kama ww!! I'm an apolitical intellectual. Akili yangu ya kawaida inasema ukiingia kwenye uchaguzi ambao unajua hauna haki ukishindwa usilalamike...ukilalamika unaitwa mpumbavu maana hata kabla ya uchaguzi ulijua huwezi kushinda
Kama huna uchungu na nchi yako, kaa kimya
@@melch3097 Kwako ww kushiriki uchaguzi ambao unajua hauna haki na huwezi kushinda bali unahalalisha ushindi wa CCM ndio kuwa na uchungu na nchi kweli??? Usinichekeshe....
CHADEMA MUNA JENGO??? HIKI CHAMA MNAKOELEKEA HATA WEW LISSU WATAANZA KUKUSUSA TAFFUTA CHAMA UENDE BILA. HIVO UNAPOTEZA. legitimacy
Hapo ulipo kichwani kama kopo tupu, kamwambie mama yako na baba yako maneno hayo
Sasa muungane na TLS taasisi,wanaharakati na wananchi wote mfungue kesi ya 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍️🏿
Karibu Sana Tz Kamanda Lisu Tulimisi Sana Uwepo Wako Tunashukuru Sana Tumesikia Kauli Yako Kuhusu MsiMbwa
Hakuna upinzani kwenye nchi hii
Hata baba yako na mama yako
Choko la ccm
Yupo nani au mamayako ndio yupo
Mamae hiv bila kumtaja JPm siasa zenu hazifanyiki? We usituchanganye hakuna kitakachotokea kama ww ni mjuzi mkabili mbowe kwenye uenyekiti mnapambana na nan?
lisu mpumbavu mkubwasana unamtukana samia nakumsifu magu uyu samia ndie alie kutoa ugaibun nakupata baaz yamafao yako leo unamuona samia niadui kwako 😢
Mshezi
Hata mama yako na baba yako wapumbavu
Kuma la mamako na ccm yako
Lissu ni mwamba❤
Mjinga sana ujielewi na Samia wako
Lisu we ni tunu ya taifa