TUNDU LISSU KUJIPANGA KUMKABILI RAIS SAMIA SULUHU ATIA NENO JUU YA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 87

  • @JosephIbrahimu
    @JosephIbrahimu 3 месяца назад +14

    Karibu sana viongozi mungu akurinde uwe rais wetu risu

  • @SoloMwakaje
    @SoloMwakaje 3 месяца назад +8

    Karibu risu mungu akulinde hakika wewe unafaa kuwa rais wa tanzania

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 3 месяца назад +11

    Lisu we ni tunu ya taifa

  • @marysichinsambwe7708
    @marysichinsambwe7708 3 месяца назад +11

    Karibu Baba Tanzania ❤❤❤❤

  • @justinelukumay5308
    @justinelukumay5308 3 месяца назад +7

    Tundu lissue ni Moyo wa Tz Ww mzee Mungu akupe nguvu nyingi sana uishi salama❤😂😂

  • @laizersayanga
    @laizersayanga 3 месяца назад +7

    mungu bariki kazi Yko

  • @IssaJohn-kk8pb
    @IssaJohn-kk8pb 3 месяца назад +6

    Mungu akutie nguvu baba kweli watanzania tunakupenda mwamini mungu ipo siku utafanikiwa

  • @SoloMwakaje
    @SoloMwakaje 3 месяца назад +5

    Nakuaminia tundu lazima uwe raisi wetu

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 3 месяца назад +4

    Lisu ni mtanganyika halisi karudi kwao siyo kwa hisani

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 2 месяца назад +4

    Pamoja sana shujaa wetu.

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 3 месяца назад +4

    Tuko pamoja sana raisi wetu

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 3 месяца назад +9

    Rais ajaye tunakuombea kwa Mungu Mh Tundu Lissu

  • @duwampota
    @duwampota 3 месяца назад +9

    Kalibu mteule wa mungu

  • @shimmysima1311
    @shimmysima1311 3 месяца назад +4

    Mr President

  • @ezromndangalasi8164
    @ezromndangalasi8164 3 месяца назад +4

    unajua huyu jamaa ana akili sana sema ccm mnamdharau tu hata magufuri hafiki kwa huyu jamaa

  • @AbdulOthman-gy7nu
    @AbdulOthman-gy7nu 2 месяца назад +2

    Nakubal sana rais lisu

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 3 месяца назад +4

    Home boy ❤❤❤

  • @ayubunato-lg7yy
    @ayubunato-lg7yy 3 месяца назад +7

    Lissu shikamooo

  • @deogratiusmaila676
    @deogratiusmaila676 3 месяца назад +7

    Welcome back home president to be Lisu

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 3 месяца назад +10

    Mwamba huyu hapa🎉🎉🎉🎉

  • @AgnesAndrew-n4p
    @AgnesAndrew-n4p 2 месяца назад

    Nawapenda sana sisisote niwatanzania . Mabadiliko huanza na mmoja kama usingizi wote hamuwez kuamkia pamoja. Asante saaaana people,s power

  • @ElishaJohn-ws5ix
    @ElishaJohn-ws5ix 2 месяца назад +1

    Love lissu
    Love chadema

  • @ElishaJohn-ws5ix
    @ElishaJohn-ws5ix 2 месяца назад +1

    Mabadiliko aya apa people power

  • @evancemoy5300
    @evancemoy5300 2 месяца назад +1

    Bwana akutunze akuepushe Tena uzidi kupambania haki

  • @RashadiAsadi
    @RashadiAsadi 2 месяца назад

    Karibu sana lisu tunakusubili

  • @matalo0551
    @matalo0551 3 месяца назад +4

    👏💪👍✌️✌️✌️✌️✌️✌️

  • @feruzmato4422
    @feruzmato4422 2 месяца назад +1

    Nakuunga mkono mheshimiwa

  • @EbenezerMagari
    @EbenezerMagari 2 месяца назад +1

    Ila hiki kichwa mh kimerudi tena

  • @ElizaCharles-qj4he
    @ElizaCharles-qj4he 2 месяца назад

    Lisu tunakuku bali baba kura zote zako malaika watakupigania uck na mchana.ni moto🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 2 месяца назад

    Our future president Tanzania 🇹🇿 may God protect you always 🙏 ❤️

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 2 месяца назад +1

    CHADEMA MNAFELI SANA HAKIKA KUNGEKUWA NA MGOMBEA URAIS KAMA MAKONDA,POLEPOLE,AU MPINA KIUKWELI SISI TUNGEWAANGUSHA LAKINI KWA WEWE TUNDU LISU HAUPATI KITU NA UNAPOMSEMA MAGUFULI VIBAYA NDO UNAPOFELI MAGUFULI ALIKUWA KIPENZI CHA WATU SIYO WEWE KIBARAKA WA WAZUNGU

    • @FikiriniMwaluko
      @FikiriniMwaluko 2 месяца назад

      Aliekwambia uwapigie kura ni nani😊

  • @MathayoMelubo-i9m
    @MathayoMelubo-i9m 2 месяца назад

    Hongera

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 2 месяца назад

    Our future president of Tanzania 🇹🇿 may God protect you always 🙏 ❤️

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 2 месяца назад

    Tundulisu hawezi kumshinda mama samia. Sababu zipo nyingine nihizo zakuhisi mambo ambayo hayapo .

  • @MathayoMelubo-i9m
    @MathayoMelubo-i9m 2 месяца назад

    Tatizo lako unagombea uongozi kwenye chama cha chadema. Ingekuwa CCM wakika ungeweza kushinda

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 3 месяца назад +1

    Karibu

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i 2 месяца назад

    Mkutano huo ulikuwa una wahusu vijana vijana wote sikama chama chachadema tu

  • @boneventuremweya3673
    @boneventuremweya3673 3 месяца назад +1

    Rais mteule 2025 mweshimiwa Tundu lazima chini yako tuikomboe Tanzania kutoka kwa Manyang'ahu ya kijani yanayolithishana kwa vizazi kutafuna kodi zetu

  • @ERICKBAHATI-y8s
    @ERICKBAHATI-y8s 2 месяца назад

    Safari njema kwenye kapeni yko 12:31

  • @jeremiahnzomuvula8419
    @jeremiahnzomuvula8419 2 месяца назад

    Huyu mwamba namwelewa sana!

  • @Ali.salimu
    @Ali.salimu 2 месяца назад

    Kuipatia. Ccm kula lamda rais asimame. Waziri. Mkuu. Majaliwa

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd 2 месяца назад

    Safi sana lisu

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 2 месяца назад

    Tanzania ipi hata ccm wampitishe mbuzi huyo mbuzi atakuwa rais tengenezeni njia kwanza na njia yenyewe ni katiba . Tanzania inaongozwa na katiba na katiba yetu ni mbovu sana

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 2 месяца назад

    MUNGU AKULINDE AKUTIE NGUV KAMANDA WETU.TUNAKUTEGEMEA RAISI WETU 2025.TUKO NYUMA YAKO RAIS WETU KAMANDA USIOGOPE MANENO YA WAANDI YAKO KWENYE KANGA.

  • @tumuombesalvatory6272
    @tumuombesalvatory6272 2 месяца назад

    Nenda uko uwez kupat

  • @patrickmarwa5024
    @patrickmarwa5024 3 месяца назад

    Magu utaweza kumfananisha na huyu lissu.tundu huyu ni mziki mwingine huu magu kombora moja tu hayati.mwamba huyu makombora ya kufa mtu mwamba yupo huu mziki

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 месяца назад

    chadema hili ndo gep la kupita na makonda huko washa mtia kitu mbaya

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 3 месяца назад

    Tunataka kumchangia fomu yko Mh

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 месяца назад +2

    Big brain thinker tundundulisu arive on ground ready fighting with the ccm under ground

  • @PartySekemi
    @PartySekemi 3 месяца назад

    Lowassa hakusema alivyo rudi

  • @MonicaKaskaz
    @MonicaKaskaz 2 месяца назад

    Usipoteze muda wako

  • @noahpaulo3845
    @noahpaulo3845 2 месяца назад

    Lisu wewe nae huwa tuna kuku bali lakin sasa tumesha choka na ahadi zakusema wakifanya mchezo mchafu watasababisha mabalaa mbona hautuyaonagi mabalaa yeyote kinacho tokea unachukua pipa unaenda kula zako mauno ubeligiji hua unapewa mpunga nini ?

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 месяца назад

    Ametoka kuchukua maokoto Belgium, kwani lazima ufanye Siasa? Ila Karb tusikilize sera na sio matusi na kejeli

  • @muddyausi8470
    @muddyausi8470 2 месяца назад +2

    Kagombee. ubunge. Singida. uongeze. wabunge. bungeni. uras. bado. hawez. mshinda katu. rais. samia. plz. tundu. ludi. bungeni

    • @PeterSaramba
      @PeterSaramba 2 месяца назад

      Kwani Wewe nd,o unachaguana nd,o useme kuwa lisu hawezi kumshinda Samia endapo tukipata katiba mpya na kuwachana na ya Sasa mbovu yenye kumpa raisi kuwa kama kamungu na wakati ni mwanadamu na wanatangazwa kwa mabavu kuwa alishinda? Au kura yako Moja itamfanya ashinde kama ushaguzi itakuwa wa huru na haki Wewe?

  • @DanielSolomon-du8yz
    @DanielSolomon-du8yz 3 месяца назад

    Llsi njoo Bab

  • @IsayaToto
    @IsayaToto 3 месяца назад

    ✌️✌️✌️

  • @wamburasamwel2101
    @wamburasamwel2101 3 месяца назад +2

    Umemaliza kila kitu mh rais ajae

  • @MaulidyMadyo
    @MaulidyMadyo Месяц назад

    Tuko nyuma yako

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 3 месяца назад

    Hajajibu swali la kuhusu Mnyika kwann?

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 3 месяца назад +1

    Kama unajua yote hayo... kwamba utaratibu ni ule ule na katiba dhahiri ni ile ile ya kuibeba CCM, sasa kweli unategemea matokeo tofauti? Kweli unamdanganya nani? Njaa tu imewazidi sasa...semeni ukweli. Mtapewa madiwani na wabunge wachache kwa fadhila ya CCM ili tu kuleta legitimacy ya ushindi wa CCM.

    • @msabahaali758
      @msabahaali758 3 месяца назад

      ww umefnya nini hichi ni ghama cha siasa lazma kiingie kwenye uchaguz lazma mapambano yaendelee

    • @kibbysaidi7813
      @kibbysaidi7813 3 месяца назад

      @@msabahaali758 Hujui hata unalosema...sina bahati ya akili nyingi kama ww!! I'm an apolitical intellectual. Akili yangu ya kawaida inasema ukiingia kwenye uchaguzi ambao unajua hauna haki ukishindwa usilalamike...ukilalamika unaitwa mpumbavu maana hata kabla ya uchaguzi ulijua huwezi kushinda

    • @melch3097
      @melch3097 3 месяца назад

      Kama huna uchungu na nchi yako, kaa kimya

    • @kibbysaidi7813
      @kibbysaidi7813 3 месяца назад

      @@melch3097 Kwako ww kushiriki uchaguzi ambao unajua hauna haki na huwezi kushinda bali unahalalisha ushindi wa CCM ndio kuwa na uchungu na nchi kweli??? Usinichekeshe....

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 3 месяца назад

    CHADEMA MUNA JENGO??? HIKI CHAMA MNAKOELEKEA HATA WEW LISSU WATAANZA KUKUSUSA TAFFUTA CHAMA UENDE BILA. HIVO UNAPOTEZA. legitimacy

    • @melch3097
      @melch3097 3 месяца назад

      Hapo ulipo kichwani kama kopo tupu, kamwambie mama yako na baba yako maneno hayo

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 3 месяца назад

    Sasa muungane na TLS taasisi,wanaharakati na wananchi wote mfungue kesi ya 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍️🏿

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 3 месяца назад

    Karibu Sana Tz Kamanda Lisu Tulimisi Sana Uwepo Wako Tunashukuru Sana Tumesikia Kauli Yako Kuhusu MsiMbwa

  • @magaigwa4204
    @magaigwa4204 3 месяца назад

    Hakuna upinzani kwenye nchi hii

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 2 месяца назад

    Mamae hiv bila kumtaja JPm siasa zenu hazifanyiki? We usituchanganye hakuna kitakachotokea kama ww ni mjuzi mkabili mbowe kwenye uenyekiti mnapambana na nan?

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp 3 месяца назад

    lisu mpumbavu mkubwasana unamtukana samia nakumsifu magu uyu samia ndie alie kutoa ugaibun nakupata baaz yamafao yako leo unamuona samia niadui kwako 😢

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 3 месяца назад

    Lisu we ni tunu ya taifa