LISSU AIBUKA MAPYA KUPIGWA RISASI “MAGUFULI ALIAMURU NIFE, MAKONDA AKAONGOZA KIKOSI CHA WAUAJI”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 98

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 29 дней назад +4

    Mzee shukuru Mungu wako bado uko hai, kila siku kulalamika na huku unajuwa uwezi pata msaada kwenye tukio hilo kupitia serikali ya ccm huo ni uchizi, Subiri siku chadema ikichukuwa dola hapo ndio utapata haki yako

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 29 дней назад

      Muache aongee makovu yake hayawezi futika kirahisi kama unavofikiri.

    • @pthegun4526
      @pthegun4526 29 дней назад

      Unaongea km kinyesi fulani ivi

  • @twalibulomy-cd4zd
    @twalibulomy-cd4zd 29 дней назад +8

    Chama cha wachaga na wanafki Tanzania CHAWATA.

  • @joshemman520
    @joshemman520 29 дней назад +2

    ww hupaswi kuwa sehemu ya nchi inayopambana na ubeberu wanaoiataka nchi hii wasiiharibu kama congo , somali , kwahyo sioni sababu wa watz wenye kuielewa siasa ya nchi bepari kuona umuhimu wako inchini.... kwa sababu hawa watu unawataja(marekani, ulaya) kwa kinywa chako kuwa ndio ngao yako ndio maana saivi hawakugusi...hii inchi hatutaki watu kama ww ..... kwa sababu hata unaowataja magu na paulo walitumiwa na MUNGU kuiponya nchi na haijarishi uovu wao.....

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 28 дней назад

    Lisu pole kaka,huyo kishakuwa kuni huko aliko ,Tuishi kwa upendo dunia tunapita ,huwezi ua watu kwa uongozi wa miaka 5 au 10, ukiona mtawala anasera za kuua jua safariyake niya milele

  • @Jeremiatitomawala
    @Jeremiatitomawala 29 дней назад +2

    Lisu nakukubali lakin kwa nn Mungu kakuepusha bado unatupa taarifa tuliosahau, mbaya unamutaja asiekuwepo,haitusaidii wala ww, au Huna cha kutuambia mambo mengine

    • @rajabukipara3008
      @rajabukipara3008 29 дней назад

      Af kila Cku Jambo hilohlo
      Dah linachoshaaaa😂

    • @lovenessvisent9408
      @lovenessvisent9408 29 дней назад

      Duu yeye yupo hai lazima adai haki yake wewe vip ndugu yangu tunahitaji katiba mpya Ili tuishi kwa amani isiwe Tena kuajiriwa serikalin ndio kwenda kukwapua utajiri usio wa haki

    • @RajabNgome-b3z
      @RajabNgome-b3z 29 дней назад

      ​@@lovenessvisent9408sasa kama ni kudai haki yake si akawadai anaohis wanae sisi atuambie mambo mengine ya kujijenga maisha yanaenda mbele

    • @rajabukipara3008
      @rajabukipara3008 29 дней назад +1

      @@lovenessvisent9408 Marekan ndo Mabingwa wa Katba Moya,
      Ila Trump Anakoswa na risas kila kukicha

    • @jeremiajohaziel4927
      @jeremiajohaziel4927 29 дней назад

      Hujielewi kabsaaaaa

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 29 дней назад +2

    Nikajua cm yngu mbovu sauti hakuna😂😂

  • @FESTONDUNGURU-t9j
    @FESTONDUNGURU-t9j 29 дней назад

    Duuuh sasa kama unawajua wauaji kwann usiwafunge

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 29 дней назад +1

    Legacy is very important. Ndiyo sababu tunasoma history. Ukifa unakufa lakini hata Mungu anasema matendo yako yajulikana kuliko ulivyokuwa hai. Watawala mambo yako hasemwi, ukisha toka tu ofisini mambo yako yanajulikana sembuse kufa?

  • @OstakiaCornely
    @OstakiaCornely 29 дней назад +1

    Maripo hapahapa muachie mungu anahukumu kwa haki

  • @aediaygo8546
    @aediaygo8546 29 дней назад +4

    Kila siku habari hiyo hiyo nilishambuliwa nilishambuliwa hovyo 😅😅 Mzee punguza wenge😂😂 magazeti uingereza watoto zenu siyo Raia wa TZ unaataka kutuingiza jau ukimbie😅😅

    • @samsonyemmanuel5160
      @samsonyemmanuel5160 29 дней назад +1

      We una habari nyingine umsaidie kumpatia... Maana uhai ndo kila kitu

    • @mosesjackson8260
      @mosesjackson8260 29 дней назад +1

      Anapambania haki yake,mpaka ushambuliwe ww au ndugu yako ndo utauona uchungu wa shambulio

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md 29 дней назад

      Watoto wake unawapeleka wapi unataka wajewateseka kama hawa waliyo futiwa bima yaafya 😢

    • @twalibulomy-cd4zd
      @twalibulomy-cd4zd 29 дней назад

      @@samsonyemmanuel5160 lisu Kichw kikubwa kam pumbu LA mbowe

    • @twalibulomy-cd4zd
      @twalibulomy-cd4zd 29 дней назад

      @@mosesjackson8260 kuma mbuzi huyu mdomo kam mkundu wa lema

  • @twalibulomy-cd4zd
    @twalibulomy-cd4zd 29 дней назад +3

    Ofisi hawana, democracy hawana. Mwenykit wa kudumu. Kikao kipo baa gani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @aidankakulu398
      @aidankakulu398 29 дней назад

      Mbwa koko wewe unaebweka umeegemea ukuta

    • @twalibulomy-cd4zd
      @twalibulomy-cd4zd 29 дней назад +2

      @@aidankakulu398 tundu lisu kavaa pampers kwanza? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Rachel02806
    @Rachel02806 29 дней назад +1

    Muache JPM apumzuke kw amani jaman as longer as ur fine was necessary t say

  • @johansenbashange2628
    @johansenbashange2628 29 дней назад +1

    Mnakata sauti mnaficha nini?

  • @ed.m.k.7429
    @ed.m.k.7429 29 дней назад +1

    Acheni uchawa wa kukata sauti ili tusisikie ukweli. Kama mmeamua kuwa waandishi basi aminikeni kwa uma sio kuficha maovu au na nyinyi mlishiriki huo uovu ndo maana mnaficha??

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 29 дней назад

    Mzee mzima fatani mkubwa Lissu mmesha kosa hoja sasa mmebakia ufatani mtupu waongo wakubwa muogopeni mungu wenu bac. Fitna mwili mzima. Bora urudi kwenu Ubeligiji. Tuondolee ufatani tunakujua na ufatani wako mtupu

  • @danielbachuta157
    @danielbachuta157 29 дней назад +2

    Mbwa za ccm zinavyocomenti sasa

  • @mascage1144
    @mascage1144 29 дней назад +7

    Tushakuchoka..na sera izo miaka 7 .laiti ungekuwa unaelezea nini utawafanyania watanzania ...unaboa lisu

    • @OmmyConscious
      @OmmyConscious 29 дней назад

      kwani ni muda wa kampeni huu hadi aanze kusema nini atawafanyia wananchi. Hivi ungekua wewe umefanyiwa unyama kama huo ungeropoka hicho unachosema au unaandika tu kisa una vidole 🚮

    • @tuzakavera534
      @tuzakavera534 29 дней назад

      Mchoke mama yako na baba yako msenge wewe

  • @DaudiMakaza
    @DaudiMakaza 29 дней назад +1

    Njoon sns ya bundala uku ndo tunakimblia

  • @Mmms1w1Yyy1h1y1
    @Mmms1w1Yyy1h1y1 29 дней назад

    Ukifungia kwenda marekani auwishi?acha kumtaja makufuli ungekufa ata kufu!kuna watu wanaingilia na mapanga wana uwawa,kuna watu wa navamia na majambazi wana pigwa risasi wanakufa makufuli ndiyo anawatumaga ,tunasubiri utiwe madole sasa wa marekani waje wakusaidiye, nyanguuzi

  • @fredernestonline6011
    @fredernestonline6011 29 дней назад +1

    Millard skuiz nae anazingua.

  • @edsonpetro3754
    @edsonpetro3754 29 дней назад

    sion faida yaio talifa yako kama unauzima mushukuru mungu

  • @lucasathanas9554
    @lucasathanas9554 29 дней назад

    oya CCM mbona mnakata sauti aaaaaaaaaaaaaaah, nyoboooll😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ezekielmwakyagi9330
    @ezekielmwakyagi9330 29 дней назад +2

    acha ubwege

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 29 дней назад +2

    Aangaliiieeeni nchi yenu na maisha ya nchi yenuu mushikamanee na mama yenu mpendwa muheshimiwaa mama samiyaa… yalooo pitaaa muyaziiikeeniii funguweeenni chapter mpya .mushikamaneni na mupendaneeeeni …muweee kituu kimooja…duniyaaaa mapitoo..

  • @BlackPanther-xx8dn
    @BlackPanther-xx8dn 29 дней назад

    Tundulisu haya unayo yasema Una ushahidi..? na kama ushahidi unao ulikuwa wap miaka yote..?

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 29 дней назад

    Nae ndiomana kafa mapema

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 29 дней назад +3

    Tundu lissu na chama chenu ukweli hamna jipya CCM ilisha fanya makubwa. ili tuwaelewe onyesheni demokrasia ya kweli ndani ya chama chenu.

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 29 дней назад +1

      Yamebaki kupayuka na kjchumia tumboni sasa hivi limenenepa utafikiri lina miezi 9

    • @thamani5842
      @thamani5842 29 дней назад +2

      Uongo mtupu.
      Mmeona mshaanikwa mnatekana wenyewe kwa wenyewe na mnauwana ndo unataka kubabaisha watu.
      Watanzania washashtuka mnatengeneza matukio wenyewe halafu mnaitupia serikali.
      Mlimuandama baba wa watu , mara dikteta... mara watu wanaokotwa kwenye viroba, uongo mtupu. Alipokwisha kufa sasa mnasakama mama wa watu. Hamna la kuwadanganya watanzania, hamna cha wazungu wala ushuzi wa wazungu

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 29 дней назад

    Paul makonda mikono Yako Ina damu, tubu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 29 дней назад

    Mungu alikuwa na sababu ya kumweka hai ili aje ufahamu wabaya wake. Labda ni mteja wa TIGO kikulacho kinguoni mwako.

  • @DanielGaspel
    @DanielGaspel 29 дней назад

    Hakuna damu inayo mwagika bule ipo siku familia zao zitaishi kwa shida sana

  • @raphaelonyango5690
    @raphaelonyango5690 29 дней назад +2

    Kwann mnakata sauti?
    Ndio maana siwakubali sikuhizi, mnafinya sana taarifa kusikika

  • @omariidabu4057
    @omariidabu4057 29 дней назад

    Leo nimevunja laini ya tigo

  • @gervas_sichalwe
    @gervas_sichalwe 29 дней назад +2

    Hakuna sauti why

  • @SamuelMkopo
    @SamuelMkopo 29 дней назад

    Wasenge sana ccm

  • @egbertlambert
    @egbertlambert 29 дней назад

    Watu wa media jitaidini kuwa na ubora.

  • @Jeremiatitomawala
    @Jeremiatitomawala 29 дней назад

    Lisu tunakupenda ongea v2 vingine

  • @aidankakulu398
    @aidankakulu398 29 дней назад

    Tatizo la kufinyafinya vitu hadi mnaumbuka millard naye

  • @issamatola2031
    @issamatola2031 29 дней назад +1

    Mmmh, wa pili nipe like zng jmn

  • @georgepeter2055
    @georgepeter2055 29 дней назад

    Mirad ayo waogo kuliport habari za upinzani ….

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 29 дней назад +3

    Wazugu siku zote wanataka tuvunje amani yetu sasa wazungu ndio watoe taarifa za kushambuliwa kwako kivipi kwamba wao ni waaminifu saana kwetu?

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 29 дней назад +1

      Jinga hilo lichumia tumbo yamebaki kupayuka tu

    • @NasoroOmary-tx5uo
      @NasoroOmary-tx5uo 29 дней назад

      Huna akili wew

    • @OmariChanja
      @OmariChanja 29 дней назад

      ​@@florencemeza6540broo nyie ndo wajinga wenyewe kwani anachosema hapo ni uongo? Kwamba hajashambiliwa? Na toka ashambuliwe ulisikia kuna hata sisimizi ilikamatwa? Na je, unajua kwanini mpk sasa serikali usifanyike Uchunguzi wa kimataifa? Acha upumbavu, unasema hayo kwa kuwa hayajakukuta

    • @barbiepixie92
      @barbiepixie92 29 дней назад +3

      @@OmariChanja hao wachunguzi wakimataifa unawaamini? Its not even a secret wazungu hawana nia njema na sisi kutwa kujipendekeza tu sijui Africa tutaona lini

    • @RajabNgome-b3z
      @RajabNgome-b3z 29 дней назад

      ​@@barbiepixie92hongera sanaa kwa kuelewa

  • @JoakimMarko
    @JoakimMarko 29 дней назад +2

    Ukitaka wabongo wa andamane ongea utumbo kuhusu magu. Mzee utahamia Zimbabwe so mida

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 29 дней назад +2

    Hamna la maana mbwa ninyi kila siku magufuli mkomeni yaone mashenzi haya vibaraka wachumia tumbo

    • @OmariChanja
      @OmariChanja 29 дней назад

      We kweli kilaza mbwa mwenyewe ni wewe pumbavu jinga wewe, kwani analosema Mh Lisu ni uongo ?
      Pumbavu

    • @tuzakavera534
      @tuzakavera534 29 дней назад

      Nyoko zako mpumbavu wewe

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 29 дней назад

    Sauti au cm yangu??

  • @PauloLukumey
    @PauloLukumey 29 дней назад

    Semaukwli baba

  • @DaudiMakaza
    @DaudiMakaza 29 дней назад

    Afu lisu n km makali ya kuponda ccm yamepungua tokea mama mtaje na aampe simba jina lk ht maandamano akuonekan kuw mkar

  • @kareemShimudra
    @kareemShimudra 29 дней назад

    Kimeumana uku

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 29 дней назад +2

    Lisu tulikuonea sana HURUMA na TULISKITISHWA SANA na kile Kitendo lakini sasa umezidi tena hakuna ila hadithi ya kupigwa risasi, sasa hiyo ndio sera ya Chadema?? Unajua Ngoma ikivuma sana INAPASUKA?

  • @KesuYeile
    @KesuYeile 29 дней назад +1

    Wewe unataka awe na taarifa Gani mjinga mkubwa wewe mh lisu ukweli itajulikana TU mungu sio ccm

  • @YusufKithi
    @YusufKithi 29 дней назад

    Ndo mana mungu alimjibu akaichukua roho yake Mzee hakutaka kupigwa nkweli aliipenda inchi lkn kwa kuwaumiza wapinzani hapo ndo alipakosea,upinzani nilazima sikila mtu atakubaliana na sera ulizonazo ss binadam tumeumbwa hivo alikataliwa nabii Isa itakua ss,Mungu amrahamu mzee wetu na hizi story za kumzungumzia naomba tuzieke pemben mkamilifu n mwenyez Mungu

    • @aediaygo8546
      @aediaygo8546 29 дней назад

      @@YusufKithi acha uji Yusuf Jina Zuri unamiini ujinga Kuku jike we

    • @ericfelician7996
      @ericfelician7996 29 дней назад

      Mungu kweli alijibu

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u 29 дней назад

    Kiongoz lissu polen sana tunakuombea sana ingawa maccm ni wakorofi sana.

  • @leonardlomayanigideon2060
    @leonardlomayanigideon2060 29 дней назад

    Mbona Haina sauti?

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 29 дней назад

    BADO haujakoma eeh?

  • @DaudiMakaza
    @DaudiMakaza 29 дней назад

    Milad umeishiw vedio Haina saut

  • @warlexnyamba2601
    @warlexnyamba2601 29 дней назад

    Millard na-unsubscribe fala wewe

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania 29 дней назад

    Hii chanel ya machawa kama machawa