Mzee shukuru Mungu wako bado uko hai, kila siku kulalamika na huku unajuwa uwezi pata msaada kwenye tukio hilo kupitia serikali ya ccm huo ni uchizi, Subiri siku chadema ikichukuwa dola hapo ndio utapata haki yako
ww hupaswi kuwa sehemu ya nchi inayopambana na ubeberu wanaoiataka nchi hii wasiiharibu kama congo , somali , kwahyo sioni sababu wa watz wenye kuielewa siasa ya nchi bepari kuona umuhimu wako inchini.... kwa sababu hawa watu unawataja(marekani, ulaya) kwa kinywa chako kuwa ndio ngao yako ndio maana saivi hawakugusi...hii inchi hatutaki watu kama ww ..... kwa sababu hata unaowataja magu na paulo walitumiwa na MUNGU kuiponya nchi na haijarishi uovu wao.....
Lisu pole kaka,huyo kishakuwa kuni huko aliko ,Tuishi kwa upendo dunia tunapita ,huwezi ua watu kwa uongozi wa miaka 5 au 10, ukiona mtawala anasera za kuua jua safariyake niya milele
Lisu nakukubali lakin kwa nn Mungu kakuepusha bado unatupa taarifa tuliosahau, mbaya unamutaja asiekuwepo,haitusaidii wala ww, au Huna cha kutuambia mambo mengine
Duu yeye yupo hai lazima adai haki yake wewe vip ndugu yangu tunahitaji katiba mpya Ili tuishi kwa amani isiwe Tena kuajiriwa serikalin ndio kwenda kukwapua utajiri usio wa haki
Legacy is very important. Ndiyo sababu tunasoma history. Ukifa unakufa lakini hata Mungu anasema matendo yako yajulikana kuliko ulivyokuwa hai. Watawala mambo yako hasemwi, ukisha toka tu ofisini mambo yako yanajulikana sembuse kufa?
Kila siku habari hiyo hiyo nilishambuliwa nilishambuliwa hovyo 😅😅 Mzee punguza wenge😂😂 magazeti uingereza watoto zenu siyo Raia wa TZ unaataka kutuingiza jau ukimbie😅😅
Acheni uchawa wa kukata sauti ili tusisikie ukweli. Kama mmeamua kuwa waandishi basi aminikeni kwa uma sio kuficha maovu au na nyinyi mlishiriki huo uovu ndo maana mnaficha??
kwani ni muda wa kampeni huu hadi aanze kusema nini atawafanyia wananchi. Hivi ungekua wewe umefanyiwa unyama kama huo ungeropoka hicho unachosema au unaandika tu kisa una vidole 🚮
Ukifungia kwenda marekani auwishi?acha kumtaja makufuli ungekufa ata kufu!kuna watu wanaingilia na mapanga wana uwawa,kuna watu wa navamia na majambazi wana pigwa risasi wanakufa makufuli ndiyo anawatumaga ,tunasubiri utiwe madole sasa wa marekani waje wakusaidiye, nyanguuzi
Aangaliiieeeni nchi yenu na maisha ya nchi yenuu mushikamanee na mama yenu mpendwa muheshimiwaa mama samiyaa… yalooo pitaaa muyaziiikeeniii funguweeenni chapter mpya .mushikamaneni na mupendaneeeeni …muweee kituu kimooja…duniyaaaa mapitoo..
Uongo mtupu. Mmeona mshaanikwa mnatekana wenyewe kwa wenyewe na mnauwana ndo unataka kubabaisha watu. Watanzania washashtuka mnatengeneza matukio wenyewe halafu mnaitupia serikali. Mlimuandama baba wa watu , mara dikteta... mara watu wanaokotwa kwenye viroba, uongo mtupu. Alipokwisha kufa sasa mnasakama mama wa watu. Hamna la kuwadanganya watanzania, hamna cha wazungu wala ushuzi wa wazungu
@@florencemeza6540broo nyie ndo wajinga wenyewe kwani anachosema hapo ni uongo? Kwamba hajashambiliwa? Na toka ashambuliwe ulisikia kuna hata sisimizi ilikamatwa? Na je, unajua kwanini mpk sasa serikali usifanyike Uchunguzi wa kimataifa? Acha upumbavu, unasema hayo kwa kuwa hayajakukuta
@@OmariChanja hao wachunguzi wakimataifa unawaamini? Its not even a secret wazungu hawana nia njema na sisi kutwa kujipendekeza tu sijui Africa tutaona lini
Lisu tulikuonea sana HURUMA na TULISKITISHWA SANA na kile Kitendo lakini sasa umezidi tena hakuna ila hadithi ya kupigwa risasi, sasa hiyo ndio sera ya Chadema?? Unajua Ngoma ikivuma sana INAPASUKA?
Ndo mana mungu alimjibu akaichukua roho yake Mzee hakutaka kupigwa nkweli aliipenda inchi lkn kwa kuwaumiza wapinzani hapo ndo alipakosea,upinzani nilazima sikila mtu atakubaliana na sera ulizonazo ss binadam tumeumbwa hivo alikataliwa nabii Isa itakua ss,Mungu amrahamu mzee wetu na hizi story za kumzungumzia naomba tuzieke pemben mkamilifu n mwenyez Mungu
Mzee shukuru Mungu wako bado uko hai, kila siku kulalamika na huku unajuwa uwezi pata msaada kwenye tukio hilo kupitia serikali ya ccm huo ni uchizi, Subiri siku chadema ikichukuwa dola hapo ndio utapata haki yako
Muache aongee makovu yake hayawezi futika kirahisi kama unavofikiri.
Unaongea km kinyesi fulani ivi
Chama cha wachaga na wanafki Tanzania CHAWATA.
ww hupaswi kuwa sehemu ya nchi inayopambana na ubeberu wanaoiataka nchi hii wasiiharibu kama congo , somali , kwahyo sioni sababu wa watz wenye kuielewa siasa ya nchi bepari kuona umuhimu wako inchini.... kwa sababu hawa watu unawataja(marekani, ulaya) kwa kinywa chako kuwa ndio ngao yako ndio maana saivi hawakugusi...hii inchi hatutaki watu kama ww ..... kwa sababu hata unaowataja magu na paulo walitumiwa na MUNGU kuiponya nchi na haijarishi uovu wao.....
Lisu pole kaka,huyo kishakuwa kuni huko aliko ,Tuishi kwa upendo dunia tunapita ,huwezi ua watu kwa uongozi wa miaka 5 au 10, ukiona mtawala anasera za kuua jua safariyake niya milele
Lisu nakukubali lakin kwa nn Mungu kakuepusha bado unatupa taarifa tuliosahau, mbaya unamutaja asiekuwepo,haitusaidii wala ww, au Huna cha kutuambia mambo mengine
Af kila Cku Jambo hilohlo
Dah linachoshaaaa😂
Duu yeye yupo hai lazima adai haki yake wewe vip ndugu yangu tunahitaji katiba mpya Ili tuishi kwa amani isiwe Tena kuajiriwa serikalin ndio kwenda kukwapua utajiri usio wa haki
@@lovenessvisent9408sasa kama ni kudai haki yake si akawadai anaohis wanae sisi atuambie mambo mengine ya kujijenga maisha yanaenda mbele
@@lovenessvisent9408 Marekan ndo Mabingwa wa Katba Moya,
Ila Trump Anakoswa na risas kila kukicha
Hujielewi kabsaaaaa
Nikajua cm yngu mbovu sauti hakuna😂😂
Duuuh sasa kama unawajua wauaji kwann usiwafunge
Legacy is very important. Ndiyo sababu tunasoma history. Ukifa unakufa lakini hata Mungu anasema matendo yako yajulikana kuliko ulivyokuwa hai. Watawala mambo yako hasemwi, ukisha toka tu ofisini mambo yako yanajulikana sembuse kufa?
Maripo hapahapa muachie mungu anahukumu kwa haki
Kila siku habari hiyo hiyo nilishambuliwa nilishambuliwa hovyo 😅😅 Mzee punguza wenge😂😂 magazeti uingereza watoto zenu siyo Raia wa TZ unaataka kutuingiza jau ukimbie😅😅
We una habari nyingine umsaidie kumpatia... Maana uhai ndo kila kitu
Anapambania haki yake,mpaka ushambuliwe ww au ndugu yako ndo utauona uchungu wa shambulio
Watoto wake unawapeleka wapi unataka wajewateseka kama hawa waliyo futiwa bima yaafya 😢
@@samsonyemmanuel5160 lisu Kichw kikubwa kam pumbu LA mbowe
@@mosesjackson8260 kuma mbuzi huyu mdomo kam mkundu wa lema
Ofisi hawana, democracy hawana. Mwenykit wa kudumu. Kikao kipo baa gani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mbwa koko wewe unaebweka umeegemea ukuta
@@aidankakulu398 tundu lisu kavaa pampers kwanza? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Muache JPM apumzuke kw amani jaman as longer as ur fine was necessary t say
Mnakata sauti mnaficha nini?
Acheni uchawa wa kukata sauti ili tusisikie ukweli. Kama mmeamua kuwa waandishi basi aminikeni kwa uma sio kuficha maovu au na nyinyi mlishiriki huo uovu ndo maana mnaficha??
Mzee mzima fatani mkubwa Lissu mmesha kosa hoja sasa mmebakia ufatani mtupu waongo wakubwa muogopeni mungu wenu bac. Fitna mwili mzima. Bora urudi kwenu Ubeligiji. Tuondolee ufatani tunakujua na ufatani wako mtupu
Mbwa za ccm zinavyocomenti sasa
Tushakuchoka..na sera izo miaka 7 .laiti ungekuwa unaelezea nini utawafanyania watanzania ...unaboa lisu
kwani ni muda wa kampeni huu hadi aanze kusema nini atawafanyia wananchi. Hivi ungekua wewe umefanyiwa unyama kama huo ungeropoka hicho unachosema au unaandika tu kisa una vidole 🚮
Mchoke mama yako na baba yako msenge wewe
Njoon sns ya bundala uku ndo tunakimblia
Ukifungia kwenda marekani auwishi?acha kumtaja makufuli ungekufa ata kufu!kuna watu wanaingilia na mapanga wana uwawa,kuna watu wa navamia na majambazi wana pigwa risasi wanakufa makufuli ndiyo anawatumaga ,tunasubiri utiwe madole sasa wa marekani waje wakusaidiye, nyanguuzi
Millard skuiz nae anazingua.
sion faida yaio talifa yako kama unauzima mushukuru mungu
oya CCM mbona mnakata sauti aaaaaaaaaaaaaaah, nyoboooll😂😂😂😂😂😂😂😂
acha ubwege
Aangaliiieeeni nchi yenu na maisha ya nchi yenuu mushikamanee na mama yenu mpendwa muheshimiwaa mama samiyaa… yalooo pitaaa muyaziiikeeniii funguweeenni chapter mpya .mushikamaneni na mupendaneeeeni …muweee kituu kimooja…duniyaaaa mapitoo..
Tundulisu haya unayo yasema Una ushahidi..? na kama ushahidi unao ulikuwa wap miaka yote..?
Nae ndiomana kafa mapema
Tundu lissu na chama chenu ukweli hamna jipya CCM ilisha fanya makubwa. ili tuwaelewe onyesheni demokrasia ya kweli ndani ya chama chenu.
Yamebaki kupayuka na kjchumia tumboni sasa hivi limenenepa utafikiri lina miezi 9
Uongo mtupu.
Mmeona mshaanikwa mnatekana wenyewe kwa wenyewe na mnauwana ndo unataka kubabaisha watu.
Watanzania washashtuka mnatengeneza matukio wenyewe halafu mnaitupia serikali.
Mlimuandama baba wa watu , mara dikteta... mara watu wanaokotwa kwenye viroba, uongo mtupu. Alipokwisha kufa sasa mnasakama mama wa watu. Hamna la kuwadanganya watanzania, hamna cha wazungu wala ushuzi wa wazungu
Paul makonda mikono Yako Ina damu, tubu
Mungu alikuwa na sababu ya kumweka hai ili aje ufahamu wabaya wake. Labda ni mteja wa TIGO kikulacho kinguoni mwako.
Hakuna damu inayo mwagika bule ipo siku familia zao zitaishi kwa shida sana
Kwann mnakata sauti?
Ndio maana siwakubali sikuhizi, mnafinya sana taarifa kusikika
Leo nimevunja laini ya tigo
Hakuna sauti why
Wasenge sana ccm
Watu wa media jitaidini kuwa na ubora.
Lisu tunakupenda ongea v2 vingine
Tatizo la kufinyafinya vitu hadi mnaumbuka millard naye
Mmmh, wa pili nipe like zng jmn
Mataahira Ymekutana.
Mirad ayo waogo kuliport habari za upinzani ….
Wazugu siku zote wanataka tuvunje amani yetu sasa wazungu ndio watoe taarifa za kushambuliwa kwako kivipi kwamba wao ni waaminifu saana kwetu?
Jinga hilo lichumia tumbo yamebaki kupayuka tu
Huna akili wew
@@florencemeza6540broo nyie ndo wajinga wenyewe kwani anachosema hapo ni uongo? Kwamba hajashambiliwa? Na toka ashambuliwe ulisikia kuna hata sisimizi ilikamatwa? Na je, unajua kwanini mpk sasa serikali usifanyike Uchunguzi wa kimataifa? Acha upumbavu, unasema hayo kwa kuwa hayajakukuta
@@OmariChanja hao wachunguzi wakimataifa unawaamini? Its not even a secret wazungu hawana nia njema na sisi kutwa kujipendekeza tu sijui Africa tutaona lini
@@barbiepixie92hongera sanaa kwa kuelewa
Ukitaka wabongo wa andamane ongea utumbo kuhusu magu. Mzee utahamia Zimbabwe so mida
We choko kumbe
Huna akili
Akili kiatu
Hamna la maana mbwa ninyi kila siku magufuli mkomeni yaone mashenzi haya vibaraka wachumia tumbo
We kweli kilaza mbwa mwenyewe ni wewe pumbavu jinga wewe, kwani analosema Mh Lisu ni uongo ?
Pumbavu
Nyoko zako mpumbavu wewe
Sauti au cm yangu??
Semaukwli baba
Afu lisu n km makali ya kuponda ccm yamepungua tokea mama mtaje na aampe simba jina lk ht maandamano akuonekan kuw mkar
Kimeumana uku
Lisu tulikuonea sana HURUMA na TULISKITISHWA SANA na kile Kitendo lakini sasa umezidi tena hakuna ila hadithi ya kupigwa risasi, sasa hiyo ndio sera ya Chadema?? Unajua Ngoma ikivuma sana INAPASUKA?
Hana akili timam huyo
Wewe unataka awe na taarifa Gani mjinga mkubwa wewe mh lisu ukweli itajulikana TU mungu sio ccm
Ndo mana mungu alimjibu akaichukua roho yake Mzee hakutaka kupigwa nkweli aliipenda inchi lkn kwa kuwaumiza wapinzani hapo ndo alipakosea,upinzani nilazima sikila mtu atakubaliana na sera ulizonazo ss binadam tumeumbwa hivo alikataliwa nabii Isa itakua ss,Mungu amrahamu mzee wetu na hizi story za kumzungumzia naomba tuzieke pemben mkamilifu n mwenyez Mungu
@@YusufKithi acha uji Yusuf Jina Zuri unamiini ujinga Kuku jike we
Mungu kweli alijibu
Kiongoz lissu polen sana tunakuombea sana ingawa maccm ni wakorofi sana.
Mbona Haina sauti?
BADO haujakoma eeh?
Milad umeishiw vedio Haina saut
Millard na-unsubscribe fala wewe
Hii chanel ya machawa kama machawa