FAIDA 10 ZA MAJANI YA MGOMBA KWA KUKU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Tiba asili za kuku zinasaidia sana katika kuimarisha afya ya kuku. Faida za vitunguu saumu, tangawizi, pilipili, na a lovera ni kiongozi mwa mimea inayotumika kama tiba za asili kwa kuku kwa kitibu Magonjwa mbalimbali ya kuku.
    #tibaasili #kuku #kilimo #magonjwa #chakulachakuku
    👉Jifunze zaidi matumizi ya tiba hizo apo juu kwa kifuatilia masomo yetu kupitia link apa chini
    • Tiba asili/Kienyeji za...

Комментарии • 67

  • @shelternimzihirwa3583
    @shelternimzihirwa3583 2 года назад +4

    Ubarikiwe

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Amina bt nawe pia

  • @mosesjairo3248
    @mosesjairo3248 Год назад +3

    Kazi nzur Bro umeeleweka ipasavyo

  • @JOSEPHINAJOSEPHATH-f2o
    @JOSEPHINAJOSEPHATH-f2o Месяц назад +2

    Mimi niwapongeze sana
    Hakika masomo yenu yana tija

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Barikiwa pia kutufuatilia

  • @RoyalvillageSaunakatavi
    @RoyalvillageSaunakatavi 2 месяца назад +1

    Great we appriciate

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 месяца назад

      Thank you for that

  • @asiakinyaga4694
    @asiakinyaga4694 2 года назад +1

    Asante kwa somo zur

  • @khaldn7409
    @khaldn7409 2 года назад +1

    Thank you for sharing

  • @restutastephano8748
    @restutastephano8748 5 месяцев назад +1

    Asante

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 месяцев назад

      Barikiwa sana

  • @bensonndhere6207
    @bensonndhere6207 Год назад +2

    good

  • @AishaMaulid-i7t
    @AishaMaulid-i7t 2 дня назад +1

    Unaweza kuwapa vifaranga

  • @monicampokwa441
    @monicampokwa441 2 года назад +1

    Ok sante sana

  • @joycebruno312
    @joycebruno312 2 года назад +1

    Thanks very much napenda sana kupunga kuku napenda sana sana nyama ya kuku aki so sweet asante mwalimu wetu much love from mombasa Kenya

  • @mabuagachu1878
    @mabuagachu1878 2 года назад

    Asante sana

  • @jullysylvester88
    @jullysylvester88 2 года назад +1

    Sawa niona

  • @georgetumbo9818
    @georgetumbo9818 5 месяцев назад +1

    Nimependa somo hili mara moja nitaanza zoezi la ufugaji kuku wa kienyeji.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 месяцев назад

      Karibu Sana ndugu

  • @paschalmagubo6337
    @paschalmagubo6337 2 года назад +2

    Asante sana kwa somo zuri
    Vp kuhusu majani ya mwarobaini?

  • @elibarikishukya-lf3sk
    @elibarikishukya-lf3sk 3 месяца назад +1

    Very goood

  • @user-qg4qn4bz1e
    @user-qg4qn4bz1e 3 месяца назад +1

    Naitwa John kuku wangu wanashambuliwa sana ugonjwa wa macho na ndui, nifanyeje kuondokana na tatizo hili?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 месяца назад

      Ni chanjo ya ndui uwape kabla hawajaugua yaani zingatia ratiba sahahii

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Месяц назад +1

    Ukitwanga ukampa kwenye maji hapo vipi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Ni njia nzuri pia

  • @hudhudisonline2040
    @hudhudisonline2040 2 года назад +3

    Jambo kaka. Niliwapa kuku wangu majani haya na hawajui .naweza blendi na kuwapa kwa maji?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад +1

      Yes KWENYE Maji kdogo

  • @bennyalberty5305
    @bennyalberty5305 2 года назад +1

    Naomba mnisaidie namba zenu za simu kwaajili ya mawasiliano

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Only wasap +255765467484

  • @user-jb7is7ry3l
    @user-jb7is7ry3l Год назад +1

    Ha mafunzo Yana umuhimu mkubwa Sana mna vitabu mlivyoandaa tununue tupate kunufaika zaidi?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Vitabu inaendelea kuandaliwa ndugu 🙏🏿

  • @ShaameIshaka-pf8lx
    @ShaameIshaka-pf8lx Год назад +1

    Nifundishe jinsi ya kufuga saso naukuwaji wake kuanzia kifaranga cha siku moja mpaka kuuzws

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Masomo yote yapo kwenye Chanel hii ni wewe kutafuta tu kwa kuandika. Mfano uleaji wa vifaranga, vyakula vya kuku, magonjwa ya kuku, tiba za asili za kuku kwa kila kimoja utamalizia na neno by agalus TV.
      KWA LEO Anza na video za vifaranga
      ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0ENNDvJHA3l1dLb6SOmAv3b

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Ukiwa na swali zaidi utakua unauliza ukiona bado unahitaji msaada zaidi wa mawasiliano basi tutapeana mawasiliano

  • @lestherusitukanesanasomaam1339
    @lestherusitukanesanasomaam1339 Год назад +1

    Unapatikana wapi Mbeya

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Karibu tukuyu. Ndugu japo hii ni team kubwa @Agalus tv

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Karibu tukuyu. Ndugu japo hii ni team kubwa @Agalus tv

    • @lestherusitukanesanasomaam1339
      @lestherusitukanesanasomaam1339 Год назад +1

      @@AGALUSTV NIKO Mbeya mjini Kadege nyuma ya BEACO

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Sawa ndugu tutazidi wasiliana

  • @festinakibutu6941
    @festinakibutu6941 5 месяцев назад +1

    Je nikitwanga /brendi wanywe kwenye maji je

  • @ashrathswaibu3990
    @ashrathswaibu3990 Год назад +1

    Nina kuku wana miezi 7 lakini hawakatetea,tatozo ni nn?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Wa Aina gani? Na unawapa chakula kwa sahihi?

  • @HassanMkwende-xm8jl
    @HassanMkwende-xm8jl Год назад +1

    Mimi nataka kujiunga na changamkia fursa nitumie mamba gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Hii haiusiani na iyo ndugu

  • @nanubob1969
    @nanubob1969 7 месяцев назад +1

    Naweza kuwapa majani haya kila siku?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 месяцев назад

      Sawa tu ila usisahau chakula

    • @nanubob1969
      @nanubob1969 7 месяцев назад

      @@AGALUSTV asante kunijali na kunijibu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 года назад +1

    Asante