FAIDA 10 ZA MAJANI YA MGOMBA KWA KUKU
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Tiba asili za kuku zinasaidia sana katika kuimarisha afya ya kuku. Faida za vitunguu saumu, tangawizi, pilipili, na a lovera ni kiongozi mwa mimea inayotumika kama tiba za asili kwa kuku kwa kitibu Magonjwa mbalimbali ya kuku.
#tibaasili #kuku #kilimo #magonjwa #chakulachakuku
👉Jifunze zaidi matumizi ya tiba hizo apo juu kwa kifuatilia masomo yetu kupitia link apa chini
• Tiba asili/Kienyeji za...
Ubarikiwe
Amina bt nawe pia
Kazi nzur Bro umeeleweka ipasavyo
Tupo pamoja ndugu
Mimi niwapongeze sana
Hakika masomo yenu yana tija
Barikiwa pia kutufuatilia
Great we appriciate
Thank you for that
Asante kwa somo zur
Barikiwa pia
Thank you for sharing
Welcome
Asante
Barikiwa sana
good
Welcome 🙏🏿
Unaweza kuwapa vifaranga
Sawa TU
Ok sante sana
Barikiwa
Thanks very much napenda sana kupunga kuku napenda sana sana nyama ya kuku aki so sweet asante mwalimu wetu much love from mombasa Kenya
Thnx too
Asante sana
🤝
Sawa niona
Pamoja ndugu
Nimependa somo hili mara moja nitaanza zoezi la ufugaji kuku wa kienyeji.
Karibu Sana ndugu
Asante sana kwa somo zuri
Vp kuhusu majani ya mwarobaini?
Sawa ngoja tutaleta somo lake🤝✍️
@@AGALUSTV sawa
🤝✍️
Boss naomba namba yako
Wasap +255765467484
Very goood
Be blessed
Naitwa John kuku wangu wanashambuliwa sana ugonjwa wa macho na ndui, nifanyeje kuondokana na tatizo hili?
Ni chanjo ya ndui uwape kabla hawajaugua yaani zingatia ratiba sahahii
Ukitwanga ukampa kwenye maji hapo vipi
Ni njia nzuri pia
Jambo kaka. Niliwapa kuku wangu majani haya na hawajui .naweza blendi na kuwapa kwa maji?
Yes KWENYE Maji kdogo
Naomba mnisaidie namba zenu za simu kwaajili ya mawasiliano
Only wasap +255765467484
Ha mafunzo Yana umuhimu mkubwa Sana mna vitabu mlivyoandaa tununue tupate kunufaika zaidi?
Vitabu inaendelea kuandaliwa ndugu 🙏🏿
Nifundishe jinsi ya kufuga saso naukuwaji wake kuanzia kifaranga cha siku moja mpaka kuuzws
Masomo yote yapo kwenye Chanel hii ni wewe kutafuta tu kwa kuandika. Mfano uleaji wa vifaranga, vyakula vya kuku, magonjwa ya kuku, tiba za asili za kuku kwa kila kimoja utamalizia na neno by agalus TV.
KWA LEO Anza na video za vifaranga
ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0ENNDvJHA3l1dLb6SOmAv3b
Ukiwa na swali zaidi utakua unauliza ukiona bado unahitaji msaada zaidi wa mawasiliano basi tutapeana mawasiliano
Unapatikana wapi Mbeya
Karibu tukuyu. Ndugu japo hii ni team kubwa @Agalus tv
Karibu tukuyu. Ndugu japo hii ni team kubwa @Agalus tv
@@AGALUSTV NIKO Mbeya mjini Kadege nyuma ya BEACO
Sawa ndugu tutazidi wasiliana
Je nikitwanga /brendi wanywe kwenye maji je
Sawa tu
Kusaga ni nzur zaidi.
Hakika ndugu
Nina kuku wana miezi 7 lakini hawakatetea,tatozo ni nn?
Wa Aina gani? Na unawapa chakula kwa sahihi?
Mimi nataka kujiunga na changamkia fursa nitumie mamba gani
Hii haiusiani na iyo ndugu
Naweza kuwapa majani haya kila siku?
Sawa tu ila usisahau chakula
@@AGALUSTV asante kunijali na kunijibu
Asante
Pamoja ndugu