FAIDA 10 ZA MAJANI YA MWEMBE KWA KUKU/Benefits of Mango leaves for Chicken

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Majani ya mwembe uweza kutumika kama tiba na Kinga pia kwa kuku. Ni tiba nzuri ya asili kwa kuku hasa magonjwa ya Homa ya matumbo Pia ni tiba nzuri ya ugonjwa wa mafua.
    #tibaasili #magonjwayakuku #kilimo
    ✍️Jifunze zaidi tiba mbalimbali za asili za kuku kupitia video hizi
    • Tiba asili/Kienyeji za...

Комментарии • 61

  • @oswardisrael2880
    @oswardisrael2880 Год назад +1

    Ahsante kwa elimu Mungu awabariki sana ninaomba namna ninavyoweza kutumia majani ya mwembe.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Jinsi ya kutumia MAJANI y mwembe
      ruclips.net/video/GVWaV0TjJPM/видео.html

  • @shelternimzihirwa3583
    @shelternimzihirwa3583 Год назад +1

    Ubarikiwe sana nasubiri kwa ham hili somo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Amina ✍️ 🙏🏿

  • @TheresiaKijumbe-bd8sr
    @TheresiaKijumbe-bd8sr Год назад +1

    Shukrani

  • @janeelias7839
    @janeelias7839 10 месяцев назад +3

    Vipi yanafaa kwa vifaranga Kama Kinga badala ya chanjo?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 месяцев назад

      Usiwape vifaranga ni vizuri kwa kuku wakubwa

  • @furahapasaka1104
    @furahapasaka1104 2 месяца назад +1

    Kuku wangu wanaharisha kinyesi cha kijani, nitumieje? Msaada 🙏

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 месяца назад

      Pole Sana ndugu apo tumia mwalobaini na alovera kila cku kwa siku 3 hadi 5

  • @ShabanHamad-z8c
    @ShabanHamad-z8c 7 месяцев назад +1

    Naomba maelekezo matumizi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 месяцев назад

      OK ndugu 🙏🏿

  • @VailethFute-np3ho
    @VailethFute-np3ho 11 месяцев назад +1

    Samahani Mimi vifaranga wangu wanashusha mabega

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 месяцев назад

      Wape dawa ya coccidiosis AU kuara damu

  • @veronicamwaseba2189
    @veronicamwaseba2189 6 месяцев назад +1

    je hata vifaranga vya mwezi?

  • @robertprotas9427
    @robertprotas9427 Год назад +2

    Ndugu yang nina shida ya kuku aina ya singamagazi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      Upo wapi

    • @robertprotas9427
      @robertprotas9427 Год назад +1

      @@AGALUSTV npo Mbeya mjini

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      OK basi tuzid wasiliana tukiwapata +255765467484 wasap tu

    • @robertprotas9427
      @robertprotas9427 Год назад +1

      @@AGALUSTV sawa mkuu...ahsante kwa mrejesho.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      Pamoja ndugu

  • @m.l.hassanmatafari3998
    @m.l.hassanmatafari3998 3 месяца назад +1

    tuna omba funzo lukuanda majani haya

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 месяца назад

      Jinsi ya Kuandaa na kutumia majani ya mwembe. Video
      ruclips.net/video/GVWaV0TjJPM/видео.html

  • @user-tj3lo1ty3c
    @user-tj3lo1ty3c 6 месяцев назад +1

    Je majani ya muembe yanaandaliwa vipi Ili kuwa Tina kwa kuku

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 месяцев назад

      Majani yachemshwe kwa zaidi y masaa 2, pia magome yake

    • @user-tj3lo1ty3c
      @user-tj3lo1ty3c 6 месяцев назад +1

      @@AGALUSTV baada ya kuchemsha kwa massa 2 unafanyaje Ili kuwa tayari kwa kuwapa kuku

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 месяцев назад

      Unapo za na kuchuja Kisha unawapa wanywe

  • @laurentzacharia1563
    @laurentzacharia1563 Год назад +1

    Kwa kuku wa kienyeji majani haya yanafaa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Mazuri tu Kwao ila subiri SOMO lijalo matumiz yake

  • @issakiagati4649
    @issakiagati4649 Год назад +1

    Mimi naitaji kujua namna ya kuandaa kwakutibu mafua Kwa juku

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      OK Sawa c muda mrefu video yake itatoka ✍️🙏🏿🤝

  • @meryLeonard-is8ry
    @meryLeonard-is8ry 3 месяца назад

    VIP kuhusu majani ya mlonge kwa kuwalisha kuku?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 месяца назад

      Ni mazuri sana

  • @ShehiMrisa-i7y
    @ShehiMrisa-i7y 11 месяцев назад +1

    Mm kuku wangu wako na shida ya mguu haitembei naeza wapea dawa gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 месяцев назад

      Pole Sana ndugu apo chunguza zaidi kama kinyesi, Chao na mafua

    • @ShehiMrisa-i7y
      @ShehiMrisa-i7y 11 месяцев назад +1

      @@AGALUSTV theni niwapee dawa gani ikiwa n kinyesi aky niambieni

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 месяцев назад

      Kagua kwanza tujue kinyesi ni rangi gani na kipo vp na kama mafua yapo AU laaa

    • @ShehiMrisa-i7y
      @ShehiMrisa-i7y 11 месяцев назад +1

      @@AGALUSTV kinyesi Kiko black

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 месяцев назад

      Mafua je

  • @AbeidSaid-uc1ey
    @AbeidSaid-uc1ey 7 месяцев назад +1

    kuku akiwachachikwa ugonjwa wa kideri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 месяцев назад

      Ulikua unamaana ipi ndugu

  • @mamayasini7899
    @mamayasini7899 9 месяцев назад +1

    Unaweka kwenye maji au

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 месяцев назад

      Unachemsha Kisha maji yake unaotumia

  • @witnessjoshua6687
    @witnessjoshua6687 Год назад +1

    naona mpaka vifaranga pia nao wanasinzia afu wanakuwa Kama Wana pepesuka wakuwa Awana nguvu miguuni

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Pole Sana ndugu apo inabid umwone muuza Dawa za mifugo aliyekaribu atakusaidia zaidi Aina ya dawa kukupa.

  • @alialghaithi2554
    @alialghaithi2554 Год назад +1

    Mimi ninafuga kuku lakini huwa wanakufa Sana nini la kufanya nisaidie I

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Apo vitu ni vingi Endelea kufuatilia video mbalimbali za mbinu za ufugaji kwenye channel hii. Pia wanapokua wa naumwa zijue Dalili zao

  • @arnoldpaul-fp1js
    @arnoldpaul-fp1js Год назад +1

    naitaj kuanza kufuga kuku chotara mnisaidie jinsi ya kupata vifaranga

  • @witnessjoshua6687
    @witnessjoshua6687 Год назад +1

    kwema kak Mimi Nina shida kuku wangu wa kubwa wamisinzia afu nime wakagua naona sielewi naomba Kama unajua dawa unisaidie

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Pole Sana ndugu apo HADI ujue Dalili zingine maana kusinzia tu haitoshi kujua

    • @witnessjoshua6687
      @witnessjoshua6687 Год назад +1

      Asilimia kubwa Wana sinzia na kuku wakubwa wame vimba macho Yana kitu cheupe kaka naomba unisaidie maana Wana zidi kuisha wakufa sana kak

    • @witnessjoshua6687
      @witnessjoshua6687 Год назад

      vifaranga wana shusha mabawa na kufa kak

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      Pole Sana. Vitoe ivyo vitu Machoni, kisha wape dawa ya mafua AU kikohoz na uchanganye na vitamins

    • @witnessjoshua6687
      @witnessjoshua6687 Год назад +1

      niwape dawa Gani