FAIDA 10 ZA MAJANI YA MWEMBE KWA KUKU/Benefits of Mango leaves for Chicken
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Majani ya mwembe uweza kutumika kama tiba na Kinga pia kwa kuku. Ni tiba nzuri ya asili kwa kuku hasa magonjwa ya Homa ya matumbo Pia ni tiba nzuri ya ugonjwa wa mafua.
#tibaasili #magonjwayakuku #kilimo
✍️Jifunze zaidi tiba mbalimbali za asili za kuku kupitia video hizi
• Tiba asili/Kienyeji za...
Ahsante kwa elimu Mungu awabariki sana ninaomba namna ninavyoweza kutumia majani ya mwembe.
Jinsi ya kutumia MAJANI y mwembe
ruclips.net/video/GVWaV0TjJPM/видео.html
Ubarikiwe sana nasubiri kwa ham hili somo
Amina ✍️ 🙏🏿
Shukrani
Tupo pamoja ndugu
Vipi yanafaa kwa vifaranga Kama Kinga badala ya chanjo?
Usiwape vifaranga ni vizuri kwa kuku wakubwa
Kuku wangu wanaharisha kinyesi cha kijani, nitumieje? Msaada 🙏
Pole Sana ndugu apo tumia mwalobaini na alovera kila cku kwa siku 3 hadi 5
Naomba maelekezo matumizi
OK ndugu 🙏🏿
Samahani Mimi vifaranga wangu wanashusha mabega
Wape dawa ya coccidiosis AU kuara damu
je hata vifaranga vya mwezi?
Sawa tu
Ndugu yang nina shida ya kuku aina ya singamagazi
Upo wapi
@@AGALUSTV npo Mbeya mjini
OK basi tuzid wasiliana tukiwapata +255765467484 wasap tu
@@AGALUSTV sawa mkuu...ahsante kwa mrejesho.
Pamoja ndugu
tuna omba funzo lukuanda majani haya
Jinsi ya Kuandaa na kutumia majani ya mwembe. Video
ruclips.net/video/GVWaV0TjJPM/видео.html
Je majani ya muembe yanaandaliwa vipi Ili kuwa Tina kwa kuku
Majani yachemshwe kwa zaidi y masaa 2, pia magome yake
@@AGALUSTV baada ya kuchemsha kwa massa 2 unafanyaje Ili kuwa tayari kwa kuwapa kuku
Unapo za na kuchuja Kisha unawapa wanywe
Kwa kuku wa kienyeji majani haya yanafaa
Mazuri tu Kwao ila subiri SOMO lijalo matumiz yake
Mimi naitaji kujua namna ya kuandaa kwakutibu mafua Kwa juku
OK Sawa c muda mrefu video yake itatoka ✍️🙏🏿🤝
VIP kuhusu majani ya mlonge kwa kuwalisha kuku?
Ni mazuri sana
Mm kuku wangu wako na shida ya mguu haitembei naeza wapea dawa gani
Pole Sana ndugu apo chunguza zaidi kama kinyesi, Chao na mafua
@@AGALUSTV theni niwapee dawa gani ikiwa n kinyesi aky niambieni
Kagua kwanza tujue kinyesi ni rangi gani na kipo vp na kama mafua yapo AU laaa
@@AGALUSTV kinyesi Kiko black
Mafua je
kuku akiwachachikwa ugonjwa wa kideri
Ulikua unamaana ipi ndugu
Unaweka kwenye maji au
Unachemsha Kisha maji yake unaotumia
naona mpaka vifaranga pia nao wanasinzia afu wanakuwa Kama Wana pepesuka wakuwa Awana nguvu miguuni
Pole Sana ndugu apo inabid umwone muuza Dawa za mifugo aliyekaribu atakusaidia zaidi Aina ya dawa kukupa.
Mimi ninafuga kuku lakini huwa wanakufa Sana nini la kufanya nisaidie I
Apo vitu ni vingi Endelea kufuatilia video mbalimbali za mbinu za ufugaji kwenye channel hii. Pia wanapokua wa naumwa zijue Dalili zao
naitaj kuanza kufuga kuku chotara mnisaidie jinsi ya kupata vifaranga
Upo wapi ndugu
kwema kak Mimi Nina shida kuku wangu wa kubwa wamisinzia afu nime wakagua naona sielewi naomba Kama unajua dawa unisaidie
Pole Sana ndugu apo HADI ujue Dalili zingine maana kusinzia tu haitoshi kujua
Asilimia kubwa Wana sinzia na kuku wakubwa wame vimba macho Yana kitu cheupe kaka naomba unisaidie maana Wana zidi kuisha wakufa sana kak
vifaranga wana shusha mabawa na kufa kak
Pole Sana. Vitoe ivyo vitu Machoni, kisha wape dawa ya mafua AU kikohoz na uchanganye na vitamins
niwape dawa Gani