JINSI YA KUWAPA KUKU NA BATA MAJANI YA MWEMBE KAMA TIBA/How to feed Chickens with Mango leaves?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Jinsi ya kuandaa majani ya mwembe kama tiba kwa kuku na bata
    #tibaasili #magonjwayakuku #chakulachakuku
    #kilimochanyanya
    ✍️ Chukua majani ya mwembe kiasi cha majani 10. Yakatekate na uweke maji iita 6. Chemsha kwa muda mrefu HADI yabaki Lita 1.5
    ✍️Yaache yapoe na uchuje vizuri Kisha wape kuku wako wanywe. Itawasadia dhidi ya typhoid
    ✍️Pia unaweza kuandaa kama Kinga na tiba kwa kuchanganya kwenye chakula cha kuku na bata wako. Chukua majani ya mwembe na uyaanike kwenye kivuli. Kisha yatwange na uyahifadhi vizuri
    ✍️Utatumia gram 5 kwenye kila chakula cha kuku. Itawasadia kupambana na vizuri vya magonwa
    ✔️Zijue faida za MAJANI mwembe kupia video hii
    • FAIDA 10 ZA MAJANI YA ...

Комментарии • 53

  • @EmeliaMhinza
    @EmeliaMhinza Месяц назад +1

    Jamani hawa kuku wanachangamoto sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Pole Sana ndugu endelea kujifunza zaidi kupitia video zetu

  • @MwangoKabenze
    @MwangoKabenze 4 месяца назад +1

    Asante sana kwa hamasa hii.
    Je kama hukuyakatakata Yale majani, tiba hii haiwezi kufanya kazi?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 месяца назад

      Waweza wawekea ila wengine hawali

  • @oswardisrael2880
    @oswardisrael2880 Год назад +1

    Asante sana mkuu, kwa kutuhudumia kwa haraka.

  • @RaphaelKalinga
    @RaphaelKalinga 10 месяцев назад +1

    Asnt sn kwa somo🙏🙏

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 месяцев назад

      Tupo pamoja ndugu

  • @EmeliaMhinza
    @EmeliaMhinza Месяц назад +1

    Mmmmmh

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Karibu sana ndugu

  • @marthamathiasmungubakupewe1044
    @marthamathiasmungubakupewe1044 Год назад +1

    Asante kwa huduma nzuri, je umesema kuku wakubwa tuu ndo wanatibiwa na majani ya mwembe,Mimi ninao wa mwezi na wanamafua nikiwapa hiyo dawa inamadhala?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Kama wamezidiwa sana usiwape tumia ya dukani.hiii itachelewa KUFANYA Kaz ni vizuri kuwapa KUKU wasiozidiwa

  • @veronicamwaseba2189
    @veronicamwaseba2189 6 месяцев назад +1

    asante ni kuku wa kienyeji tu au hata wa kisasa?

  • @paulmunyua1423
    @paulmunyua1423 8 месяцев назад +1

    Namba zenu neza zipata vipi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 месяцев назад

      Unashida gani ndugu

  • @JanethNgowo-m4z
    @JanethNgowo-m4z 2 месяца назад +1

    Tuwape nini ili kuku watage mayai mengi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 месяца назад

      Ni kuku w Aina gani.kama kwa Msimu huu wa Baridi wasaidie kuku kwa kuwapa vyakula ktk Msimu wa Baridi ruclips.net/video/5IJdDduiDAY/видео.html

  • @shelternimzihirwa3583
    @shelternimzihirwa3583 Год назад +1

    Asante, je kwa kuyachanganya kwenye maji naweza kuwapa hata kuku wadogo?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Hapana ni wakubwa tu

  • @philipolwena5873
    @philipolwena5873 Год назад +1

    Dalili za magonjwa kuku hao

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Sawa Sawa ✍️🙏🏿

  • @hildermbando-er2wz
    @hildermbando-er2wz Год назад +1

    Je vifaranga hawapewi hata maji ya mwembe?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Usiwape ndugu hadi wiki 3+

  • @VictorSospeter-e8e
    @VictorSospeter-e8e 10 месяцев назад +1

    Sijakupata fresh iv kuku wakubwa. Ndo unawapa m ajan yaliyo tagwa wadogo hamna

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 месяцев назад

      Ndyo kama wadogo wawe angalau miez 3 kwa kuku wakienyeji

  • @siahmichael4729
    @siahmichael4729 Год назад +1

    Nikiwapa yakiwa mabichi haifai?

  • @sessekiza2047
    @sessekiza2047 Год назад +1

    Kama una kuku 2 utatu miya lita ngapi? Kwa kupika

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Lita 3 ya maji yachemke hadi ibak Lita 1

  • @laurentzacharia1563
    @laurentzacharia1563 Год назад +1

    Kuku wangu Wana pigana sana majogoo mawili tu je nifanye nini?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Muondoe 1 wapo AU ongeza matetea

  • @angelasanga6518
    @angelasanga6518 Год назад +1

    Na ndui hayatibuuuu?

  • @elizabethjmnzava6055
    @elizabethjmnzava6055 Год назад +1

    Vifaranga wanaweza kunywa hayo maji ya majanibya mwembe?

  • @EmeliaMhinza
    @EmeliaMhinza Месяц назад +1

    Yani mimi kuku wangu wanamafua nimetumia dawa mbaka nimechoka wanakufa tu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Ni kweli ndugu mafua ni hatari sana. Vp ni kuku WA aina gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Ni kweli ndugu mafua ni hatari sana. Vp ni kuku WA aina gani

    • @EmeliaMhinza
      @EmeliaMhinza Месяц назад +1

      @@AGALUSTV kuku wa kisasa bosa wapo kama mia hivi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      @EmeliaMhinza Pole Sana ndugu. Jitahid kuweka nzuri bandani . Vitamin ichanganywe na dawa ya mafua . Na sijui ulitumia dawa ipi . Maana ulisema dawa zote umetumia

    • @EmeliaMhinza
      @EmeliaMhinza Месяц назад

      @@AGALUSTV nimetumia tylodox...tylofam na dawa zingine nimesahau

  • @oriethkimaro333
    @oriethkimaro333 Год назад +1

    Naomba namba zenu

  • @issakiagati4649
    @issakiagati4649 Год назад

    Je? Maji yamani yamuembe yalivyo chemshwa nisalama kwakuku wadogo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      Usiwape kuku wadogo. Kama vitu vya kuogopa ni TBA ya kuku wadogo TBA nyingi za asili kwa kuku wadogo c salama ikiwemo majani ya mwembe

  • @froline5209
    @froline5209 Год назад +1

    Na vifaranga nao ni majani gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      NGOJA masomo yatakuja tu ndugu✍️

    • @froline5209
      @froline5209 Год назад +1

      @@AGALUSTV ok