JINSI YA KUWAPA KUKU NA BATA MAJANI YA MWEMBE KAMA TIBA/How to feed Chickens with Mango leaves?
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Jinsi ya kuandaa majani ya mwembe kama tiba kwa kuku na bata
#tibaasili #magonjwayakuku #chakulachakuku
#kilimochanyanya
✍️ Chukua majani ya mwembe kiasi cha majani 10. Yakatekate na uweke maji iita 6. Chemsha kwa muda mrefu HADI yabaki Lita 1.5
✍️Yaache yapoe na uchuje vizuri Kisha wape kuku wako wanywe. Itawasadia dhidi ya typhoid
✍️Pia unaweza kuandaa kama Kinga na tiba kwa kuchanganya kwenye chakula cha kuku na bata wako. Chukua majani ya mwembe na uyaanike kwenye kivuli. Kisha yatwange na uyahifadhi vizuri
✍️Utatumia gram 5 kwenye kila chakula cha kuku. Itawasadia kupambana na vizuri vya magonwa
✔️Zijue faida za MAJANI mwembe kupia video hii
• FAIDA 10 ZA MAJANI YA ...
Jamani hawa kuku wanachangamoto sana
Pole Sana ndugu endelea kujifunza zaidi kupitia video zetu
Asante sana kwa hamasa hii.
Je kama hukuyakatakata Yale majani, tiba hii haiwezi kufanya kazi?
Waweza wawekea ila wengine hawali
Asante sana mkuu, kwa kutuhudumia kwa haraka.
Tupo pamoja ndugu
Tunaomba majibu jamani
Majani ya mwembe vifaranga je?
Nahisi ulishajibiwa ndugu
Asnt sn kwa somo🙏🙏
Tupo pamoja ndugu
Mmmmmh
Karibu sana ndugu
Asante kwa huduma nzuri, je umesema kuku wakubwa tuu ndo wanatibiwa na majani ya mwembe,Mimi ninao wa mwezi na wanamafua nikiwapa hiyo dawa inamadhala?
Kama wamezidiwa sana usiwape tumia ya dukani.hiii itachelewa KUFANYA Kaz ni vizuri kuwapa KUKU wasiozidiwa
asante ni kuku wa kienyeji tu au hata wa kisasa?
Wote
Namba zenu neza zipata vipi
Unashida gani ndugu
Tuwape nini ili kuku watage mayai mengi
Ni kuku w Aina gani.kama kwa Msimu huu wa Baridi wasaidie kuku kwa kuwapa vyakula ktk Msimu wa Baridi ruclips.net/video/5IJdDduiDAY/видео.html
Asante, je kwa kuyachanganya kwenye maji naweza kuwapa hata kuku wadogo?
Hapana ni wakubwa tu
Dalili za magonjwa kuku hao
Sawa Sawa ✍️🙏🏿
Je vifaranga hawapewi hata maji ya mwembe?
Usiwape ndugu hadi wiki 3+
Sijakupata fresh iv kuku wakubwa. Ndo unawapa m ajan yaliyo tagwa wadogo hamna
Ndyo kama wadogo wawe angalau miez 3 kwa kuku wakienyeji
Nikiwapa yakiwa mabichi haifai?
Sawa tu waweza
Kama una kuku 2 utatu miya lita ngapi? Kwa kupika
Lita 3 ya maji yachemke hadi ibak Lita 1
Kuku wangu Wana pigana sana majogoo mawili tu je nifanye nini?
Muondoe 1 wapo AU ongeza matetea
Na ndui hayatibuuuu?
Hapana
Vifaranga wanaweza kunywa hayo maji ya majanibya mwembe?
Hapana
Yani mimi kuku wangu wanamafua nimetumia dawa mbaka nimechoka wanakufa tu
Ni kweli ndugu mafua ni hatari sana. Vp ni kuku WA aina gani
Ni kweli ndugu mafua ni hatari sana. Vp ni kuku WA aina gani
@@AGALUSTV kuku wa kisasa bosa wapo kama mia hivi
@EmeliaMhinza Pole Sana ndugu. Jitahid kuweka nzuri bandani . Vitamin ichanganywe na dawa ya mafua . Na sijui ulitumia dawa ipi . Maana ulisema dawa zote umetumia
@@AGALUSTV nimetumia tylodox...tylofam na dawa zingine nimesahau
Naomba namba zenu
OK tutakutumia
Je? Maji yamani yamuembe yalivyo chemshwa nisalama kwakuku wadogo
Usiwape kuku wadogo. Kama vitu vya kuogopa ni TBA ya kuku wadogo TBA nyingi za asili kwa kuku wadogo c salama ikiwemo majani ya mwembe
Na vifaranga nao ni majani gani
NGOJA masomo yatakuja tu ndugu✍️
@@AGALUSTV ok