FAIDA 12 ZA KULA MBEGU ZA MABOGA(Fahari TV)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 15

  • @AnnaThomas-e8o
    @AnnaThomas-e8o 23 дня назад +1

    Asnte ubarikiwe sana

  • @gregoirelubuya7587
    @gregoirelubuya7587 Год назад +1

    🙏🙏 nimejifunza kitu

  • @AmidaMariamu
    @AmidaMariamu Месяц назад +1

    Nivizuri zaidi mtusaidiye kututilia namba zenu za sim kwa sababu ya kuwaoji maswali

    • @SukaMediaTZ
      @SukaMediaTZ  Месяц назад

      Unaweza ukahoji ili nawengine pia wafahamu zaidi

  • @willyonline2295
    @willyonline2295 Год назад +1

    Jinsi ya kuandaa ni vipi

    • @SukaMediaTZ
      @SukaMediaTZ  9 месяцев назад

      Unaweza kuzikaanga ukatafuna au baada ya kukaanga uzisage na kutumia unga wake

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 4 месяца назад +1

    Nilikula hizo mbegu nilharisha sana cjui kwanini Dr.?

    • @SukaMediaTZ
      @SukaMediaTZ  4 месяца назад

      Pole kwa changamoto hiyo, hii itakuwa ni allergy( mzio)

  • @jumaally4263
    @jumaally4263 Год назад +1

    Vizuri lkn maneno ya Kiswahili hutamki sawasawa. Halafu -alafu Hedhi-edhi Hurutubisha-ulutubisha

    • @SukaMediaTZ
      @SukaMediaTZ  Год назад

      Ahsante kwa ushauuri

    • @bahatidomy836
      @bahatidomy836 7 месяцев назад +1

      Asante sana doctor na faida ya matawi yake pamoja na tunda lake ni gani

    • @SukaMediaTZ
      @SukaMediaTZ  7 месяцев назад

      Endelea kutufuatilia baadae nitakuwekea video ikielezea yote

    • @SukaMediaTZ
      @SukaMediaTZ  7 месяцев назад

      ruclips.net/video/gOQv8G0YWPA/видео.htmlsi=G9u_eQ5CxDULthuc