MJENGO MPYA WA WOLPER, CHUMBA CHAKE NI SAWA NA VYUMBA SABA, AFUNGUKA KUJENGA KWA KUWEKA HELA MIAKA 7

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 34

  • @user-ns1dg4jd7q
    @user-ns1dg4jd7q Месяц назад +13

    Ni kweli anachokisema Jack. Mimi nilikua napenda sana kuchukua mikopo lakini msichana wangu wa kazi aliwakatalia maafisa mikopo wasinipe hela akasema yeye ni mtoto wangu na kiukweli sikupewa hela. Nampenda Mungu amkumbuke kwenye ujana wake ampe hitaji la moyo wake

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 Месяц назад

      Maana ake n nn binti yko wa Kaz kuyasema ayo?

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Месяц назад +5

    Tatizo binadamu tuna dharau,yaaani ukiona mtu yupo chini kiuchumi au mchafu unaamini hana cha kukushauri..ila usidharau mtu,kila mtu ana kipawa chake,kila mtu kuna kitu Mungu ameweka ndani.

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Месяц назад +6

    Watu wa Kigoma Wanajenga wakiwa wadogo sana,Wateja wangu wa kkoo ni Machinga ila almost wote wamejenga na ukiwaona huwezi amini unaweza ukawadharau ukiwaona mtaani lakini ni wazuri wa kusave sana na kwao Wamejenga na Wanafuga ng’ombe etc na unakuta kaanza mtaji na elfu 50tu

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 Месяц назад

      Nakubali ni wachumi mno ninao marafiki tena ni ndugu ila kz zao utadharau lkn washajenga ndani ya kinondoni

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 Месяц назад +1

    Binadabu tunajisahau kweli wana msahau Mungu hizo nyumba tutaziacha tu ziwe nzuri au mbaya

    • @deborahissaya1601
      @deborahissaya1601 Месяц назад +2

      Kweli duniani tunapita Ila vitu vipitie kwako acha hasira 😂

    • @mumyhendry2919
      @mumyhendry2919 20 дней назад

      ​@@deborahissaya1601Asanteee😂😂😂

  • @chainbre275
    @chainbre275 Месяц назад +1

    Hongera kwa house girl 🥰♥️🥰♥️🥰🤗

  • @Abbakhan.
    @Abbakhan. 26 дней назад

    vidox kafeli kabisa mtihani uo 😄😄

  • @rhodahfrancismwanga9574
    @rhodahfrancismwanga9574 Месяц назад +1

    Kama vile Vido alivyo nenepa aise big up M Ayo kwa kuwalisha vijana hao vizuri 🎉

  • @user-cb7sm8ts2z
    @user-cb7sm8ts2z Месяц назад

    Bigup sana kuna vitu nimejifunza 🥰

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu Месяц назад +4

    Mkeo anahojiwa redioni kuwa kajenga nyumba we kama mume sijui unajisikiaje kuingia na kuishi kwenye hiyo nyumba😳😳

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Месяц назад +1

      Ulitakaje? Sio kila mwanamke anapenda uongo wa kufanya mume kafanya jambo kumbe hajafanya chochote

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Месяц назад +2

      Mtume alioa mke tajiri mwenye mihela akawa anaishi kwenye mjengo wake, anakula na kulala kwa mke, na alipofariki akarithi kila kitu, wewe ni nani ukatae kuishi kwa mwanamke wako?

  • @Gersah
    @Gersah Месяц назад

    Congratulations wolper

  • @giztony2009
    @giztony2009 26 дней назад

    Mke anahojiwa kuwa kajenga kama mume sijui anajisikiaje naona anatumia first singular nimefanya nimeee pumbavu kabisaa

  • @athumanmbelako4317
    @athumanmbelako4317 Месяц назад

    Millard ayo naomba yauyo dada napenda sana sauti yake

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Месяц назад

    Naomba mwenye uelewa atupatie standards za nyumba...nini kinafanya nyumba iwe nyumba na zingine ziwe sehem za kujistiri😂😂😂😂

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Месяц назад

      😂😂😂simbaya bora ninayo yakujistiri

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 Месяц назад

    Nikawa najiulza nn maana y jakuzi mpka nkaenda google😂😂😂

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 Месяц назад

    Kun siku milad apiliga suit fulan iv aiseeeeee mhhhh

  • @GemmaSalim
    @GemmaSalim Месяц назад

    Daaaa tutafute hela

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi Месяц назад

    Yaan Frida bana😅😅😅

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 Месяц назад +1

    Hivi nyie mnaongea joto gani? Hivi joto lililopo India 🇮🇳 New Delhi lilifika nyuzi joto 52° watu mpk wamekufa AC zimegoma maji yanachemka terres bongo kuna joto?

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Месяц назад

      Saudi Arabia mahujaji zaidi ya Elfu moja wamekufa joto linapika watu alive.

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 Месяц назад

      ​@@BigZhumbemhhhh jmn