Ni kweli anachokisema Jack. Mimi nilikua napenda sana kuchukua mikopo lakini msichana wangu wa kazi aliwakatalia maafisa mikopo wasinipe hela akasema yeye ni mtoto wangu na kiukweli sikupewa hela. Nampenda Mungu amkumbuke kwenye ujana wake ampe hitaji la moyo wake
Tatizo binadamu tuna dharau,yaaani ukiona mtu yupo chini kiuchumi au mchafu unaamini hana cha kukushauri..ila usidharau mtu,kila mtu ana kipawa chake,kila mtu kuna kitu Mungu ameweka ndani.
Watu wa Kigoma Wanajenga wakiwa wadogo sana,Wateja wangu wa kkoo ni Machinga ila almost wote wamejenga na ukiwaona huwezi amini unaweza ukawadharau ukiwaona mtaani lakini ni wazuri wa kusave sana na kwao Wamejenga na Wanafuga ng’ombe etc na unakuta kaanza mtaji na elfu 50tu
Mtume alioa mke tajiri mwenye mihela akawa anaishi kwenye mjengo wake, anakula na kulala kwa mke, na alipofariki akarithi kila kitu, wewe ni nani ukatae kuishi kwa mwanamke wako?
Hivi nyie mnaongea joto gani? Hivi joto lililopo India 🇮🇳 New Delhi lilifika nyuzi joto 52° watu mpk wamekufa AC zimegoma maji yanachemka terres bongo kuna joto?
Ni kweli anachokisema Jack. Mimi nilikua napenda sana kuchukua mikopo lakini msichana wangu wa kazi aliwakatalia maafisa mikopo wasinipe hela akasema yeye ni mtoto wangu na kiukweli sikupewa hela. Nampenda Mungu amkumbuke kwenye ujana wake ampe hitaji la moyo wake
Maana ake n nn binti yko wa Kaz kuyasema ayo?
Tatizo binadamu tuna dharau,yaaani ukiona mtu yupo chini kiuchumi au mchafu unaamini hana cha kukushauri..ila usidharau mtu,kila mtu ana kipawa chake,kila mtu kuna kitu Mungu ameweka ndani.
Watu wa Kigoma Wanajenga wakiwa wadogo sana,Wateja wangu wa kkoo ni Machinga ila almost wote wamejenga na ukiwaona huwezi amini unaweza ukawadharau ukiwaona mtaani lakini ni wazuri wa kusave sana na kwao Wamejenga na Wanafuga ng’ombe etc na unakuta kaanza mtaji na elfu 50tu
Nakubali ni wachumi mno ninao marafiki tena ni ndugu ila kz zao utadharau lkn washajenga ndani ya kinondoni
Binadabu tunajisahau kweli wana msahau Mungu hizo nyumba tutaziacha tu ziwe nzuri au mbaya
Kweli duniani tunapita Ila vitu vipitie kwako acha hasira 😂
@@deborahissaya1601Asanteee😂😂😂
Hongera kwa house girl 🥰♥️🥰♥️🥰🤗
vidox kafeli kabisa mtihani uo 😄😄
Kama vile Vido alivyo nenepa aise big up M Ayo kwa kuwalisha vijana hao vizuri 🎉
Milad yupo vilevile😂😂😂
@@eggysulle7988 Yaani kabisa 😂😂😂
@@rhodahfrancismwanga9574 majukumu meng kichwa chamuuma😄
😂😂😂
Mpaka amekuwa shapeless
Bigup sana kuna vitu nimejifunza 🥰
Mkeo anahojiwa redioni kuwa kajenga nyumba we kama mume sijui unajisikiaje kuingia na kuishi kwenye hiyo nyumba😳😳
Ulitakaje? Sio kila mwanamke anapenda uongo wa kufanya mume kafanya jambo kumbe hajafanya chochote
Mtume alioa mke tajiri mwenye mihela akawa anaishi kwenye mjengo wake, anakula na kulala kwa mke, na alipofariki akarithi kila kitu, wewe ni nani ukatae kuishi kwa mwanamke wako?
Congratulations wolper
Mke anahojiwa kuwa kajenga kama mume sijui anajisikiaje naona anatumia first singular nimefanya nimeee pumbavu kabisaa
Millard ayo naomba yauyo dada napenda sana sauti yake
Naomba mwenye uelewa atupatie standards za nyumba...nini kinafanya nyumba iwe nyumba na zingine ziwe sehem za kujistiri😂😂😂😂
😂😂😂simbaya bora ninayo yakujistiri
Nikawa najiulza nn maana y jakuzi mpka nkaenda google😂😂😂
Kun siku milad apiliga suit fulan iv aiseeeeee mhhhh
Daaaa tutafute hela
Yaan Frida bana😅😅😅
Sio mzima😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hivi nyie mnaongea joto gani? Hivi joto lililopo India 🇮🇳 New Delhi lilifika nyuzi joto 52° watu mpk wamekufa AC zimegoma maji yanachemka terres bongo kuna joto?
Saudi Arabia mahujaji zaidi ya Elfu moja wamekufa joto linapika watu alive.
@@BigZhumbemhhhh jmn