Alikiba & Tommy Flavour - Huku (Official Lyric Video)
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Watch now Lyric Music video by Alikiba & Tommy Flavour performing (Huku), Another Smash Love/Seduction Song, bringing together two talented acts Alikiba & Tommy flavour, with a a fusion of Bongo fleva & Pop music Huku talks of how a beatiful lady is given assurance of love and be at peace with everything that is happening, More of vibe and dance song, enjoy The Hit Song with Lyrics video was shot in Dar es Salaam.
Audio Production:Abbah Process & Mixing/Mastering (TheMixKiller)
Video Production:Director by Wayan & Lashku.
Lyrics Video Story Directed By:Kapasta4REAL
Get it now Huku:ziiki.media/Hu...
Stream/Download:linktr.ee/Alikiba
Listen to Alikiba on Digital Streaming:
Audiomack: audiomack.com/...
Apple Music: / alikiba
Boomplay: www.boomplay.c...
RUclips: / alikibaofficial
Spotify: open.spotify.c...
Connect with Alikiba on Social Media:
Instagram: / officialalikiba
Facebook: / officialalikiba
Twitter: / officialalikiba
Snapchat: / officialalikiba
TikTok: / officialalikiba
Connect with Tommy Flavour on Social Media:
Instagram: / tommyflavour
Facebook: / iamtommyflavour
Twitter: / tommyflavour
Triller:triller.co/@to...
TikTok: / tommyflavourtz
+For More Information Booking Alikiba:
Contact:emailalikiba@gmail.com
©2023 Kings Music Records.All Rights Reserved.
#Alikiba #TommyFlavour #Huku
Umemshusha bhana 😅😅😅😅 hongera mfalme❤️❤️❤️
Trend number 1 c ndo hii? Tumewashika huku
Yeeeh baba nakubali bro me ndo wa kwanza naombeni like zangu
❤❤🎉🎉 Nakupenda Mzee baba mungu awabaliki sana king's
Sasa hizo Likes ndo unashiba au??,
@@remigiusrwechungula7047mm namshangaa😂
ruclips.net/video/5P8ylkzKIxk/видео.htmlsi=0opfL1AyvIk0mmZx
ruclips.net/video/5P8ylkzKIxk/видео.htmlsi=0opfL1AyvIk0mmZx
Hashikiki king kiba the only one in Tanzania hawo wengne waendelekutembea nawafakazi wao iliwakijakuachana wazulumiane vizuli
Nishike Huku. Big song of the 🎭
Huku imeenda masaa machache itaingia 1 on trending 🥰like zako kama umekubali
nomaaaa
Hii imeenda
Tayar imeingia😂😂
Woooiii...Amen ina ikimbiza....🤭
Good song 🎉🎉🎉🎉 maua hayo apo kaz kwako 😅😅
Ali Shinda...Ali Fika...Ali Tisha...Ali Bisha...Ali Imba........Ali Ki imba,,,,Ali Kiba❤❤❤
hiii kali sn
Kiba Ali kiba kiba.
❤❤❤❤❤❤
Umetishaaa😂😂😂😂❤
@@isayakitaponda8337ko
Kiba no #1 trending now hoyeeeeeeeeee
Kama unakubali muziki wa alikiba king kiba weka like yako hapa tujuzane ❤🎉😊
Yoooo
King Kiba
Itakaa kwenye rotation muda mrefu sana 🔥Hiki ndo tulikua tunapiga kelele kila siku kufanya Amapiano yenye taste ya Bongo fleva
Nomaaaa
𝙵𝚊𝚌𝚝
Ila me sioni radha yake hata kidogo kawaida sana haiwez amsha vibe hiii
Hapo ndio utajua ujui, coz zile zenye ladha hazikuwai kuwa namba moja trending, lkn hii imefika.
Sometimes dunia haikupi unachotaka ila hukupa unacho stahili.
Kula chuma icho utajua tu jinsi ya kuruka nacho tu 😂🤣😂😂
Simi n ngoma kli huku imekua muendelezo
Ila haka kawimbo hakaish utam
Alikiba ww ni msani wangu namba moja apa kwetu me naitwa Emile naish kigoma nina maisha magumu brother nina ndoto siku moja nikuone na nipige picha na ww !! Thanks i love you and your work bro❤❤❤
Pambana na hali yako br hawez kukusaidia kitu
Wale waliosema watatrending no 1 Hadi January hapa ni wapi??hapa ni wapi!
Hatimae number one on trending. Eti mpaka mwezi wa kumi mwezi wa kumi wa nyokoooo
😃😃
Yeooh!
MIMI NI TEAMKIBA ILA SIJAWAHI PATA LIKE 100
Andika lyrics ya nyimbo au fafanua hata maneno kumi magumu yaliyotumika kwenye wimbo utapata like
Hit in town
Basi inatosha utapata
Unakaribia kufikisha🙌
@@adammwabule1779full ku enjoy
Huku ndo nyimbo ya kitaa sai 🔥 🔥
Waliosema King mwaka huu hatokaa namba 1on trending hapa niwapi
Nimechelewa lakini siwezi achilia ayeeeee baba moto
Ngoma kali sana kumbe kiba ni fundi sana wa amapiano😊😊😊😊
Ukiachana na creativity zote kwenye huu wimbo juu ya media main character Mr traffic 😅😅 shati vifungo vya mabegani havijafungwa kwa maana tayari huyo alikuwa mtovu jeshini yupo kwenye adhabu very creative 😂😂😂😂 nimependa big up!
😊1❤
Congratulations sana kaka yangu King Kiba hatimae wabaya wako walosema huwezi kufika trending namba 1 leo umefika daima mimi ni shabiki yako ONLY ONE KING 🤴🤴🤴💪🇹🇿
🔥🔥
Kiba alikiba.
walosema hatoboi leo wako wapi,,,wapite kuleeeee@@abdulhamid9593
Ni mungu tu
All in all ngoma kaleee sanaaaaa aseeee
Alikiba ni king kama unamini ilo like zenu hapa kamatupamoja❤ luv from USA✌️
😂🎉😢😮🎉❤❤😂🎉😢😮😅 zaaagjh
Mwaka huu mashabiki wa king's tunapata furaha cna 🔥🔥🔥🔥🔥
Chombo kwa hewa inapatikana kote mpaka baharini 🤓🎶🕺🏾 #Huku #KingKiba
Tena kitoko vrement
Tanzania king ni mmoja na ata hapa Kenya🇰🇪 tunajua hivyo..king kiba worldwide
Kenya unajua na nani🤔labda watu wa kwenyu,tena uyu king wako ni King wa wapi?
@@cliffdinho umeumia eeh?
@@Noooonat-o5s niumizwe na nini sasa😏tafta slogan ingine hii yakuumia iliisha ladha unajiaibisha huku
Team kiba damu,nawaombeni ndugu zangu like 100+ Kwa ajili ya King
umepta
Hii ngoma itatesa sana street 👑 king kiba ww ni fire🔥🔥🔥 kama unaamini hii ngoma itatesa sana mtaan kwako ngoga like hapa twende sawa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Balaa na nusu
Kawaida sana hiiii hakuna maajabu amapiano ya kuimba slow hvo hakuna maajabu hapo ye aendelee kubana pua tu
Unyama sana king👑👑
Imethibitishwa kwamba Alikiba ndo msanii pekee anayeweza kufanya mziki wa aina yoyote❤❤Fumua video basi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 I'm your biggest fan from Malawi
Kwa kuongezea kiba mziki wake hauchujuki nenda kaisikilize Kariim ya miaka ile mm.maruka kopo Intro
Video ya nn hii inatosha tu
Fantastic
Mziki mzuri uwa ujifichi kama unakubalina na mimi like apa twende sawa team mziki mzuri Huku 🎧💥💥💥
Nyimbo nzuri kabisa
Ngoma flani imetulia Yani aina kelele inachezeka pia unaweza ukainjoy kwakutikisa kichwa tu Yani ni flavour song nyie kingkiba yongking killing my song 👑💥📌
Noma sana kiba
KING NI MMOJA TU🎉🎉🎉
Toka 🇨🇩🇨🇩 alikiba FT Tommy , mwando wa kasi sana nyimbo nzuri sana ❤🎉🎉🎉🎉🎉 King's music record
Sikuhizi Alikiba amechangamka na wimbo kali sana🎉respect buda
Ngoma kaliiii🔥🔥🔥💯
Huku ndio habari ya mjini,from kenya we salute you king kiba🔥🔥👍💯💪
No copy and Paste.. Full creativity.
Sipendi alikiba anavyoimba freestyle badala ya kuandika mashairi ya maana BIG UP TOMMY FLAVOR
Ingekua jambo la maana ukimuandikia mashairi😅
Sema kwa melody alizotumia imetokea poa sana kuliko kwa tommy aliyeandika maneno mengi
Alikiba hana jipya kwa music wa sasa just a normal guy kwa sasa hata amapiano hawezi hakuna piano la slow hvoooo shout out kwa chino kidd
Unyamaa sanaaa
King kiba 💪 unatisha baba yani unatupa raha mziki mzuri 🕺
Majirani kwa sasa duh
❤❤❤❤hhhh
Mwenzenu nimeshikwa #HUKU na shemeji yenu ata sifurukuti
💪💪💪💪💪💪👊👊👊👋👋MTAA UNAIMBA NYIMBO ZA KING KIBA PEKEE🔥🔥🔥🔥
Kiba nim1 tu ,wengine wanaiga ,,we unaimba wengine wanatafta kiki,,,,
Tommy is no 1 of the year Umeuwa sanaa tumeishika Washington 🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥
Ali kiba must be RESPECTED!
🔥🔥
Full stop
Amapiano sio lazima useme shuuu ,chuchu😅😅😅msikilizeni mwalimu ana wafundisha namna yakufanya kazi zenye akili 🔥🔥🔥🔥🔥✌️☑️☑️✍️💯💯☑️💪✍️💯💯☑️✌️🔥🔥🔥🔥
Nisheke huku
Yani mm sitamani wimbo uishe😍😍
Vibe kutoka kings music❤
#Tommy#Kiba
Hii nyimbo nzur mno jaman daa❤❤🎉
Waoooooooo What are creativity 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡😇🫡
Jamaaa anajua sana ❤
Although I don't understand Swahili language, Nimependa kile Tommy flavour, Alikiba, The mixing killer, Abbah process na walioshiriki kwenye video hii. Nawakubali sanaaaa.
Hiyo ndo KING'S MUZUKA nawakubali sana wawili Hao Tanzanie❤❤ from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Jaamani mm ndo team kiba mwenzenu like za kutosha Kama wew teamkiba au unayependa hii ngoma ya huku🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mfalume ni mmoja tuu
Unyamaaaa mwing sanaaaa wanangu wa King's huuu mwaka n wetu kabaisa🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Nyimbo za alikiba zote hazifanani kama umeona hio ...like kina marioo jaymelody wanajua lakin nyimbo ziko na similarities 💯
Dude
Endelea kuwapelekea 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
eeshima Yako kwenye mnziki 💯💯💯shika moo wanafunzi tumekupingia magotii wanafunzi tunafelije Kwa mfano 🙏🙏🙏
Yaani hili goma ni hatari kinoma,,, Hakuna neno izamishe kwachini wala iweke ndani ama ichomoe, lyrics zimeenda shule utunzi wakiutu uzima kabisa... This song is lit, kama ww ni fan wa Ali Kiba gonga like hapa... Halafu kama vipi, tufanye bidii views zifike milioni
sio tu noma yani ni moto
Hakuna tusi hii kali sn
nomaaa
🔥🔥🔥🔥
Fantastic song🎉🎉🎉
Kibaaaaa
Asee this song everytime nasikiliza, umeni catch my feelings sana😅
Alikiba, the best East African vocalist. He comes from Mombasa, Kenya.
Kizuri cha jiuza kiabaya cha jitembeza ngona tamu sana number 1 ontrending uko 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Love you kiba
Kiba Alikiba
Nmefurahi kumuona MUHASIBU WA DALADALA. Blend yake na ASKARI MURA nmeipenda sana. Nlikuwa napenda audio tuuh ila baada ya kuwaona hao watu wawili naipenda sana hii video. 100/100🙌🙌🙌🙌❤❤❤❤
mimi pia🤗
Hongera sana Tommy Flavour 🔥🔥❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
NAMPENDA ALIKIBA LAKIN DAAH KUPATA LIKE NGUMU
izoo
Bado tupo no 1
Tuendeleee Ku comment kwa uingi kwani baba Levo amekuja na domo 🔥🔥
Kama kawaida🤝🤝
😮NYIMBO NI KALI SANA SEMA SIKU UKITOA VIDEO UNAZINGUA SANA MFALME jitahid NYIMBO ifanye video yake iwe Kwa ukubwa bhana
Number1 on trending 🔥🔥🔥
The lyrics are on fire...'' kata kidogo, nata na mikogo...nataka kidogo...''
Habali ya mjini🔥🔥king
Hii imeenda. Beat 🔥 Lyrics 🔥 Chorus 🔥 Video 🔥 Creativity 💯
Alikiba est le meilleur de tout le temps en Tanzanie et toute l’Afrique en général much love from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
D'accord mon frère 🇨🇩
🔥🔥
KING KONG 👑 MY brother from another mother, the original copy,ATM machine inspiration of the youth,best in East Africa,#HUKU🔥🔥
King kiba forever 💥
King kiba mufalume nimufalume tuuu hatimaye anaye jigamba kukaa trending kashuka safi sana alikiba inawauma kuka namba1 hi Ngoma 😂😂😂😂😂😂😂mpen mauwa yake king kiba🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Finally number 1 on trending for music,Thank you King ft Tommy that's us how we do....!!
nomaaaa
Leo wametoa Ngoma mbili😂😂😂 ila wanahangaika kuziboost boost
No. 1 ni Enjoy.....😂
Wanafunzi wako tukovinzurii hatuna baya mbele ya mwalimu wetu 💯🔥🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️🙏🙏🙏💪💪💪💪
KUMBE TUPO ONE ON TRENDING NAOMBA LIKES 👍 ZENU TIMU KING KIBA
Umepta
Nakupenda kiba
King ni king tu🎉
Alikiba’s voice never gets old 🥰 proud of you the champion of bongo fleva Congolese people love you 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
❤
Huku is here
Mwaka huu wa Congo 🇨🇩 tume kua wana Tz 😅😅💥🔥🔥🔥🔥
@@kingsmusicfans3905 Tunawapenda wakongo 😘😘
Good music
Sweet melody
Fantastic lyrics 100%
Hakuna matusi
What a feeling
Kama unaamini hii ngoma inaenda kusumbua weka like twende sawa
Matusi c unatukanaga mwenyewe
@@davidibrahim9138 mbona Kama makasiriko ndugu sikiliza mziki mzuri upate furaha ya maisha
noma
❤
hii imeenda
Kuna mtu kule mtwara alidai nyimbo yake ipo 1 on trending, alikiba try to drop it... now is 3 on trending, let support good music.... yeebabaaa!!
Aah wale wanalipia u tube, ndio maaana... Alikiba Ana real views always
@@yurickshadrackkidyalla1132 point
nomaaa sn
Oyaaa kaisha dumu lenye maji alipig kelele
Jaman jaman nan anaangalia hii video huku akisoma comments za wadau Kama mm mko wap niwaone❤️🕊️. Kujen hapa niwaonee nawapenda🙏🕊️
Can't get enough of Kiba ...hii imeweza pia
Wazee hii Imeeñda Hii🙌🙌 Ngoma Kali Sana✊🏼✊🏼🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Keep it Up kwake Tommy na King Kiba👏👏👏👏👏👏👏👏👏IT AS DESERVE THE BEST SONG OF 2023/24🔥🔥🔥✊🏼
Fanya utakavyo am ready 💥💥💥🔥
seems Ali Kiba's great grandparents must have originated from County 001 Mombasa Kenya Our love kwa Kiba is unexplainable.....
Huu Wimbo Na Video🔥🔥🔥 Nimependa Walivyo heshimu Radio Kubwa Na Maarufu Nchi....❤
First on trending let us celebrate we made it like zenu za 1# trendng😊
na alosema atakuwa no 1 trendin yuko wap