Diamond Platnumz Ft Mr. Blue & Jay Melody - Mapoz (Official Lyric Video)
HTML-код
- Опубликовано: 24 янв 2024
- Download Mapoz👇👇👇
dplatnumz.lnk.to/mapoz
/ @dplatnumz
Diamond Platnumz Booking Info:
Email:ceo@wcbwasafi.com | sallam.sharaff@gmail.com
Get First Of All EP👇👇👇dplatnumz.lnk.to/foa
Catch Up With Diamond Platnumz On:
Instagram: / diamondplatnumz
Facebook: / diamondplatnumz255
Twitter: / diamondplatnumz
#Diamondplatnumz #Wasafi #music - Видеоклипы
I was playing this song loud until my neighbour called the police, when the police arrived they called the prosecutor, the prosecutor also after arrival he called the judge,the judge finally came and sentenced the neighbour for trying to kill the vibe of Africa ❤
Best comment in Saudi😂😂
C’est drôle 😂😂😂
😂😂 gulf comment
@DiamondPlatnumz has been rushed to Tanzania Hospital over complain of pain on his back for carrying the whole Tanzanian hiphop industry on his back 🔥🔥🙌🙌🇰🇪🇰🇪🫵
Nc ijapo kuwa sijasikia lazima uhuwe mnyama 🦁🦁🦁 we 💀💀
Hili ni funzo kwa wasanii wote bongo, ukipewa collabo na mondi unatakiwa ufanye kama alichokifanya jay-melody. Congratulations young man you delivered
Absolutely 😊
Umeona unyama wa bizz
Amemalizaaa yan
Unyama ni mwiingi sana
Yeah J amenyoosha
Jaymelody for me wapi likes zake this boy is lit 🔥🔥
diamond akiimba za mapenzi anakua sawa sana❤❤❤
Jay melody katisha Sana,,,,,, kama umemkubali Jay melody achia like tukisonga🔥🔥🔥🔥
Tanzania hakuna mtunzi ka jay melody. sijui kwa nini anakua undereted sana huyu jamaa wa moto
Matikiti kudondoka
Jay melody nimunoma kazi zake n Hatari very soon ata take over bongo flavor @@geomangi6123
@@Mwante952kijana n Hatari
🎉🎉🎉🎉
Hii mapoz ni 🔥🔥🔥
Hii ngoma ni zaidi ya 🔥
DIAMOND SONGS ALWAYS IS A LIT❤
Kumbe wengi tulikua tunasubiri hichi chuma,,, Diamond never disappoints us🎉🎉🎉
Which country is this
Tanzania @@InnocentJoseph-mi9nd
Mimi je
@@InnocentJoseph-mi9ndeast African king diamond plutnumz!! Our music guru
@DiamondPlatnumz has been rushed to Tanzania Hospital over complain of pain on his back for carrying the whole Tanzanian hiphop industry on his back 🔥🔥🙌🙌🇰🇪🇰🇪🫵
Jaman Jay kauuaa sana 🔥🔥
U Never Dissapoint Guys❤
🇿🇲🇿🇲🇿🇲wa kwanza za Zambia nipeni laiki zangu Zambia kuchalo 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲❤️❤️❤️❤️
Kuchalo babylon
❤
Zambia to the world
MR BLUE KAWAFUNIKA🔥🔥🔥🔥 amazing kweli mr blue ukimshilikisha umekwisha
Kweli
Yeah very true
Mr blue kawafinika sana
Mr. Blue 🔵 byser
Waju wote walijua wanaimba na mtu mkubwa lazima wangetuliza vichwa kwa sababu sio blue 2 ata jay kaua sana ❤
Wa kwanza Burundi 🇧🇮 nipeni like zaang ❤❤❤ #Diamond To the World Haujuwiiiiii
💪👊kula chuma hicho!
Karibu😀😀
Ushasema
yow sef wee viip duuh kumber nawewe upo
Msaaaza ugute gute 😅😂🎶
WE ZOMBIE WE.....BALAAA HILO MWANA WA TANDALE
Favourite ❤
Daaaaah leo hatimae nimekuwa wa kwanza
Mondi ni 🔥🔥🔥
Gonga like Kama umeielewa kama mm
Nimekua wa Kwanza jamani nipeni likes zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😢😢😢😢❤❤❤
most people watched this bcoz of JAY MELODY.....
Wacha Wazimu...Do you know how Diamond mean to the all Africa
Young lunya ,🎉❤❤ ingefanya vizuri imo🇲🇿🙏.. He's sing good like Diamond
Nishaona lengo la Simba ni kuwabeba wabongo wenzake, mungu akubariki sana Simba 🫶🏾
Everyday huyu jamaa ni noma sana kwa kweli gonga sana my favorite star ⭐✨ from Drc congo 🇨🇩🇨🇩 nishabiki yako number one
Kwani ni kesho...More L❤ve from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪#HakunaMatata...Twa wapenda wenzetu wa Bongo🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤟👌🏾💋
Big up Sana Platnumz kwa song nzuri❤❤❤
WALIOKUJA HAPA JUU YA BUSY BABYLON NIPE LIKE ZENU JAMANI👍🇧🇮
Ningolane
Busybabylon
Daaah kusema kweli jaymelody ni msanii mkubwa mno 🙌🙌🙌🙌 nimekubali sana simba la masimba
Unyama ni mwingi sana hapa🦁🔥🔥..jay pia mkali,, Mr blue💥
We kill it ❤😊
Amezing bro unyama mwingi ❤❤❤
Wa kwanza kutoka France 🇫🇷 nipeni like zangu ❤️ team Jay once again for Life 📌😍😍
Wap ww uko buguruni
France ya wapi 😂
Jana turikuw pamoja uku Burund urifika frc Lin ??
@williamuaza751 😂😂aka kwann uampa makavu hiv sijapenda😅😅
Jay ndio simbaaaa kwa huu wimbooo nyieeee ,,munipe like zake jay melody ❤👍
Kabisa kabisa jay ameweza sana amemshinda mond. Lakin kwa vile mkuu nyota IPO juu ataonekana yeye tu
Kweli Jay ametisha mnooo tumpe maua yake tafadhali hahaha lets make some noise to Jay once again😂
😂😂
D ifference is the way to Njoro few metres from town but they will maintain the best of black and maroon to be your house help you have to promise a friend who 6bob nitaleta I will appreciate the way
Africa to the world 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mr. Blue karibu tena kwenye industry ❤❤❤❤❤
He never left
❤ohhhh nimezamaaa na hiii song🎉🇱🇷🇬🇦👌💉
Daah, Hii ngoma Kali sana Huyu Jay Melody ni Hatari ❤💥💥💥💥✍️✍️✍️
Imagine ngoma yake na zuchu inaweza kuwa vp 🔥🔥🔥
Kusema kweli nakosa hata la kusema juu ya hii colaboo ◇ wotee wameeuaa aisee 🔥 📛 kama na ww umekubal walicho kifanya hawa mafundi weka likee hapaa
Chukua earphone..weka sauti mpaka wisho alaf sikiliza huku umefumba macho......alooooo😂😂😂😂hatareeeew🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Africa must unite
Jay melod kaanza vizur sanaa, melody kalii, beat limetulia, blue ndo kaja kuua kabisa mwishon, hapo kati simba la masimba ndo kakichafua balaaa🙌
Tuache unafiki aisee JAY MELODY anajua sana ❤kuhusu mr blue hazeeki...simba ni atari sana mnafanya tunavimba nchi za watu huku
😂😂 kaka nakuunga mkono huna baya hawanaga baya Hawa
😂😂mpaka mtandaoni tuna vimba sana..
Oya hii ni yakawaida sana...! Ila ile original bado ni fire🔥 🔥 .
Jay melody❤❤❤❤❤❤❤
Wakwanzaaa apa gonga like
Diamond akiimbaga this kind of song anakua hatarii. ananiaminisha kuwa hakuna nyimbo hawezi Fanya na hii ndio maana ya Msanii aliokomaa , Anajua kwenda na soko linavyo taka he truly the #G.O.T gonga like kama unakubaliana na mimi
Proud to be Simba Fan ❤
Much love from Canada🇨🇦🇨🇦🇨🇦
Wakenya🇰🇪🇰🇪 wenzangu njooni tusupport hii master piece 🔥🔥🔥
Wanangu zombie amepiga tena 🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
nimeiskiza paka naona nshakuwa msanii.... manake sio kwa jinsi nnavyoiimba
My best artist in the world Diamond platinumz❤️💯🔥
Mr Blue na vionjo vile vile vya mapozi hakika umenikumbusha mbaali sana kijana mhenga mwenzangu...umetisha saana
Team konde tunawopenda mziki mzuli hii tumeikubali❤
🔥 penzi zito kilo 150 ila uyu jay mh hatar sanaaa kwa hizi melody kashindikana ❤
Mr blue 🔥🔥🔥huyu ndo blue ninaye mjua mm
hii ngoma ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 kama umeipenda gonga like hapa
Jiweee mzee simba the only artist i can listen za siwezi chokaaa😂😂😂😂💥💥💥💥
I get so mad when the best part of the song plays only once arrrghh
Mr Blue is baaaack, lots of love from 🇰🇪🇰🇪
Kama umeupenda juu wimbo East Africa nipe likes❤❤❤
ruclips.net/video/fX_feCiG4xg/видео.htmlsi=hrUSLBcM3Q-jJXzl
Jay umefanya vizuri kutomchukia Simba sai sasa utapata respect babaaa
Duuh Sina Cha kuongea Hila kikubwa ❤❤❤❤❤❤❤mmetisha sana
atariiiiiiiiiiiiii juu ya atar kuna mtu kaishia pasipojulikana nanyimbo yavurug
Huyu mwamba akimba aina hii ya muziki anawazulumu wengi . Do bora awaachie na wao . Simbaaaa hatariiiiiiiiiiii
Kazi nzr mwamba umewafunga midomo wambea wote
Dope Trio innit 🇰🇪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️
The official anthem of 2024 💯💥
That Jay voice💯💯 Rap ya Nyani💯💯 alafu SIMBA 🦁 💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯🔥
I feel the vibe 🎉
Mwenye mapozi yake Byser Ndo kaipatia mwenyewe “mapozi nami
Hii ngoma imesimamia ukucha.🔥🔥🔥
Simba,nyani zee,melody. Dule limetulia. Aisee. Ni nyoko🔥🔥🔥
Tanzania Bado haujatokeya music ambaye umeandikwa vizuri sana kuliko uwu.Ninzuri sana.🇲🇿
Wimbo mtamu jamani siku nzima nausikiliza hasa apo kwa diamond patamu daah❤
Blue the babilon byser you naild it
Mi naona tuwekeze kwenye Muziki tu. Especially To Those Giants. Tanzania kwa Muziki ni No 1 East Africa no body Dobt. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 My Country.
Weuh kitu kaliiiiiiiiiiiiiiiii diamond platinumz ndo msanii pekee Africaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥
Simbaaaa never fades ,he brings good vibes to africa❤❤
I was in kenya 2005 mr blu mapoz ikiwa top.now in london mapoz again by simba and blu n jay took me back home 2005 love it
Mr blue i salute 🫡 you bro!! You never disappointed me!! Kipindi nipo mdogo nilikuwa nabandika picha zako mahimie!! Nilipo kuwa mkubwa nikabandika saloon!!. I Appreciate you muziki huu umeutoa mbali sanaaaaa!! Ishi mwamba sanamu lako lipo na litajengwa one day!!
waoh!!
Eti kipind ulipokuw mkubwa ulikuwa unabandika saloon so asa iv mzee utabandika wap😂😂😂
❤❤❤❤
Uko na roho nzur sana kk mungu akulinde 2endelee kuenjoy good music
ruclips.net/video/hoVQmrNqGfU/видео.html uganda version song
Hinaifatiliya kutokeya sauzi 🇿🇦🇿🇦🇹🇿🇹🇿 ngoma ime uwa kinyama
aaaah weeeh...mapoz na mih nina mapoz na mii... kama kawaida mr blueeeee
Kazi safi sana simba jay blue...hii nayo mmeigonga kwa nyundo💥💥🔥🔥🔥🔥cant stop listening to it🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Simba
Basi tz nipeni like bro. Yani unajuwa kulala macho juu ya upendo. Uu simba... love more bro
Leo siku nzima naisikiliza hii ngomaa hadi nmesahau kula.ngoja nikoment afu nipike Sasa nile.@diamond platinumz utatuuwa baba 🙏🙏🙌🙌🙌🙌
Inaonekana huna kazi ya kunya kenge wewe
Hahaha sasakaimba nini
Na Mimi ndio nimekumbula kula leo, wacha nikatafute msosi nile nishibeeee
I’m just here to give my flowers to Mr blue 🔥🔥🔥
Tokea Congo Drc🇨🇩 nime upenda sana nyimbo toka Kwake mwamba Diamond simba, jay x blue mume uwa kinoma nalingi bino namotema❣🙏🏽
Namutema abana bange
Aaaaah nyie nyie damu inafanya kusisimuka hivi 🙌🙌ni hatari ❤
Diamond ni mmoja TU Africa 🌍❤❤
Bonge la pini. Blue umetisha sanaaaaa
Jaymelody nakuamin.haupoi wala hauboi huna baya kaka ww jay melody upigaje hapo I ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ jay melody nice song and voice me i say i love you huna bay kak me nakukubali vibay mno ujawah kuniangusha mi na mpozi mimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiìi.waoooooooool
Sauti ya Rais....yaani president👊👊. Pia mimi naomba subscribers. Be blessed 🙏
Nilihisi Diamond atamsukuma Jay Melody kwenye amapiano. Ila wamekaa vizuri sana kwenye style hii. Ngoma kali sana. 🎉 Big up Simba
Ila simba mzee kalazwa 😅 kabakia aaaaaa zombiii
Jay sio Kiaz
Yaan ukiimba na Mond ujue ww nyota yako ndiyo ime shine
Ko angeimba nababayako Napo ?
Burns boy ,rema nyota zao zilichukuliwa ama🤔
Ivi kweli diamond anauchAw wakumuloga Burns boy
you'll never hear a better opening verse than what I just heard here... 🔥
Njia mojawapo ya kujua kama unajua mziki n kupewa collabo na mondi. Big up kwa jay😮
Kiukweli Mr Blue ni hatari. Mapozi ilichezwa miaka ya nyuma lakini tena ngoma ikaamka 2024. Hatari hii💥💥
Diamond platinumz is only representative in African music 🎵 am a musician as kibe boy.hata mimi natamani sana kuimba wasafi nifanyaje mimi
Won't lie jay killed this sheet
Kuna namna bass guitar inalia kwenye huu wimbo sjui kama mnaisikia bana 🎶🎶🎶🎸🎸🎸🎸 ILA JAY ONCE AGAIN AMETISHAAA 🥰🥰🥰
Diamond Platnumz is carrying his country and Bongo Flavor on his shoulders... Asante Simba kusapoti wasanii wengine🔥🔥🔥🔥🔥🦁🇹🇿
Yaani hili goma ninowma hili mondi ni shida
The GOAT HIMSELF 🎉🎉🎉🎉🎉
Yaani huwezi amini machizi hatujalala tukisubiri hiyi NUCLEAR😂😂😂😂 na haujatuangusha SIMBAAAA💥💥💥💥