CHADEMA WANAJIBU MASWALI MAGUMU SABABU YA MSIGWA KUHAMIA CCM. CATHERINE RUGE KAFICHUA MAZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 июл 2024

Комментарии • 41

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 5 дней назад +4

    Ammekubaliana na mbuga za wanyama,bandari,misitu,uwanja Wa Kia,nk nk

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 2 дня назад

    Msigwa alizinguliwa Kwa sababu intelligence ya chama Iko matured

  • @DanielMasubo-bv7zf
    @DanielMasubo-bv7zf 5 дней назад +2

    Tamaa na ubinafsi

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 5 дней назад +2

    Msigwa ni msaliti mbinafsi mwenye matamaa na mtu anaependa utumwa hovyoooo

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i 5 дней назад +1

    Mmeumia sana wana chadema

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 5 дней назад +1

    Kwakweli Msigwa,kama mchungaji,kwa maana ya kiongozi wa kanisa,amenitia mashaka kuju

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 5 дней назад +1

    Msigwa kazoea vya kunyanga, ndio maana uzalendo umemshinda, ameona huko ndio atapata anachokitaka

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 4 дня назад

    Njaa

  • @user-eu9cj5ho8d
    @user-eu9cj5ho8d 5 дней назад +1

    Msigwa nazani anayasikia hayo yote. Yatosha tuendelee na talents zetu jamani.

  • @DenisonTheonest-yj3mk
    @DenisonTheonest-yj3mk 5 дней назад +1

    Msigwa ni Malaya ananunulika anatabia za kimalaya acha aende

  • @AnnaMtulo-fc5tg
    @AnnaMtulo-fc5tg 5 дней назад +1

    Yule fisadi kama fisadi wengine

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 5 дней назад +1

    Msigwa ni mroho wa madaraka sana

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 4 дня назад +1

    Alitika ccn amerudi CCM huyu ni malaya wa kisiasa

  • @ezralameck4150
    @ezralameck4150 4 дня назад

    Ata huko akikosa cheo atahama tena😁

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 5 дней назад +1

    Ili kujiheshimisha ni eidha angeamua kuachana na siasa arudi kulima au angeanzisha chama chake kwa kuwa anajiamini kuwa na wafuasi wengi au angehamia chama kilicho dhaifu akakistawishe,basss! Kulikoni kuyarudia matapishi alokuwa anayatukana na kuyalaani.🤔

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 4 дня назад

    Ubinafsi ni hali halisi ya kibinadam lkn maswala hayo..matakwa binafsi kisiasa, ki-taasisi na kijamii huwekewa utaratibu unaopaswa kuzingatia haki na democracy!

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 5 дней назад

    msemaji wa mwisho umenikosha sanaa

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k 4 дня назад

    Msigwa Ana fanana Sungura Alipo shindwa kuzifikia ndizi Aka Sema sizitaki kwanza Mbichi hazi fai kuliwa

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 5 дней назад

    Pesa inaua mziki wa kenya

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 4 дня назад

    Unapoteza muda kujadili mwenye tamaa zake binafsi anaangalia faida zake,na sio mtu wa kuangalia kusaidia raia na kesho yao

  • @user13375
    @user13375 2 дня назад

    Msimjibu msigwa huyo ana njaaa yake

  • @bernardmushi4869
    @bernardmushi4869 4 дня назад

    MUNGU NI WA HAKI NA ANACHUKIA UONEVU.MUNGU YUKO UPANDE WA WANAO-ONEWA NA PIA ANAWAKOMBOA WANAO-ONEWA.GOD IS NOT ON THE SIDE OF OPPRESSORS.GOD SENT MOSES WITH A MSG TO PHARAOH THE OPPRESSOR "THUS SAITH THE LORD; LET MY PEOPLE GO!".

  • @kaburi920
    @kaburi920 4 дня назад

    Mbowe ni tatizo Chadema kwa nn hataki kupisha wenzake nao walete mawazo na maono tofauti katika chama. Lissu anakubalika zaidi ya Mbowe. Mbowe ampishe Lissu na hakika atamwangusha Samia na CCM. Wewe Cathreen ni mmoja wa watu waliotumwa kumwangusha Msigwa. Mimi ni mshabiki wa Chadema na naona chama kinaenda kuanguka tusipokuwa makini. Bwana Zitto baada ya kipindi cha uongozi kwa mda fulani ameachia na wengine wanasukuma chama kwenda mbele. Kwa nn Mbowe hataki kuachia uenyekiti kwa wengine. Je ni kweli kwamba Anataka kugombea urais badala ya Lissu ambaye anakubaliwa na Watanzania wengi across the board.

  • @c2vconnection
    @c2vconnection 2 дня назад

    Msigwa hawezi kuwa sahihi even if Chadema is wrong!!Na ifahamike kuwa Mbowe Soo mpigakura wa Kanda ya Nyasa.Na kama alikuwa bado upande wa upinzani kwa nn amejiunga na kile alichokiita"ukoo wa panya"? Je kujiunga kwake CCM ndo ataibadilisha isiwe tena"ukoo wa panya" kama alivyosema yeye?

  • @user-cx4nx7xi7s
    @user-cx4nx7xi7s 4 дня назад

    NI SAWA LAKINI LOWASA HAKUTUKANA NA KUKASHIFU. KWANINI ANAMKASHIFU MWENYEKITI? MCHUNGAJI HAJATUTENDEA HAKI ALITAKIWA ATULIE AAME KWA USALAMA KAMA LOWASA.

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i 5 дней назад

    Labda miaka50

  • @c2vconnection
    @c2vconnection 2 дня назад

    Je huyo F. A. Mbowe hajawahi kuwa mwema kwa Msigwa?Je hakuna mema yoyote ambayo Msigwa alitendewa? Hana jema analoweza kunikumbuka kulikumbuka?Amepetwa na nini huyo? Mbona alikuwa so eloquent kutetea chama na wale anaowatukana leo?

  • @knight6757
    @knight6757 5 дней назад

    🐍

  • @JamesAbel-ig8wb
    @JamesAbel-ig8wb 5 дней назад

    Kama wamemuudhi wenzake angefanya kama W. Slaa na James Mbatia wameonyesha msimamo wao wa kutopenda ccm

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 5 дней назад

    Du kwakweli Msigwa,kama Mchungsji --- kama kiongozi wa kanisa,sikutaraji kama angeweza kufanya alilolifanya --- Mchungaji anatarajiwa kuwa rol model --- lakini hakuna shida " maisha lazima yaendelee " Nakubaliana na Biblia. 2 Petro 2: 22.

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 5 дней назад

    Ndyo nasema bora angeenda kwenye chama kingine cha upinzani .

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 5 дней назад

      Inawakera sana Msigwa kwenda CCM na mtakerekwa sana na bado Hongera sana Msigwa upo sehemu salama CCM CCM CCM CCM 💪💪💪💪

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 5 дней назад +2

    Waliomununua wamemwambia amtukane mbowe ili kudhoofisha chama atachemka hata huyo penyeza alitukana sana wanapewa psesa nyingi sana

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 5 дней назад

    Chadema imeoza haina mvuto tena tangu nipate niwe mdogo mpaka leo mwenyekiti ni huyo huyo kiufupi mbowe na genge lake watafute kazi ya kufanya siasa imewashinda

    • @samuelmakara1475
      @samuelmakara1475 5 дней назад

      Nafikiri sasa umekuwa mtu mzima nakushauri ukamng'oe mbowe amekaa sana

    • @kaguripenina63
      @kaguripenina63 4 дня назад

      Inaomekana ccm inamuogopa mboe

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 5 дней назад

    Chadema ni chama cha mbowe ni kweli ni mwenyekiti wa maisha mchungaji msigwa yupo sahihi

    • @NixonJohnson-zn8nk
      @NixonJohnson-zn8nk 5 дней назад

      Sawa waanzishe Chao sio kudandia vyama vya watu

    • @josephwilliammnyune5464
      @josephwilliammnyune5464 5 дней назад

      Kiongozi kama anafanya vizuri, aendelee tu. Mbona huko nako walipendekeza viongozi wao waongezewe muda wa kuongoza. Wala si ajabu.

  • @thembarikiwa
    @thembarikiwa 5 дней назад

    Karibu wa Kanda Ziwa nimependa maneno yako na nakupenda imeongea kwa UPENDO na Heshima kubwa
    Mchungaji Msigwa amechekesha KIFUPI