Hakika Mungu amenibariki katika siku ya leo. Kwa kweli leo nimefurahi kwa kufunuliwa na Yesu katika kunionesha upendo Wake. Jina la Yesu li heri. Amina!
Pastor Mbaga..you always preach what I go through on that moment. God bless you more than the word it self. Am blessed. I can feel that, and not too long from now I'll come with a testimony. Thank you
Surely pastor, each day i watch your sermons and teachings , i learn many new things. May GOD bless you abundantly and continue using you for this wonderful work of GOD.
Zaburi ni nomaaaa... mie sio nzuri wa kujua kuomba ila zaburi zimeniinua na mijuza nimeona, kama ujui kusali soma zaburi kutokana na shida zako, mungu ni mwema kwa kila kitu amen
Asante Pastor mungu azidi kukubari akika Nina edelea kubarikiwa kupitiya mahuburi TV kutoka RDC likini swahili ngumu Ku andika lakini una unani elewa mungu azidi kubarikiwa kupitiya wa tumichi wakubwa kama nyinyi .
Amen, pastor kwa kweli haya yamewai ni kuta kuitwa nchawi,kwa kweli mimi ninaamimi mungu wangu alie hai, Asante pastor kwa kunitiya nguvu ubarikiwe sana
I love your wisdom in preaching and everyday when i have a conection i love More to follow jesus Christ in mmbaga David mahuburi TV our fod be with you forever!!! so in tha i gets many things: the salvation miracle,blessed,and i recover a good health and tha make my knowledge very super...
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa bwana Mahubiri yako yananijenga sana kiroho, nimepitiya mambo mengi katika miaka tano hiliyo pita, kwa kweli bila msahada wa mungu sijuwi ningelikuwa wapi. Mungu azidi kukujaza nguvu na hekima. Ubarikiwe sana mtumishi wa bwana.
Pr.mahubiri yako yamekomboa watu wengi sanaaaa,sichoki kusikiliza masomo yako,na nmeshajiwekea kwny ratiba zangu,siwezi kuingia kulala bila kusikiliza somo lako 1kila siku, umenibadilisha Sana ktk maisha yangu kwa ujumla,barikiwa sana sana PR.Mmbaga.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu. Huwa na barikiwa sana napokuwa nakusikiliza. Mungu akulinde na akuongezee siku za kuishi ili uwafungue/uwaokoe wengi.
Amen Amen Amen Mungu Atukuzwe kwa Mambo Makuu Ambayo Amenena Nami, napokea Ahadi Zote za Mungu na ushindi katika Nyanja zoote kwa Neema ya Yesu Napokea kwa Imani kwa Mungu Wangu. Mungu Akubariki Mchungaji David Mmbaga.
Nikweli mutumishi wa mungu umetuongezea imani kabisa nilikuwa na mupangai wangu alisha ama lakini kule alieda akakutana mutu mmoja sijui kama nimutumishi aka mwabia asema kule ulitoka ulifunikwa kwa neema ya mwenye nyumba ni mutu wa mungu akarudi kutu pasha tukashukuru mungu 🙏🙏
Pr umeongea ukweli wote. Niko na ushuhuda nilikuwa na ugonjwa wa ziwa ulionisumbua kwa muda mrefu lilikuwa linatoa damu na usaha nilipokea uponyaji siku ya meza ya Bwana kwa Imani nilijisemea moyoni leo ndo siku yangu ya uponyaji ninaposhiki damu na mwili wa Yesu nitapokea uponyaji na kurudi nyumbani msiba wa ugonjwa ukiwa haupo mwilini mwangu.
1 John 4:17 [17]In this [union and communion with Him] love is brought to completion and attains perfection with us, that we may have confidence for the day of judgment [with assurance and boldness to face Him], because as He is, so are we in this world.
Nimemuona Yesu kupitia wewe 🙌🙌🙌😭😭😭😭😭 nakufatilia kutoka Indonesia 🇮🇩 Pastor Mbaga Mungu akubark sana
Nime like hili usikilise tena ❤
Pastor when I watch your sermons ninafutwa sana na kubarikiwa...Mungu azidi kukupa neema na hekima..uzidi kutuelimisha kiroho...
Hakika Mungu amenibariki katika siku ya leo. Kwa kweli leo nimefurahi kwa kufunuliwa na Yesu katika kunionesha upendo Wake. Jina la Yesu li heri. Amina!
Pastor Mbaga..you always preach what I go through on that moment. God bless you more than the word it self. Am blessed. I can feel that, and not too long from now I'll come with a testimony. Thank you
Amen. Praise the Lord
Am so blessed pastor may God bless u with ur family for powerful msg,u make me read scripture @time$listen to your msg from gulf.barikiwa saana🙏
Surely pastor, each day i watch your sermons and teachings , i learn many new things. May GOD bless you abundantly and continue using you for this wonderful work of GOD.
Kusema kweli, naanza kuona majibu ya maombi yangu yanajibiwa mda si mrefu, nashukuru sana mchungaji kwa kunijenga katika imani kuu
Ameeeen
Thank you Pastorr Mbaga for the wonderful preaching it gives me strength. Halleluyah. Continue preaching
Zaburi ni nomaaaa... mie sio nzuri wa kujua kuomba ila zaburi zimeniinua na mijuza nimeona, kama ujui kusali soma zaburi kutokana na shida zako, mungu ni mwema kwa kila kitu amen
AMEN be blessed pastor nice message indeed ,nimesonga atua kumbwa tangu nianze kusikiliza mahubiri yko,
Asante Pastor mungu azidi kukubari akika Nina edelea kubarikiwa kupitiya mahuburi TV kutoka RDC likini swahili ngumu Ku andika lakini una unani elewa mungu azidi kubarikiwa kupitiya wa tumichi wakubwa kama nyinyi .
Asante sana Pastor Mmbaga umenibariki sana na somo hili. Ubarikiwe sana
Pastor mungu akubariki sana maana nimeshukuru sana kwa mafunzo mazuri hallelujah AMEN
Amina pastor hakika nabarikiwa mno Mungu akubariki sana
Amen, pastor kwa kweli haya yamewai ni kuta kuitwa nchawi,kwa kweli mimi ninaamimi mungu wangu alie hai, Asante pastor kwa kunitiya nguvu ubarikiwe sana
Amen 🙏Amen
Amina pastor, God is using you in amight way .
Wonderful teachings man of God Pr Mmbaga. Blessings 💯✔️✔️✔️👏👏👏
I love your wisdom in preaching and everyday when i have a conection i love More to follow jesus Christ in mmbaga David mahuburi TV our fod be with you forever!!! so in tha i gets many things: the salvation miracle,blessed,and i recover a good health and tha make my knowledge very super...
I love your wisdom in preaching and everyday I listen to to your preaching am blessed and my understanding goes higher.
Mchungaji Mmbaga, ubarikiwe kwa utumishi wako ktk huduma hii. I'm blessed by your practical preaching.
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa bwana
Mahubiri yako yananijenga sana kiroho, nimepitiya mambo mengi katika miaka tano hiliyo pita, kwa kweli bila msahada wa mungu sijuwi ningelikuwa wapi. Mungu azidi kukujaza nguvu na hekima.
Ubarikiwe sana mtumishi wa bwana.
Mchungaji umeniongezea Imani kubwana Sana nilikata tamaa Ila kwasababu ya hubil lako imemuona bwana ubarikiwe sana
Your teaching are amazing,
Thank you for your teaching. Dickens from Kenya
pr i am blessed this morning my spirit is revived!
Ubarikiwe sana pasita kwa mafundisho manzur ❤❤
Pr.mahubiri yako yamekomboa watu wengi sanaaaa,sichoki kusikiliza masomo yako,na nmeshajiwekea kwny ratiba zangu,siwezi kuingia kulala bila kusikiliza somo lako 1kila siku, umenibadilisha Sana ktk maisha yangu kwa ujumla,barikiwa sana sana PR.Mmbaga.
Barikiwa sana pastor somo zuri Sana nimejifunza kuomba ahadi
Nmebarikiwa sana Pr, Mungu aendelee kukutumia… maana nmemuona bwana kupitia hili hubiri🙏🏾
Amen nimebarikiwa na somo hiri.Mungu apewe sifa kwa kutufunulia
Im not a Baptist..but your preachings are Bible truth! True servant of God. Be blessed!
Asante pst kwa mafundisho mazuri mungu akutie nguvu uendelee kueneza habari yesu
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu. Huwa na barikiwa sana napokuwa nakusikiliza. Mungu akulinde na akuongezee siku za kuishi ili uwafungue/uwaokoe wengi.
Mungu ashukuriwe Kwa kujibu maombi yetu ,tushangilie kwasababu ametenda tayari ,Amina
You are a blessing to me
Ubarikiwe sana pastor.Mungu azidi kukutumia
Mungu akubariki sanasana unisamehe giswwhiri kinanishinda kwandika
Amen. Nasikia raha kuendelea kusikia mafundisho yako mungu nisaindie nipe uelewa zaidi. Mlinde mtumishii wako amen.
Nimebarikiwa na somo hili,Mungu anisikie na Mimi.
Mungu apewe sifa kwa maneno makubwa ya wokovu unayo ya tamka, mubarikiwe mchungaji
Pastor you are so blessed ata mm nataka nyumba sikuwa najua Kuna kushangilia lakini kuanzia Leo nitashangilia
Asante Umen ielewesha mtumishi
Natamani kukipata icho kitabu hata cha hahina moja maana sina hata moja zaidi mchristu awezavyo kuishi hata kuishi ki imani. Amen.
Amina mawazo ambayo no mazuri...... Amen
Baba maubiri haya yamekuwa zaidi ya baraka kwangu
Barikiwa na wewe piya
Pastor asante kwa somo la Jumanne kwa kweli nimebarikiwa sana sa somo hilo. Limenikumbusha kurudia mazoea yangu ya kuomba kwa kutumia Zaburi!
GOD bless u pr mbaga
Mungu atukuzwe kwa mafundisho haya Mungu anifundishe kunyamaza kwa kila nipitiacho
Amen Amen Amen Mungu Atukuzwe kwa Mambo Makuu Ambayo Amenena Nami, napokea Ahadi Zote za Mungu na ushindi katika Nyanja zoote kwa Neema ya Yesu Napokea kwa Imani kwa Mungu Wangu. Mungu Akubariki Mchungaji David Mmbaga.
Mchungaji barikiwa kwa huduma nzuri ya kuokoa mioyo iliyoumizwa na mwovu
Your teachings really bless me nd gives me hope, I never say sina in my life 🤣🤣 I'm happy with that thanks pastor
Be blessed Mtumishi wa Mungu
what a gift from God to listen to you man of God
Ubarikiwe pastor
Umenifunzasana kwamini mugu endereya kutufundisha maneno yamungu mungu atakuripa
Amina Pastor nafurahia sana Ma Somo yako
Mungu azidi kubariki pamoja ma Familia yako na waumini wore Amina
Nikweli mutumishi wa mungu umetuongezea imani kabisa nilikuwa na mupangai wangu alisha ama lakini kule alieda akakutana mutu mmoja sijui kama nimutumishi aka mwabia asema kule ulitoka ulifunikwa kwa neema ya mwenye nyumba ni mutu wa mungu akarudi kutu pasha tukashukuru mungu 🙏🙏
Asante kwa mafundisho mazuri
Mungu akubariki sana!Nimeamka sasa
Amina pastor
Muchungaji ubarikiwe sana, mimi naku Fata toka DRC, mafudisho yako ina niongoza kiroho sana, ubarikiwe
Be blessed Pastor 🙏🏾
Ni kweli barikiwa sana
Aminaa barikiwa sana pastor Mmbaga
Barikiwa mtumizi kwa jina kuu la Yesu Amen 🙏🙏 Amen
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Amina. Mungu akubariki
Amina ubarikiwe sana ila mzae tena watoto wengi sio wawili hao
Nimeongezea imani barikiwa sana
Yesu nisaidie nibatizwe na mm
12:55 mtoto hakupata mtu wa kumshika mkono. Mtoto anamsikiliza Mch. Mmbaga kwa umakini sana. Get her feel the warmth of the kingdom of God
Amen ckujua nimemiss mazuri humu hiviii
God bless you man of God
Barikiwa xana mchungaji nimejifunza mengi
Amen God bless you too
Cool 🔥🔥🔥
Nimetumia andiko kutoka kitabu cha Isaya 41 kstika maombi yangu, hakika nimeona mabadilliko makubwa sana.
So God loves me that's why I have been crying for a child and He's not saying anything 😭😭
Have faith my sister
May God hear your prayer and bless you with a child.
Ubarikiwe mchungaji
Nimebarikiwa Sana mchungaji
Ubarikiwe Pastor. Ninawezaje kupata vitabu hivyo? Tafafhali ninaviitaji. Asante
Uko wapi
Kweli hii fundisho siyo ya kawaida, Mungu ahimidiwe sana kwa kukutayarisha ili utuhudumie kupitia hubiri hii.
Amen 🙏🏽
Pr umeongea ukweli wote. Niko na ushuhuda nilikuwa na ugonjwa wa ziwa ulionisumbua kwa muda mrefu lilikuwa linatoa damu na usaha nilipokea uponyaji siku ya meza ya Bwana kwa Imani nilijisemea moyoni leo ndo siku yangu ya uponyaji ninaposhiki damu na mwili wa Yesu nitapokea uponyaji na kurudi nyumbani msiba wa ugonjwa ukiwa haupo mwilini mwangu.
Amen ukiamini.....
Barikiwa pr
Mahubiri yako iko n baraka .unahubiri kwa hekima na utaratibu
Amina barikiwa
Hallelujah!
Kwakweli mimi mchungaji nime helewa lkn bado niko mbali sana na roho mtakatifu
Namimi ninge itaji kitabu hicho cha imani lkn niko mbali niko marecani
Hata huko kipo. Nenda kwenye maduka ya vitabu ya wasabato uliza kitabu kinachoitwa LIVING BY FAITH by Wagoner
@@MahubiriPrMmbaga pastor nipo dar es salaam nitapata wapi vitabu vyako?
Somo hili nkama nlangu asante nmeinuliwa sana
Mwenye no ya pr mbaga anisaidie
Amen
Amen mchungaji,mm nipo morogoro vitabu vinapatikana wap?
1 John 4:17
[17]In this [union and communion with Him] love is brought to completion and attains perfection with us, that we may have confidence for the day of judgment [with assurance and boldness to face Him], because as He is, so are we in this world.
Alfayo Daniel
MUNGU Akupe siku yingi umbalikiwe sana
Nomeku fwata Ku toka Drc 🇨🇩
Pastor naomba uuniombee
Nasyhua nasumbuliwa na nguvu za Giza
Kwa hakika mahubiri yako yanajenga , ninapokuskia napata amani katika mawazo yangu
God bless you pastor
Hapa sijatoka bure..🙏