TANZANIA ITAENDELEZA USHIRIKIANO NA UJERUMANI ,ASEMA DKT SAMIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 окт 2023
  • Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu amesema Serikali ya Tanzania na Ujerumani zimefanya kazi katika sekta mbalimbali nchini ikiwemo sekta ya afya, maji,kilimo, elimu (scholarships) utalii na utamaduni, michezo, ulinzi Maliasili, Hifadhi ya mazingira na udhibiti wa fedha

Комментарии •