RAIS SAMIA AMTUMA MTOTO WAKE KWENDA KWA MWIMBAJI MWANAHAWA ALI, "NIMETUMWA NA MAMA, MILIONI 10 HII"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 332

  • @user-gy9ru7hs7x
    @user-gy9ru7hs7x 5 месяцев назад +12

    Allah amzidishie Rais wetu kuwa na moyo wa Iman kwa kuwaona wenye matatizo. Ameen

  • @Rahima-kv6mn
    @Rahima-kv6mn 5 месяцев назад +15

    Wakati wa Mungu ndio Wakati Sahihi🙏🙏

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 5 месяцев назад +7

    Alhamdulilah na Saleheclassic ana swawabu zake kwasababu yeye ndie alie kwenda kumuhoji Bi Mwanahawa last week . Allah ashukuriwe zaidi na zaidi. Rais Samia hongera kwako Allah atakulipa In shaa Allah.

  • @chumviyamawe7502
    @chumviyamawe7502 5 месяцев назад +16

    Kwanz mshukul mungu bi mwanahawa kwa yote alaf rais wa nchi na salehe wa show bizz maan yy ndy alikuhoji had rais akakuona big up kwa salehe

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 5 месяцев назад +3

      Kila kitu kina sababu yake na imeandikwa na Mungu. Alhamdulilah

    • @BabyJ-td5zc
      @BabyJ-td5zc 3 месяца назад

      Kweli kabisa​@@awatifalghanim1106

  • @ShariahajiOmar
    @ShariahajiOmar 5 месяцев назад +5

    Ahsante mama Samia Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kujali wananchi wako katika kuwatatulia shida zao. Allah akupe afya njema ili uweze kufanya majukumu yako ipasavyo pia akuzidishie imani na huruma kwa wananchi wako. Mitano tena usiwe na wasi tunakupenda Sana mamayetu kipenzi chetu.❤❤❤❤

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 5 месяцев назад

      UKOLONI WA TANGANYIKA
      SASA BASI
      Kilio cha Wazalendo wa kwao Zanzibar, wanataka Mamlaka Kamili.
      Mauwaji na dhila ya Miaka 60 ya Ukoloni wa Tanganyika sasa basi

  • @daudmasige-xx9sx
    @daudmasige-xx9sx 5 месяцев назад +32

    Inshallah mama kwa wema wako mwenyemzi MUNGU wa mbinguni akutunze pia akupe umri mrefu mama Samia Allah kareem

  • @mwajohari4385
    @mwajohari4385 5 месяцев назад +10

    Allah skupe hifadhi na sitara Mama,,,mtoto wa mama,, usiache kupandisha shungi lako nadhan ushanielewa,,,upo vizuri sana unsjitahid binti kama wewe Masha Allah

  • @KarmaKonyeza
    @KarmaKonyeza 5 месяцев назад +24

    huyu mama samia hata sina cha kusema zaidi kumuombea duwaa

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu 5 месяцев назад +7

    Mashaallah mungu awabaliki sana rais wetu mungu ampe afya njema

  • @FatimaMohamed-n5h
    @FatimaMohamed-n5h 5 месяцев назад +5

    Allah Subhanna amhifadhi Raisi wetu na amlipe Kwa wema wake Maskiin pole Mama Samiya tunakupenda Kwa ajili ya Allah Subhanna wataala

  • @hamismasoud8306
    @hamismasoud8306 5 месяцев назад +5

    Mama Mwanahawa achana na taarabu itengeneze akhera yako umri umeenda huo Allah akusamehe yaliyopita InshaAllah

  • @zainabmirza4581
    @zainabmirza4581 5 месяцев назад +8

    Mimi napenda mama samia kwa kujitolea kwake Allah akuhifadhi na maduwi yaraab ❤

  • @zehrazam1210
    @zehrazam1210 5 месяцев назад +5

    Allah amhifadhi mama Samia, Ampe nguvu na uwezo wa kuwasaidia wanaohitaji msaada.
    Super mama Nampenda tokea zamani.❤

    • @hamisimkulu6571
      @hamisimkulu6571 5 месяцев назад

      Kwakweli amemuurumia dadaake Allah atamlipa badala allahumma aameen

  • @aminashayo9263
    @aminashayo9263 5 месяцев назад +1

    Mheshimiwa Samia Suluhu Hsssan you touched my heart kwa kweli, kweli naamini kila mja huletwa duniani na mwenyezi Mungu kwa makusudi maalum kwa ajili ya kuujenga ufalme wake, roho yako na moyo wako ni vya kipekee Mwanahawa akila, akitibiwa, akipona, akiwa na nguvu akasali ni kuujenga ufalme wa Mungu ila nae aache taarabu sasa aimbe Qasda, umri umeenda amgeukie Mungu sasa kwa toba na kunyenyekea.

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 5 месяцев назад +2

    mama samia mungu akubaliki wengi tulikua tukierekeza comment nyingi kwako umsaidie huyu mama kama umeguswa kama hivi Asante maisha ya dunia niyakupta2 bora ujitambue kama hivi

  • @ubahamisi431
    @ubahamisi431 5 месяцев назад +8

    Mama samia ni Rais wa ajabu mola amzidishie yani anafatilia sana wananchi wake na kuwaenua❤❤

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 5 месяцев назад +1

    Mashaallah Mashaallah Allah akupe umr mama samia na saleh ww ndio sababu Allah aibariki kazi ya mikono yako😊😊😊

  • @haidarijuma9023
    @haidarijuma9023 5 месяцев назад +2

    Allah akulindena akulipe heri Rais wetu,umeonesha huruma na uungwana Kwa binadamu mwenzio .

  • @tiffahdangote7548
    @tiffahdangote7548 5 месяцев назад +3

    Watu wanateseka sana na maisha! Rais Samia nadhani angeweka namna ya kusaidia watu Kwa wingi .....hii mchezo wa kusaidia mtu mmoja mmoja....sio mbaya ila ni wengi sana wanakuhitaji! Wengi Wana shida ni wengi munooooo! Tengeneza namna ya kufikia watu Kwa wingi zaidi tunakupenda sana mama yetu rais Samia Mungu akutunze!

    • @FabianTebeka
      @FabianTebeka 5 месяцев назад

      Kweli kabisa yeye anadili na watu maharufu tu mbona atuoni kama alivyokuwa anafanya magufuri

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 5 месяцев назад +4

    Hongera sana Mhe Rais Kwa Iman yako.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 5 месяцев назад

      Kuna watu wamejaaliwa duniani na kesho Akhera. Subhana Allah

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 5 месяцев назад +2

    Mashallah Allah mama yangu anakupenda sanaaa mbaka Kesho aswaaa Ngoma hiz RABBY NILINDE, UMASIKIN WANGU, ROHO MBAYA HAIJENGI, KINYAGO CHA CHA MPAPURE, MWANAMKE KHULKA, inshallah mwaka wakuldi bongo nakuja mama kukusalimia Inshallah pole snaa Kwa maradhi

  • @khadijaali4657
    @khadijaali4657 5 месяцев назад +2

    Mashallah Tabaraka Allah mungu azidi kumbariki mama Samia inshallah sis wakenya pia Rais wetu ruto angakua kama hivi tungekua vzuri sana ila tangu apate madaraka ndio amezidi kutudidimiza kwa kila upande hata rate pia ameshikisha yaani mateso juu ya mateso

    • @sikukuubdallasikukuubdalla6800
      @sikukuubdallasikukuubdalla6800 5 месяцев назад

      Allah Kareem wakenya tuombeni MUNGU allah yupamoja nasi na halitufiki jambo illa alilo tuandikia Allah wabillahi taufiiq.

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 5 месяцев назад +4

    Salehe clasic tunakushkuru ' umefanya kazi sana

  • @emmanuelybonifase4017
    @emmanuelybonifase4017 5 месяцев назад +6

    Asante sana mh samia suluhu Hasan Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa msaada wako, Tunashukulu

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 5 месяцев назад +6

    Hongera sana kwa mama yetu mhe Rais wetu.Samia suluhu Hassan.Kila lililo jema kwako.Kikubwa unachotoa basi kinga kwako napia yaliyo mema yatazidi kuwq neema kwako.Mhe

  • @thedon8467
    @thedon8467 5 месяцев назад +10

    RSISI MWENYE IMANI WOW MASHAALLAH TABARAKALLAH

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 5 месяцев назад +1

    Mashaallah mama Samia mungu akupe kila laheri Kwa kunikumbuka huyu bimwanahawa❤❤❤ anasauti nzuri bimwana hawa🎉🎉

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 5 месяцев назад +3

    Safi Raisi wetu Mama Samia,ila sasa nawewe achana na mambo ya music ,pamabana na sehemu itwayo Msikitini, kwama maana mara 5 kwa siku

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 5 месяцев назад +6

    Mwambie mama samia hongera yake sana sio tu kwa kuliongoza Taifa hili, bali pia kwa hii mali safi aliyotuletea, ni mwanamke mrembo sana mwenye stala yake, Mungu awatunze na aimarishe afya zenu inshaallah.

  • @semunassari6637
    @semunassari6637 5 месяцев назад +3

    Kweli Samia weye si mwanamke ni mama KWELI!
    Mungu akubariki,endelea na moyo wako wakuwahurumie wanadamu wenye uhitaji.
    "UKIMSAIDIA MASKINI UMEMKOPESHA MUNGU" Mungu atakulipa

  • @SabahHassan-z7d
    @SabahHassan-z7d 5 месяцев назад +1

    Mama samia hongera sana kwa moyo wako wa upendo .Allah akubariki ishaallah.

  • @tabutabu8900
    @tabutabu8900 5 месяцев назад +1

    MASHA ALLAH Masha Allah rais wetu ALLAH Akuweke inshallah maana sio jambo dg kumkumbuka mama kama huyu❤❤❤❤

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 5 месяцев назад

      Ukipata malezi mazuri, ukafundishwa Imani na ukarimu mwisho wake huwa hivyo kwa binaadam wenzako.

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 5 месяцев назад +6

    Hongera mama samiha kwa kumsaidia bi mwanahawa mungu akulinde kama ulivyomsaidia mashallah

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi5281 5 месяцев назад +4

    Mashallah Allah Mwenyezi Mungu akuzidishie mama Samia. Mfungulieni biashara endelevu.

  • @user-ih4kw5eb3d
    @user-ih4kw5eb3d 5 месяцев назад

    Masha Allah Mama samia Mungu amueke kwahutu alonao, kenya Raisigani anaweza kufanya jambo kama hili wacha Mwenyezi Mungu awabariki watanzania na Mama yetu Samia Sluh Hassan, japo nimkenya lkn napenda ukarimu waviongozi watanzania na mienendo yao Mungu ibariki tanzania .

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 5 месяцев назад

    Yaani Samia Mungu akulinde kipenzi chetu,toka zamani tunaokujua una roho nzuri,Mungu akuepushe na kila shari Dada yangu! Mheshimiwa Rais,naona fahari nikikuita kwa jina lako,ukifanya haya unapendezwa ukiitwa kwa jina lako!Hamisi

  • @AminaIssa-ee6kl
    @AminaIssa-ee6kl 4 месяца назад +1

    Swaleh wa Show biz ndio chanzo.... Mashallah.

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 5 месяцев назад +1

    hongera mama na mie nisadie sitaki pesa nikuone tu nipige picha na weye weye ni mtu muhimu mwenye imani utu hikima na ubinaadamu❤

  • @AsmaAlly-m9i
    @AsmaAlly-m9i 5 месяцев назад +1

    Mama mamaaa natamani niliee kwa furaha yaniii sisi tuliondokea naona kama tumepata mamaaa kiukweli mungu akulinde na shali mama Samia mama samiaaaaaaaa tunakupenda sanaaaaaa

  • @OmanOman-gu1wy
    @OmanOman-gu1wy 5 месяцев назад +10

    Honger mama samia kwakuskia kilio chama yetu

  • @anwarbabubabu8887
    @anwarbabubabu8887 5 месяцев назад +1

    Mama rudi kwa mwenyezi mungu imba kaswida muda mdogo kwako

  • @mchangashehe6365
    @mchangashehe6365 4 месяца назад

    Mashaa Allah jazakallahu khairà jazza wabarikfiik. Mama tunakupenda na hatuna la kufanya kukonesha upendo wetu zaidi ya kukuombea duaa . Alla akupe kila lenye kheri akufanyie wepesi katika uongozi wako akujaalie mwisho mwema. Lakini mama wanahitaji ni wengi ingependeza kuhamasisha viongozi wengine wanawake kukaanzishwa mfuko maalum ambao utaratibiwa vizuri na miongoni mwa waratibu itapendeza akiwemo dadaetu Wanu ili kuweza kusaidia waliona uhitaji kama huu kwani wako wengi mama lkn kwa vile hawajitangazi inakuwa ngumu kuwafikia. Tunakupenda mamaa.

  • @MariamNasoro-xy3ep
    @MariamNasoro-xy3ep 4 месяца назад +1

    Bi mwanahawa usijali twakuombea kila la khery❤

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 5 месяцев назад +5

    Maashaallah wallah nilimuonea huruma san wamefanya vizuri wallah

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek 5 месяцев назад +2

    Awali shkrn kwa kjn wetu Saleh(Zamaradi tv),pia kiongozi wetu Mhs.Rais wa Jamhuri ya Muungano Tz(Mhs.Samia S.Hassan), kwa moyo wa iman kumkumbuka mkongwe wa fani ya taarab,Rabbi awalipe mema nyote,hakika Tz yetu ni nchi ya UPENDO.

  • @BimkubwaJuma-ew5dg
    @BimkubwaJuma-ew5dg 5 месяцев назад +4

    Mungu akulinde mama Samia mungu atakulipa pepo akusameh makosa yako yote akupe pepo zadunia na akhera pia akulinde mamamola wetu

  • @rehemaadam4102
    @rehemaadam4102 5 месяцев назад

    Mama Samia nakupenda sana mama yangu Mungu akuzidishie baraka napenda unavyowajali watu Allah akujaze kheri .

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 4 месяца назад

    Allah atakulipa kwa wema wako, Rais wetu Dr. Samia.

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q 5 месяцев назад +3

    nampenda sn mama Samia from Burundi bibi yangu mwana hawa achakuimba ss mche mola wako ulisema ukipata pesa utacha nyimbo nakutakia mwisho mwema

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 5 месяцев назад +3

    Mama samia hongera sana kwa wema wako,lkn pia bi mwanahawa mungu kupe afya inshallah😂😂

  • @AishaHussein-up4xc
    @AishaHussein-up4xc 4 месяца назад

    Mshallah mama Samia rais wa wanyonge

  • @jeskakahangwa4692
    @jeskakahangwa4692 5 месяцев назад +4

    Wow. Our president is very humoral ,may our lord bless you more❤

  • @meandme3437
    @meandme3437 4 месяца назад

    Allah ape umri na afya njema mama Samiya

  • @berthakalori195
    @berthakalori195 5 месяцев назад +1

    Mama samia raisii s wangu nakupenda sana mwenyezi mungu akupe miaka mingi yakuish nakutuongoza kula yangu naitanguliza belle yako mama nakupenda sanamm

  • @AmenaMm-r5t
    @AmenaMm-r5t 4 месяца назад

    Aallah akuifathi mama samia azid kukupa rizki yak ya halali

  • @berthakalori195
    @berthakalori195 5 месяцев назад +4

    Nimeteseka namaisha sana nimeria sana laisi wangu sina chakukulipa zaidi yakukuambia asante sana umeingia tuu madarakani huo huo mwaka mama akatoa ajira wanangu wawili wote waripata ajila rais wangu nakuombea baraka kwamungu raosi wangu nakupenda sana mmmnatamani hata siku moja tushikane mukono rais wangu nipo geita naitwa betha karolii

  • @HabibaHassan-t2u
    @HabibaHassan-t2u 4 месяца назад

    Hakika nimefurahi sana kwa kumsaidia huyu mama Allah awabariki❤❤❤

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 4 месяца назад

    Uyu ndo samia mwenyewe au mashaallah

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 5 месяцев назад +1

    Allhamdulillah..Allah amjaalie Afya Raisiwetu. ...Allah ampe.moyowaupendo kwakilamja pia ampe subra kwakilaatua atuongozetena. Amyn

  • @nereaigogo4442
    @nereaigogo4442 5 месяцев назад +4

    Bora kamtuma mwanawe
    Mama mwenyewe angesema aje, mziki wake kwenye mambo ya usalama
    Wananchi hapo mtaani wangeteseka sana

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 5 месяцев назад

      Ni kweli.
      Ingekua shughuli pevu.😊😊😊

  • @janetymatola6639
    @janetymatola6639 5 месяцев назад +1

    Mama Samia mama Samia asante ❤❤❤❤we loves you forever

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 5 месяцев назад +2

    Msanii wa siku nyingi lkn maisha anayoishi mtihani

  • @aishamzeehamissi6859
    @aishamzeehamissi6859 5 месяцев назад

    Asalam Hongera Rais wetu mama yetu mlezi Allwaa akuzidishie kila ulipopunguza kwa kujali wananchi wako . C.C.M
    HOYEEEEEEÈ😊😊

  • @annachales9623
    @annachales9623 5 месяцев назад

    Yaani nimefurahi sana huyu mama aliimba nyimbo nzuri sana.Sikutegemea kama Bi Mwanahawa Ally angekuwa na maisha haya...

  • @KadumaIssa
    @KadumaIssa 5 месяцев назад

    Allah akuzidishie mama yetu kipenzi Cha waTanzania mama mitano tena

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 5 месяцев назад

    Asante sana Rais Mama Samia kwa kuwakumbuka wenye mahitaji.👏🏽👏🏽

  • @MonicaBenitomwalongo
    @MonicaBenitomwalongo 5 месяцев назад

    Mashalah mungu akuongezee ulipo toa mama Samia tunakupenda sana rais wetu

  • @BakariAthumani-vs8lk
    @BakariAthumani-vs8lk 5 месяцев назад

    Mashallah mtoto wa mama samia umejua kupendeza nimekupenda kwajiri ya allah ww na mama ako muishi miaka tele Kwa tele

  • @Husnarajab-kz3ip
    @Husnarajab-kz3ip 5 месяцев назад +1

    Napenda wamama wa kizanzibari wanabusara sana mashaallah

  • @NusuraSeif
    @NusuraSeif 4 месяца назад

    mwenyezimungu akulipe raisi wetu, mitano tena

  • @MariamNasoro-xy3ep
    @MariamNasoro-xy3ep 4 месяца назад

    Mashallah mama Samia mungu akubariki akupe ziada kila la khery mashallah tabaraka llah.

  • @SadahMbarouk
    @SadahMbarouk 5 месяцев назад

    Rais wetu Allah akulinde

  • @beatricenduwamariya6450
    @beatricenduwamariya6450 5 месяцев назад

    Mama samia,❤❤❤❤

  • @salamabakari8384
    @salamabakari8384 5 месяцев назад

    Nunuwa nyumɓa ikodishe itakusaidia kila mwezi pesa itakusaidia mamaangu ❤❤

    • @user-gy9ru7hs7x
      @user-gy9ru7hs7x 5 месяцев назад

      Ni ushauri mzuri umeonyeshwa njia fata. Alichopewa ni kafunguliwa njia.

  • @Mwinyi77
    @Mwinyi77 5 месяцев назад +3

    Huyu si ndiye Mama aliyesema wema hauozi na wema ni hazina kwa mungu.
    Alisomesha sana mule kama ndiye yeye❤

  • @hamadfaki7625
    @hamadfaki7625 5 месяцев назад

    I wish to say Allah akulinde na hasad akudumishe katika uchamungu akusamehe makosayako atuongezee hekima katika urais wanko na nje ya urais pia akujaalishe la laailahaillah Muhammad rasulullah namuomba Allah pamoja nawe atufufue na kipenzi chetu mtume Muhammad swalallahu alaih wasalallam

  • @abdallahjambia6596
    @abdallahjambia6596 5 месяцев назад

    Maashallah ❤❤❤❤❤

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 5 месяцев назад

    Mashaallah watu wazuri huonekana mapema. ❤❤❤

  • @HabibaHassan-t2u
    @HabibaHassan-t2u 4 месяца назад

    Natamani Rais wa Kenya angefanya kama hivi MashaAllah

  • @AlkhaAlkha-d4s
    @AlkhaAlkha-d4s 5 месяцев назад

    Mwenyezi mungu akuzidishie pale ulipotoa mama yetu

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 5 месяцев назад +3

    Mh Samia amemlea binti yake ktk maadili mema.

  • @shabanimwinyikhery1174
    @shabanimwinyikhery1174 5 месяцев назад

    Mtoto wa mama mashallah ..

  • @agnesswai7174
    @agnesswai7174 5 месяцев назад +1

    Nimeipenda hii,,Hivi ndo inavyotakiwa kumjali mwenzio hasa wakati Wa Shida

  • @salhalema9668
    @salhalema9668 5 месяцев назад +3

    Allah akulipe kheri Mama Samia ❤

  • @allykassim1120
    @allykassim1120 5 месяцев назад

    hongera mama Samia Kwa kuwakumbuka! wakongwe mungu akusaidie

  • @JoyceHaule-o7b
    @JoyceHaule-o7b 5 месяцев назад +6

    Mama Samia ubarikiwe sana

  • @mwatummselem2411
    @mwatummselem2411 5 месяцев назад

    Mtihani kwakweli mungu akusaidinye kwakweli amen

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki5478 5 месяцев назад

    EWE MUNGU MUWEZA.UNAIPENDA SAANA AFRIKA.UNAIPENDA TANZANIA.WATANZANIA.TUJIVUNIE KUWA NARAIS MAMA. MWENYE MACHO YAMBELE NANYUMA.❤LOVE MAMA SAMIA M.MUNGU AKULINDE UKIWA MACHO NAHATA UKIWA USINGIZINI.

  • @EdsonMartin-e3k
    @EdsonMartin-e3k 5 месяцев назад +1

    Sawa, jambo jema kustiliana wanawake huyu mama nampenda kwa kazi zake tu,ana stahili heshima kwa kweli..sio wasanii sifaaa nyingi

  • @user-bo9ik8en6b
    @user-bo9ik8en6b 5 месяцев назад

    Mama Samia Mungu kamuumba na roho yake jamani,tena anaumwa sanaa na shida za wanawake na watoto kiukweli.Allah amzidishie imani na ampe ulinzi na ushindi mkubwa dhidi ya wale wote wanaomshuhudia ubaya na kumtakia shari kwa uwezo wa Mungu hayatomfika na atazidi kung'ara InshaAllah

  • @neamusic2601
    @neamusic2601 5 месяцев назад

    ALLAH amjaalie huyu bibi siha njema inshaallah hajaulizwa kama atapunguza kuimba...kwa sasa.

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 5 месяцев назад

    Wema wana.maisha, wenye nafasi wawasaidie wasionacho,amen,mama mungu akutunze sana.

  • @MiwagoTz
    @MiwagoTz 5 месяцев назад +14

    HONGERA SANA RAISI WETU

  • @veronicamaganga8737
    @veronicamaganga8737 5 месяцев назад

    Mungu ambariki sana rais wetu mama Samia

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya5355 5 месяцев назад

    Hongera sana Mama mpendwaRaisi Samia kwa utu wako maana wengine wakipata madaraka wanashindwa kusaidia hata ndugu zao

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 5 месяцев назад +1

    Ubaguzi huo kunawatu wanaumwa mpaka amefariki jaman inauma sana 😢😢😢😢

    • @AminiMsellem-gk3yy
      @AminiMsellem-gk3yy 5 месяцев назад

      Huwezi kupendwa n'a wote mama anajitahidi n'a hawezi kusaidia wote we Sema ana ubaguzi lkn Mungu ndo anamuona

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 4 месяца назад

    Kwa rehma ya mungu alifanya njia nyingine ya toba kwa binadamu akiwa baado uhai asiache toba madam roho bado haijatoka lakini usingoje siku yako ya mwesho ukasema sasa ni tatubu haitakubaliwa NA mwesho wako motoni milele

  • @HassanMkotya
    @HassanMkotya 5 месяцев назад

    Rais Samia Suluhu Hassan ninakuombea kwa Mungu Muumba Afya timamu na roho Yako nzuri yakutoa kwa mama huyu bi Mwanahawa Ally ninampenda sana.

  • @aminamzuri9933
    @aminamzuri9933 5 месяцев назад

    Dua zuri mwenyezimungu ampe na yy apate mashaallah

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 5 месяцев назад +5

    Hakuna kama mama Safi sana mama samia ❤❤❤