Alhamdulilah na Saleheclassic ana swawabu zake kwasababu yeye ndie alie kwenda kumuhoji Bi Mwanahawa last week . Allah ashukuriwe zaidi na zaidi. Rais Samia hongera kwako Allah atakulipa In shaa Allah.
Ahsante mama Samia Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kujali wananchi wako katika kuwatatulia shida zao. Allah akupe afya njema ili uweze kufanya majukumu yako ipasavyo pia akuzidishie imani na huruma kwa wananchi wako. Mitano tena usiwe na wasi tunakupenda Sana mamayetu kipenzi chetu.❤❤❤❤
UKOLONI WA TANGANYIKA SASA BASI Kilio cha Wazalendo wa kwao Zanzibar, wanataka Mamlaka Kamili. Mauwaji na dhila ya Miaka 60 ya Ukoloni wa Tanganyika sasa basi
Allah skupe hifadhi na sitara Mama,,,mtoto wa mama,, usiache kupandisha shungi lako nadhan ushanielewa,,,upo vizuri sana unsjitahid binti kama wewe Masha Allah
Mheshimiwa Samia Suluhu Hsssan you touched my heart kwa kweli, kweli naamini kila mja huletwa duniani na mwenyezi Mungu kwa makusudi maalum kwa ajili ya kuujenga ufalme wake, roho yako na moyo wako ni vya kipekee Mwanahawa akila, akitibiwa, akipona, akiwa na nguvu akasali ni kuujenga ufalme wa Mungu ila nae aache taarabu sasa aimbe Qasda, umri umeenda amgeukie Mungu sasa kwa toba na kunyenyekea.
mama samia mungu akubaliki wengi tulikua tukierekeza comment nyingi kwako umsaidie huyu mama kama umeguswa kama hivi Asante maisha ya dunia niyakupta2 bora ujitambue kama hivi
Watu wanateseka sana na maisha! Rais Samia nadhani angeweka namna ya kusaidia watu Kwa wingi .....hii mchezo wa kusaidia mtu mmoja mmoja....sio mbaya ila ni wengi sana wanakuhitaji! Wengi Wana shida ni wengi munooooo! Tengeneza namna ya kufikia watu Kwa wingi zaidi tunakupenda sana mama yetu rais Samia Mungu akutunze!
Mashallah Allah mama yangu anakupenda sanaaa mbaka Kesho aswaaa Ngoma hiz RABBY NILINDE, UMASIKIN WANGU, ROHO MBAYA HAIJENGI, KINYAGO CHA CHA MPAPURE, MWANAMKE KHULKA, inshallah mwaka wakuldi bongo nakuja mama kukusalimia Inshallah pole snaa Kwa maradhi
Mashallah Tabaraka Allah mungu azidi kumbariki mama Samia inshallah sis wakenya pia Rais wetu ruto angakua kama hivi tungekua vzuri sana ila tangu apate madaraka ndio amezidi kutudidimiza kwa kila upande hata rate pia ameshikisha yaani mateso juu ya mateso
Hongera sana kwa mama yetu mhe Rais wetu.Samia suluhu Hassan.Kila lililo jema kwako.Kikubwa unachotoa basi kinga kwako napia yaliyo mema yatazidi kuwq neema kwako.Mhe
Mwambie mama samia hongera yake sana sio tu kwa kuliongoza Taifa hili, bali pia kwa hii mali safi aliyotuletea, ni mwanamke mrembo sana mwenye stala yake, Mungu awatunze na aimarishe afya zenu inshaallah.
Kweli Samia weye si mwanamke ni mama KWELI! Mungu akubariki,endelea na moyo wako wakuwahurumie wanadamu wenye uhitaji. "UKIMSAIDIA MASKINI UMEMKOPESHA MUNGU" Mungu atakulipa
Masha Allah Mama samia Mungu amueke kwahutu alonao, kenya Raisigani anaweza kufanya jambo kama hili wacha Mwenyezi Mungu awabariki watanzania na Mama yetu Samia Sluh Hassan, japo nimkenya lkn napenda ukarimu waviongozi watanzania na mienendo yao Mungu ibariki tanzania .
Yaani Samia Mungu akulinde kipenzi chetu,toka zamani tunaokujua una roho nzuri,Mungu akuepushe na kila shari Dada yangu! Mheshimiwa Rais,naona fahari nikikuita kwa jina lako,ukifanya haya unapendezwa ukiitwa kwa jina lako!Hamisi
Mama mamaaa natamani niliee kwa furaha yaniii sisi tuliondokea naona kama tumepata mamaaa kiukweli mungu akulinde na shali mama Samia mama samiaaaaaaaa tunakupenda sanaaaaaa
Mashaa Allah jazakallahu khairà jazza wabarikfiik. Mama tunakupenda na hatuna la kufanya kukonesha upendo wetu zaidi ya kukuombea duaa . Alla akupe kila lenye kheri akufanyie wepesi katika uongozi wako akujaalie mwisho mwema. Lakini mama wanahitaji ni wengi ingependeza kuhamasisha viongozi wengine wanawake kukaanzishwa mfuko maalum ambao utaratibiwa vizuri na miongoni mwa waratibu itapendeza akiwemo dadaetu Wanu ili kuweza kusaidia waliona uhitaji kama huu kwani wako wengi mama lkn kwa vile hawajitangazi inakuwa ngumu kuwafikia. Tunakupenda mamaa.
Awali shkrn kwa kjn wetu Saleh(Zamaradi tv),pia kiongozi wetu Mhs.Rais wa Jamhuri ya Muungano Tz(Mhs.Samia S.Hassan), kwa moyo wa iman kumkumbuka mkongwe wa fani ya taarab,Rabbi awalipe mema nyote,hakika Tz yetu ni nchi ya UPENDO.
Mama samia raisii s wangu nakupenda sana mwenyezi mungu akupe miaka mingi yakuish nakutuongoza kula yangu naitanguliza belle yako mama nakupenda sanamm
Nimeteseka namaisha sana nimeria sana laisi wangu sina chakukulipa zaidi yakukuambia asante sana umeingia tuu madarakani huo huo mwaka mama akatoa ajira wanangu wawili wote waripata ajila rais wangu nakuombea baraka kwamungu raosi wangu nakupenda sana mmmnatamani hata siku moja tushikane mukono rais wangu nipo geita naitwa betha karolii
I wish to say Allah akulinde na hasad akudumishe katika uchamungu akusamehe makosayako atuongezee hekima katika urais wanko na nje ya urais pia akujaalishe la laailahaillah Muhammad rasulullah namuomba Allah pamoja nawe atufufue na kipenzi chetu mtume Muhammad swalallahu alaih wasalallam
Mama Samia Mungu kamuumba na roho yake jamani,tena anaumwa sanaa na shida za wanawake na watoto kiukweli.Allah amzidishie imani na ampe ulinzi na ushindi mkubwa dhidi ya wale wote wanaomshuhudia ubaya na kumtakia shari kwa uwezo wa Mungu hayatomfika na atazidi kung'ara InshaAllah
Kwa rehma ya mungu alifanya njia nyingine ya toba kwa binadamu akiwa baado uhai asiache toba madam roho bado haijatoka lakini usingoje siku yako ya mwesho ukasema sasa ni tatubu haitakubaliwa NA mwesho wako motoni milele
Allah amzidishie Rais wetu kuwa na moyo wa Iman kwa kuwaona wenye matatizo. Ameen
Ameen
Wakati wa Mungu ndio Wakati Sahihi🙏🙏
Alhamdulilah na Saleheclassic ana swawabu zake kwasababu yeye ndie alie kwenda kumuhoji Bi Mwanahawa last week . Allah ashukuriwe zaidi na zaidi. Rais Samia hongera kwako Allah atakulipa In shaa Allah.
Kwanz mshukul mungu bi mwanahawa kwa yote alaf rais wa nchi na salehe wa show bizz maan yy ndy alikuhoji had rais akakuona big up kwa salehe
Kila kitu kina sababu yake na imeandikwa na Mungu. Alhamdulilah
Kweli kabisa@@awatifalghanim1106
Ahsante mama Samia Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kujali wananchi wako katika kuwatatulia shida zao. Allah akupe afya njema ili uweze kufanya majukumu yako ipasavyo pia akuzidishie imani na huruma kwa wananchi wako. Mitano tena usiwe na wasi tunakupenda Sana mamayetu kipenzi chetu.❤❤❤❤
UKOLONI WA TANGANYIKA
SASA BASI
Kilio cha Wazalendo wa kwao Zanzibar, wanataka Mamlaka Kamili.
Mauwaji na dhila ya Miaka 60 ya Ukoloni wa Tanganyika sasa basi
Inshallah mama kwa wema wako mwenyemzi MUNGU wa mbinguni akutunze pia akupe umri mrefu mama Samia Allah kareem
Allah skupe hifadhi na sitara Mama,,,mtoto wa mama,, usiache kupandisha shungi lako nadhan ushanielewa,,,upo vizuri sana unsjitahid binti kama wewe Masha Allah
Amin. Hifadhi kwa wote.
Ameeen@@awatifalghanim1106
huyu mama samia hata sina cha kusema zaidi kumuombea duwaa
Mashaallah mungu awabaliki sana rais wetu mungu ampe afya njema
Allah Subhanna amhifadhi Raisi wetu na amlipe Kwa wema wake Maskiin pole Mama Samiya tunakupenda Kwa ajili ya Allah Subhanna wataala
Mama Mwanahawa achana na taarabu itengeneze akhera yako umri umeenda huo Allah akusamehe yaliyopita InshaAllah
Amiin 😢
Mimi napenda mama samia kwa kujitolea kwake Allah akuhifadhi na maduwi yaraab ❤
Amin
Allah amhifadhi mama Samia, Ampe nguvu na uwezo wa kuwasaidia wanaohitaji msaada.
Super mama Nampenda tokea zamani.❤
Kwakweli amemuurumia dadaake Allah atamlipa badala allahumma aameen
Mheshimiwa Samia Suluhu Hsssan you touched my heart kwa kweli, kweli naamini kila mja huletwa duniani na mwenyezi Mungu kwa makusudi maalum kwa ajili ya kuujenga ufalme wake, roho yako na moyo wako ni vya kipekee Mwanahawa akila, akitibiwa, akipona, akiwa na nguvu akasali ni kuujenga ufalme wa Mungu ila nae aache taarabu sasa aimbe Qasda, umri umeenda amgeukie Mungu sasa kwa toba na kunyenyekea.
mama samia mungu akubaliki wengi tulikua tukierekeza comment nyingi kwako umsaidie huyu mama kama umeguswa kama hivi Asante maisha ya dunia niyakupta2 bora ujitambue kama hivi
Mama samia ni Rais wa ajabu mola amzidishie yani anafatilia sana wananchi wake na kuwaenua❤❤
Mashaallah Mashaallah Allah akupe umr mama samia na saleh ww ndio sababu Allah aibariki kazi ya mikono yako😊😊😊
Allah akulindena akulipe heri Rais wetu,umeonesha huruma na uungwana Kwa binadamu mwenzio .
Watu wanateseka sana na maisha! Rais Samia nadhani angeweka namna ya kusaidia watu Kwa wingi .....hii mchezo wa kusaidia mtu mmoja mmoja....sio mbaya ila ni wengi sana wanakuhitaji! Wengi Wana shida ni wengi munooooo! Tengeneza namna ya kufikia watu Kwa wingi zaidi tunakupenda sana mama yetu rais Samia Mungu akutunze!
Kweli kabisa yeye anadili na watu maharufu tu mbona atuoni kama alivyokuwa anafanya magufuri
Hongera sana Mhe Rais Kwa Iman yako.
Kuna watu wamejaaliwa duniani na kesho Akhera. Subhana Allah
Mashallah Allah mama yangu anakupenda sanaaa mbaka Kesho aswaaa Ngoma hiz RABBY NILINDE, UMASIKIN WANGU, ROHO MBAYA HAIJENGI, KINYAGO CHA CHA MPAPURE, MWANAMKE KHULKA, inshallah mwaka wakuldi bongo nakuja mama kukusalimia Inshallah pole snaa Kwa maradhi
Mashallah Tabaraka Allah mungu azidi kumbariki mama Samia inshallah sis wakenya pia Rais wetu ruto angakua kama hivi tungekua vzuri sana ila tangu apate madaraka ndio amezidi kutudidimiza kwa kila upande hata rate pia ameshikisha yaani mateso juu ya mateso
Allah Kareem wakenya tuombeni MUNGU allah yupamoja nasi na halitufiki jambo illa alilo tuandikia Allah wabillahi taufiiq.
Salehe clasic tunakushkuru ' umefanya kazi sana
Asante sana mh samia suluhu Hasan Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa msaada wako, Tunashukulu
Hongera sana kwa mama yetu mhe Rais wetu.Samia suluhu Hassan.Kila lililo jema kwako.Kikubwa unachotoa basi kinga kwako napia yaliyo mema yatazidi kuwq neema kwako.Mhe
RSISI MWENYE IMANI WOW MASHAALLAH TABARAKALLAH
Mashaallah mama Samia mungu akupe kila laheri Kwa kunikumbuka huyu bimwanahawa❤❤❤ anasauti nzuri bimwana hawa🎉🎉
Safi Raisi wetu Mama Samia,ila sasa nawewe achana na mambo ya music ,pamabana na sehemu itwayo Msikitini, kwama maana mara 5 kwa siku
Mwambie mama samia hongera yake sana sio tu kwa kuliongoza Taifa hili, bali pia kwa hii mali safi aliyotuletea, ni mwanamke mrembo sana mwenye stala yake, Mungu awatunze na aimarishe afya zenu inshaallah.
Kweli Samia weye si mwanamke ni mama KWELI!
Mungu akubariki,endelea na moyo wako wakuwahurumie wanadamu wenye uhitaji.
"UKIMSAIDIA MASKINI UMEMKOPESHA MUNGU" Mungu atakulipa
Mama samia hongera sana kwa moyo wako wa upendo .Allah akubariki ishaallah.
MASHA ALLAH Masha Allah rais wetu ALLAH Akuweke inshallah maana sio jambo dg kumkumbuka mama kama huyu❤❤❤❤
Ukipata malezi mazuri, ukafundishwa Imani na ukarimu mwisho wake huwa hivyo kwa binaadam wenzako.
Hongera mama samiha kwa kumsaidia bi mwanahawa mungu akulinde kama ulivyomsaidia mashallah
Mashallah Allah Mwenyezi Mungu akuzidishie mama Samia. Mfungulieni biashara endelevu.
Masha Allah Mama samia Mungu amueke kwahutu alonao, kenya Raisigani anaweza kufanya jambo kama hili wacha Mwenyezi Mungu awabariki watanzania na Mama yetu Samia Sluh Hassan, japo nimkenya lkn napenda ukarimu waviongozi watanzania na mienendo yao Mungu ibariki tanzania .
Yaani Samia Mungu akulinde kipenzi chetu,toka zamani tunaokujua una roho nzuri,Mungu akuepushe na kila shari Dada yangu! Mheshimiwa Rais,naona fahari nikikuita kwa jina lako,ukifanya haya unapendezwa ukiitwa kwa jina lako!Hamisi
Swaleh wa Show biz ndio chanzo.... Mashallah.
hongera mama na mie nisadie sitaki pesa nikuone tu nipige picha na weye weye ni mtu muhimu mwenye imani utu hikima na ubinaadamu❤
Mama mamaaa natamani niliee kwa furaha yaniii sisi tuliondokea naona kama tumepata mamaaa kiukweli mungu akulinde na shali mama Samia mama samiaaaaaaaa tunakupenda sanaaaaaa
Honger mama samia kwakuskia kilio chama yetu
Mama rudi kwa mwenyezi mungu imba kaswida muda mdogo kwako
Amina ni kweli kabisa
Mashaa Allah jazakallahu khairà jazza wabarikfiik. Mama tunakupenda na hatuna la kufanya kukonesha upendo wetu zaidi ya kukuombea duaa . Alla akupe kila lenye kheri akufanyie wepesi katika uongozi wako akujaalie mwisho mwema. Lakini mama wanahitaji ni wengi ingependeza kuhamasisha viongozi wengine wanawake kukaanzishwa mfuko maalum ambao utaratibiwa vizuri na miongoni mwa waratibu itapendeza akiwemo dadaetu Wanu ili kuweza kusaidia waliona uhitaji kama huu kwani wako wengi mama lkn kwa vile hawajitangazi inakuwa ngumu kuwafikia. Tunakupenda mamaa.
Bi mwanahawa usijali twakuombea kila la khery❤
Maashaallah wallah nilimuonea huruma san wamefanya vizuri wallah
Awali shkrn kwa kjn wetu Saleh(Zamaradi tv),pia kiongozi wetu Mhs.Rais wa Jamhuri ya Muungano Tz(Mhs.Samia S.Hassan), kwa moyo wa iman kumkumbuka mkongwe wa fani ya taarab,Rabbi awalipe mema nyote,hakika Tz yetu ni nchi ya UPENDO.
Mungu akulinde mama Samia mungu atakulipa pepo akusameh makosa yako yote akupe pepo zadunia na akhera pia akulinde mamamola wetu
Mama Samia nakupenda sana mama yangu Mungu akuzidishie baraka napenda unavyowajali watu Allah akujaze kheri .
Allah atakulipa kwa wema wako, Rais wetu Dr. Samia.
nampenda sn mama Samia from Burundi bibi yangu mwana hawa achakuimba ss mche mola wako ulisema ukipata pesa utacha nyimbo nakutakia mwisho mwema
Aamin aamiyn aaaaamiyn yarab aamiyn
Mama samia hongera sana kwa wema wako,lkn pia bi mwanahawa mungu kupe afya inshallah😂😂
Mshallah mama Samia rais wa wanyonge
Wow. Our president is very humoral ,may our lord bless you more❤
Allah ape umri na afya njema mama Samiya
Mama samia raisii s wangu nakupenda sana mwenyezi mungu akupe miaka mingi yakuish nakutuongoza kula yangu naitanguliza belle yako mama nakupenda sanamm
Aallah akuifathi mama samia azid kukupa rizki yak ya halali
Nimeteseka namaisha sana nimeria sana laisi wangu sina chakukulipa zaidi yakukuambia asante sana umeingia tuu madarakani huo huo mwaka mama akatoa ajira wanangu wawili wote waripata ajila rais wangu nakuombea baraka kwamungu raosi wangu nakupenda sana mmmnatamani hata siku moja tushikane mukono rais wangu nipo geita naitwa betha karolii
Hakika nimefurahi sana kwa kumsaidia huyu mama Allah awabariki❤❤❤
Uyu ndo samia mwenyewe au mashaallah
Allhamdulillah..Allah amjaalie Afya Raisiwetu. ...Allah ampe.moyowaupendo kwakilamja pia ampe subra kwakilaatua atuongozetena. Amyn
Bora kamtuma mwanawe
Mama mwenyewe angesema aje, mziki wake kwenye mambo ya usalama
Wananchi hapo mtaani wangeteseka sana
Ni kweli.
Ingekua shughuli pevu.😊😊😊
Mama Samia mama Samia asante ❤❤❤❤we loves you forever
Msanii wa siku nyingi lkn maisha anayoishi mtihani
Asalam Hongera Rais wetu mama yetu mlezi Allwaa akuzidishie kila ulipopunguza kwa kujali wananchi wako . C.C.M
HOYEEEEEEÈ😊😊
Yaani nimefurahi sana huyu mama aliimba nyimbo nzuri sana.Sikutegemea kama Bi Mwanahawa Ally angekuwa na maisha haya...
Allah akuzidishie mama yetu kipenzi Cha waTanzania mama mitano tena
Asante sana Rais Mama Samia kwa kuwakumbuka wenye mahitaji.👏🏽👏🏽
Mashalah mungu akuongezee ulipo toa mama Samia tunakupenda sana rais wetu
Mashallah mtoto wa mama samia umejua kupendeza nimekupenda kwajiri ya allah ww na mama ako muishi miaka tele Kwa tele
Napenda wamama wa kizanzibari wanabusara sana mashaallah
mwenyezimungu akulipe raisi wetu, mitano tena
Mashallah mama Samia mungu akubariki akupe ziada kila la khery mashallah tabaraka llah.
Rais wetu Allah akulinde
Mama samia,❤❤❤❤
Nunuwa nyumɓa ikodishe itakusaidia kila mwezi pesa itakusaidia mamaangu ❤❤
Ni ushauri mzuri umeonyeshwa njia fata. Alichopewa ni kafunguliwa njia.
Huyu si ndiye Mama aliyesema wema hauozi na wema ni hazina kwa mungu.
Alisomesha sana mule kama ndiye yeye❤
I wish to say Allah akulinde na hasad akudumishe katika uchamungu akusamehe makosayako atuongezee hekima katika urais wanko na nje ya urais pia akujaalishe la laailahaillah Muhammad rasulullah namuomba Allah pamoja nawe atufufue na kipenzi chetu mtume Muhammad swalallahu alaih wasalallam
Maashallah ❤❤❤❤❤
Mashaallah watu wazuri huonekana mapema. ❤❤❤
Natamani Rais wa Kenya angefanya kama hivi MashaAllah
Mwenyezi mungu akuzidishie pale ulipotoa mama yetu
Mh Samia amemlea binti yake ktk maadili mema.
Mtoto wa mama mashallah ..
Nimeipenda hii,,Hivi ndo inavyotakiwa kumjali mwenzio hasa wakati Wa Shida
Allah akulipe kheri Mama Samia ❤
hongera mama Samia Kwa kuwakumbuka! wakongwe mungu akusaidie
Mama Samia ubarikiwe sana
Mtihani kwakweli mungu akusaidinye kwakweli amen
EWE MUNGU MUWEZA.UNAIPENDA SAANA AFRIKA.UNAIPENDA TANZANIA.WATANZANIA.TUJIVUNIE KUWA NARAIS MAMA. MWENYE MACHO YAMBELE NANYUMA.❤LOVE MAMA SAMIA M.MUNGU AKULINDE UKIWA MACHO NAHATA UKIWA USINGIZINI.
Sawa, jambo jema kustiliana wanawake huyu mama nampenda kwa kazi zake tu,ana stahili heshima kwa kweli..sio wasanii sifaaa nyingi
Mama Samia Mungu kamuumba na roho yake jamani,tena anaumwa sanaa na shida za wanawake na watoto kiukweli.Allah amzidishie imani na ampe ulinzi na ushindi mkubwa dhidi ya wale wote wanaomshuhudia ubaya na kumtakia shari kwa uwezo wa Mungu hayatomfika na atazidi kung'ara InshaAllah
ALLAH amjaalie huyu bibi siha njema inshaallah hajaulizwa kama atapunguza kuimba...kwa sasa.
Wema wana.maisha, wenye nafasi wawasaidie wasionacho,amen,mama mungu akutunze sana.
HONGERA SANA RAISI WETU
Kuna ujumbe kwa mange
Mungu ambariki sana rais wetu mama Samia
Hongera sana Mama mpendwaRaisi Samia kwa utu wako maana wengine wakipata madaraka wanashindwa kusaidia hata ndugu zao
Ubaguzi huo kunawatu wanaumwa mpaka amefariki jaman inauma sana 😢😢😢😢
Huwezi kupendwa n'a wote mama anajitahidi n'a hawezi kusaidia wote we Sema ana ubaguzi lkn Mungu ndo anamuona
Kwa rehma ya mungu alifanya njia nyingine ya toba kwa binadamu akiwa baado uhai asiache toba madam roho bado haijatoka lakini usingoje siku yako ya mwesho ukasema sasa ni tatubu haitakubaliwa NA mwesho wako motoni milele
Rais Samia Suluhu Hassan ninakuombea kwa Mungu Muumba Afya timamu na roho Yako nzuri yakutoa kwa mama huyu bi Mwanahawa Ally ninampenda sana.
Dua zuri mwenyezimungu ampe na yy apate mashaallah
Hakuna kama mama Safi sana mama samia ❤❤❤