RASHID NA JENNIFER NI WASHINDI WA GREEN CARD LOTTERY TOKA TANZANIA. WAMEFIKA USA RASMI KUANZA MAISHA
HTML-код
- Опубликовано: 4 ноя 2023
- Rashid na Jennifer waliomba Green Card Lottery mwaka jana kupitia EBM SCHOLARS. Walibahatika kuwa washindi. Mwezi Oktoba walipewa visa na sasa wamesafiri na kufika Marekani salama kuanza maisha ya Marekani kama Permanent Residents (Green Card Holders).
Usipuuzie fursa. Omba maana hujui Mungu kakupangia nini
Rashid na Jennifer waliomba Green Card Lottery mwaka jana kupitia EBM SCHOLARS. Walibahatika kuwa washindi. Mwezi Oktoba walipewa visa na sasa wamesafiri na kufika Marekani salama kuanza maisha ya Marekani kama Permanent Residents (Green Card Holders).
Usipuuzie fursa. Omba maana hujui Mungu kakupangia nini.
Mr EBM nashukur sana umenifanya nijue nn maana ya green card lottery pia nimeomba first time mwaka huu kutokea huku south Africa mungu akulipe sana
Nimepata shida kua ku weka picha ile web site imegoma kabisa ikakata ku Select picha paka 30 minutes Zika isha😢 nikafika na clik ku "confirm cancellation. Sijuwi kama naweza nikawa na ingine bahati
Kaka Leo nimekuja office kwako nashukuru wamenipokea vzr.
HABARI EBM mimi ni mdau wako nafuatilia sana video zako. Ila kwa hawa washindi sababu una access nao kama itakupendeze try kutupa experience zao za embassy its very important maana sisi tanzania tunakutegemea wewe sana.....sawa kuna wakenya lakini experience ya embassy yao tofauti na sisi. so take us through the all process since wameshinda. Ahsante na MUNGU azidi kukupa uhai ukapate kutoa elimu kuhusu mambo yote ya VISA za ughaibuni.
😂😂😂😂
Mimi kama Mkenya nawatakia mema hao ndugu zangu kutoka Tanzania...Mungu awazidishie neema na maisha mema.
Kutoka Tanzania east africa tupendane ili tupige hatua sawa
Hongera sana Jennifer na Karibu sana usa
Yaani hayo mawazo yako yamenifurahisha sana nimecheka ila Muombe Mungu ukutane na watu sahihi
Soon 🔜 in Jesus name
Waiting my 2NL 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Hata mim nimetuma mwaka huu kupitia kwako najua nitashinda. MUNGU akubariki kaka EBM unafanya kazi nzuri sana unatuhamasisha sana WATANZANIA MUNGU AKUBARIKI SANA AKUPE MAISHA MAREFU SANA🙏
Ila kumbuka anavyosema mara nyingi kuwa Kukuombea yeye sio sababu ya wewe kushindi,yeye anasaidia watu kwa kuwafanyia maombe ili waweza kuomba kwa uhakika bila ya makosa
Nitapply kesho ndugu, congz to both, bwana Rashid anamfanana jack wa USA, pia yeye utuber
Kesho ndo mwisho fanya hima ndugu kabla hawajafunga website yao
HAHAHAHAA Jenifa kanichekesha sanaa asee eti atarudi akiwa Kibibi.....so funny Mungu awatangulie sana
Hongera sana, karibuni sana ughaibuni. Jipangeni vizuri fanyeni chaguzi nzuri za kaazi na careers. Kuna pull kubwa sana ya njia za kufanikiwa msifuate mkumbo.
Nina swali la muhimu sana .Je hospitali gani kati ya zilizotajwa walifanyia medical exams, kati ya hospitali zilizoorodheshwa? ninahitaji maelekezo haraka sana.
God bless them as they begin a new chapter in USA .nipo kwenye safari na najua atua ya kwanza ni kufanya application .thank u ebm for the good work u are doing
Ebm Mungu akubariki,unafanya kazi ya wito
Mungu ibaliki maombi yetu I'm a future wins 2025 I am from Tanzania DSM mbagala
Uyo dada yupo charming sana 😂😂😂😂😂
Mashallah jazakhallah kheir
Kaka hongera kwa kazi nzr
Kama nitafaulu mwaka huu naomba mungu interview yangu iwe ya maswali machachr na mepesi saaana eeh mwenye zi mungu leo 7/10/2023 naomba unisaidie 😊
Maisha bhana Jennifer best yangu saivi ndani ya Jiji la Texas daah!, kila la best yangu.
Safi sana, Mungu awafanyie wepesi kuyafanikisha malengo yenu
hongera zao jaman, im happy for them.
Congratulations to you both
Hongereni sana ni mimi nafata 2025
Big up wazito 🙏🙏
Wow congratulations to them
Mungu akubariki EMB. Unatoa ushauri mzuri.
Karibun Texas, tukiwa wengi apa tuwe na community yetu
Blessings
Be bless
EBM naomba umwambie Jenipher kuwa nimempenda bureee😆😆😆😆
Hongereni guys🎉🎉🎉🎉
Mzee baba mm nime fantastic 2022 ilamajibu sijapata
Waooooo Mungu akubariki kaka kiukweli nimejisilia vizuri Ila kaka naombi moja tu kwako kwa hawa ndugu zetu wamepitia process zote fanya tena mahojiano nao watuambie medical ili wagarimu bei gani hii itanisaidia sana kuna video yako niliona ulisema kwa makadirio lakini hawa wameingia huko medical watuambie uhalisia wake asante
Nakubalii Mzee tangulia, 2025 uhakika tutakutana uko
May God be with you all
Hongera 👏👏
Kaka mimi mwenyewe nimesha apply dv rotterly 2025 mungu ibaliki kaka sisi zetu duwatu mungu ndo muamuzi yeye ndo jibu tosha
Congratulations 🎉
Waoow naamini na sisi MUNGU atatugusa
Neno la siku kukata tamaa ni mwiko
Mimi Kama Mtanzania nawatakia Mungu awazidishie neema na baraka
Kutesa ni lazima bana umaskini daah 😅😅
Huyo dada nimempenda
God has done it once more to his people ..congratulation safe journey
Congratulating for what really unless you win the lottery nothing special! In america
have you been thee
@@zawadix9574
Jehovah is capable of doing good
Nafurahi kwaajili yake ❤ naamini na mimi ipo siku tu jmn
Dada kashavurugwa na ugumu wa maisha ya bongo
What is kupiga box?
Ayse!! am very happy for them..ONE LOVE
Wajina nakukubari San
Nawakumbuka hawajamaa from ubungo avenue
tusubiri na sis bahat yetu mwakani
Mungu awasimamie katika mipango yao
Kila la kheri ndug, mahost wangu hao 2025..see you in Texas.
Allah awasimamie
IAM sooooo Envious wallah
Niko Cairo nimejaza kwa email yako EBM, Mungu anisaidie nami nishinde
wanahombaje mimi sijuwi njia ya kuomba ❤❤❤😂😅
“Kukata tamaa ni mwiko “ 🤞🏿
I need to leaen this language..am missing out
Congratulations to them 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
❤
May 2024 nashinda in Jesus name
Ibm pesa zetu utaturejeshea lini
How to apply green card
Nimekuwa nikifatilia mara nyingi video zako swali langu je nawezaje kujua picha niliyo piga iko sawa japo inaonekana vizur
Hata mm natamani kuelewa hilo
@@mackjr5291 umeisha omba dv lottery
EBM Kyela unaitaja sanaaa ngoja tuondoke huku tutakutana huko😂😂😂
Kaka nisaidie nipate Host jimbo lolote marekani
🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤
Kaka naomba kuuriza sisi wenye elimu ya darasa la 7 tunaweza omba green card?
Broo ndio mbona mimi nimeaplay mwenyewe mwaka jana nilienda kuaaplay kwa ebm mwaka huu nimeaplay mwenyewe naimekubali cormfimation namba yangu nimetumiwa
👍💯🇹🇿
MUNGU awajaalie
Nimepata shida kua ku weka picha ile web site imegoma kabisa ikakata ku Select picha paka 30 minutes Zika isha😢 nikafika na clik ku "confirm cancellation. Sijuwi kama naweza nikawa na ingine bahati
Duuuu Pole sn
Sio kila smart inasaport picha so tumia pc or computer chap maan website inafungwa kesho usiku
@@Bin_Slyim bro apo sina bahati tena. ku entry mala mbili ni ingine kosa kubwa.
😂😂😂😂dada katisha sana huyu kupaa ndio kila kitu
😂😂mbwembwe kama zote
Ila pia mm nina mke ila yeye ni mbishi sana kila napo mwambia kuhusu dv lottery anakuwa sio muelewa nifanye nn na mm nataka kucheza kaka niandike single pia nina watoto nae
Kama una picha ya huyo mke wako yenye background nyeupe, uiweke kwenye application pamoja na hao watoto wako. Then wewe uta apply kwa niaba yao wote. Ukishinda, familia yako yote imeshinda.
@@jollynedilunga3428 poa
Hivi kaka matokeo ya 2025 yanatoka lini
🙏🙏🙏🇺🇸🇺🇸🇺🇸
MUNGU NI MWEMA
Nini maana ya kupiga box. curious
Kaz za skills ambz hazihitaji degree
Thanks
Maan yake hutopata kazi laini kW mara kwanz kam unavofikiria .. ndio maan .. ikiwem kupiga box au kubeba
Ni kazi za kubeba box
Kupiga box ndo maana yake nini naomba kujua
Kupiga box kuderive mizigo
Kazi ndogondogo kaka zisizo hitaji vyeti
@@user-yw5hs6in2zyea exactly
@@sumamkande8401sio ku delivery mizigo bali kupiga box ni kazi zoote ambazo sio za serikali na ambazo hazihitaji vyet maan watu wengi wanajua kubeba kweli mabox 😂😂 maana hata ukiwa uko supermarket ww ni unahesabika unapiga box huyo mange kimambi mwenyew anasema kila siku yeye anapga box ampaka afe 😅😅
ivi bro ukiwa winner wa green card kuhusu mambo ya safari ya kwenda USA nauli unalipiwa ama unajilipia mwenyewe kiongozi
Nauli ,medical,visa unalipa mwenyewe.ila usiogope
Kila kitu mwenywe
Daah kweli nilikua silijui hili
Mbpna Kawaida sana!!Kupata Visa ya Marekani sio Kupata Majibu ya Afya ! Yaani mnavyoishitukia marekani utadhani peponi!! watu tupo hapa na hakuna La maajabu
Daaah inatukuzwa
Sasa mungu aki kata mko bongo
🤣🤣🤣 congratulations to them. Mdada amenifurahisha.
Link ya group ya watsapp
May God be with you all