RASHID NA JENNIFER NI WASHINDI WA GREEN CARD LOTTERY TOKA TANZANIA. WAMEFIKA USA RASMI KUANZA MAISHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 ноя 2023
  • Rashid na Jennifer waliomba Green Card Lottery mwaka jana kupitia EBM SCHOLARS. Walibahatika kuwa washindi. Mwezi Oktoba walipewa visa na sasa wamesafiri na kufika Marekani salama kuanza maisha ya Marekani kama Permanent Residents (Green Card Holders).
    Usipuuzie fursa. Omba maana hujui Mungu kakupangia nini

Комментарии • 121

  • @EBMSWAHILI
    @EBMSWAHILI  8 месяцев назад +13

    Rashid na Jennifer waliomba Green Card Lottery mwaka jana kupitia EBM SCHOLARS. Walibahatika kuwa washindi. Mwezi Oktoba walipewa visa na sasa wamesafiri na kufika Marekani salama kuanza maisha ya Marekani kama Permanent Residents (Green Card Holders).
    Usipuuzie fursa. Omba maana hujui Mungu kakupangia nini.

    • @sumamkande8401
      @sumamkande8401 8 месяцев назад +2

      Mr EBM nashukur sana umenifanya nijue nn maana ya green card lottery pia nimeomba first time mwaka huu kutokea huku south Africa mungu akulipe sana

    • @165ph
      @165ph 8 месяцев назад

      Nimepata shida kua ku weka picha ile web site imegoma kabisa ikakata ku Select picha paka 30 minutes Zika isha😢 nikafika na clik ku "confirm cancellation. Sijuwi kama naweza nikawa na ingine bahati

    • @thomasmwasongwe7790
      @thomasmwasongwe7790 8 месяцев назад +2

      Kaka Leo nimekuja office kwako nashukuru wamenipokea vzr.

    • @felixmaeda8533
      @felixmaeda8533 8 месяцев назад +1

      HABARI EBM mimi ni mdau wako nafuatilia sana video zako. Ila kwa hawa washindi sababu una access nao kama itakupendeze try kutupa experience zao za embassy its very important maana sisi tanzania tunakutegemea wewe sana.....sawa kuna wakenya lakini experience ya embassy yao tofauti na sisi. so take us through the all process since wameshinda. Ahsante na MUNGU azidi kukupa uhai ukapate kutoa elimu kuhusu mambo yote ya VISA za ughaibuni.

    • @manirakizaaime7406
      @manirakizaaime7406 8 месяцев назад +1

      😂😂😂😂

  • @henryhencer6297
    @henryhencer6297 8 месяцев назад +8

    Mimi kama Mkenya nawatakia mema hao ndugu zangu kutoka Tanzania...Mungu awazidishie neema na maisha mema.

    • @stanleyjohn2929
      @stanleyjohn2929 8 месяцев назад +1

      Kutoka Tanzania east africa tupendane ili tupige hatua sawa

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi5085 8 месяцев назад +3

    Hongera sana Jennifer na Karibu sana usa
    Yaani hayo mawazo yako yamenifurahisha sana nimecheka ila Muombe Mungu ukutane na watu sahihi

  • @Bless510
    @Bless510 8 месяцев назад +3

    Soon 🔜 in Jesus name
    Waiting my 2NL 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @PeterSulusi
    @PeterSulusi 8 месяцев назад +3

    Hata mim nimetuma mwaka huu kupitia kwako najua nitashinda. MUNGU akubariki kaka EBM unafanya kazi nzuri sana unatuhamasisha sana WATANZANIA MUNGU AKUBARIKI SANA AKUPE MAISHA MAREFU SANA🙏

    • @alijumamohamed
      @alijumamohamed 8 месяцев назад +3

      Ila kumbuka anavyosema mara nyingi kuwa Kukuombea yeye sio sababu ya wewe kushindi,yeye anasaidia watu kwa kuwafanyia maombe ili waweza kuomba kwa uhakika bila ya makosa

  • @michaelkomwiswa7048
    @michaelkomwiswa7048 8 месяцев назад +3

    Nitapply kesho ndugu, congz to both, bwana Rashid anamfanana jack wa USA, pia yeye utuber

    • @Bin_Slyim
      @Bin_Slyim 8 месяцев назад

      Kesho ndo mwisho fanya hima ndugu kabla hawajafunga website yao

  • @davisminja3742
    @davisminja3742 8 месяцев назад +1

    HAHAHAHAA Jenifa kanichekesha sanaa asee eti atarudi akiwa Kibibi.....so funny Mungu awatangulie sana

  • @jessebiseko330
    @jessebiseko330 8 месяцев назад +1

    Hongera sana, karibuni sana ughaibuni. Jipangeni vizuri fanyeni chaguzi nzuri za kaazi na careers. Kuna pull kubwa sana ya njia za kufanikiwa msifuate mkumbo.
    Nina swali la muhimu sana .Je hospitali gani kati ya zilizotajwa walifanyia medical exams, kati ya hospitali zilizoorodheshwa? ninahitaji maelekezo haraka sana.

  • @devidjav3583
    @devidjav3583 8 месяцев назад

    God bless them as they begin a new chapter in USA .nipo kwenye safari na najua atua ya kwanza ni kufanya application .thank u ebm for the good work u are doing

  • @faizaldaud7628
    @faizaldaud7628 8 месяцев назад

    Ebm Mungu akubariki,unafanya kazi ya wito

  • @BuruhaniOmary-tv
    @BuruhaniOmary-tv 8 месяцев назад +1

    Mungu ibaliki maombi yetu I'm a future wins 2025 I am from Tanzania DSM mbagala

  • @kelvinndege2200
    @kelvinndege2200 8 месяцев назад +1

    Uyo dada yupo charming sana 😂😂😂😂😂

  • @mayahabib4160
    @mayahabib4160 8 месяцев назад

    Mashallah jazakhallah kheir

  • @oleboyofficial
    @oleboyofficial 8 месяцев назад

    Kaka hongera kwa kazi nzr

  • @user-fv3rm3fe2x
    @user-fv3rm3fe2x 8 месяцев назад +1

    Kama nitafaulu mwaka huu naomba mungu interview yangu iwe ya maswali machachr na mepesi saaana eeh mwenye zi mungu leo 7/10/2023 naomba unisaidie 😊

  • @annonmnzava728
    @annonmnzava728 2 месяца назад

    Maisha bhana Jennifer best yangu saivi ndani ya Jiji la Texas daah!, kila la best yangu.

  • @mejonigibsoni3477
    @mejonigibsoni3477 8 месяцев назад

    Safi sana, Mungu awafanyie wepesi kuyafanikisha malengo yenu

  • @upendomahenge3802
    @upendomahenge3802 8 месяцев назад

    hongera zao jaman, im happy for them.

  • @nicknick6857
    @nicknick6857 8 месяцев назад

    Congratulations to you both

  • @mloweapple8678
    @mloweapple8678 8 месяцев назад +1

    Hongereni sana ni mimi nafata 2025

  • @patrickmwaniki1943
    @patrickmwaniki1943 8 месяцев назад +1

    Big up wazito 🙏🙏

  • @veronkanini3556
    @veronkanini3556 8 месяцев назад

    Wow congratulations to them

  • @kaupigwe
    @kaupigwe 8 месяцев назад

    Mungu akubariki EMB. Unatoa ushauri mzuri.

  • @hamudseif
    @hamudseif 8 месяцев назад +1

    Karibun Texas, tukiwa wengi apa tuwe na community yetu

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6g 8 месяцев назад

    Blessings

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 8 месяцев назад

    Be bless

  • @neemahappyeverafter6181
    @neemahappyeverafter6181 8 месяцев назад +1

    EBM naomba umwambie Jenipher kuwa nimempenda bureee😆😆😆😆

  • @reginalewiston72
    @reginalewiston72 8 месяцев назад

    Hongereni guys🎉🎉🎉🎉

  • @Gaming-s10-m
    @Gaming-s10-m 8 месяцев назад +1

    Mzee baba mm nime fantastic 2022 ilamajibu sijapata

  • @annakashindye5792
    @annakashindye5792 8 месяцев назад

    Waooooo Mungu akubariki kaka kiukweli nimejisilia vizuri Ila kaka naombi moja tu kwako kwa hawa ndugu zetu wamepitia process zote fanya tena mahojiano nao watuambie medical ili wagarimu bei gani hii itanisaidia sana kuna video yako niliona ulisema kwa makadirio lakini hawa wameingia huko medical watuambie uhalisia wake asante

  • @mtalikwamtalikwa5689
    @mtalikwamtalikwa5689 8 месяцев назад

    Nakubalii Mzee tangulia, 2025 uhakika tutakutana uko

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 8 месяцев назад

    May God be with you all

  • @michaelmichaelonyango6875
    @michaelmichaelonyango6875 8 месяцев назад

    Hongera 👏👏

  • @BuruhaniOmary-tv
    @BuruhaniOmary-tv 8 месяцев назад

    Kaka mimi mwenyewe nimesha apply dv rotterly 2025 mungu ibaliki kaka sisi zetu duwatu mungu ndo muamuzi yeye ndo jibu tosha

  • @bastartaito7416
    @bastartaito7416 8 месяцев назад

    Congratulations 🎉

  • @tinaminja5500
    @tinaminja5500 8 месяцев назад

    Waoow naamini na sisi MUNGU atatugusa

  • @devidjav3583
    @devidjav3583 8 месяцев назад +3

    Neno la siku kukata tamaa ni mwiko

  • @msengasikaonga3039
    @msengasikaonga3039 8 месяцев назад

    Mimi Kama Mtanzania nawatakia Mungu awazidishie neema na baraka

  • @michaelmichaelonyango6875
    @michaelmichaelonyango6875 8 месяцев назад

    Kutesa ni lazima bana umaskini daah 😅😅

  • @neemaismail5032
    @neemaismail5032 8 месяцев назад +1

    Huyo dada nimempenda

  • @jimmyngugi810
    @jimmyngugi810 8 месяцев назад +1

    God has done it once more to his people ..congratulation safe journey

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 8 месяцев назад

      Congratulating for what really unless you win the lottery nothing special! In america

    • @jimmyngugi810
      @jimmyngugi810 8 месяцев назад

      have you been thee
      @@zawadix9574

  • @Ben-gy2nk
    @Ben-gy2nk 3 месяца назад

    Jehovah is capable of doing good

  • @lulukim3810
    @lulukim3810 8 месяцев назад

    Nafurahi kwaajili yake ❤ naamini na mimi ipo siku tu jmn

  • @Mahirwazanzibar
    @Mahirwazanzibar Месяц назад

    Dada kashavurugwa na ugumu wa maisha ya bongo

  • @Vin_silver
    @Vin_silver 8 месяцев назад +1

    What is kupiga box?

  • @BurtonSon
    @BurtonSon 8 месяцев назад +1

    Ayse!! am very happy for them..ONE LOVE

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 4 месяца назад

    Wajina nakukubari San

  • @Memphisblue22822
    @Memphisblue22822 8 месяцев назад

    Nawakumbuka hawajamaa from ubungo avenue

  • @upendomahenge3802
    @upendomahenge3802 8 месяцев назад +1

    tusubiri na sis bahat yetu mwakani

  • @nyangejr3817
    @nyangejr3817 8 месяцев назад

    Mungu awasimamie katika mipango yao

  • @kalasaid8215
    @kalasaid8215 8 месяцев назад

    Kila la kheri ndug, mahost wangu hao 2025..see you in Texas.

  • @ahmedsaadoun7541
    @ahmedsaadoun7541 8 месяцев назад

    Allah awasimamie

  • @Memphisblue22822
    @Memphisblue22822 8 месяцев назад

    IAM sooooo Envious wallah

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 8 месяцев назад

    Niko Cairo nimejaza kwa email yako EBM, Mungu anisaidie nami nishinde

  • @bilombelekilozodieudonne123
    @bilombelekilozodieudonne123 8 месяцев назад

    wanahombaje mimi sijuwi njia ya kuomba ❤❤❤😂😅

  • @kelvinndege2200
    @kelvinndege2200 8 месяцев назад

    “Kukata tamaa ni mwiko “ 🤞🏿

  • @angelazulu7665
    @angelazulu7665 8 месяцев назад

    I need to leaen this language..am missing out

  • @derrickmwita5894
    @derrickmwita5894 8 месяцев назад

    Congratulations to them 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @CiscaRecaps2015
    @CiscaRecaps2015 8 месяцев назад

    May 2024 nashinda in Jesus name

  • @saifiysleiman5966
    @saifiysleiman5966 8 месяцев назад

    Ibm pesa zetu utaturejeshea lini

  • @user-gd1yp1tu6g
    @user-gd1yp1tu6g 8 месяцев назад

    How to apply green card

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz 8 месяцев назад +1

    Nimekuwa nikifatilia mara nyingi video zako swali langu je nawezaje kujua picha niliyo piga iko sawa japo inaonekana vizur

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 8 месяцев назад

    EBM Kyela unaitaja sanaaa ngoja tuondoke huku tutakutana huko😂😂😂

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz 8 месяцев назад

    Kaka nisaidie nipate Host jimbo lolote marekani

  • @kevintuyaga6141
    @kevintuyaga6141 8 месяцев назад

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤

  • @thomasmwasongwe7790
    @thomasmwasongwe7790 8 месяцев назад +1

    Kaka naomba kuuriza sisi wenye elimu ya darasa la 7 tunaweza omba green card?

    • @stanleyjohn2929
      @stanleyjohn2929 8 месяцев назад +1

      Broo ndio mbona mimi nimeaplay mwenyewe mwaka jana nilienda kuaaplay kwa ebm mwaka huu nimeaplay mwenyewe naimekubali cormfimation namba yangu nimetumiwa

  • @manirakizaaime7406
    @manirakizaaime7406 8 месяцев назад

    👍💯🇹🇿

  • @UwitekaZubeyda
    @UwitekaZubeyda 2 месяца назад

    MUNGU awajaalie

  • @165ph
    @165ph 8 месяцев назад +1

    Nimepata shida kua ku weka picha ile web site imegoma kabisa ikakata ku Select picha paka 30 minutes Zika isha😢 nikafika na clik ku "confirm cancellation. Sijuwi kama naweza nikawa na ingine bahati

    • @jacqlinejames7568
      @jacqlinejames7568 8 месяцев назад +1

      Duuuu Pole sn

    • @Bin_Slyim
      @Bin_Slyim 8 месяцев назад +1

      Sio kila smart inasaport picha so tumia pc or computer chap maan website inafungwa kesho usiku

    • @165ph
      @165ph 8 месяцев назад

      @@Bin_Slyim bro apo sina bahati tena. ku entry mala mbili ni ingine kosa kubwa.

  • @netflixfreepremiumaccount534
    @netflixfreepremiumaccount534 8 месяцев назад

    😂😂😂😂dada katisha sana huyu kupaa ndio kila kitu

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz 8 месяцев назад

    Ila pia mm nina mke ila yeye ni mbishi sana kila napo mwambia kuhusu dv lottery anakuwa sio muelewa nifanye nn na mm nataka kucheza kaka niandike single pia nina watoto nae

    • @jollynedilunga3428
      @jollynedilunga3428 8 месяцев назад

      Kama una picha ya huyo mke wako yenye background nyeupe, uiweke kwenye application pamoja na hao watoto wako. Then wewe uta apply kwa niaba yao wote. Ukishinda, familia yako yote imeshinda.

    • @DizzoclassicSoundstz
      @DizzoclassicSoundstz 8 месяцев назад

      @@jollynedilunga3428 poa

  • @_letsgrowtogether
    @_letsgrowtogether 8 месяцев назад

    Hivi kaka matokeo ya 2025 yanatoka lini

  • @Bless510
    @Bless510 Месяц назад

    🙏🙏🙏🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @fortunathabarabara8471
    @fortunathabarabara8471 8 месяцев назад

    MUNGU NI MWEMA

  • @albertjohn8902
    @albertjohn8902 8 месяцев назад

    Nini maana ya kupiga box. curious

    • @a.a.ua.a.u6816
      @a.a.ua.a.u6816 8 месяцев назад

      Kaz za skills ambz hazihitaji degree

    • @user-fu5vv9qd3s
      @user-fu5vv9qd3s 8 месяцев назад

      Thanks

    • @ahmedsaadoun7541
      @ahmedsaadoun7541 8 месяцев назад

      Maan yake hutopata kazi laini kW mara kwanz kam unavofikiria .. ndio maan .. ikiwem kupiga box au kubeba

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 8 месяцев назад

      Ni kazi za kubeba box

  • @user-fu5vv9qd3s
    @user-fu5vv9qd3s 8 месяцев назад

    Kupiga box ndo maana yake nini naomba kujua

    • @sumamkande8401
      @sumamkande8401 8 месяцев назад +1

      Kupiga box kuderive mizigo

    • @user-yw5hs6in2z
      @user-yw5hs6in2z 8 месяцев назад +1

      Kazi ndogondogo kaka zisizo hitaji vyeti

    • @sumamkande8401
      @sumamkande8401 8 месяцев назад

      ​@@user-yw5hs6in2zyea exactly

    • @Bin_Slyim
      @Bin_Slyim 8 месяцев назад

      ​@@sumamkande8401sio ku delivery mizigo bali kupiga box ni kazi zoote ambazo sio za serikali na ambazo hazihitaji vyet maan watu wengi wanajua kubeba kweli mabox 😂😂 maana hata ukiwa uko supermarket ww ni unahesabika unapiga box huyo mange kimambi mwenyew anasema kila siku yeye anapga box ampaka afe 😅😅

  • @kelvinanselimu1281
    @kelvinanselimu1281 8 месяцев назад

    ivi bro ukiwa winner wa green card kuhusu mambo ya safari ya kwenda USA nauli unalipiwa ama unajilipia mwenyewe kiongozi

  • @myself4128
    @myself4128 7 месяцев назад +1

    Mbpna Kawaida sana!!Kupata Visa ya Marekani sio Kupata Majibu ya Afya ! Yaani mnavyoishitukia marekani utadhani peponi!! watu tupo hapa na hakuna La maajabu

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 8 месяцев назад

    Sasa mungu aki kata mko bongo

  • @erickchrys
    @erickchrys 8 месяцев назад

    🤣🤣🤣 congratulations to them. Mdada amenifurahisha.

  • @warrenochieng4641
    @warrenochieng4641 8 месяцев назад

    Link ya group ya watsapp

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 8 месяцев назад

    May God be with you all