UTACHEKA TAJIRI MKUBWA WA ZANZIBAR (BOPAR) ACHEZA MZIKI MBELE YA MKE WA RAIS MAMA MARIAM MWINYI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 25

  • @saidakomba
    @saidakomba 5 месяцев назад

    ALLAH atakuongezea hapo unapopunguza. Aamiin Yarabal Aalamiin.

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 6 месяцев назад +4

    Mungu ainyajua zazibary tupo kiuchumi njuma sana wafanya biashara wanabanwa sana kodi kubwa nchi 1 kodi2 wananchi hawamiliki hata mlo 1 wamaana mishahara midogo baadhi ya viongozi wezi hawamuogopi mungu

    • @zaytunhijja6771
      @zaytunhijja6771 6 месяцев назад

      Fanya kazi kijana

    • @AbdallaNdame
      @AbdallaNdame 5 месяцев назад

      hatutaki fitina zako,una haki nauhuru wa kuishi kwenye godi ndogo uongeze mtaji wako uishi maisha yako

  • @xg205
    @xg205 5 месяцев назад

    Anafurahia ming hy

  • @michanoboy8948
    @michanoboy8948 5 месяцев назад

    Hana baya uyooooo mwana sana bopal mzee wa kutoa sadaka kwa wakati

  • @xg205
    @xg205 5 месяцев назад

    Hakika 😮😮😊

  • @salehally1082
    @salehally1082 6 месяцев назад

    Pesa Haina adabu ikiwa na pesa kuna Watu watakuabidu bila kujijua na ukiwa na mara nyingi unamsahau mungu !!

  • @nadhifamohammed7749
    @nadhifamohammed7749 Год назад +2

    Nashkur nipo oman lkn kupitia bos bopa allah akupe umri mrefu wenye kher na wewe

    • @eastafricaqualitychickenfa9916
      @eastafricaqualitychickenfa9916 6 месяцев назад +1

      Tupitia bosi bopa au kupitima Mungu kwaza acha kufuru badilisha kauli

    • @Sultan-o7m9s
      @Sultan-o7m9s 6 месяцев назад

      ​@@eastafricaqualitychickenfa9916kila kauli na Nia Yake Aliposema Kupitia Bopa Yupo sahihi Allah huleta Rizki Zake Moja kwa moja au Kupitia mtu Rudi Darasani sana Wakati ww Upo Tumboni Allah alipitisha Rixki zako wewe kupitia Mama Yako Akila chakula na ww Hupata Kula Hiyo Tumboni Utasema Kupitia Mama Allah amenirudhuku

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc 6 месяцев назад +1

      Nahitaj kuja oman best unafny kaz gan huko

    • @nadhifamohammed7749
      @nadhifamohammed7749 6 месяцев назад

      @@Zainab-sq1tc 😂😂😂natumwa na warabu napika nafua kila kazi ya nyumba mie ndo naifanya habibty

    • @nadhifamohammed7749
      @nadhifamohammed7749 6 месяцев назад

      @@Zainab-sq1tc 😂😂😂natumwa na warabu napika nafua kila kazi ya nyumba mie ndo naifanya habibty

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 6 месяцев назад

    Mnacheza mziki mnatawaliwa na watanganyika ujanja mwingi mbele kiza

    • @mahersaid258
      @mahersaid258 5 месяцев назад

      Wacha ubaguza jibwa wey kwan ao wa Zanzibar uk tanganyika awapo yeye afanye nini sasa??

  • @BakariMakame-j5f
    @BakariMakame-j5f 6 месяцев назад +5

    Bopa ww peke yako jembe maisha uliyopitia mpaka kuuza visheti vilikua vitamu

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Год назад +1

    Zowezi kila siku

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 6 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 Год назад +1

    Weee ulitakajer Mtu ananyoosha lakee haapo

  • @shekhaahmed3961
    @shekhaahmed3961 6 месяцев назад

    😂

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 6 месяцев назад

    😂😂