NINA UKIMWI |NILIYATAKA |NDUGU HAWATAKI NITUMIE JINA LA UKOO |WANAUME WANANITAKA HAWAOGOPI MARADHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848 AU 0753393036

Комментарии • 14

  • @maximumtvonline
    @maximumtvonline  3 месяца назад +1

    chat.whatsapp.com/KPZv8klxl0IFT0TM5SdWOe
    JIUNGE NA GROUP LA SAD MOMENT

  • @hashilalkharusi4680
    @hashilalkharusi4680 3 месяца назад +5

    Alhamdulilah nakuaminia dini ndio inavotaka ukipa mtihani wowote shukuru

  • @estertiffa-ew5id
    @estertiffa-ew5id 3 месяца назад +4

    Wala ucjl mwaya zingatia dawa zako mway maisha yanasonga

  • @husna34562
    @husna34562 3 месяца назад +1

    Rudi kwa Allah dada jihifadh nae atakuhifadh usikubali kurudia tena maisha yako ya nyuma sisi binadamu sote wakosefu ila tengeza akhera yako usikubal kuziniwa tena anaekutk akuoe

  • @MiishHassan-qm1et
    @MiishHassan-qm1et 3 месяца назад +2

    😢😢😢😢Dah hii atory inaum san usijal hata ndugu wakisem wnakutenga mungu yupo nawe kila upande 😢

  • @MohamedMkota
    @MohamedMkota 3 месяца назад +1

    Ukiweka wazi. Ndounapata aman wanaofichaficha ndowpapnakufa haraka

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 3 месяца назад +2

    😢

  • @BernadethaMushema
    @BernadethaMushema 2 месяца назад

    Pole

  • @Atb300
    @Atb300 3 месяца назад

    😢😢😢😢

  • @janemusumba820
    @janemusumba820 3 месяца назад +1

    Qr Mungu mbele

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx 3 месяца назад +1

    Mbona wanapona kwa sasa sio zamani

    • @mymuhnabdallahshaban7763
      @mymuhnabdallahshaban7763 3 месяца назад +4

      Nani aliwah kupona acha uwongo Sema wanaweza kuzaa mtoto ana asiwe na maambiki pia anawez kuolewa na mtu ambae hn maambukizi

    • @shamzone388
      @shamzone388 3 месяца назад

      @@mymuhnabdallahshaban7763 usishtuke na
      Usishtuke kuwa ana hiv
      Wapo wenye blood pressure na sukar pia hawaponi ila wanatumia dawa ni kitu cha kawaida

  • @Edouardozebr
    @Edouardozebr 3 месяца назад

    Mungu yupo dada ❤