Am happy I found this Man here . Happy enough I met him also at KKKT buguruni last Sunday and He shared a word on that special Mass of our deceased brother Masue. It was the best speech ever met in a funeral Mass.
@@ahz6907 ana akili sana, wengi wamesoma hawana uwezo wa kudeliver hayo madini ishu sio kusoma tu bro. Nenda ukasome tuone madini yako, kuna watu wamesoma kuzid hata yy lakini hawana kitu.
@@timothmwakakusyu4563 nimesemea akili yake plus experience ndo utofauti ulipo.sio kwamba ni special sana.hata wewe ukisoma na ukakutana na cases zikakupa experience ya mambo meengi katika maish huwezi kuwa sawa na yule aliyesoma tu. Kumbuka kila binadamu anazaliwa genius.
@@ahz6907 si kweli ndugu, sio kila binadamu anazaliwa genius ila kila binadamu ana karama yake. Hivi unajua maana ya neno Genius? Ukijua maana ya neno genius ndo utaelewa mambo, na ujue pia kutofautisha kati ya IQ na EQ, binadamu tuna utofauti sana. Huyu ni special sana kwa eneo lake, tuna wanatheolojia na wanasaikolojia kibao ila usitegemee kwamba uwezo wao wa kudeliver kile ulichokisoma uko sawa. Unaweza ukawa umesoma sana lakini Mungu hajakujalia uwezo wa kutoa kwa wengine wakakuelewa na kukufurahia, kuna wengine wanaposoma inakuwa faida kwao pekee. This is hard talk bro huwezi kuelewa kirahisi kama mambo ya delivarance huyaelewi kiundani
Aiseee Lilian hii interview ni bonge moja la interview kuwahi kufanya big up my sister keep it up you doing great watu hawajui mambo mengi sana ktk hii dunia ila hatujui kama hatujui mpk tujuzwe
I am always telling Weman that we are the managers of the love's feelings. because we are the receivers and produces of our relationship's love 💞💗💗💞 thank very much for your explanation doctor. you are the best 💋💋💋
🤔Fore play, fore play, fore play and different techniques may help. Tuache uvivu tuwe wabunifu kwa kujaribu mbinu mbali mbali kitandani zinasaidia🤔. Mapenzi ni mashirikiano ya watu wawili lakini mkifanya kwa dhati kwa kujaribu mitindo tafauti lazima mtatoshelezana tu🤔.
🤔Hii cheating kuna msemo wa Kiingereza unasema “forbidden fruit is the sweetest”. Yaani tunda lililokatazwa ndio tamu lao. Hii ndio maana mtu akitoka nje ya ndoa na kufanya mapenzi nje hupata shauku na mvuto mkubwa kimapenzi. Lakini pia harufu mpya na mapigo mapya pia huongeza michapuko ya kufika kileleni kimapenzi🤔.
Nimemuelewa sana doctor. Inamaana asitokee mmoja wapo kati ya mke na mume akasema hanifikishi kileleni. inatakiwa aseme sifiki kileleni. Ndio maana akasema hakuna mtoto anaezaliwa haji duniani kukutegemea ww au kumtegemea mtu. Kila mmoja afanye juhudi ya kutafuta anachokitaka ili akipate. Kweli mkiwa mnanyanyua mzigo mzito watu wawili ukizembea kiunua ule mzigo utainamia kwako na utakuangukia utaumia wewe uliezembea kunyanyua.
Huyu mwamba anafundisha San lkn bado hajajibu swali. Kuna contact zipo za kumfikisha mwanamke killelen hajazitaja, mwanamke hata Kama anamsongo wa mawazo lazma atafika kilele tu, labda atachelewa tu lkn lazma afike. Kikubwa umjue yy na contents zake. Very very easy.
Wajanja washajua bro, hujasikia maandalizi ndani ya mazungumzo kwamba lazima umwandae vya kutosha ili umshtue uwepo wake? Mengine haya ni elimu ya ziada itakusaidia, usiwe mgumu wa kuelewa 😆😆😆😆😆😆😆
Pia uwepowanguvu unahitajika kikubwazaidi kwanza mwanaume inatakiwa achelewe kufikakilele nahilowengilinawaangusha wanaume kutokana na vyakula mwingine Huwa anashusha Kwa dakika 2 huuni udhaifumkubwa namwanaume akiwahisana kufikakilele mwanamke atakuchukiasana nakukudharau kamawasipobadilika nakuachakula mikukuyakisasa tatizohilohalitaisha by op hamidu mkomwa
Dr.Umenitisha Maana Mimi Nikiwambia Kwenye Hizi Vidio Zao Humu ???? Raha Yakula Nikutafuna Ndio Wawahili Wamesema Nyege Kunyegeshana ???? Wao Wanakuja Kutaka Kufikishwa Hajuwa Kuwa Nikufikishana
This guy is very intellectual, you need deep concetration to understand what he is saying! Big up dr
Yaani Hakuna Mwanafalsafa Anamafundisho Mazuri km Waminiani. Mungu akutunze uendelee kutupa Madini
Am happy I found this Man here . Happy enough I met him also at KKKT buguruni last Sunday and He shared a word on that special Mass of our deceased brother Masue. It was the best speech ever met in a funeral Mass.
Moja kati ya binaadamu wenye akili nyingi sana ni huyu Doctor
Hana akili nyingi tofauti yake nawewe ni kwamba yeye amesomea hayo mambo na kukutana na cases ambazo zimempa experience.
@@ahz6907 yap
@@ahz6907 ana akili sana, wengi wamesoma hawana uwezo wa kudeliver hayo madini ishu sio kusoma tu bro. Nenda ukasome tuone madini yako, kuna watu wamesoma kuzid hata yy lakini hawana kitu.
@@timothmwakakusyu4563 nimesemea akili yake plus experience ndo utofauti ulipo.sio kwamba ni special sana.hata wewe ukisoma na ukakutana na cases zikakupa experience ya mambo meengi katika maish huwezi kuwa sawa na yule aliyesoma tu. Kumbuka kila binadamu anazaliwa genius.
@@ahz6907 si kweli ndugu, sio kila binadamu anazaliwa genius ila kila binadamu ana karama yake. Hivi unajua maana ya neno Genius? Ukijua maana ya neno genius ndo utaelewa mambo, na ujue pia kutofautisha kati ya IQ na EQ, binadamu tuna utofauti sana. Huyu ni special sana kwa eneo lake, tuna wanatheolojia na wanasaikolojia kibao ila usitegemee kwamba uwezo wao wa kudeliver kile ulichokisoma uko sawa. Unaweza ukawa umesoma sana lakini Mungu hajakujalia uwezo wa kutoa kwa wengine wakakuelewa na kukufurahia, kuna wengine wanaposoma inakuwa faida kwao pekee. This is hard talk bro huwezi kuelewa kirahisi kama mambo ya delivarance huyaelewi kiundani
Rahisi kuelewa Ila ni ngumu kupembua😌namsikilizia afu nastopisha kufikiria amesema hivi anamaanisha nn dooh nmechelewa kumaliza hii interview 😊
Dkt Mungu akuweke kwa mafunzo Muhimu Uzembe ni mkubwa
Mmmmh hapa wazazi walizaaa kichwa kweri this Man is genius
👊kabisa
Very interesting
You heal by talking transparently
God bless you
The genius, incredible man , humble and very intellectual, I’m happy you got this man on the show .. ❤️❤️❤️🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Wangu anafika kila wakati. Namsifia kitumbua chake ndiyo the best under the sun na simuangushi🇰🇪
May be you haven't searched enough
Doc kaongea lugha ngumu sana
Ukielewa anachoongea huyu mzee.. 🔥 🔥
Mwendelezo Jamani 🙌🙌🙌
Thanks Dr
Thanks for the Good questions my sister lilian mwasha may God keep on using you guys doc and lilian best combination hardtalk on top
Fact you’re very intelligent docter be blessed
Thanks so much doc
Dctr yuko vizuri nimemkubali ila alivomtaja mungu nimempitisha...
d.r nimekuelewa vizuri sana
This guy is too much I swear .. I love you Dr 🇬🇧🇬🇧❤️❤️❤️
Nice Hard Talk Mwasha, l like it mama...
Kumuelewa huyu Dr you must understand his philosophy sio rahisi. Nimejifunza mda mrefu kumuelewa kupitia talk zake kwakweli
Dk akili nyingi sana, big up sana. Nakuelewa sana.
Hii ni brain kutoka sayari ya mbali sana
Kaka kichwa kama Google akili hadi raha mashallah
Mwalimu wangu huyo ❤❤❤
DOCTOR NI HATARI SANA ANAJIBU MASWLI KISOMI KAMA HUJASOMA HUWEZI ELEWA AISEEEEE
Haswaa
Ni kweli kabisa
Asantee doctor hofu ,woga ni muhimu
Akili kubwa sana hii Asante kutuletea huyu
Nimekupata saana Dr
Hard talk,great talk,we are blessed to have you
This is really hard Talk
Aiseee Lilian hii interview ni bonge moja la interview kuwahi kufanya big up my sister keep it up you doing great watu hawajui mambo mengi sana ktk hii dunia ila hatujui kama hatujui mpk tujuzwe
Duuu! Falsafa tupu. Tulio elewa tujuane lkn Lilian kutupiga { MDAA}.
Well doct
Asante sana doctor, napenda sana hard tolk
Uyu docta ajenvwe sanam pale singida kwa Warang.....
Hahhaaha nimependaa iiioooh
Dada lili nimependa sana hadtolk duu hiyo Dr yuko poa katika kujibu maswali ya msingi kutoka kwako. Safiii
Sister @lilian mwendelezo twapata lini, umetuishia njiAni
Doctor nimekukubari
I am always telling Weman that we are the managers of the love's feelings. because we are the receivers and produces of our relationship's love 💞💗💗💞 thank very much for your explanation doctor. you are the best 💋💋💋
Dkt punguza Ktk viumbe hao ni shida dada kula tu basi awawezi
Daktari wapitia sana vichakani, " beating around the push" .
Anakuwa kama mwanasiasa 😁
Maneno mengi, kama mwanamke ni ardhi, mwanaume ni anga
😂😂
Lilian kacheka kidogo baada ya Doctor kusema kuwa mtoto haji kumtegemea mtu😄😂😛
👏👏👏🙏
Huyo Dada akuerewi ni mbwembwe tu ana jipya
The more u take the less u have
Ubarikiwe
The hard talk
Mwandishi mwenyewe kaachwa njia panda
Wanawake wagonjwa wengi mno
This guy is genius
True
Nimekuelewa sana Dr, ila inahtaji akili ya ziada mtu kukuelewa, asiwe mbumbumbu, my God bless and protect you
😁
Sijawahi kuelewa kama Leo thks doc
Nani mwengine ana watch hii interview. Again after a year na ana enjoy kuitazama tena?tujuaneee 🎉 doctor hongera na ahsante sana kwa wisdom
Aisee,upo vizur Doctor
🤔Fore play, fore play, fore play and different techniques may help. Tuache uvivu tuwe wabunifu kwa kujaribu mbinu mbali mbali kitandani zinasaidia🤔. Mapenzi ni mashirikiano ya watu wawili lakini mkifanya kwa dhati kwa kujaribu mitindo tafauti lazima mtatoshelezana tu🤔.
Dada lilian, jitaidi sana kupunguza background music, hatusikii vizuri
KWAKWELI NAJIKUTA NAPATA NGUVU MPYA NAWAPENDA SANASANA❤
Kiukweli na enjoy
Nice
Ungefunguka wazwaz doctor kuliko kimafumbo ingependez zaid
Manake mimi nimewachwa pembeni..... sielewi...
Hamjui kuna watoto?
@@fatmazullu4933 kweli madam, ila wewe mzuri...una mshikaji...
👍
Natumaini tunamuelewa Dr hapa...
Wengi tunashida kwa namna nyingi
Lilian please we need party 2
Daah mpo vizur lkn kingereza king bhna
Mbona imeishia njian dada
Asante.
kazi kweli kweli through kufika kileleni
Full name of this man..! Plz
Kwl
This man he does not know how to strike point , he is passing around the point which is not acceptable
This is hard talk, hapa ni swala la uelawa. Fuatilia koment nyingi ndo utajua tatizo ni ww. Philosophical conversation doesnt need what u need bro
❤
Natamani nije kumuona huyu baba jamani sijawahi choka kumsikiliza
Doctor Asante umefanya vyema kutukumbusha
Aisee kumbe Haina haha ya kuteseka utamu tunao wenyewe
Tunasubiri mwendelezo mpk leo hujatoa
🤔Hii cheating kuna msemo wa Kiingereza unasema “forbidden fruit is the sweetest”. Yaani tunda lililokatazwa ndio tamu lao. Hii ndio maana mtu akitoka nje ya ndoa na kufanya mapenzi nje hupata shauku na mvuto mkubwa kimapenzi. Lakini pia harufu mpya na mapigo mapya pia huongeza michapuko ya kufika kileleni kimapenzi🤔.
Wewe nisarute donkita
😄
Sichokagi kukusikilza. Kila siku nikama, nasikiliza upya.
Nimemuelewa sana doctor. Inamaana asitokee mmoja wapo kati ya mke na mume akasema hanifikishi kileleni.
inatakiwa aseme sifiki kileleni. Ndio maana akasema hakuna mtoto anaezaliwa haji duniani kukutegemea ww au kumtegemea mtu.
Kila mmoja afanye juhudi ya kutafuta anachokitaka ili akipate.
Kweli mkiwa mnanyanyua mzigo mzito watu wawili ukizembea kiunua ule mzigo utainamia kwako na utakuangukia utaumia wewe uliezembea kunyanyua.
Point upo vizuri
Huyu dr ni hatari sana yafaa kumsikiliza ana mambo mazuri mno
Kama nakuelewa
@@eliaoleshengea5711 sawa
Ufasaha wa lugha uliopo hapo sio mchezo
Aisee mimi kama mkenya, nime sambaratika....
Haswaa
Yn unaweza achwa njia panda🤔
😊😊😊
We dada una udhi na kiengereza chako kifupi kifupi, ongea2 kiswahili
Hana akijuacho ni unuwaji mwingi tuu kasome dada weeeeee na upunguze bichwa kavu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii kicha kwekweli hapana
Mwendelezo wake upo wapi jamani
Huyu mwamba anafundisha San lkn bado hajajibu swali. Kuna contact zipo za kumfikisha mwanamke killelen hajazitaja, mwanamke hata Kama anamsongo wa mawazo lazma atafika kilele tu, labda atachelewa tu lkn lazma afike. Kikubwa umjue yy na contents zake. Very very easy.
Wajanja washajua bro, hujasikia maandalizi ndani ya mazungumzo kwamba lazima umwandae vya kutosha ili umshtue uwepo wake? Mengine haya ni elimu ya ziada itakusaidia, usiwe mgumu wa kuelewa 😆😆😆😆😆😆😆
Hutakiwi kufikishwa unatakiwa kufika wewe
Pia uwepowanguvu unahitajika kikubwazaidi kwanza mwanaume inatakiwa achelewe kufikakilele nahilowengilinawaangusha wanaume kutokana na vyakula mwingine Huwa anashusha Kwa dakika 2 huuni udhaifumkubwa namwanaume akiwahisana kufikakilele mwanamke atakuchukiasana nakukudharau kamawasipobadilika nakuachakula mikukuyakisasa tatizohilohalitaisha by op hamidu mkomwa
Dr yuko sawa sana wanawake wengu wanamatatizo ya fikra zao
Dr.Umenitisha Maana Mimi Nikiwambia Kwenye Hizi Vidio Zao Humu ???? Raha Yakula Nikutafuna Ndio Wawahili Wamesema Nyege Kunyegeshana ???? Wao Wanakuja Kutaka Kufikishwa Hajuwa Kuwa Nikufikishana
Maneno bambam tunatoka kwa baba mamillioni mmoja anaweza kushinda kuwahi kuingia kwenye yai.
hi dada lillina Abella mwasha natumaini uko salama kbs nina ombi nina wezaje kupata mawasiliano na docter
Dr pongezi ila ameongea kiswahili Cha ndan sana
Hbr mbona sehemu ya pili sioni?
Mhh
Huyu jamaa ni nondo ya hatari
what is he saying exactly.
Yaani nimeelewa mmno
Kiumbe cha kale katika maumbile madogo sasa nimekuelewa
hakika usichokiofia huto kitunza
Womens they sleep like mattresses and they don't work to come😂😂😂
🤦🤦🤦😁
Vinnie bite Kana flow lkn!
Part 2 nitaipata wapi since hii mada ilikuwa inamafunzo zaidi