SIJAWAHI KUHONGWA, KUPEWA PESA, KUNUNULIWA GARI AU NYUMBA, KWANINI? | HARD TALK..
HTML-код
- Опубликовано: 3 июл 2021
- SIJAWAHI KUHONGWA, KUPEWA PESA, KUNUNULIWA GARI AU NYUMBA, KWANINI? | HARD TALK..
'HAR TALK' ni Kipindi Kipya kutoka GLOBAL TV kinachoongelea mambo mazito sana ambayo mwanadamu hajawahi kuyawaza wala kuyafikiria..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
You are the first man who explains about this material love problems. I like how you are wise and calm and a gentle man. you always honest in everything. big respect for you brother
Baba wewe ni mwalim mzur unatufundisha mengi tusiyoyajuwa, mungu akubariki na akulinde.
Dr.Elie V.D Waminian na Lilian Mwasha Mungu azidi kuwabariki sana, maana mnatupatia vitu vya gharama kubwa bure.
Dr kwakweli wewe ni mwalimu mzuri sana ubarikiwe ,suala la kupenda na kupendwa ni suala la kimaumbile na kama ukilikosa unaweza ukakosa furaha Katika maisha.Yeyote anaetumia Mali yakekwa mwengine huwa anataraji kupata mrejesho kulingana na nia yake isipokuwa kwa wale ambao hutaraji kupata malipo kwa Mungu na njia huleta utulivu katika nafsi.
Swadakta
I love you Both but Dr Elli your a special human I have watched all your episodes on Chomoza I have learnt a lot from you , all the way from Manchester. You inspire me a lot . Intellectual being ❤️🇬🇧❤️🙏
Share with us a little bit what you have learned from them please
The level of wisdom he has......Shkamoo baba Mungu akutunze akiiiiii.......
Asante Mume wangu kwa kunipa mbegu mashallah nimefahamu Leo nna mbegu4 alhamdulilah
Lillian unaongea vizuri sana na nakupenda Ila naomba utumie lugha yetu ya Taifa moja kwa moja maana unanipunja baadhi ya maneno kwa kingereza, Mbarikiwe sana
Jamani jifunze hata kidogo basi twende sawa dada🤣🤣🤣
@@ilovejesus9303 sawa ndugu nitajitahidi kujifunza maana Elimu haina mwisho Ila lkn ni vizuri pia tukijivunia lugha yetu ya Taifa 😊
@@faridamkesso97 upo sawa nlikuwa nakutania bwana. Tujivunie lugha yetu
🤣🤣
Safi mbarikiwe kwa kutubarki.
Nikifikia level of understanding ya Doctor Elly nitakua nime serve my purpose of being alive
Asante sana Sis Lilian Mwasha na Dr.kwakweli Dr yupo vizuri sana huwa najifunza vingi kupitia yeye na kipindi Hiki,usiache kutuelimisha sisi vijana haswa kwenye maswala Kama haya .
This Dr talk the real principles of the world
Hard talk hichi kipindi kiiishi milele such inspire and opens our mind my sister gOod questions and the Doc with the best answer we never expect 🙏🙏🙏🥰🥰🥰
"I like your details and information of your understanding the culture and environment, and time we are in.
I called you Profesor of new generation.
Great job,Sir.
Shukran kwa maarifa kwa timu nzima ya Hard talk.
Thanks you Dr. El & Lilian
Hiki kipindi kinanibariki mno Mungu awatunze sana. Hongera sana Lillian nakufuatilia mamii, Kuna kitu kikubwa sana cha kiMungu nimejifunza kwa huyu dr kipitia haya mazungumzo Lilly. Barikiwa sana.
huyu Dr ni hatariii anajua vitu sanaaaaaaa.thanks
Asante mtumishi.
Good job sir Nina jifunza mengi
Nakuelewa sana Doctor, maswali nliyo nayo napata majibu nkirudia kuskliza. You man you are so potencial
Hk kipindi kina nichanua kweli thanks all
Thanks for the knowledge u share doctor God keep on blessing u on a Good work Ypy do keep on empowering and bring the light in out life watching this from overseas ❤❤❤🔥🔥🥰🥰🥰
I love and admire this woman ❤️
Asante sana kwa maada zuri imenisongeza sana kiimani
Ni kweli mtu mwema ni yule anayekuwazia mema na sio kufanya mambo mema 😃😃😃😃
Lilian mwasha and doc eli the best combination and much wisdom and such a great knowledge you share out here
I learn something
Be Blessed
Asante dr
Great philosophy.
THE BEST TOOK EVER....
Oh My God...this man is so spiritual
Sure
Hivyo eee nimeelewa asante doctor
Thnks
Wise words
Dr Elli anasikiliza kwa makini sana
Shukran 🙏 🙏 🙏 🙏 sana
Nakupenda sana Lilian
Mada Nzuri saaaaana nawafurahia
This is Dr. Elly. Bravo
Real hard in one side but real soft in another side.
All in all God Bless you Hard Talk Team.
I understand you Doctor"
Wooowh! This is aeesome. I love you guys!
Was a nice talk and I learnt a lot from Dr
Asante liliane
Mungu awabariki watumish wa Mungu ! Mnakitu cha tofaut ndan yenu!
Thanx my dear❤🔥
Soo happy to see him again,soo spiritual, soo genius
Dada nimeipenda hii topiki nakupenda sana unamaono ya mbali sana na hii inatuhusu wanawake.
Lilian tuko wengi usijali Tupo imaraa
GOD bless you my dear
Nimejifunza kitu kikubwa sana🙏
Wooooooow m'trully happy for this..chuki ipo kwa unaempenda..absolutely YES!!!!!!
Manshallah nimekuelea🧏♀️🙏
Thanks God, nimepona
the bible says, enyi wanaume wapendeni wake zanu,hii imekaaje da mwasha hapo doctor anaposema hakuna kupendwa?
Dr Eli akili kubwa Sana ww
My dada akuna tatizo kutoa kama unatoa bila sababu kuna mtu anaweza kua anatoa ila ukitazama kwa undani anatoa kwasababu anahisi kama hana kigezo chakumfanya aliyenae ampende iyo ni akili ya unyonge ilo ni tatizo
Dr Elia namkubali Sana kipindi Cha cliurds tv chomoza very nice
Siyo cliurds Ni Clouds Tv
Ningeshauri mtumie kiswahili moja kwa moja ili kuwafikia walio wengi kuliko mnavyochanganya na kizungu.. Namwelewa sana Dr huyo.
Oooh umenifundisha hasaaaa😊😊
Somo zuri sana
Na Mimi ni ivo kweli yani sija wayi kupewa pesa na Mwaume ila Mimi njoo Mina towaka pesa za kila kitu kwa Mwanaume ata awenazo njoo ivo na Mimi Mungu tu njoo nikicha achiya kweli
Mtangazaji kichwa ngumu haelewi😂😂😂😂
Anza channel yako unatuchanganyaa
Dr. Una akili mingi sana
Nice point😘
Nimejifunza kitu..,nimepata Amani ya moyo ghafla. My husband is like what are you doing today witch😂😂😂
Swali hili nikama mumeniona mm Yani natoa lakin mm awanipi lakini hua nasema mungu yupo najua ipo siku moja nitapewa t
Lilian unamkatisha Sana doctor alafu punguza kingereza
Napenda Dr Elly anavosikiliza na kujibu🥰🥰
Ila for my man i have to recieve 😆😆
Nakipenda hiki kipindi
Waoooo
Waoooh🙏🙏
Kwani kahama wasafi
Hard tolk.., hard talk, sijaelewa lakini tuendelee
06.06.2021
Daaaaaah 🤔
🤔❤❤❤
Duuh. Hard talk kweli and really hard. Aise Dr amenimafanya nielimike kwakweli maana mambo mengi tunayapeleka ndivyo sivyo.
Maneno mawili yenye hekima na busara kutoka kwa Dr. Panapotoka uchafu ndo pana utamu, afu ukipenda unakula na kinachopendwa kinaliwa duh.
wanawake wengine wame ishi kauli za nabii hana heshima kwao wanaume wengi wana ishi hivyo chanzo chawengi ni wanawake zao
Wenye akili wame jifunja
🔥🔥🔥🔥🔥🙏
you are very good 👍👏
❤❤❤❤❤🌍🙏
Naomba Dr. afafanue kivipi unamchukia unayempenda?
Amazing 🤯
Mimi pia na hii shida dada lilian
Sehemu ya Utamu ndiko uchafu unapotokea 💥💥💥💥
Lilian ndugu yangu huyu Dr katumia psychology kukufunga bao la mkono
😂😂😂
Yaani haingii akilini kuwa mtu anakuzalisha/mke halafu huduma anatoa kwa hawara eti wewe mke ndio anakupenda zaidi. Ndio maana wanawake wa ndoa wanahangaika kulea watoto peke yao wakikopa huku na kule wakati mume anagawa na kumwaga pesa kwa mchepuko. Yaani nimeamini kuwa kusoma sana nako kuna tatizo la kufahamu mambo na kubabaisha watu kuwafanya mbumbumbu.
Dr. asant
Nimeona leo nimefurai,ivi nyie ni binadamu wa kawaida?!! Nani aliewazaa? Mbona mnatuacha taabani mko imala Kama yesu!
Ni RUclips tuuu wasafi Veep Dada lili
Huyu ni kaka y'ako buana Lilly
Tumia kiswahili
Jamani nahitaji namba ya Dr. Elie, please alienae.anaweza.nisaidia
Hawatunukiwi bure hao
Usifurahi mpk ujue wewe unafanya nini
Pointed
Kwa hiyo hujui Ni kwa Nini wenzako Wana pewa halafu wewe una toa!
mbona kama kipind mmecopy hardtalk ya bbc
Nyie ndo mlikuwa mnafeli darasani yaan humelewi tu hadi unasema amecoppy bbc?
Lili Dada vingereza
Utamu unatk uchafu unapotokea
Women matters iliishia wapi? 😔
Sijui kwann wamekiacha kile kipindi
Kwasababu mwenye kipindi kahama station aliyokua anafanyia hicho kipindi
Mapenzi sio pesa na pia km unataka utuniwa ni tatizo dongo toa TIGO uone utapata nini lkn nyerere alisema uchumi unao lkn unaukalia.
Nimecheka Hatari
🤣🤣🤣🤣🤣hatar kwli
Hahahaha uchumi unao lkn umeukalia
Khamis kwann lakini😂😂😂😂😂
Nimekusomaa doctor