Mwanga Wa Akili (Intelligence) Dr.Elie V.D Waminian.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Mwenye hekima akikosa kipato hekima yake haiwezi kusikika,ndio maana hata kwenye jamii inayotuzunguka na familia zetu utakuta ukiwa hauna kipato hekima yako haiwezi kusikika.
    Kuendelea kupata mfululizo wa mfundiho haya na mengine mengi fanya kusubscribe channel hii.#ChomozaTv#DrElieWaminian#MwangaWaAkili.

Комментарии • 24

  • @truesuccessstorymedia4058
    @truesuccessstorymedia4058 4 года назад +1

    Asanteni kwa kutujali watazamaji wenu

  • @hamidafundi5890
    @hamidafundi5890 4 года назад

    Asante Chomoza, Kongole kwako Dr Elly 🙏

  • @issarashid3994
    @issarashid3994 3 месяца назад

    M'barikiwe weto kuanzia mwenye medea na Dr elie nawanao endesha kipindi cha chomoza

  • @barakasylvester83
    @barakasylvester83 4 года назад

    Samu sasari!! Nauli huyu Dr Eli Kanisa lake lipo wapo kwa hapa dar es salaam??

  • @christinen8291
    @christinen8291 4 года назад +4

    Dr Elie Tunakupenda sana hapa Danmark.
    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu 👍

  • @mathewmassawe5982
    @mathewmassawe5982 4 года назад +1

    Ibarikiwe sana sana, team CHOMOZA, nimejifunza mengi sana, MUNGU tu ndiyo atawalipa namna mnavyosaidia jamii

  • @mkobaofficial8037
    @mkobaofficial8037 4 года назад +4

    Am sorry,Ahsante,usiwe mtu wa kuomba omba (ufunuo 1:6) nakufurahia sana,Nashukuru,Usiwe mgeni,Angaza maana Muhudumu anadumu ukitaka kufika nenda na ukitaka kushindana kimbia,Kipaji ni kuwa tayari kabla ya Kujifunza 🙏🙏🙏🙏

  • @abrahamkasian7024
    @abrahamkasian7024 4 года назад +1

    Ukitaka kukimbia shindana,, ukitaka kufika nenda!!!

  • @truesuccessstorymedia4058
    @truesuccessstorymedia4058 4 года назад +1

    Mhudumu Mhudumu duh!!

  • @enockmussa1198
    @enockmussa1198 4 года назад

    Saut muwe munaweka vizur ndugu zangu maana inackika Kama Hakuna maiki karb

  • @wilsonmoses2761
    @wilsonmoses2761 4 года назад +1

    Daaaah Asanteni sana Chomoza nimebarikiwa sana

  • @emmanuelmayombo6188
    @emmanuelmayombo6188 4 года назад

    Tupo pamoja kila hatua hakika nawapenda sana

  • @OGomba-ht7yq
    @OGomba-ht7yq 4 года назад

    Somo la leo zuri Sana, shukran

  • @belynderokoth9083
    @belynderokoth9083 4 года назад

    be the light..be the lighted..so so deep

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 4 года назад +2

    Mafunzo yaleo yameningusa sana sana yameniponya moyo wangu, be blessed Dr Ellie

  • @queenyahaya3147
    @queenyahaya3147 4 года назад

    Tunashukuru kwa kutuletea 16

  • @israelbarton3290
    @israelbarton3290 4 года назад

    Vitabu nitapata wap

  • @babumollel4726
    @babumollel4726 4 года назад +1

    Mali no 1,ni mtu uliyekaribu naye (utu)

  • @the_white_43.
    @the_white_43. 4 года назад

    Safi Sana Dr.

  • @lexsonchengula6167
    @lexsonchengula6167 4 года назад +1

    Ahsanteni kwa masomo