🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 ноя 2022
  • 🔴#Live: SIRI ITAKAYOKUPA MKE, MUME SAHIHI, HIZI NDIYO SABABU ZILIZOVUNJA MAHUSIANO ya WENGI | MAPITO
    KWENYE MAPITO ya wikii hii mgeni ni Deo Sukambi mwanasaikolojia, pastor na mshauri wa masuala ya mbalimbali ikiwemo mahusiano na ndoa...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 72

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +1

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @charlesbabag1424
    @charlesbabag1424 Год назад +14

    I wish watu wakuelewe zaidi hapo kwenye zawadi nakujitoa, usitoe zawadi ili upendwe toa zawadi sababu unapenda💪🏾 mnunulie mpenzi au mpe kitu mpenzi wako kwa mapenzi yako sio kwaajiri yayeye kukupenda

  • @sophiakayumba5974
    @sophiakayumba5974 Год назад +4

    I listened twice,,, mtaalam Deo kaongea mambo ya kweli ......

  • @angelsylvester4795
    @angelsylvester4795 Год назад +4

    Kaka deo unaongea vitu vizuri sana wanaume wangesikia wengi wangepona hali ni mbaya

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 8 месяцев назад +2

    Da,unaweza kulikoroga bila hata kujua, asante kwa elimu

  • @GraceKassim
    @GraceKassim 3 месяца назад +1

    Nimejifunza kitu kikubwa sana asante sana

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 11 дней назад

    Uko sahihi 100%
    Mwanaume ndo kila kitu jmn,ahudumie familia
    Wanawake acheni kuhonga wanaume pesa, hela ya mwanaume tamu aisee ...
    📌📍Waambie pastor

  • @akimanaasiya4654
    @akimanaasiya4654 Год назад +2

    Mungu andeley kumlinda sn huyu baba 🥰

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 5 месяцев назад

    Maashaallah wewe Baba Munguakulipe heri. Manenonikwerikabisa. Wanaume akikufatamchunguze niayake hawanamapenziyakwelinipesatu

  • @redmioman4371
    @redmioman4371 Год назад +2

    Asante sana kwa somo zuri jaman

  • @user-js8zu6ld7n
    @user-js8zu6ld7n 4 месяца назад

    Past deo Mungu akuongezee maarifa ili nasi tuchote kwako baba

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 Год назад +7

    Wee ndugu unaweza kusaidia watu wengi MOLA AWE NAWE

  • @bediabahati7700
    @bediabahati7700 8 месяцев назад +1

    Yani uyu mu kaka ni fire🔥 kila unacho ongeya ni point tupu wana wake wengi tuna jipendekeza ku wana ume tukizani njo tutapendwa mana wengi nawa juwa ashwa ashwa kwenye inchi iyi ya .Marekani wana wake wa hapa wana ume awa tusamini na mana tuna jipendekeza kwaku chukuwa majukumu yasiye kuwa yetu mwishowe wana tuacha wana ende ku owa wana wake. Afrika ubarikiwe Mwana muke ata Kaye shindwa kujifunza kwa somo 👆🏿hili wewe sijuwi atakama ukipewa dawa kutoka .Chine😂😅 ita ku ponya mana muchanga nyiko wa dawa yenye ugonjwa wako iyo hapo asanteni👂🏿 ✍️🏿❤❤ God bless you Brother🫂🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @lameckgunze6376
    @lameckgunze6376 Год назад +2

    Zari anauliza vizuriiii

  • @LeahMuganyizi
    @LeahMuganyizi Год назад

    Asante sana kwa maelezo mazuri shida ni hawafuatilii wakasikia

  • @maryammohammed5835
    @maryammohammed5835 Год назад

    Pastor DEO nimependa kipindi hiki.. Hongera sana

  • @KataliwaComicSeries
    @KataliwaComicSeries Год назад

    Grande applause. Loved this!

  • @user-ty6lr1zq7j
    @user-ty6lr1zq7j Год назад +3

    Jamani kaka umeongea ukweli mtupu somo zuri sana ila ajiandae atakae kuja maana atalala njaa maana mtu hatoi pesa hadi umuombe hata ukiomba hadi ajishauri mwisho naamua kufanya mwenyewe sasa atajuta ajae

  • @ndavadumayai4250
    @ndavadumayai4250 10 месяцев назад

    Pastor Deo nimekuelewa sana sana

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 10 месяцев назад

    Nimekuelewa sana baba mzuri nitakua mpya sasa

  • @esthernakawule7009
    @esthernakawule7009 Год назад +1

    Thx for da show

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Год назад +4

    Mm ndani nna vidonda haswa

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 Год назад

    Really man thanks

  • @lameckgunze6376
    @lameckgunze6376 Год назад +1

    Wanawake hata hawataki kusikia kuwa wana haja ya kujitibia saikolojia zao niko nao hapa wanasema maisha yenyewe haya mafupi

  • @zaitunisingano8295
    @zaitunisingano8295 7 месяцев назад

    Aisee maneno mazuri sn👏

  • @nyiranzimami728
    @nyiranzimami728 3 месяца назад

    Unaongeya Ukweli past❤

  • @sharifakhamis1145
    @sharifakhamis1145 10 месяцев назад

    yaani dahh we kaka mungu akupe afya njema na umri mrefu unatufundisha mengi nimejifunza mengi kila unachoongea kinanigusa😢

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 Год назад

    Uko vizuri mwalimu sukambi. Unatufundisha uharisia wa maisha.

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Год назад +1

    Kaka asante sana , nimejifunza , akili inazidi kupata chakula , akili inazidi kuingiza vitu vipya zaidi

  • @rahmamohamed5614
    @rahmamohamed5614 10 месяцев назад

    Nimekupenda burreee
    Chukua tu maua yako🎉🎉🎉

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Год назад +1

    Hili somo kabisa

  • @esthererasto
    @esthererasto Год назад +1

    God bless u man ......ukweli mtupu.jmn...

  • @LeahMuganyizi
    @LeahMuganyizi Год назад

    Somo zuri mnooo!!nondo imekaaa vzr

  • @jescaedwardkurumela4333
    @jescaedwardkurumela4333 Год назад

    🙏🙏🙏 baba unajibu maswali kwa husahihi Sana.
    Kupona ndani kwanza 👍
    Jeraha halitibu jeraha
    Ubatikiwe

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa6785 11 месяцев назад

    Ukweli mchungu jamani uiiiii sindano inauma mno ila ndo napona jamani😩😩😩pastor ubarikiwe miaka mia 🙏

  • @boobohhh3029
    @boobohhh3029 Год назад

    Kweli kweli kbs👌⚘

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Год назад +4

    Jamani Mimi natetemeka mpaka najifunika, Asante Sana nimeguswa Sana yote mliyoongea yananiusu,

  • @Udindigwa
    @Udindigwa 7 месяцев назад

    Amina

  • @LeahMuganyizi
    @LeahMuganyizi Год назад

    Kweli kabisaa

  • @user-js8zu6ld7n
    @user-js8zu6ld7n 4 месяца назад

    Yaani mafundisho nizuri kweli kweli

  • @RehemaMsengi-rp5wg
    @RehemaMsengi-rp5wg 23 дня назад

    Huo ndiyo ukweli ubarikiwe

  • @MariannaJoseph-uv2sp
    @MariannaJoseph-uv2sp 2 месяца назад

    Nikweli kaka

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 7 месяцев назад

    Utampendaje bila kukupa anachotaka unampenda mwanamke kwa kumuangalia jamaa huyu bhana Mimi taona anakibuli na napiga chin

  • @user-vr5bi8rb8y
    @user-vr5bi8rb8y Год назад

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 12 дней назад

    Huu ni ukweli jmn
    Wanawake tumezidi kuingilia majukumu ya wanaume.
    Kwakweli mwanaume ameumbwa kutoa

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 4 месяца назад

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Год назад +5

    Uyu baba ameongea ukweli mtupu

  • @neemashadii4702
    @neemashadii4702 Год назад

    😊

  • @Oye494
    @Oye494 Год назад

    Sasa mukisha zara watoto nivigumu kutupa ndowa ndomana sisi wa maman tunavumiriya. Wanaume wanatuonyesha kama ni wabaya kama tumesha kufunga ndowa. Nivigumu sana kuishi nawaume. Sisi wa mama tuko na moyo ya uruma sana.

  • @shhwhw7763
    @shhwhw7763 Год назад +1

    Ana maneno mazito huyu baba

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Год назад

    Kweli kabisa 😜

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 7 месяцев назад

    Waalim n weng aisee

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 12 дней назад

    Tukielewa haya tutaishi kwa raha...
    Kwakweli mwanaume anihudumie tu siwezi kumpa hela wala kuchukua majukumu yake
    Usimpe mamlaka mtu ya kukunyanyasa,nimekuelewa.
    Upendo na lengo 🤔
    Nimekuelewa.....

  • @fridajoseph38
    @fridajoseph38 Год назад +1

    Duh nmejifunza kitu

  • @gloryminja822
    @gloryminja822 Год назад +1

    Kweli usimtatulie mwanaume matatizo yake atatafutamwingine

  • @user-vr5bi8rb8y
    @user-vr5bi8rb8y Год назад

    Sasa km tukitengeneza upendo sisi wenyew pasipo kutumia zawadi km ushawishi,je kwa upande wangu Mimi mwanamke ambaye Nina mpenzi wangu ambae mara hanisaidii wakati ana uwezo wa kunisaia ninapokuwa na shida!?kipato chake ni kikubwa na mimi uwezo wangu mdogo

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 7 месяцев назад

    Hapo changanya na zako

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 12 дней назад

    Khaaa
    Unafua,unapika 🙄😳na hajakuoa😂
    Sifanyi hiyo biashara
    Kila mmoja apambane na Hali yake 😂

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 4 месяца назад

    Tiba ya vikombesss tuipateeee

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 4 месяца назад

    Points tupuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu mchungajiii

  • @hadijarajabu7306
    @hadijarajabu7306 Год назад

    Jaman mpaka raha unaongeq ukwer kabisa

  • @anitamwamini2646
    @anitamwamini2646 Год назад

    Kama hakuna anayeweza kutatua majeraha ya mtu slijeruhiwa, wataramu wa kisaikorojia kaziyao wayayoifanya niipi?

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe 8 месяцев назад

    Madini yameturiav

  • @IngabireAisha3813
    @IngabireAisha3813 7 месяцев назад

    😂😂😂😂❤

  • @salasala9114
    @salasala9114 Год назад

    Ume ongea puent sana kaka somolako nime jifuza kitu

  • @maryammohammed5835
    @maryammohammed5835 Год назад

    Pastor DEO nimependa kipindi hiki.. Hongera sana

  • @BarnabasKavishe-pt2hs
    @BarnabasKavishe-pt2hs Год назад

    Upon sahihi sana dkt. Siamini ktk zawadi eti ndo upendo