MREJESHO |MKE WANGU KANIOMBA TALAKA NA KUNIFUKUZA HOSPITAL |UNANIACHA NAOZEA NDANI HUNA HATA MIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848 AU 0753393036

Комментарии • 80

  • @maximumtvonline
    @maximumtvonline  День назад +1

    chat.whatsapp.com/DeDPWulcpXR2FPuRxrUuEc
    JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP

  • @mussamussa4521
    @mussamussa4521 День назад +6

    Msifikie hatua hiyo yakutaka kuachana jamani watoto wanataka kulelewa na wazee wawili baba na mama

  • @husnachunga5720
    @husnachunga5720 23 часа назад +3

    Pole sana hayo yote ni sababu ya ugonjwa usimchukie tunaomba umvumilie na umpe maneno mazuri ya upendo na faraja kuuguza ni ibada na tunaendelea kuwaombea dua

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa День назад +10

    Anaumwa yule mdada sio amri yake kua mkari Mungu amsaidie apone inshaAllah 🙏🙏

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 22 часа назад +2

      Kwer awe na subra mume

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 22 часа назад +2

      Kabisa

    • @reynaaalrawahi4137
      @reynaaalrawahi4137 22 часа назад +2

      Mara nyingi wenye ugojwa huyu dada wanakua na hasira. Sana

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 22 часа назад +6

      Ni ugonjwa hatari sana Mungu atunusuru yarabi na walio pewa huu mtihani Mungu awaponye inshaAllah 🙏

    • @shanimbaruku2071
      @shanimbaruku2071 18 часов назад +1

      Aamiin ​@@AminaLibisa

  • @florarwegerera8025
    @florarwegerera8025 День назад +2

    Jamani! Mungu awasaidie huyo mama anakuwa mkali na mwenye hasira sababu ya maumivu anayoyapata, Mimi nimepitia hiyo hali najuwa, Mungu awaonekanie

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 День назад +2

    Mskiini ! Mazoea yana taabu tabia zikilingana tena nikubwa adhabu watu nyinyi kuachana.

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 День назад +2

    Licha ya maisha wanayoish lkn wanapendana sana Allah amjaalie huyo mama apone alee watt wake

  • @sakinabudi
    @sakinabudi 12 часов назад +1

    Ka zahir huwa unampa faraja sana huyu baba jamani ,,,,,japo ana msongo mkubwa wa mawazo ila umemfanya mpaka amecheka ,,,,hongera mtangazaji chukua 🎉🎉🎉 yako,, kuna watu wanahitaji faraja japo wapo kwenye mitihani ya ugumu wa maisha na maradhi ni huzuni kwakweri

  • @MaryamKhawar-h3j
    @MaryamKhawar-h3j День назад +2

    Hapa alikua ananyonya maziwa yamama yke yalikua hayatoki

  • @fay9687
    @fay9687 День назад +2

    Sifa nyingine mvumilivu huyo mama saana

  • @fay9687
    @fay9687 День назад +2

    Mama mvumilivu hali mbaya na anafanya kazi za nyumba

  • @luckydubebello1131
    @luckydubebello1131 День назад +2

    Pole bro 😢ila wasiachane aki

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 День назад +3

    Na mume nae pia sio mzima kiafya na yeye pia. Mungu awasaidie

    • @reynaaalrawahi4137
      @reynaaalrawahi4137 22 часа назад

      Shida. Na mawazo. Hua akil zinakua sio sawa 😢Allah atawasaidia inshallah dada atapata. Uzima afya

  • @ramlajeffah9831
    @ramlajeffah9831 День назад +6

    Assalamu alaikum warahmatullahi wabarakatu kaka zahir mbona kina happy hautuonyeshi wanavyoendelea na nyumba yao inavyoendelea kaka

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  День назад +1

      @@ramlajeffah9831 hela ya ujenzi haujatuma ndo shida tutaendeleaje sasa

  • @jovinathasavoie8018
    @jovinathasavoie8018 День назад +7

    Asante sana ,Zahir afadhari saiv watu tutakuwa na moyo wakuanza changa tena,jaman maximum family,tuzidi support hii familia saiv matumaini yapo Bakari kajitahidi I think anaitaji guidance na msukumo kidg.Lakin big up.

  • @annamussa185
    @annamussa185 16 часов назад +1

    Hajuwi mke wake ni waaina gani😅Cha mwisho namsaidia ni mtami😂😂❤

  • @mrsab303
    @mrsab303 День назад +1

    InshaAllah Allah make easy for them InshaAllah ❤❤❤❤❤

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 День назад +3

    Huyu baba anatia huruma😢

  • @mzeke-r9h
    @mzeke-r9h День назад +1

    Hiz habari zipelekeni tbc na vyombo vikuu vya taifa ili watu wejue na wanaotaka kujitolea wajue hayo mambo yatakwishwa daaa inauma sana kiukweli,huo ndio utawala wa manyani (watumwa)pesa bora kulliko afya ya walipa kodi.....kila la kheri.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl День назад +4

    Yote umasikini 😭😭yarabi tupesubra kwa halizetu hizi tulixo nazo. 🤲

  • @annamussa185
    @annamussa185 16 часов назад +2

    Zai Manara njoo uwasaidie ndugu wa mume please 😢

    • @AlHamra-ej3mo
      @AlHamra-ej3mo Час назад

      Kauli yako hii siyo rafiki kwahiyo Albino wote nindg wa Manara ungekuwa ww unatatizo la ualbino ukaambiwa hivyo utajiskiaje kejeli siyo nzuri kabla hujafa hujaumbika

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl День назад +5

    Kaka zahili wakumbushe kufqnya ibada. Nduguzetu hao

  • @KurthumKhamis
    @KurthumKhamis День назад +1

    Jmn mmefikia uku tena 😢😢

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 20 часов назад +1

    Maisha maisha maisha.ukilidhika na unchopata aah siku zinaenda.comedy kidogo😂 ,basi aah siku sinaenda

  • @wastarangayonga8562
    @wastarangayonga8562 День назад +2

    Mashallah nitamtafuta uyu kaka

    • @firdaus7428
      @firdaus7428 13 часов назад

      @@wastarangayonga8562 mie pia natamani nikamtembelee nitawasiliana na Zaher

  • @aminasaid6555
    @aminasaid6555 16 часов назад

    Anywe juice ya majani ya mtaferi,tunda la mstaferi,mafuta ya Habat soda na pia ale sana mboga mboga na aachane na wali ngano na vyakula vya kukaanga

  • @firdaus7428
    @firdaus7428 День назад +3

    Bakari mpole sana

  • @mariyamgharib940
    @mariyamgharib940 День назад +1

    Zahir mwambie ale stafeli sana au afanye juice ni nzuri dawa kubwa ya cancer iyo na maumivu yanapunguwa please afanye ivo au uki google utaona

  • @hasnatrean5013
    @hasnatrean5013 День назад +1

    Kaka zaili vp uyo mama sasaiv aliv kwend hospital

  • @marrychristian7415
    @marrychristian7415 17 часов назад

    Ajachelewa kuzaa jamani ila bbayako kawah Sana kuzaa Kama mtotowake wakwanza ana 41 inamana alizaa namiaka 13???

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa День назад +2

    Kaka zahri 😂😂😂 maswali mengine bannah

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  22 часа назад +1

      Ukiachana na msaada nnaoutoa mm ni mwandishi wa habari so natafuta habari nyingine kwa mteja wangu ww ukiona maswali mengi unastop tu kutazama sisi wengine tunafanya maswwli yawe mengi ili nasi tulipwe na youtube sawa

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 22 часа назад +1

      Sijasema Kwa ubaya kaka zahri ila yanafurahisha usiwe na hasira ndio maana nimecheka🙏

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 22 часа назад +1

      Wala sikukusudia ubaya kaka yangu

    • @deboranicoraus4866
      @deboranicoraus4866 14 часов назад +1

      ​@@AminaLibisaunajisumbua kujielezea huyu zahir anaonag kashamaliz maish bora fabby huyu vidharau kibao tukistop kutazama utatizama we na familia yko ss jmn😅😅

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 17 часов назад

    Huyu mzee yuko saw kweli et maziw hayapo kwan sii unanunuw duuh

  • @MiryamuTwalibu
    @MiryamuTwalibu 20 часов назад

    Habari zahri mwambiye uyo jamaa anyowe izo defu

  • @KhadijaMohamedy
    @KhadijaMohamedy 18 часов назад

    Huruma yarab Allah turehem waja wako

  • @SaraSara-i1l
    @SaraSara-i1l День назад +1

    Maswali magumu

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  22 часа назад +1

      Kwahyo!!?

    • @AnnaMgala-n6g
      @AnnaMgala-n6g 11 часов назад

      ​@@maximumtvonlineila mtangazaji we atali adi maneno unamwambia ya kusema kwa mkeo hahah

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 День назад +2

    Yaani nimecheka, Zahir eti mwambie mkeo nakupenda 😂 nimependa maongezi yao leo, hata huyu mume pia ni mtu mzuri ana utani utani .ni familia yenye upendo, ni hivyo tuu mapato madogo. ila wanapendana.mungu atamuondolea mtihani mkewe. 28.09.24.

  • @VionaMuthoni289
    @VionaMuthoni289 День назад +2

    Nini inafanya aombe talaka au ni hizi michango anafikiria atazidi kupewa sasa anaona akipewa talaka atazidi kuchangiwa??hawa hawako serious na hawajajua cancer ni nini,wanafikiria cancer itapona kesho kama mavua

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  День назад +2

      Alivyoona mume wake hana kitu ni masikini akasema anaoza tu ndani mwanaume hana kitu bora ampe talaka aende kwao akafie tu huko

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 День назад +2

      @@VionaMuthoni289 Sikiliza interview vzr usiongee tu

  • @MaryamKhawar-h3j
    @MaryamKhawar-h3j День назад +1

    Zahir huyo baba anamawazo na anamsadia mke wake na hela anamlipia na mtoto wake pia anamnunulia maziwa maskin msiwe