😮 e e kimbiliyo ni Yesu tu😮Dunia ina mambo !..Davista una udjasiri sana ! Ushuuda iyi inatisha , ni kama ya zabroni😮 !Tunadjifunza kweli ! ❤ubarikiwe Davista na kizazi zako ! Stay blessed
Wamayo nashukuru sana kwa mafunzo na tahadhari. Shukrani na mungu akuonekanie mbona sote tu wenye dhambi chini ya jua. Nikutubu tu dhambi zetu kina dakika. Natoka kenya
Wamayo kweli swala la Magari ya alfajiri na yakupiga mkono bila kujua kwa kubahatisha ni kweli, Unaweza kupakia Majuni au kupakiwa na Majini mi nishayakuta kwenye AISI na kwenye gari yangu Binafsi kubeba nimekoma
Wa kwanza Leo nipeni like zenu😂😂😂😂😂
😮 e e kimbiliyo ni Yesu tu😮Dunia ina mambo !..Davista una udjasiri sana ! Ushuuda iyi inatisha , ni kama ya zabroni😮 !Tunadjifunza kweli ! ❤ubarikiwe Davista na kizazi zako ! Stay blessed
Maskini hiyo jamii watu kila mara tuombe,hiyo jamii wangekuwa waombezi wangemfungua wamayo,tuombee bila kukoma
Yan nilikua nimelala hapa kwa davista nikimsubili wamayo 😂😂😂
,😂umemchangia
Polepo
Dunia inamaajabu 😢😢mngu atulinde maana bila yeye sisi hatuwez ivi vibweka 😢
Duniani humu kuna maajabu mengi mnooo tumtumainie MUNGU.
Mungu anaandikwa kwa herufi kubwa..maana yeye ni Mtakatifu sana
God bless everyone here ❤
wakwanza 😋😋😋
Wqmayooooo tuko na ww forever 😅😅
Dunia inamambo
This story I was waiting for it..thank you David Mata .. (imfrom Kenya)
Wamayo nashukuru sana kwa mafunzo na tahadhari. Shukrani na mungu akuonekanie mbona sote tu wenye dhambi chini ya jua. Nikutubu tu dhambi zetu kina dakika. Natoka kenya
Konki wa kuhadisia mpk inakuingia kwenye ubongo
Kazi kazi davista mata tupo pamoja kaka uku tukiwa na ndugu WAMAYO.
Hapa naamini Sasa kumbe ndio maama Nyumba nyingine hazina Ridhiki
Story nzuri sana nakufuatilia sana na story zako
Hii nayo ni fungua mwaka bonge la story mpaka inasisimua mwili makuu sana naelewa mbona Yesu alitufia msalabani
Stories ya wamayo imetisha sana
Jamani yule tu ugali tulale
😢yaani
Maneno ya nyota is this serious,wamayo umetuelimisha sana,leta 27 davistar
Hatari sana
Mmmm! Dunia Ina mambo
🙄🙄 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤️❤️❤️
✌👊
Watu wanapitia magumu hongera sana devista mata
kweli tunapaswa kuishi katika maombi hii dunia aiseee
Watu usema mmi nimeona mengi kumbe bado kabisa
Duniani Kuna mambo jamani
Yaan
Kwa kwel bado sana ata robo atujaona
@@lizzybeth6344 atari sana ila turizike na aya maisha yetu tu
@@ChristinaMaganga-do8ln wewe acha tu
Part 27 jamaniiiiiii
😂😂😂😂😂Watu jamani nikajuwa nimewaii
Dunia ina mambo kwa kweli!
Story za wamayo kali sana
Jamaa yangu saizi Naona umeng'aa
Dunia Inamambo
Wamayo kweli swala la Magari ya alfajiri na yakupiga mkono bila kujua kwa kubahatisha ni kweli, Unaweza kupakia Majuni au kupakiwa na Majini mi nishayakuta kwenye AISI na kwenye gari yangu Binafsi kubeba nimekoma
Inafundisha sana hasa wanaopenda kwenda kwa waganga, maombi ni silaha
Wamayo hahaaa
Mimi nionavyo kilikua ni kivuli chako ndio maana wewe mwenyewe ulikua huonekani
Ee mungu turehemu na haya majarbu ya ibirisi, tupe nguvu
huyy jamaa ahatarishi maisha yake kweli
Jamaa yangu asante kwakutuelimisha
Allaah Akbar
Part 27 tafadhali tunafuatilia..
Huyu jamaa aki😂😂😂😂😂
Wamayo. 🔥 Umeona mengi
Episodes nzito
Tuwaishie
Munguwe