PART26:WAMAYO TAJIRI WA PESA ZA KICHAWI ALIEFILISIKA AELEZA SAFARI YAKE UTAJIRI NA KUUA NDUGU ZAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 56

  • @emmanuelmachibya2034
    @emmanuelmachibya2034 Год назад +10

    Wa kwanza Leo nipeni like zenu😂😂😂😂😂

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 Год назад +6

    😮 e e kimbiliyo ni Yesu tu😮Dunia ina mambo !..Davista una udjasiri sana ! Ushuuda iyi inatisha , ni kama ya zabroni😮 !Tunadjifunza kweli ! ❤ubarikiwe Davista na kizazi zako ! Stay blessed

  • @Patience.67
    @Patience.67 Год назад +3

    Maskini hiyo jamii watu kila mara tuombe,hiyo jamii wangekuwa waombezi wangemfungua wamayo,tuombee bila kukoma

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Год назад +7

    Yan nilikua nimelala hapa kwa davista nikimsubili wamayo 😂😂😂

  • @mwashumcubwa1928
    @mwashumcubwa1928 Год назад +13

    Dunia inamaajabu 😢😢mngu atulinde maana bila yeye sisi hatuwez ivi vibweka 😢

    • @MarthaMsoffe
      @MarthaMsoffe Год назад +2

      Duniani humu kuna maajabu mengi mnooo tumtumainie MUNGU.

    • @paulkazi6274
      @paulkazi6274 Год назад

      Mungu anaandikwa kwa herufi kubwa..maana yeye ni Mtakatifu sana

  • @sagaboymsouth
    @sagaboymsouth Год назад +7

    God bless everyone here ❤

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Год назад +4

    wakwanza 😋😋😋

  • @laoiyadi1176
    @laoiyadi1176 Год назад +3

    Wqmayooooo tuko na ww forever 😅😅

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад +1

    Dunia inamambo

  • @samuelkabbingu8540
    @samuelkabbingu8540 Год назад +3

    This story I was waiting for it..thank you David Mata .. (imfrom Kenya)

  • @mildredakinyi9855
    @mildredakinyi9855 Год назад

    Wamayo nashukuru sana kwa mafunzo na tahadhari. Shukrani na mungu akuonekanie mbona sote tu wenye dhambi chini ya jua. Nikutubu tu dhambi zetu kina dakika. Natoka kenya

  • @AceneyPoal-ql1wc
    @AceneyPoal-ql1wc Год назад +2

    Konki wa kuhadisia mpk inakuingia kwenye ubongo

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Год назад +2

    Kazi kazi davista mata tupo pamoja kaka uku tukiwa na ndugu WAMAYO.

  • @VeronicaAmosi-pz3wi
    @VeronicaAmosi-pz3wi Год назад

    Hapa naamini Sasa kumbe ndio maama Nyumba nyingine hazina Ridhiki

  • @rab792
    @rab792 Год назад +3

    Story nzuri sana nakufuatilia sana na story zako

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад +1

    Hii nayo ni fungua mwaka bonge la story mpaka inasisimua mwili makuu sana naelewa mbona Yesu alitufia msalabani

  • @chichahamis635
    @chichahamis635 Год назад +1

    Stories ya wamayo imetisha sana

  • @lucasmakwisa7525
    @lucasmakwisa7525 Год назад

    Jamani yule tu ugali tulale

  • @imaliolive9453
    @imaliolive9453 Год назад +1

    😢yaani
    Maneno ya nyota is this serious,wamayo umetuelimisha sana,leta 27 davistar

  • @damarisnjerichege100
    @damarisnjerichege100 11 месяцев назад

    Hatari sana

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel1402 Год назад

    Mmmm! Dunia Ina mambo

  • @ayoubmwangonji2357
    @ayoubmwangonji2357 Год назад +1

    🙄🙄 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 Год назад +2

    ❤️❤️❤️

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    ✌👊

  • @AminaMaziku
    @AminaMaziku Год назад +1

    Watu wanapitia magumu hongera sana devista mata

  • @juliethswai4263
    @juliethswai4263 Год назад +1

    kweli tunapaswa kuishi katika maombi hii dunia aiseee

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Год назад +2

    Watu usema mmi nimeona mengi kumbe bado kabisa

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo7779 Год назад +1

    Part 27 jamaniiiiiii

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 Год назад +1

    😂😂😂😂😂Watu jamani nikajuwa nimewaii

  • @habibumbawala1173
    @habibumbawala1173 Год назад +1

    Dunia ina mambo kwa kweli!

  • @PATRICKPPWELE
    @PATRICKPPWELE Год назад +1

    Story za wamayo kali sana

  • @scholamwasi2782
    @scholamwasi2782 Год назад +1

    Jamaa yangu saizi Naona umeng'aa

  • @lucymeck-ev2zh
    @lucymeck-ev2zh Год назад +1

    Dunia Inamambo

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 Год назад

    Wamayo kweli swala la Magari ya alfajiri na yakupiga mkono bila kujua kwa kubahatisha ni kweli, Unaweza kupakia Majuni au kupakiwa na Majini mi nishayakuta kwenye AISI na kwenye gari yangu Binafsi kubeba nimekoma

  • @reubenmgen5656
    @reubenmgen5656 Год назад

    Inafundisha sana hasa wanaopenda kwenda kwa waganga, maombi ni silaha

  • @rab792
    @rab792 Год назад +1

    Wamayo hahaaa

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад

    Mimi nionavyo kilikua ni kivuli chako ndio maana wewe mwenyewe ulikua huonekani

  • @MartinyMaryogo-nt6xg
    @MartinyMaryogo-nt6xg Год назад

    Ee mungu turehemu na haya majarbu ya ibirisi, tupe nguvu

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 Год назад

    huyy jamaa ahatarishi maisha yake kweli

  • @scholamwasi2782
    @scholamwasi2782 Год назад

    Jamaa yangu asante kwakutuelimisha

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 Год назад

    Allaah Akbar

  • @rebeccajames4412
    @rebeccajames4412 Год назад

    Part 27 tafadhali tunafuatilia..

  • @patrickmaina5459
    @patrickmaina5459 Год назад

    Huyu jamaa aki😂😂😂😂😂

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 Год назад

    Wamayo. 🔥 Umeona mengi

  • @daniellmuttema8816
    @daniellmuttema8816 Год назад

    Episodes nzito

  • @Anastadhi
    @Anastadhi Год назад

    Tuwaishie

  • @fabriceitangishaka1010
    @fabriceitangishaka1010 Год назад

    Munguwe