Wamayo, Yesu alikuandaa ili ushuhudie siri na kazi za ibilisi kwa wanadamu. Utamtumikia Mungu hivi karibunu. Utasikia sauti ya Bwana Yesu akisema na wewe uende ukamtumikie. Usiogope maana Bwana yu pamoja nawe.
Bwana Yesu asifiwe ❤ !samaani Davista, nina swali : ule jini alifananisha kweli naye lakini kunapasha kuwa kakitu kalikuwa naonesha kama ule siyo mutu ??🤔🤔something different like , smell , his eyes??his voice ??
Hahaaa Unirushe na mimi Davistar i think miaka minne sasa nafuatilia vipindi vya jina langu Rahim Bairu nipo Copenhagen ukipenda niite Ngarambee au yule mzee wa bakora za mkakati hahaaaa
Nimejua kwa uwazi mbona my pastor said that the moment u rely on the devil and its agents you wil never know peace .ata nikue na shida aina gani kwa mganga sitaenda .wamayo jamani anazungumzia vile hao waganga wote ni wachawi na badala wamsaidie wanampa kazi za kaburini na kufukua maiti jaman shetani ni shetani na walaaniwe hao waganga na mashehe waliomtesa wamayo
@@SprayLeefx wee nawe achaga izo sasa babu yake angependa awe na kazi si ndomana amefanya alivyofanya lkn hata hela hana nani alikwambia shetani anawexa kk pa ytajiri au pesa bila kukudhuru. Shetani ni muongo.
Nakupenda sana mungu atatenda nakuombea...am from 🇰🇪 kenya naishi Germany 🇩🇪
Uogo🤣
@@martoo539 😂😂
@@martoo539😂na umenena,Sasa Germany inahusiana nini😅😅
@@heavenmakundi7480 inatokea wp hapaa🙄🤣🙄
Juu Kipindi inafika abroad. Muchai pia niko Germany si tutafutane. 🇰🇪
Nimefurahi kuskia Yesu Mwokozi wa wanadamu alimuokoa wamayo...
Nakuombea maisha mema na rehema Zake ndugu yangu..
Yaani hii stor ungetengeneza movie🔥.
Kwakweli uyu kaka kapitia maisha magumu sana jamani pole Sana kaka
Wamayo njoo Iran tufanye kazi za Meli... lakini uje na Kijini kimoja cha faida
Huko si ndo majini yamejaa
Tulio mchangia wamayo tujuane
Duh! Madhara yote hayo chanzo ni mahindi aliyokula 🦆🦆🦆 wa blue
Huyu bata wako sasa wa kijani na orange
A story with many teachings is a fire
Yesu kristo ni Mwema ubarikiwe Wamayo
Lucky me today I'm the first person Way from American
Hata wewe wamayo ulisha chukuliwa nyota ndomaana huna maisha omba sana
👍👏👏👏👏 very interesting story
Wamayo, Yesu alikuandaa ili ushuhudie siri na kazi za ibilisi kwa wanadamu. Utamtumikia Mungu hivi karibunu. Utasikia sauti ya Bwana Yesu akisema na wewe uende ukamtumikie. Usiogope maana Bwana yu pamoja nawe.
Wamoyo From Tanzania naishi South Africa 🇿🇦 sema nime kubali sana 🙏 mungu atazidi kuku fanyia wepesi
Mmh! Mtihani!
Kwa kweli hii story ya Wamayo ina mafundisho mengi. May our Almighty God come through for you. Umepitia mengi machungu sana. Love ❤❤ from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Kenyaa hoyeee
Mbona wakenya mnapenda kuchanganya kiswahili na kinge kwNini
@@UsafiMichael-mc8kt 😂😂Hata sielewi
@@florences8087 kwanini usiandike kiingereza mwanzo mwisho au kiswahili mwanzo mwisho.nimesoma na wakenya kiingereza
Mungu akusaidie na akubaliki
Jamani hii dunia inamambo sana nayashangaa aya ambayo yamemtokea ndugu yetu mapito makubwa sana
Fuatilia ya zablon c mwita na ya lwanda magere utanishukuru binge la story
@@zakariyamkhandi5713 zote nimesikiliza ziko sawa sana ila hii atari kaka
Mmmh kwa babando haya tuanze tena kusikiliza salam jaman, ladha ya stori si inapotea tena jaman,,au ndo mnataka kutupunguza kabisa,,,,salam tena🙌
Duh 🙄 hii story inashitua na kufundisha juu🎉
Shukuru Mungu aliekufikisha hapo
Nipo USA NIKITOKA NAFATILIAGA STORY ZA WAMAYO ijapokua nina stress kibao 🇺🇲🇺🇲🇺🇲
😅😅😅
Story kiboko 100%
Mungu anakupenda sana wamayo. Atakuonekania
Episode ya 28 na kofia yetu big up mr fact
Ati kofia tena😂
Davista unachokifanya nihuduma unaelimisha sana na kuponya watu mioyo Mungu azidi kukubariki 🙏
Haya wazee wa kununua za buku 2 kazi kwenu
Tunako elekea hii story itakuja kuifunika ya mzee wa bakora za kimkakati😄
Mzee wa bakora inaitwajee….sijawaii kuisikiliza
@@ConsolathaNyanzobengoja nikiiona nakuketea link
@@ConsolathaNyanzobe inaitwa lwanda magere tajiri wa pesa za kichawi au zingine imeandikwa Tajiri wa pesa zakichawi aeleza alivyozipata
Mzee wa bakora ni ipi hiyo aisee niitafute humu
@@ConsolathaNyanzobe
ruclips.net/video/g19cv43EWq4/видео.html Ndio hii hapa
Bwana Yesu asifiwe ❤ !samaani Davista, nina swali : ule jini alifananisha kweli naye lakini kunapasha kuwa kakitu kalikuwa naonesha kama ule siyo mutu ??🤔🤔something different like , smell , his eyes??his voice ??
Story nzuri Sana Kila lakheri kaka
Mimi Toka Kenya nishabiki hapa na hongera kwa msimlizi
Mh kwakwel hii xtory n funzo kubwa sana
Mimi apa mapeeema
Wamayo 🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaaa Unirushe na mimi Davistar i think miaka minne sasa nafuatilia vipindi vya jina langu Rahim Bairu nipo Copenhagen ukipenda niite Ngarambee au yule mzee wa bakora za mkakati hahaaaa
Hy ya mzee wa baroka inaitwaje
ruclips.net/video/g19cv43EWq4/видео.html
@@DavistarMataMediaDM Mbavu wa dar cjafankiwa kuiyona naomba link yake
❤❤❤❤❤❤ tumchangie wamayo jamani
👊✌.
Hta mm nafuatilia kutoka kenya hadi mwisho🇰🇪🇰🇪
Mungu waokoe na wengine
I'm the the first
Wamayo umepitia meng mungu atakusaidia
Duuuu eti nimechelewa khaaa!!!!
Davista mbn hii story unachelewa sn kutupia mtandaon?
Wamayo lete utam part 29 maisha yaedelee tupo pa1🤝🤸🤸🤸⛷️⛷️🔥
Nimejua kwa uwazi mbona my pastor said that the moment u rely on the devil and its agents you wil never know peace .ata nikue na shida aina gani kwa mganga sitaenda .wamayo jamani anazungumzia vile hao waganga wote ni wachawi na badala wamsaidie wanampa kazi za kaburini na kufukua maiti jaman shetani ni shetani na walaaniwe hao waganga na mashehe waliomtesa wamayo
👏👏👏👏👏👏
kila Jambo Lina faida na asala yake
Faida ya uchawi ni Nini
Biashara ya kuuza nyota za watu inawatajirisha sana waganga
Wasikilizaji msaidieni kazi au kibarua mwanazengo mwenzenu jamani.
Usije ukawa umetumwa na babu ake wamoyo ww
@@SprayLeefx wee nawe achaga izo sasa babu yake angependa awe na kazi si ndomana amefanya alivyofanya lkn hata hela hana nani alikwambia shetani anawexa kk pa ytajiri au pesa bila kukudhuru. Shetani ni muongo.
Tupo na wamayo wetu❤
Nawapata nikiwa migori 🇰🇪 lkn home ni Tz simiyu
Kifua Cha Malaya kimebeba laana na mikosi
tokea 🇰🇪🇰🇪 huyu jamaa atumiwe mshahara kidogo
Mbona wanayo part 30 hujaweka tuwekee
Wamayo maneno meng anapenda kurudia rudia
Wamayoo
Biblia inaposema usizini ni kwa faida yako ili usipate magonjwa ya kiroho na kimwili
😂😂😂😂😂 yaani amenichekesha apo eti saingine na lala njaaaa
Kama ni shida umepitia kweli
Hiistory inachosha kusubir kipande weka mzgo wote
Nilikuwa mloho
Muulize huyo wamayo amesema alikuwa haonekani na alikuwa anakula, vp alikuwa anaenda chooni?
Jini ilikuwa inatumia mwili wako
Kutembea na malaya ni kuuza nyota yako
Hapn 😂😂😂😂😂
Sasa wamayo na wewe ukupigamo show huyo jamaa yako
Bonge la story, Ila jamaa anarudia Sana na kusisitiza eneo moja tunataka mwendelezo wa story