PART28:WAMAYO TAJIRI WA PESA ZA KICHAWI ALIEFILISIKA AELEZA SAFARI YAKE UTAJIRI NA KUUA NDUGU ZAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 98

  • @winniemuchai280
    @winniemuchai280 Год назад +19

    Nakupenda sana mungu atatenda nakuombea...am from 🇰🇪 kenya naishi Germany 🇩🇪

    • @martoo539
      @martoo539 Год назад

      Uogo🤣

    • @robertmuriithi4819
      @robertmuriithi4819 Год назад

      ​@@martoo539 😂😂

    • @heavenmakundi7480
      @heavenmakundi7480 Год назад +2

      ​@@martoo539😂na umenena,Sasa Germany inahusiana nini😅😅

    • @martoo539
      @martoo539 Год назад

      @@heavenmakundi7480 inatokea wp hapaa🙄🤣🙄

    • @emojongtv3995
      @emojongtv3995 Год назад

      Juu Kipindi inafika abroad. Muchai pia niko Germany si tutafutane. 🇰🇪

  • @daniellmuttema8816
    @daniellmuttema8816 Год назад +7

    Nimefurahi kuskia Yesu Mwokozi wa wanadamu alimuokoa wamayo...
    Nakuombea maisha mema na rehema Zake ndugu yangu..

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 Год назад +4

    Yaani hii stor ungetengeneza movie🔥.

  • @ashasaid9056
    @ashasaid9056 Год назад +3

    Kwakweli uyu kaka kapitia maisha magumu sana jamani pole Sana kaka

  • @rashidyasser9423
    @rashidyasser9423 Год назад +4

    Wamayo njoo Iran tufanye kazi za Meli... lakini uje na Kijini kimoja cha faida

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 Год назад +7

    Tulio mchangia wamayo tujuane

  • @jacksonerasto3696
    @jacksonerasto3696 Год назад +5

    Duh! Madhara yote hayo chanzo ni mahindi aliyokula 🦆🦆🦆 wa blue

  • @ayoubmwangonji2357
    @ayoubmwangonji2357 Год назад +3

    A story with many teachings is a fire

  • @rehemaabinelynyagawa2878
    @rehemaabinelynyagawa2878 Год назад +2

    Yesu kristo ni Mwema ubarikiwe Wamayo

  • @AminaLujendo-ci5om
    @AminaLujendo-ci5om Год назад +4

    Lucky me today I'm the first person Way from American

  • @gilbertmabula8105
    @gilbertmabula8105 Год назад +5

    Hata wewe wamayo ulisha chukuliwa nyota ndomaana huna maisha omba sana

  • @AminaLujendo-ci5om
    @AminaLujendo-ci5om Год назад +2

    👍👏👏👏👏 very interesting story

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo7779 Год назад +2

    Wamayo, Yesu alikuandaa ili ushuhudie siri na kazi za ibilisi kwa wanadamu. Utamtumikia Mungu hivi karibunu. Utasikia sauti ya Bwana Yesu akisema na wewe uende ukamtumikie. Usiogope maana Bwana yu pamoja nawe.

  • @ArbetMangwea-if6ih
    @ArbetMangwea-if6ih Год назад

    Wamoyo From Tanzania naishi South Africa 🇿🇦 sema nime kubali sana 🙏 mungu atazidi kuku fanyia wepesi

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 Год назад +2

    Mmh! Mtihani!

  • @florences8087
    @florences8087 Год назад +2

    Kwa kweli hii story ya Wamayo ina mafundisho mengi. May our Almighty God come through for you. Umepitia mengi machungu sana. Love ❤❤ from Kenya 🇰🇪🇰🇪

    • @martoo539
      @martoo539 Год назад

      Kenyaa hoyeee

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Год назад +1

      Mbona wakenya mnapenda kuchanganya kiswahili na kinge kwNini

    • @florences8087
      @florences8087 Год назад +1

      @@UsafiMichael-mc8kt 😂😂Hata sielewi

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Год назад

      @@florences8087 kwanini usiandike kiingereza mwanzo mwisho au kiswahili mwanzo mwisho.nimesoma na wakenya kiingereza

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 Год назад +1

    Mungu akusaidie na akubaliki

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Год назад +4

    Jamani hii dunia inamambo sana nayashangaa aya ambayo yamemtokea ndugu yetu mapito makubwa sana

    • @zakariyamkhandi5713
      @zakariyamkhandi5713 Год назад

      Fuatilia ya zablon c mwita na ya lwanda magere utanishukuru binge la story

    • @bakari-si1pw
      @bakari-si1pw Год назад +2

      @@zakariyamkhandi5713 zote nimesikiliza ziko sawa sana ila hii atari kaka

  • @lizzybeth6344
    @lizzybeth6344 Год назад +1

    Mmmh kwa babando haya tuanze tena kusikiliza salam jaman, ladha ya stori si inapotea tena jaman,,au ndo mnataka kutupunguza kabisa,,,,salam tena🙌

  • @laoiyadi1176
    @laoiyadi1176 Год назад +3

    Duh 🙄 hii story inashitua na kufundisha juu🎉

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад

    Shukuru Mungu aliekufikisha hapo

  • @barakabahati6600
    @barakabahati6600 Год назад +3

    Nipo USA NIKITOKA NAFATILIAGA STORY ZA WAMAYO ijapokua nina stress kibao 🇺🇲🇺🇲🇺🇲

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga7378 Год назад +4

    Story kiboko 100%

  • @mildredakinyi9855
    @mildredakinyi9855 Год назад

    Mungu anakupenda sana wamayo. Atakuonekania

  • @sagaboymsouth
    @sagaboymsouth Год назад +2

    Episode ya 28 na kofia yetu big up mr fact

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад

    Davista unachokifanya nihuduma unaelimisha sana na kuponya watu mioyo Mungu azidi kukubariki 🙏

  • @jacksonerasto3696
    @jacksonerasto3696 Год назад +3

    Haya wazee wa kununua za buku 2 kazi kwenu

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Год назад +6

    Tunako elekea hii story itakuja kuifunika ya mzee wa bakora za kimkakati😄

    • @ConsolathaNyanzobe
      @ConsolathaNyanzobe Год назад

      Mzee wa bakora inaitwajee….sijawaii kuisikiliza

    • @mysskibe
      @mysskibe Год назад

      ​@@ConsolathaNyanzobengoja nikiiona nakuketea link

    • @tahirnephessalum3678
      @tahirnephessalum3678 Год назад

      @@ConsolathaNyanzobe inaitwa lwanda magere tajiri wa pesa za kichawi au zingine imeandikwa Tajiri wa pesa zakichawi aeleza alivyozipata

    • @joshuamakota6714
      @joshuamakota6714 Год назад

      Mzee wa bakora ni ipi hiyo aisee niitafute humu

    • @mysskibe
      @mysskibe Год назад +2

      ​@@ConsolathaNyanzobe
      ruclips.net/video/g19cv43EWq4/видео.html Ndio hii hapa

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 Год назад

    Bwana Yesu asifiwe ❤ !samaani Davista, nina swali : ule jini alifananisha kweli naye lakini kunapasha kuwa kakitu kalikuwa naonesha kama ule siyo mutu ??🤔🤔something different like , smell , his eyes??his voice ??

  • @emmanuelmasanja1043
    @emmanuelmasanja1043 Год назад

    Story nzuri Sana Kila lakheri kaka

  • @mildredakinyi9855
    @mildredakinyi9855 Год назад

    Mimi Toka Kenya nishabiki hapa na hongera kwa msimlizi

  • @user-zi6kq9gp1n
    @user-zi6kq9gp1n Год назад

    Mh kwakwel hii xtory n funzo kubwa sana

  • @SilahPaul
    @SilahPaul Год назад +3

    Mimi apa mapeeema

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 Год назад +3

    Wamayo 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rab792
    @rab792 Год назад +2

    Hahaaa Unirushe na mimi Davistar i think miaka minne sasa nafuatilia vipindi vya jina langu Rahim Bairu nipo Copenhagen ukipenda niite Ngarambee au yule mzee wa bakora za mkakati hahaaaa

    • @daudhenry8267
      @daudhenry8267 Год назад +1

      Hy ya mzee wa baroka inaitwaje

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  Год назад +1

      ruclips.net/video/g19cv43EWq4/видео.html

    • @rappertinno4184
      @rappertinno4184 Год назад

      @@DavistarMataMediaDM Mbavu wa dar cjafankiwa kuiyona naomba link yake

  • @kimcash3079
    @kimcash3079 Год назад

    ❤❤❤❤❤❤ tumchangie wamayo jamani

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    👊✌.

  • @rebeccajames4412
    @rebeccajames4412 Год назад

    Hta mm nafuatilia kutoka kenya hadi mwisho🇰🇪🇰🇪

  • @ashajuma2313
    @ashajuma2313 Год назад

    Mungu waokoe na wengine

  • @AminaLujendo-ci5om
    @AminaLujendo-ci5om Год назад +3

    I'm the the first

  • @taturajabukhalfani7953
    @taturajabukhalfani7953 Год назад +1

    Duuuu eti nimechelewa khaaa!!!!

  • @zakariyamkhandi5713
    @zakariyamkhandi5713 Год назад +1

    Davista mbn hii story unachelewa sn kutupia mtandaon?

  • @NasserNasser-qd2tf
    @NasserNasser-qd2tf Год назад

    Wamayo lete utam part 29 maisha yaedelee tupo pa1🤝🤸🤸🤸⛷️⛷️🔥

  • @immaculateforchrist3518
    @immaculateforchrist3518 Год назад +1

    Nimejua kwa uwazi mbona my pastor said that the moment u rely on the devil and its agents you wil never know peace .ata nikue na shida aina gani kwa mganga sitaenda .wamayo jamani anazungumzia vile hao waganga wote ni wachawi na badala wamsaidie wanampa kazi za kaburini na kufukua maiti jaman shetani ni shetani na walaaniwe hao waganga na mashehe waliomtesa wamayo

  • @mohammedkitcarson697
    @mohammedkitcarson697 Год назад

    👏👏👏👏👏👏

  • @godfreypeter1174
    @godfreypeter1174 Год назад +1

    kila Jambo Lina faida na asala yake

  • @heritier5119
    @heritier5119 Год назад

    Biashara ya kuuza nyota za watu inawatajirisha sana waganga

  • @Aliceurio
    @Aliceurio Год назад +2

    Wasikilizaji msaidieni kazi au kibarua mwanazengo mwenzenu jamani.

    • @SprayLeefx
      @SprayLeefx Год назад

      Usije ukawa umetumwa na babu ake wamoyo ww

    • @Aliceurio
      @Aliceurio Год назад +1

      @@SprayLeefx wee nawe achaga izo sasa babu yake angependa awe na kazi si ndomana amefanya alivyofanya lkn hata hela hana nani alikwambia shetani anawexa kk pa ytajiri au pesa bila kukudhuru. Shetani ni muongo.

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 Год назад

      Tupo na wamayo wetu❤

  • @Jack-ly3bt
    @Jack-ly3bt Год назад

    Nawapata nikiwa migori 🇰🇪 lkn home ni Tz simiyu

  • @heritier5119
    @heritier5119 Год назад

    Kifua Cha Malaya kimebeba laana na mikosi

  • @tonneyisabwa8605
    @tonneyisabwa8605 Год назад

    tokea 🇰🇪🇰🇪 huyu jamaa atumiwe mshahara kidogo

  • @lassmussa299
    @lassmussa299 Год назад

    Mbona wanayo part 30 hujaweka tuwekee

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 Год назад

    Wamayo maneno meng anapenda kurudia rudia

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 Год назад

    Wamayoo

  • @heritier5119
    @heritier5119 Год назад

    Biblia inaposema usizini ni kwa faida yako ili usipate magonjwa ya kiroho na kimwili

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Год назад

    😂😂😂😂😂 yaani amenichekesha apo eti saingine na lala njaaaa

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад

    Kama ni shida umepitia kweli

  • @butondodavid2105
    @butondodavid2105 Год назад

    Hiistory inachosha kusubir kipande weka mzgo wote

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_ Год назад

    Nilikuwa mloho

  • @habibumbawala1173
    @habibumbawala1173 Год назад

    Muulize huyo wamayo amesema alikuwa haonekani na alikuwa anakula, vp alikuwa anaenda chooni?

  • @januaryachieng1067
    @januaryachieng1067 Год назад

    Jini ilikuwa inatumia mwili wako

  • @heritier5119
    @heritier5119 Год назад

    Kutembea na malaya ni kuuza nyota yako

  • @SalomeDaniel-wd7pq
    @SalomeDaniel-wd7pq Год назад

    Hapn 😂😂😂😂😂

  • @heritier5119
    @heritier5119 Год назад

    Sasa wamayo na wewe ukupigamo show huyo jamaa yako

  • @dandeal2269
    @dandeal2269 Год назад

    Bonge la story, Ila jamaa anarudia Sana na kusisitiza eneo moja tunataka mwendelezo wa story