TOP 10 YA WASANII WENYE MAGARI YA KIFAHARI NA BEI KALI TANZANIA 🇹🇿

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Mdau wetu Hii ni orodha inayojuimuisha mastaa wa Bongo Fleva Pekee sio kiwanda chote cha mastaa ikiwemo wale wa Bongo Movie hapo ni muziki tu.
    Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
    #diamondplatnumz #alikiba #tanzania #live #simbasc #yangasc #harmonize #wasaniiwenyemagarimakalibongo #wasaniiwenyenyumbakalitanzania #mastaawenyemagarimakalitanzania #wasaniimatajiritanzania

Комментарии • 194

  • @benjaminaltilalila6144
    @benjaminaltilalila6144 7 месяцев назад +4

    Siku ambayo diamond atakufa mtamkumbuka mengi sana

  • @PimentDenella
    @PimentDenella Год назад +5

    Harmoniz baba

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman4742 9 месяцев назад +4

    Team kiba gongeni like hapa ❤🎉🎉🎉

  • @ThomasTemba-u6z
    @ThomasTemba-u6z Год назад +6

    Namuona harmonize mbali sanaaa few years to come ndo atakua namna moja Tanzania kwa kumiliki pesa,magari na nyumba Kali zaidi.

    • @DanieliBaharia
      @DanieliBaharia Месяц назад

      ruclips.net/video/jd6f-KeSQ70/видео.htmlsi=HmzdFNw-J68rv7tj

  • @Saidi-ti8vk
    @Saidi-ti8vk Год назад +3

    Nakubali smba

  • @SamsonMakanyaga
    @SamsonMakanyaga 8 месяцев назад +1

    King namber one

  • @Antyshirima
    @Antyshirima 11 месяцев назад +4

    Tunawapa hongera kwani watakufa wayaache kwanza diamondi aache ubinafsi hayo ndo yangu bhana sinameng from 🇰🇪

  • @manuchodesimba
    @manuchodesimba 13 дней назад

    nakubali hiyo gari ya mondy ni kali kwanzo hiyo gari inaitwa rolls royce eeh ni noma sana

  • @zazalareine257
    @zazalareine257 Год назад +5

    Nakubali tjr simbaaa

  • @wizzjeifo
    @wizzjeifo 9 месяцев назад +3

    Alikiba nimtu mkubwa sana bha

  • @RepdcObama
    @RepdcObama 10 месяцев назад +1

    Big up sana kwa Diamond

  • @MudrikiJuma-e1j
    @MudrikiJuma-e1j Год назад +3

    Big up

  • @PascoalPiusZuber
    @PascoalPiusZuber 7 месяцев назад

    Konde gang ni chama cha masupasta na nimeipenda sana sana sana

  • @EddaExavery
    @EddaExavery 28 дней назад

    We nandi atavunja rekodi ya simba❤❤❤

  • @celtawakwila
    @celtawakwila Год назад +5

    Simba number 1

  • @Williamalikando
    @Williamalikando 11 месяцев назад +1

    mimi navyoona ni simba🦁🦁🦁🦁

  • @AnthonyKuchaba
    @AnthonyKuchaba 10 месяцев назад +1

    😮 tembo kikohozi mwamba simiyu ndani

  • @rosemarynyahiri9192
    @rosemarynyahiri9192 11 месяцев назад +2

    Diamond bebe

  • @SylvanneFanny-ci6rp
    @SylvanneFanny-ci6rp Год назад +5

    Diamondi mukari

  • @mpawenimanagerard9177
    @mpawenimanagerard9177 Год назад +1

    Nakubal san

  • @MARIAMSHOMARIMWATANDA
    @MARIAMSHOMARIMWATANDA 9 месяцев назад +1

    Kiba oyeee

  • @JonathanMrmoney
    @JonathanMrmoney 2 месяца назад

    Nakubali simba

  • @MalimiMarko-vs3gc
    @MalimiMarko-vs3gc Месяц назад

    Namkubari mond😂

  • @Bawazirmohamed
    @Bawazirmohamed Год назад +7

    Wabongo acheni unafkii kiba Ako top na sio nambar saba

  • @AbedyDady-e5h
    @AbedyDady-e5h Год назад +5

    Konde gang ndo habar ya mjini

  • @RaphaelAdorwa
    @RaphaelAdorwa Месяц назад

    Konde boy harmonize

  • @YanickWiliam-kv7pm
    @YanickWiliam-kv7pm 2 месяца назад

    Kazi wanayo

  • @ojumaFreddie
    @ojumaFreddie 20 дней назад

    Konde sawa ila apo kwa King kiba mnatuonea

  • @PendoHakiba
    @PendoHakiba 3 месяца назад

    Ahh mondi we Atari

  • @Omrankasiga
    @Omrankasiga 2 месяца назад +1

    Habali za wakinga

  • @TizoKapita
    @TizoKapita 11 месяцев назад +1

    Iyo nimeikubali

  • @JeradJairos
    @JeradJairos Год назад +8

    Namkubali. Kingi. Kiba. Mnyama

  • @YusuphMsangazi
    @YusuphMsangazi 2 месяца назад

    Sijailewa top ten

  • @eddytabenkiponda4287
    @eddytabenkiponda4287 Год назад +13

    Kiukweli napenda sana tanzania.lkn kuna shida moja ambayo hawawezi kuachana nayo nayo ni uninafsi.mana maisha ya alikiba .ni makubwa kuliko ya harmonize na van boy.lkn hapa amewekwa mbali kabisa..yani wataka kumfananisha alikiba na mbosso. Pamoja na zuchu kweli.huu ni unafki....lkn kiukweli wa maisha alikiba yuko juu kisha sana
    .wala sio mtu wakutaja vitu visivyo kuwa vyake..ile siku mtabadilika na kuwa wa kweli bac tz itakuwa na nguvu nzuri sana.kwa hawa wasanii
    Mana hakuna msanii aliye wahi kuhesabu pesa zake mbele ya waandishi wa habari.hivi haya yote muliyatoa wapi kama sio kuhongwa uli mumwage sifa za kiongo..

  • @AmaniwilisonVincent
    @AmaniwilisonVincent 2 месяца назад

    Simba wew nimukali

  • @HalfanRamadhani-t7v
    @HalfanRamadhani-t7v Год назад +5

    kumiliki range si rahisi Kama unavyo fikiria

  • @FreditambweAndre
    @FreditambweAndre 4 месяца назад +1

    King

  • @carlosroomd
    @carlosroomd Год назад +2

    Nakubali sana babu

  • @Gilbertshadiri-rm7jf
    @Gilbertshadiri-rm7jf 2 месяца назад

    Sawa wabongo

  • @justinemasuke
    @justinemasuke 5 месяцев назад

    Wasaidie wasojiweza

  • @SultanMadawa
    @SultanMadawa 3 месяца назад

    Hatari

  • @AllyJuma-s2k
    @AllyJuma-s2k 2 месяца назад +1

    Harmnz apo anashk nafas a ya one

  • @mweniztv
    @mweniztv Год назад +2

    Konde boy ndiye ataivunja hio record

  • @NaaMakanu
    @NaaMakanu 6 месяцев назад

    Saw vzl

  • @Babyrichmondking
    @Babyrichmondking 9 месяцев назад +2

    Hizo gari naskia sijui 80 million 40 milllion my friend ukikuja kenya hizo range Rover ni 3 million kuendelea alafu hapo kwa rolls Royce rank na watanzania wenzako usijumulishe East Africa wasanii wako na ma Lamborghini huku Kenya na hawajisho up

    • @joshuakosovo5525
      @joshuakosovo5525 5 месяцев назад

      Rolls Royce ni gari ya 40m hadi 70m pesa ya kenya but ka ni Lamborghini pia ni 40m hadi hapo

  • @GikaroCharles
    @GikaroCharles 6 месяцев назад

    Hongera mond

  • @jofreymata5343
    @jofreymata5343 Год назад +3

    Fid q anamiliki jeep naye tunamuweka wapi?

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr 10 месяцев назад

    Big up❤❤

  • @emmanuelsanga-ow4zz
    @emmanuelsanga-ow4zz 4 месяца назад

    Harmonize amaeza kulipa hyoo

  • @AriseniJackisoni
    @AriseniJackisoni 3 месяца назад

    Juma marco

  • @SirageMansadesirage
    @SirageMansadesirage Месяц назад

    Akuna mwengine kama simba

  • @AnordChengula
    @AnordChengula 5 месяцев назад

    Nawakubalii xaxa mm nataka kaziii

  • @yaunde17yaund17
    @yaunde17yaund17 7 месяцев назад

    nyey kweli hamuna vichwa sawa

  • @AbdillahissaRamadhni
    @AbdillahissaRamadhni 5 месяцев назад

    Namkubali juma jux

  • @ImerdaMtalemwa-by4uw
    @ImerdaMtalemwa-by4uw Год назад +4

    Harmonize akijibanabana anaweza akamfikia , ila mpaka yesu arudi duniani

  • @MasudiNyiliza
    @MasudiNyiliza 11 месяцев назад +2

    Hakuna zaidi ya alikiba😅😅😅😅

  • @NawazShaaban-x2k
    @NawazShaaban-x2k Год назад +5

    Kiba number one

  • @WilsonLuvinga
    @WilsonLuvinga 5 месяцев назад

    Kaka njoo chunya kaka

  • @MurtalaMohamed-n1g
    @MurtalaMohamed-n1g Месяц назад

    jux atvunja record ya diamond

  • @WilliamArila-qt6bj
    @WilliamArila-qt6bj 4 месяца назад

    Kweli pongezi kwenyu wasanii wetu

  • @widebrainclassic
    @widebrainclassic 5 месяцев назад

    Range rover kenya 🇰🇪 zimezagaa kila mahali . Ni gari ya kawaida sana

  • @FestoMkata
    @FestoMkata 3 месяца назад

    Acheni zarau watanzania penden chenu

  • @AdmiringDriftwood-dl6cx
    @AdmiringDriftwood-dl6cx 5 месяцев назад

    Mtu wa kwanz ni harmonize

  • @Jaybruce254
    @Jaybruce254 5 месяцев назад

    konde boy una kali😀😀😀

    • @lazarjustin9
      @lazarjustin9 5 месяцев назад

      Na vp kuhuxu wasanii wa 254?

  • @raisphdtz
    @raisphdtz 4 месяца назад

    Wee jamaangu muongo sana du

  • @FiriJeshiøgsmith
    @FiriJeshiøgsmith 10 месяцев назад +1

    Akuna zaidi kond boy 1
    Namukubali sana
    From burundi

  • @SalsonBabingwa
    @SalsonBabingwa 7 месяцев назад +1

    King kiba

  • @arnoldmatee883
    @arnoldmatee883 11 месяцев назад

    You are most being on wasafi side

  • @PiusSpiridion
    @PiusSpiridion 4 месяца назад

    Konde ndo bas tena

  • @SaidiMussa-zk8tp
    @SaidiMussa-zk8tp 10 месяцев назад +1

    Saruti kwakondee

  • @BahatiDaniel-w2g
    @BahatiDaniel-w2g 7 месяцев назад

    Ntawaomba kaz

  • @ChengshanSuzha-t9h
    @ChengshanSuzha-t9h 8 дней назад

    Kenya kizungu ya walevi na range Rover ni gari la hustler wa chini

  • @elizakiwory1311
    @elizakiwory1311 Год назад +1

    Tumechoka range

  • @SaidiJumunneSaidi
    @SaidiJumunneSaidi 3 месяца назад

    Mnajua kwa rickross ni ujinga mno umaskin mtupu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😢😢😢😢😊😊😊

  • @RamadhaniallyAlly-ht6ey
    @RamadhaniallyAlly-ht6ey Год назад +2

    Ajapangilia

  • @SammySlaves
    @SammySlaves 5 месяцев назад

    Jeshii atamyoa

  • @ElisantePaulo
    @ElisantePaulo 11 месяцев назад

    Mario ndo Baba lao lakn kiba anakwama kuingia katika timu ya makolor TABU LELE ⁵ nakupendaa mario unakuja vizuri 😂😂😂 kibaa unakwama

  • @DJAJAX-bs1xi
    @DJAJAX-bs1xi Год назад +3

    Uyo sasa ndo the giant from africa

  • @NeemaMkwemba-ws9du
    @NeemaMkwemba-ws9du 4 месяца назад

    Tunataka wanunue ndege sasa

  • @johnolimiri778
    @johnolimiri778 Год назад +1

    na wewe mwenyewe

  • @sinasudisaid4613
    @sinasudisaid4613 Год назад +2

    Simba mkali

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 Год назад +2

    Wakigua wanataka wasaidiwe

  • @PetroMghamba
    @PetroMghamba 4 месяца назад

    Wew muongosana kadanganye washamba

  • @justinemasuke
    @justinemasuke 5 месяцев назад

    Me simba damudamu

  • @MARIAMUNJOJO-fk1yo
    @MARIAMUNJOJO-fk1yo Год назад +2

    Hakuna Zaid ya simba

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj 10 месяцев назад

    Kumbe kumiliki range kibongo bongo unakuwa umetoboa.

  • @IsackMihindi
    @IsackMihindi 3 месяца назад

    Ya dunia itapita tu

  • @DannyLuka
    @DannyLuka 8 месяцев назад

    😅😅😅 apo kwa simba sas

  • @frankmahenge5943
    @frankmahenge5943 11 месяцев назад +1

    Cha ajabu masanja mkandamizaji hayupo

  • @benjaminaltilalila6144
    @benjaminaltilalila6144 7 месяцев назад +3

    Tanzania range Rover mnaona niya kifahari😂uku Kenya range tunakatia manyasi ya ng'ombe

    • @WinnieCherono-e4q
      @WinnieCherono-e4q 6 месяцев назад

      Kweli

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 4 месяца назад

      Erick Omond alikuwa anaandamana juu ya nini?? Njaa zinawaua Majirani acheni ubinafsi saidieni majirani na ndugu zenu mnatupa tabu huku Sirali hasa mkija kwenye misiba ya ndugu zenu mnabeba kila kitu kha

    • @IddyPrince
      @IddyPrince 4 месяца назад

      Achakuongopa ww😂😂

    • @luckyluchano1
      @luckyluchano1 4 месяца назад +1

      Ongeza volume kidogo mzee ni kama hawajaskia vizuri😂

    • @AlfanTumaini
      @AlfanTumaini 3 месяца назад

      Hahahahaaa...! Ongeza sauti wakuckie😅😅

  • @AbdillahissaRamadhni
    @AbdillahissaRamadhni 5 месяцев назад

    Rayvanny kumbe yupo na yeye at

  • @mfaumelikongwa9947
    @mfaumelikongwa9947 Год назад +4

    Nikweri kabisa uku tz msanii nasie msanii akimiliki gali izi anaonekana tajiri mkubwa sana, uko kenya 🇰🇪 mjomba angu godlack ana endea shambani kuchukua chakula ya nguluwe 🤫🤫🤫🤫

    • @zaynd5366
      @zaynd5366 Год назад

      😁😁KRG THE DON wa wap

    • @JamesMake-m2q
      @JamesMake-m2q 11 месяцев назад +1

      Ndy mjomb wako ww unay nakam unay njoo tz tukuon tajir🤒

  • @abdulazackabdul1894
    @abdulazackabdul1894 10 месяцев назад

    Ok

  • @dennismucilla
    @dennismucilla 10 месяцев назад

    I never knew Tz don’t have an R in their alphabets sounds funny kusema Langelover😂😂😂 inasound kimeru any Kenyans in the house 🇰🇪 🇰🇪

  • @SundeyMapuga
    @SundeyMapuga Год назад +2

    Nihukokwenu kenya

  • @NorahSolomon-l7x
    @NorahSolomon-l7x 2 месяца назад

    Gari ya konde ndio abari ya mjini

  • @ApzumaJumaaa
    @ApzumaJumaaa 11 месяцев назад

    Bongotuna jitahidi jamani

  • @Mathewibabu
    @Mathewibabu 2 месяца назад

    Ngory

  • @MjengiDukani
    @MjengiDukani 8 месяцев назад

    Aliye pewa amepewa mungu kawapa tusubirie na sis zamu zetu mungu akipenda atatupa t tuache wivu wa kijinga pia wamejituma sana washikaji wee endelea kukaa kijiweni na kisubiria upewe jitume Mzee mungu sio boya akupe wewe mwenye majungu kama yote

  • @MsafiriMsembe
    @MsafiriMsembe 8 месяцев назад

    Dharau zitawaponza