utazame mji wa serikali magufuli city dodoma umebamba africa nzima ikulu wizara tasisi na kila idara

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 дек 2023

Комментарии • 46

  • @issanuru3687
    @issanuru3687 6 месяцев назад +7

    Mdogomdogo tunakwenda, kila mshiriki ahisi kama mali yake binafsi (uzalendo kwanza)
    Hongera watanzania, hongera serikali, hongera mheshimiwa Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuendelea kushika kasi pamoja na changamoto za kifedha zilizopo.

  • @lovazi
    @lovazi 4 месяца назад +2

    Magufuli the hero of Africa, we are still remembering you

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 2 месяца назад

    Hongera sanaaa rais wetu Samia mama wa Watanzania! Mama wa Africa utatuvusha salama! Tunakuombea

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 2 месяца назад +1

      Simia amefanya Nini? Mbona kama vile aki Yako umejaa mavi

  • @user-fh6sg7uc2g
    @user-fh6sg7uc2g 4 месяца назад +2

    Tumwombe mama na kumtia MOYO akamilishe kazi hiyo nzuri aliyoianza mpendwa .... Hapa kazi tu.

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 4 месяца назад

      we na huyo mamako bure aache kuzurula kufanya stareh huko ulaya akae anamalizia miradi angekua hivo angetatua tatizo la mauwaji na upandaji wa vyakula wakat vinalimwa ndani ya nnchi na umeme na myoto inayomaliza masoko ya wamasikini

  • @user-fh6sg7uc2g
    @user-fh6sg7uc2g 4 месяца назад +1

    Tumwombe nakumtia MOYO mama na wasaidizi wake wafikie lengo la hapa kazi na kazi iendelee.

  • @masiretv9729
    @masiretv9729 5 месяцев назад +3

    Mungu ni mwema,tumuombe atupe maisha marefu,tuyaone yakikamilika.Amina

  • @christopherchales2219
    @christopherchales2219 5 месяцев назад +1

    Simchezo the capital city 9f TZ big up

  • @user-dc1qh3nm5s
    @user-dc1qh3nm5s 5 месяцев назад +2

    Mji wa magu rip our president

  • @bambuguyasamuel3107
    @bambuguyasamuel3107 5 месяцев назад

    Tunajisifia Africa Wetu hatakama tuko inchini tofauti tofauti 🙏💯

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 6 месяцев назад +2

    Bado tunaujenzi wa kitumwa kweli watu wanabebeshwa matofari mpaka juu kweli

  • @user-rg7rf5vn7y
    @user-rg7rf5vn7y 5 месяцев назад +1

    Mmefanya la maana Sana kulioa Jona eneo uko Dodoma maana kafanya mengi Sana huyu mzee

  • @mwitanyantora4542
    @mwitanyantora4542 5 месяцев назад +2

    Ni kweli baba wa taifa aliagalia usalama wataifa kwanza , mji kuu hauwezi kukaa karibu na bahari . Hii ni sawa mkuu wangu ( CDF) alivyo mbaini wakimbizi hili swala lisifanyiwe utani sheria zetu za jeshi uliona adui?

  • @kelvinimasagasi7398
    @kelvinimasagasi7398 5 месяцев назад +1

    Asilimia %100 kazi nzuri

  • @AfricanKid-mu9lo
    @AfricanKid-mu9lo 6 месяцев назад +2

    Hata mm mjukuu wake nakubaliana na mji huoo 😅

  • @righitkileo
    @righitkileo 5 месяцев назад +3

    ❤❤❤❤R,l,P MAGUFULI❤❤

  • @adamally5908
    @adamally5908 5 месяцев назад +1

    Utakuwa ni mji wa kawaida sana,na magorofa mafupi mafupi,naamini miji ya mwanza na Arusha itabaki kuwa miji mizuri kuliko Dodoma

    • @johnmagoma5171
      @johnmagoma5171 4 месяца назад +1

      nahis hujawahi uona ebu uje utenge muda kwenda kuuona

  • @user-eg3fm3xt2h
    @user-eg3fm3xt2h 5 месяцев назад +1

    Hatar

  • @noelyaribo9309
    @noelyaribo9309 6 месяцев назад +1

    Jamani jamani biashara kiwanja mji wa serikali kiwanja kipo krb na bango la miji wa serika kiwanja ni makazi tu kina tizama magorofa ya mwanzo wa kwenda mji wa serikali kina ukubwa wa $kwea mita 302

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 6 месяцев назад +1

    Barabara kila siku mnaferi nyembamba sana

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 6 месяцев назад +1

      Ni kweli mkuu hatuna planners wazuri barabara ni nyembamba sana sijui uwa hawajifunzi na eneo lilikuwa kubwa tu sijui kwa Nini wamejenga barabara ndogo sana

  • @ibrahimsaad617
    @ibrahimsaad617 5 месяцев назад +1

    Ipandwe miti mingi sana

  • @RamaRama-wc1oc
    @RamaRama-wc1oc 6 месяцев назад +2

    Asante Mama Samia umetuheshimisha duniani

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 6 месяцев назад +3

      Hivi wewe unazo zote?

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc 6 месяцев назад

      Na mimi Nashangaa😮😮😢​@@miltonjohn9779

    • @eliasbadyana
      @eliasbadyana 6 месяцев назад

      ​@@miltonjohn9779Hana hakili huyo

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 6 месяцев назад

      Kwa hayo mama angeuacha asingeuendeleza au vipi? Wewe kweli akili zako zimetimia.​@@miltonjohn9779

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 6 месяцев назад +1

      Machizi ni wengi

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 6 месяцев назад +1

    Oh kumbe bado hawajafika mi nilijua tayari....

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 4 месяца назад

      hamna msimamizi mzuri yangekua yashaisha kama samia angekua anauchungu na hizi mali za nnchi ye anatoa tubilion 300 wakat wateule wake kwa mwezi wanaia matillion ya mapesa wanapeleka nje kuyaficha rais hayuko na uchungu na nnchi

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 5 месяцев назад

    Majengo haya yanajengwa kwa technolojia ambayo utunzaji wake unahitaji viwanda vya ndani.Tunamaliza majengo.Vipi viwanda na uendelezaji wa raslimali watu wa utaalamu wa kuendesha na kudumisha vifaa na majengo haya?

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 6 месяцев назад +1

    Hamna kitu na huyu Bibi Samia wako busy na mji wa serikali ila hamna kingine cha maana kinachoendelea kama wakati wa Magufuli. Commuter train sijui imeishia wapi

  • @MkisiStylish
    @MkisiStylish 4 месяца назад

    Ila jiji bila bahari wala ziwa ni kijiji😂

  • @paulinejustin6420
    @paulinejustin6420 6 месяцев назад +1

    Ila hapata kuta Arusha kwa uzuri. Hatuna tu airport nzuri

    • @JenafaTV
      @JenafaTV  6 месяцев назад +1

      Ni kweli baada ya Dar , mwanza na unguja then arusha ni inafuata nchi hii ila dodoma inawakimbiza soon utazid majiji yote isipokuwa dar

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 6 месяцев назад +1

      Arusha ni Iko chafu na hamna barabara nzuri na mpangilio wa mji sio mzuri ni kama Mwanza hamna barabara nzuri zenye ubora

    • @peternassari7634
      @peternassari7634 5 месяцев назад

      ​Sio unguja ni zanzibar, zanzibar city ni mji wa tatu kwa ukubwa nchini nyumba ya Dar na Mwanza ikifuatiwa na Arusha uko sahihi kabisa. Unguja ni kisiwa ambacho Zanzibar city ipo kisiwa kingine ni Pemba kwa pamoja unapata zanzibar. Zanzibar mji mkuu wake unaitwa pia Zanzibar kama ilivyo Mexico na Mexico city na si unguja, unguja sio mji.​@@JenafaTV

  • @mwitanyantora4542
    @mwitanyantora4542 5 месяцев назад

    Hayati magufuri : hogera hata Kama hayupo dunia , kuliko watu Fulani kundi Fulani kudai kuhurumia wa Tanzania wakati ni bibara wa wazungu kwa nini nimesema neno hilo . Hayati magufuri : alipo zuiya Mali zetu zisichukuliwe kihorera makundi au watu hahao walimtishiya kuwa utafugwa?

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 6 месяцев назад

    Hawana mawazo Na maono mazuri barabara nyembamba sana sijui huwa hawaoni mwenzao wanajenga vipi barabara zao , Abuja barabara ni pana hata mji mkuu wa ivory coast Yamoussoukro barabara ni pana

    • @issanuru3687
      @issanuru3687 6 месяцев назад

      Barabara imejengwa kulingana na aina ya mji, huu ni mji wa utawala (administration city) sio makazi, wala industrial area, na kulifanyika uchambuzi yakinifu ambao kwa miaka 150 ndipo kutahitajika mabadiriko, hivyo kulaumu ktk hili si dhani kama njia mbadala ya kuplan mawazo

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 6 месяцев назад

      @@issanuru3687 sio kweli nchi nyingi mji wa kiutawala una njia pana na kubwa na mahitaji yanaongezeka ni muhimu kuona mahitaji ya baadaye , ni ubovu wa planning ya waliofanya planning na Tz hamna good planners mjifunze nchi zingine au wawasaidie kupanga mji yenu iwe ya kisasa nenda Abuja uone mji ulivyopangwa vizuri barabara pana nzuri zinapendeza , mambo ya ovyo ovyo sana Tanzania 🇹🇿 sijui lini mtajifunza

    • @allymape8911
      @allymape8911 5 месяцев назад

      pembeni ya mji kuna ring road hapo mzazi