NDEGE YA KWANZA KUTENGENEZWA TANZANIA YAANZA SAFARI NDANI NA NJE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 74

  • @brianmushi7004
    @brianmushi7004 Час назад +6

    watz tujifunze kuapreciate na kupongeza vitu

  • @fadhilijafari6777
    @fadhilijafari6777 Час назад +6

    Hiii ndio Tanzania ninayo itaka

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 2 часа назад +7

    DIAMOND SASA ATANUNUA 😂😂😂😂MAANA WAMAMTAPELII SANA😂😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @AbuuRamadhani-o7k
    @AbuuRamadhani-o7k 50 минут назад +3

    Tuwape moyo jmn na jeshi letu pia lijifunze litengeneze ndege zake za kivita

    • @ShaulizSeleman
      @ShaulizSeleman 40 минут назад +1

      @@AbuuRamadhani-o7k Hapo hawajajua kutengeneza hata nyuklia hii nchi tungeweza kuzalisha nyuklia jeshi la polis litapata kibur zaid mana hawana nidham saiv

  • @petermvellah4120
    @petermvellah4120 2 часа назад +4

    Mimi ombilangu ni kwa jeshi la wananchi. Teknolojia kama hizi zinatakiwa wawe nazo

    • @Jurbeg
      @Jurbeg Час назад

      Unatetea masrahi yako sababu wewe polisi 😂😂😂🫡🫡🫡👍

    • @ShaulizSeleman
      @ShaulizSeleman 42 минуты назад +1

      @@petermvellah4120 Hzo ajira bora watoe kwa raia ambao hawana kaz mitaani kuliko kuwapa wanajeshi, utakua usenge sana mana wanajesh hata wasipoajiriwa wanalipwa pesa wamejaa kibao wanakula pesa za nchi nd uone usenge huo

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km Час назад +1

    Endeleeni mtengeneze na jetfigheter

  • @abelubamba7409
    @abelubamba7409 Час назад +1

    Hongera mnooooo,Tanzania hoyeeeeeee

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Час назад +4

    Air Ubaya Ubwela😂😂😂😂😂😂😂ndege Ina komwe...Mama tunaomba iitwe ivo

  • @meshasjaguar6136
    @meshasjaguar6136 26 минут назад

    Wangapi wanakumbuka ajali ya ndege kuzama bukoba. Nyosheni Mikono kabla ya. Kupanda ila. Hongera Tanzania Kwa atua nzuri

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 Час назад +1

    Jambo jema sana

  • @Godfreyolekidongo
    @Godfreyolekidongo 37 минут назад +2

    Drone hiyo au ndege? 😂😂😂

  • @DonnyMbaga
    @DonnyMbaga Час назад +1

    Hii tuiite "Air Mpanzu".
    Ubaya Ubwela

  • @ZubedaVicent
    @ZubedaVicent Час назад

    Nijambo lakin kumshukuru Mungu kwa vipaji kamala hivi kupatikana tz, watz waliowengi hawataki kuamini vya kwao , yaan wanajua akili wanazo wazungu wenye ngoz nyeupe, kumbe wasijue wafrica tuna akili kuwazid, sema tu ubongo wetu wafrica uliasiliwa na sindano za chanjo eti ni za kinga kumbe wana tuuwa uwezo wa kufikili kufanya vitu kama wao

  • @ceciliaathanas3135
    @ceciliaathanas3135 33 минуты назад

    Ndege made in Tanzania.siwezi panda napenda kuishi 😥tutengeneze viatu,nguo izo tutavaa lakini angani kwenda na made in tz mie hapana kwakweli

  • @WadhifaFaidawadhifa
    @WadhifaFaidawadhifa 41 минуту назад

    Hiyo ndege naomba tumuuzie Mpenzi wake na P DD, ili akiwa anaenda kuangalia move kwa pidd awe anaruka nayo mondi:

  • @DavidSemu-gu6wp
    @DavidSemu-gu6wp Час назад

    Mimi nasubiri usafiri wa jadi babu kakaa mgonjwa mgonjwa akikata mimi ndio narithi mafunzo nilisha pasi.

  • @SefuAthuman
    @SefuAthuman 2 часа назад

    Tukiunge mkono hich mana n maendeleo kwa taifa🎉🎉

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt Час назад

    Mh naogopa kunguru na mwewe kama wale ngedere wa treni ya mwendo kasi.

  • @conganyoyo3195
    @conganyoyo3195 Час назад

    Nkanunua NDEGE Sasa,gari nawaachia watoto

  • @giftaugustine1296
    @giftaugustine1296 Час назад +2

    Mm sipandi na ole wenu iangukie nyumba yangu

    • @fatmamdihiri4164
      @fatmamdihiri4164 Час назад

      😂 😂

    • @VeronicaMacha-pl3xt
      @VeronicaMacha-pl3xt Час назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Wachoraji
      @Wachoraji 54 минуты назад

      PENDA VYA NCHI YAKO NDUGU,NDO KWANZA WANAANZA WATABORESHA TUU,TIWAPONGEZE KWANZA THEN TUZIDI KIWASHAURI

  • @farajapeasonmagota8226
    @farajapeasonmagota8226 46 минут назад

    Kwahiyo aliyetengeneza ntzzz au mzungu

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Час назад

    Ndege yenye uwezo wa kubeba watu wanne na zaidi zitatanya kazi hasa kwa utalii

  • @lucassibora4508
    @lucassibora4508 59 минут назад

    Hongera sana nchi,kwa hatua kubwa

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Час назад

    Kwanini wasitengeneze mfumo wa Gas

  • @erickenock3198
    @erickenock3198 21 минуту назад

    Mbona aina sehemu ya kupandia abiria

  • @ghottaman2570
    @ghottaman2570 Минуту назад

    Safi sana ata m buyu ulianza Kama mchicha

  • @WallaceWaweru-ob7jz
    @WallaceWaweru-ob7jz Час назад +1

    Mitano tenaa Tanzania sasa ina kua

    • @Wachoraji
      @Wachoraji 56 минут назад

      Acha siasa,mitano kwa Nan?

  • @juutops4656
    @juutops4656 2 часа назад

    Kenya bado. Siasa nyingi tu😢

  • @AndreaDaud-k2c
    @AndreaDaud-k2c Час назад

    Ngedele hakuna huko juu na hawa bundi

  • @Kichaka8299
    @Kichaka8299 58 минут назад

    Afu morogoro hakuna airport

  • @AfnaniMagosso
    @AfnaniMagosso 18 минут назад

    Nilipanda iy ndeg inakelele iy

  • @ozilraven8442
    @ozilraven8442 5 минут назад

    Hii ni ndege au sisimizi jamani😅

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 Час назад

    Hizi ndiyo zile za Morogoro au?

  • @issaabdallah2945
    @issaabdallah2945 2 часа назад

    Mbona kma ina bendera ya kenya

  • @sumakitengo1356
    @sumakitengo1356 49 минут назад

    Sa aka kandege ka watu wangap

  • @claudmwandambo2001
    @claudmwandambo2001 2 часа назад +1

    Mtauwa watu

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Час назад

      Kabla walikuwa hakuna kifo.. hata mabasi yanapata ajali..ile ya precision iliyoanguka huko bukoba ilitengenezwa wapi.. safari huanza hatua 1..tuwatie moyo wataalam kwa uthubutu

  • @jacobtandila2019
    @jacobtandila2019 23 минуты назад

    Nyie mtaua watu

  • @maisaalawy8549
    @maisaalawy8549 17 минут назад

    Safi sana

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 2 часа назад

    Hii kunguru

  • @ShaulizSeleman
    @ShaulizSeleman Час назад +1

    HIVI HUU MRADI ALIANZISHA MAGUFUR AU NI SAMIA??

    • @Wachoraji
      @Wachoraji 52 минуты назад +1

      WEEE, MIRADI YA MJOMBA MAGU HIYO NDO INAANZA KUCHIPUA, MAGU OYEEÉEEEE

    • @ShaulizSeleman
      @ShaulizSeleman 50 минут назад +1

      @@Wachoraji Noma sana

    • @ShaulizSeleman
      @ShaulizSeleman 34 минуты назад +1

      Magu alijitoa sana kwa kubuni miradi mingi ndan ya nchi kuanzisha , I wish angekuwepo dah sema mipango ya Mungu haina kukosea

  • @machaliiflaniivi4203
    @machaliiflaniivi4203 58 минут назад

    Hongereni sana

  • @bestman3651
    @bestman3651 Час назад

    Watz tuwe na uwezo wa kutengeneza, tutengeneze wenyewe sio wengine waje kuundia hapa useme imetengenezwa Tanzania.

    • @Mapenzi2635
      @Mapenzi2635 Час назад

      Tunaweza sana. Ni musimu tu.

  • @salcle9702
    @salcle9702 2 минуты назад

    😂😂

  • @twiser6029
    @twiser6029 22 минуты назад

    😅

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 2 часа назад

    Tunakiwanda cha kuunganishia.au chakutengeneza.

  • @mussachichajr
    @mussachichajr 55 минут назад

    Kama itafika mwaka haijadondoka niko pale😂😂😂😂

    • @hamadsuleiman5177
      @hamadsuleiman5177 50 минут назад

      Atakuwemo mama, baba, kaka na dada zako humo mbwa weye....Mbona akili mbili weye

    • @deboramuhoja1777
      @deboramuhoja1777 23 минуты назад

      😂😂😂😂😂

  • @KukuWaMayai
    @KukuWaMayai 33 минуты назад

    Made in Tz

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 Час назад +2

    Naomba kujua hivi hako kakiwa angani kakakutana na upepo mkali hakapeperushwi?

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 Час назад

      😂😂😂😂umenikumbusha kipindi bajaji zinaingia tz tilikuwa tunaogopa kwamba itabebwa na upepo lakini saiz🦁🦁🦁

  • @evansmadanga6351
    @evansmadanga6351 3 минуты назад +1

    They are only assembling not manufacturing. Please differentiate the two

  • @JactonKai
    @JactonKai 27 минут назад

    sio kweli waongo hio wameunganisha tu hakuna kiwanda.

  • @juutops4656
    @juutops4656 2 часа назад

    Kenya bado. Siasa nyingi tu😢

    • @franciskatona4252
      @franciskatona4252 Час назад

      Bona Mtanzania hata akinyamba lazima ataje Kenya? Mara sgr, mara ndege?