SAKATA LA NAPE&MAKONDA: HEKIMA ZA PROFESA KITILA MKUMBO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof. Kitila Mkumbo amesema ipo haja kwa Rais John Pombe Magufuli kuchukua hatua dhidi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kwani kuchelewa kunaweza kuigharimu serikali yake

Комментарии • 71

  • @mohamedsasma7664
    @mohamedsasma7664 7 лет назад +1

    Professor mkumbo uko vizuri ktk Hilo na wanaotoa hukumu ni sisi wananchi fanyeni mnavyotaka kwa sasa ila msisahau yote mnayotukwaza nayo tutajua LA kufanya. Semeni mnavyotaka kwa sasa ila dawa yenu inachemka..

  • @nicojonas9375
    @nicojonas9375 7 лет назад +11

    kuna kitu hapo kati ya magufuri na makonda

  • @kalongaalex8262
    @kalongaalex8262 7 лет назад +5

    mi sijawahi kuona MTU anatumwa kutibiwa, hadi siku za kutibiwa zinajulikana

  • @singanosingano6120
    @singanosingano6120 7 лет назад +1

    there is something behind

  • @gracestambuli2358
    @gracestambuli2358 7 лет назад +4

    Hapo ukabila unahusika tukiacha uchapakazi wa makonda. Aliyoyafanya yalitosha kutumbuliwa lakini hili kabila washazoea kubebana sasa makonda anabebwa hadi kwenye uovu uliodhahiri hivi,

  • @vonkale8565
    @vonkale8565 7 лет назад

    well said

  • @mottofoundationinc.3492
    @mottofoundationinc.3492 7 лет назад +2

    SMART BRAIN

  • @Mkrist
    @Mkrist 7 лет назад

    Nia yenu ilishajulikana ninyi. Mh rais ameshawajuwa vizuri sana. Unga hamuuzi tena.

    • @mlugerobert298
      @mlugerobert298 7 лет назад +1

      ROSHAN WILSON Huyo rais si mungu wa kujua yote, kauli ya hapa kazi tu iende na haki.Hapa kazi bila haki ni UTUMWA!

  • @daybrelimite7039
    @daybrelimite7039 7 лет назад +1

    Picha lilianza kwa Shari tunakula kwa jasho na vyeti vyetu viko ndani but Makonda{Bashite}mayai anakula bata na masifuri yake

  • @nagmahmohamed3985
    @nagmahmohamed3985 7 лет назад

    kazi kweli kweli

  • @musalubacha7537
    @musalubacha7537 7 лет назад

    kwa mf unazani,Mungu alipo mtu yesu kuja kuokowa ulmwengu,Mungu hakumuacha yesu mwenyewe poja na dhihaka alizofanyiwa,

    • @annacarlos7925
      @annacarlos7925 7 лет назад

      nyie mnaomuona makonda hajakosea kuvamia clouds mnazo akili kweli au baba ako ndo katajwa na madawa ungefurahi nahatumii

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji 7 лет назад +1

    Sheria ifuatwe lazima,sio upendeleo tu hamtoendelea kamwe

  • @zuuniece6635
    @zuuniece6635 7 лет назад +2

    baba nimekuelewa sana

  • @kareenamuraty5845
    @kareenamuraty5845 7 лет назад +6

    huyo makonda kabla hajataja wauza madawa angejitaja yeye mbebaji.kwani vita dhidi ya madawa nani kaipinga?vita dhidi ya madawa inaungwa mkono n.a. kila mtu.lakini asiwataje watu wengine kuwachafua n.a. wenye kuuza kweli akawaacha kwa rushwa za magari n.a. pesa.

  • @musalubacha7537
    @musalubacha7537 7 лет назад +1

    kumbuka watu hawa wananguvu niwasimo,wanawatu,wanaushawi,wanapesa,wanafasi,wanaweza kununuavyobo vya kuzohofisha mapambano,zidi yao.naendea

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 7 лет назад

    Kuna Siri Kubwa sana kati ya MAKONDA na MAGUFULI.Time will tell..Watanzania mtagundua muda si mrefu, I promise..!

  • @renaldakamugishazeramulake940
    @renaldakamugishazeramulake940 7 лет назад

    MH. RAISI ANGESHATENGUA UTEUZI WA MAKONDA . ILA MNAONYESHA KUMLAZIMISHA NA KUMPANGIA KILE MNACHOKITAKA. MNAPOZIDI KUMLAZIMISHA NDIO NAYEYE ANAWATIA ADABU KWA KUTOMTENGUA MAKONDA. MKIKAA KIMYA MIEZI 2 WA 3 MAKONDA TUNAE MITAANI. NYAMAZENI MUONE.

  • @gervasasenga834
    @gervasasenga834 7 лет назад +1

    2020 tupo naye hata yeye aweka Cv zake hadharani.

  • @misanathomas9766
    @misanathomas9766 7 лет назад +1

    kitala mkumbo nmekuelewa

  • @musalubacha7537
    @musalubacha7537 7 лет назад

    Anna carlos,fahamu kuwa rafiki wakaribu akiamu kukusariti anaweza,cloud niwasariti wakumbwa,kwamakonda, niulize usariti wao nikuonyeshe

    • @climaxmtaki630
      @climaxmtaki630 7 лет назад

      Kiaje mpaka unasema hivyo

    • @sultanmm7722
      @sultanmm7722 7 лет назад

      Musa Lubacha hata mm nakubaliana na ww wamemchezea mchezo makonda ili atumbuliwe ila kila mwenye akili amelijua hilo

  • @imoryaugustino3444
    @imoryaugustino3444 7 лет назад

    saiz toka mwaka 2015 baada ya jamaa kuingia Ikulu, nyeus ni nyeupe, na nyeupe ni nyeusi. maana mkuu wa mkoa kuwa kama ndo kila nchin, hii ni hatari kwa watanzania jamani. na kwa mazingira kama haya, tanzania ya viwanda ndoto za abunwasi, na kamwe haiwez tokea. tanzania bado sana, na ni pale kila mtu anapokuwa na maamuzi yake pindi awepo madarakani haswaaa kipind hiki toka 2015. hivyo tuwe tu na mioyo migumu ndugu zanguni.

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 7 лет назад

    kweli

  • @neemamrehy3490
    @neemamrehy3490 7 лет назад

    AFRICATANZANIA

  • @musalubacha7537
    @musalubacha7537 7 лет назад +5

    mbinu ngani itumike kukwamisha,kupambana nadawa,yakwaza nikumukwamisha,makonda,je tumukwamisheje, vyeti raisi kawaguduwa,wakaona haitoshi tufanyeje, tutafute rafiki wakaribu atusaidie katafutwa,nimuseme?

  • @kareenamuraty5845
    @kareenamuraty5845 7 лет назад +2

    mbona vita ya kupambana na wasenge imepotea ghafla.hamjiulizi kwanini?wabongo hatujielewi tutaburuzwa milele kwa kushabikia ujinga.

  • @musalubacha7537
    @musalubacha7537 7 лет назад +1

    kiukweli,nasikitika sana,swala la madawa siyo dogo kiasi kwamba uwataje wewe mkuu wa mukoa bila kuhusisha mamulaka ya juu, naendea

  • @gitu4me
    @gitu4me 7 лет назад +1

    usiseme wana dar hawampendi sema ,vibaraka wa kwenye mtandao

  • @shuwehaharunaomariikwena233
    @shuwehaharunaomariikwena233 7 лет назад

    Ana ishebeb umeandika ukrasa mrefu upumbavu sijui unatoka kolomije

  • @kasimuyusuph8227
    @kasimuyusuph8227 5 лет назад

    Kwasasa UNAWEZA kuongea hiyooooo?

  • @theresias5289
    @theresias5289 7 лет назад +2

    Naona nyie hamjaelewa kinachofanyika ,mnaona kwamba Makonda anafanya kazi kinyume cha maadili lakini si kweli na wale wanao tumbuliwa ni kwamba wako kinyume na Rais,Mtoto mwenye maadili mema hafanyi kitu bila kumshirikisha baba yake na huyo ndiye kipenzi cha Watanzania ndugu yetu Makonda.wasio mpenda waendelee tu kuisoma namba,CCM mi mbele kwa mbele,,naami mwalimu Nyerere yuko kwa baba na anatuombea,,,,alles gute

    • @neemakilomoni4258
      @neemakilomoni4258 7 лет назад

      Theresia S baeleze wa Tz mindset zao ziko ktk chuki binafsi,hata upeo wa fikra umekua mfupi 😏

  • @muhidinzangira9086
    @muhidinzangira9086 7 лет назад

    Raisi katengua wacha maisha yaendelee

  • @musalubacha7537
    @musalubacha7537 7 лет назад

    Anna kumbuka makosa ya makonda niya pi?ukiaacha chukiza pastor gwajima

  • @hamiduchilumba2352
    @hamiduchilumba2352 7 лет назад +3

    huna lolote...!

  • @rajabuabdallah3840
    @rajabuabdallah3840 7 лет назад

    Fnya kz mzee

  • @muhidinzangira9086
    @muhidinzangira9086 7 лет назад

    Sisi wananchi wa dsm hatujamuhukumu makonda

    • @mlugerobert298
      @mlugerobert298 7 лет назад +1

      muhidin zangira haki ndo inamhukumu lakini haki hiyo inakingwa na sheria kandamizi za ubinafsi

  • @omarchuo2178
    @omarchuo2178 7 лет назад

    mtangazaji hajielewi anaiyogopa maiki

  • @ibrahimjohnstone8268
    @ibrahimjohnstone8268 7 лет назад

    SIRI KUBWA MAGUFUR NA MAKONDA

  • @shininisoipano4973
    @shininisoipano4973 7 лет назад

    magufuli ni dikiteta kabisa ashe udikiteta

  • @bilalkilinga7812
    @bilalkilinga7812 7 лет назад

    msukuma mwenzake huyo

  • @tonnychibwete8903
    @tonnychibwete8903 7 лет назад

    ukabilaaaaaaaaaaaa tuuu

  • @neemamrehy3490
    @neemamrehy3490 7 лет назад

    HABARIZAMICHEZO

  • @nzomukundafatuma5364
    @nzomukundafatuma5364 7 лет назад

    amejiroga pekeyake daudi bashite munze wa ma 000000000000000000000000000000000000000000000000000000

  • @adambago
    @adambago 7 лет назад

    Kosa Lako Kitila unatumia 'ad numerum au Argumentum ad populum' (Appeal to masses, appeal to majority, appeal to authority of many) Because the majority say so and so is true therefore, it is true... Suala la makonda ni paradox ( Nataka mtoto wangu wa kike awe mvulana), ni kazi ngumu ya uamuzi, kwa nini? 1. Kuna nguvu za watu wauza madawa wanaoombea makonda aachishwe au afe, na akiachia makonda kuna hatari ya biashara kuanza kushamiri, itakuwa ni ushindi wa biashara ya dawa. 2. Makonda na Askofu gwajima. Gwajima anaamini kuwa uaskofu wake utamfanya magufuri amwachishe makonda, na hivyo kutaleta udhaifu fulani kwa raisi anayejiamini. 3. Si kweli kuwa watanzania wote hawampendi makonda, wapo wanaomuunga mkono kwa wingi ingawa amefanya madudu mengi. 4. Profesa angalia duniani kote wapambanaji wa vita ya kulevya huwa hawana marafiki wengi (Duterte wa ufilipino, Mexico, Trumph, Indonesia...) So si suluhisho kumlaumu rais..tuache upepo wende wenyewe. AU?

  • @musalubacha7537
    @musalubacha7537 7 лет назад

    kwahivyo nilazima mamulaka ya juu yalijuwa kwamba makonda akitaja wahusika wadawa zakulevya kunachangamto atazipata,ikajiandaa kupambana nazo.naendea

  • @edsonsign9441
    @edsonsign9441 7 лет назад +7

    hakika tz tuna maprofessor feki wengi. hata ww ni feki. kabla ya madawa ya kulevya mlikuwa wapi? sema wananchi wa dar wanampenda makonda, vyombo vya habari ni nn bwana! acha porojo.

    • @athonyfrancis8889
      @athonyfrancis8889 7 лет назад

      hahahhaa haya mliokimbia shule speech ya kiprof kwenu ni sheeda,prof hakung'ata wala kumeza ameongea ukweli wa mambo yalivyo sasa ulozoea kuukataa ukweli lazima mkuki moyoniiii.haya twende just kupita

    • @athonyfrancis8889
      @athonyfrancis8889 7 лет назад

      hahahhaa haya mliokimbia shule speech ya kiprof kwenu ni sheeda,prof hakung'ata wala kumeza ameongea ukweli wa mambo yalivyo sasa ulozoea kuukataa ukweli lazima mkuki moyoniiii.haya twende just kupita

    • @athonyfrancis8889
      @athonyfrancis8889 7 лет назад

      hahahhaa haya mliokimbia shule speech ya kiprof kwenu ni sheeda,prof hakung'ata wala kumeza ameongea ukweli wa mambo yalivyo sasa ulozoea kuukataa ukweli lazima mkuki moyoniiii.haya twende just kupita

    • @alexngao9176
      @alexngao9176 7 лет назад

      hata busara inahitajika ili kuepusha shari mbona Obama ali2miwa kutokuwa na uraia wa USA lkn baada ya ck mbili alionesha ndipo rai wa usa wakamwamini zaidi

    • @alexngao9176
      @alexngao9176 7 лет назад

      hata busara inahitajika ili kuepusha shari mbona Obama ali2miwa kutokuwa na uraia wa USA lkn baada ya ck mbili alionesha ndipo rai wa usa wakamwamini zaidi

  • @rachelward4973
    @rachelward4973 7 лет назад

    Wana Habari. kumbe mambo ya Makonda bado..? si mmezema mwaacha naye? shikamooni wana Habari wote