DANCERS WA MARIOO "WENYE MAFANIKIO NI DANCER WA DIAMOND TU,ILA RICH MAVOCO NA WENGINE KAJAMBA NANI"
HTML-код
- Опубликовано: 10 июл 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
ALL THE BEST DANCER MUNGU AWATANGULIE INSHALLAH💪💪💪
This streets I like them VEVO they got so many wolves I like em #poshtatu
Daddy Bway💥💥
zungu (dady viev) sio dancer wa Diamond Diamond ana madancer wa 4tu
Nipo tayakupata mujiza wangu
mmeiga kutetema kutoka south Africa
Mnapiga Kaz sana wazee
🔥🔥🔥🔥
Chino wana man😂😂😂
Kwel wasaf4life
Papy ma legwork🔥🔥🔥
Eti kwenda wodi wide🤣🤣
❤👍👍👍👍👍
Kazeni mwendo
Wapi killy sasa
Safi madogo zidini kukaza mwendo Bado safar ndefu
Acha uomgo
Nom
Chino uko feke sana boss wako hauwezisema vile azarani marioo amekusaindiya sana
mnaiga sana uchezaji wa south Africa..so ...kwa mtu kama mie ninaeishi south Africa sioni jipya..bunini vitu vipya
Kuinga sio mbaya hata nyumba hujenga kwa kuigwa
-bongo fleva imetokana na hip hop kutoka America
-qwaito/ amapiano umetokana na soul kutoka America
-afro pop imetokana na Afro beat kutoka Nigeria
-ulitaka wadensi styles za taarabu??? watu wanaiga kinachotrend Duniani,Leo hii dancing styles za Nigeria mpaka India na USA wameanza kuziiga,angalia nyingi za Brazil nyingi mpya wanachomeka dancing styles kutoka Nigeria (nani hapendi bidhaa inayojiuza????)
Chris brown juzi alikuwa anafanya show London uingereza,alicheza amapiano karibia dakika 20 live jukwaani,watu huiga kinachotrend,ndio maana Leo hii Kuna maneno (majina) mengi sana ya kiswahili yanayotumiwa Duniani mzima kwasasa (Simba, Nala,hakuna matata,jambo, safari, asante,zuri,malaika,nakupenda,dadakaka) kwasababu kiswahili ndio lugha inayokuwa Kwa kasi zaidi Duniani kuliko lugha yoyote,chuo kikuu Cha kiswahili kipo Japan, kiswahili ndio lugha inayotumika USA Wakati wa kusherehekea sikuu ya watu weusi wote USA (kwaanza)
NB::: usishangae watu kuiga kitu!!?!
rush kkwaito imetokana na nn??? we acha uongo we unajua wazulu wasuthu watwane na wakosa... wana aina ngapi za nyimbo..??
rush k kwahiyo wakati Chris brown anacheza amapiano
.. alikuwa ana proud kuwa imetoka tz au south Africa??