CHINO "SIKUMUUA NDUGU Yangu Nipate UTAJIRI "/Adai AMEMALIZANA na MARIOO/Aonyesha MAGARI yake MAPYA..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 апр 2024
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram rickmediatz...
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 82

  • @KhadijahRamadhani-mw3wh
    @KhadijahRamadhani-mw3wh Месяц назад +5

    Kilam2 nanyota yake🎉🎉🎉 kaka zidi kuwashangaza❤❤❤ chino

  • @user-tr8kz6wc1j
    @user-tr8kz6wc1j Месяц назад +4

    Wewe ndiyo wa kwanza chino sijaona kama wewe honqera sana chino haijalishi humepataje hayo yote hayatuhusu ❤❤❤❤❤❤ chukua mau Yako nimekupenda Bure munqu nipe na Mimi niwe kama chino

  • @RashyTzOfficial
    @RashyTzOfficial Месяц назад +3

    Mungu akiamua kukubaliki broo vi2 vinaondoka2

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv Месяц назад +7

    Wabongo sisi tuna ulemavu mkubwa sana kifikra, wanawaza upumbavu tu eti uchawi kwani bila ushirikina huwezi kufanikiwa? Au Mungu hawezi kumtajirisha mtu? Acheni uvivu hizo mawazo ni ya umasikini, ndo unakuta wanaita viongozi wa dini wachawi, yani wamejawa na ujinga kwenye ubongo wao

  • @NengaJulenge-yi4fd
    @NengaJulenge-yi4fd Месяц назад +3

    Chino kaka mungu akulinde uzidi kusaidiya vijana wengi na mungu azidi kukupa mafanyikiyo

  • @Msafirimakini
    @Msafirimakini Месяц назад +2

    Ningekuwa simuogopi mungu hizi gari ni kitu kidogo sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MalengaEchumbe-sz1tx
    @MalengaEchumbe-sz1tx Месяц назад +4

    Huyo Ex ndo hana siri kubwa jama 😢😢😢 HELA unatowa wapi CHINO MMMM KWA MUZIKI NGANI KWANI????

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 Месяц назад +4

    Wanasema kutangulia CIO kufika....bila Shaka mario ameona hii....n mbn hajapost? Watangazaji mtafuteni mario...ako n mengi xna ya kuongea😅

  • @pavillonmarguerite7634
    @pavillonmarguerite7634 Месяц назад +1

    Chino bro wewe ndomimi washangaze zaidi waku fikirie vibaya waho ndowa nafanya ivo bro pamoja sana

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Месяц назад +1

    Kama Ayo mambo watu wanaongea huyafanyi mungu Ndio mwenye macho fanya kazi ✊

  • @AllyMwakasabaje
    @AllyMwakasabaje Месяц назад +4

    Tishaa Chino ❤ bro🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @asukulubashilwango1907
    @asukulubashilwango1907 Месяц назад +8

    Jamani kaheni mkijuwa mziki wa sasa huna hela msihangaliye youtub 2, izo show anazo zitaja hapo kwa wiki mwamba anauwezo wakujingiza 50M kwa mwezi ivyo awezi ivyo mafanyikio yake niya ukweli sana 100% pia kakuhambiya bajet yake ili apate ku save . ❤

    • @prezzyvassach3218
      @prezzyvassach3218 Месяц назад +1

      Mil 50 Kwa Week Ni Uongo Kaka Show Zake Ni Friday Saturday Na Sunday. Na Una Fikiri Show Moja Ana Lipwa Million 10?? 😅

    • @asukulubashilwango1907
      @asukulubashilwango1907 Месяц назад

      @@prezzyvassach3218 alisema M10, 8,hadi 5 anachukuwa Asa ukipiga hesabu kwa wiki anahingiza M20 kwa mwezi anazo ngapi Bado youtub na mitandao mingine. Matangazo bro wanahaki Alafu izo gari zake ni zakawaida sana sema tz watu awajishushi hadhi ila izo gari kwa apa usa iyo jeep aiwezi nunuwa $20k iyo bmw ndo kabisa aina pesa wala

  • @babuafya3446
    @babuafya3446 Месяц назад +3

    😂😂😂 chino bhana wew content so kuandikwa negative ni kawaida

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Месяц назад +3

    This gentleman if he takes it seriously he'll gonna take over simba

  • @DavisEnglishTv
    @DavisEnglishTv Месяц назад +20

    Ww chino hizo hela unatoa wapi? Mi staki kuamini bhana sababu Marioo anaimba sana na mangoma yake yanaenda lakin unamzidi. Sasa hapo inakuwaje??

    • @esterpaul5856
      @esterpaul5856 Месяц назад +3

      Ni maajabu hayo 😅😅😢 katowa wap hizo pesa?? Sio kwel

    • @Officalnaph
      @Officalnaph Месяц назад +4

      maisha ni siri kubwa na fumbo , hivyo tuangaliee tu

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 Месяц назад +3

      Utajiri una siri kubwa😂😂😂😂😂

    • @fatumakiwera7145
      @fatumakiwera7145 Месяц назад +4

      Mafanikio ya mtu yanasir kubwa sana

    • @user-mi7cd8ch1b
      @user-mi7cd8ch1b Месяц назад +2

      Katoa wap uyo katoa mwenzie kafala

  • @user-nq5iz3vy3p
    @user-nq5iz3vy3p Месяц назад +2

    X wangu nitamnunulia baiskeli

  • @user-iu1ki5ts2e
    @user-iu1ki5ts2e Месяц назад +6

    Chino nakukubalii bloody yangu Sema dah utajiri wa gafla toka ufiliwe na best yako yaani Naona Sasa hivii utashindanishwa na daimond plantnaamz utajiri

    • @boscopeter6183
      @boscopeter6183 Месяц назад +1

      sio UFILIWe sema Ufiwe ..unatuchanganya kaka 😁

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Месяц назад +1

    Iko siku ya mungu itajulikana,hakuna haram inayodumu milele

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 Месяц назад +3

    Kuna manamna..hela hizo hapana

  • @AliFundi-xr8rg
    @AliFundi-xr8rg Месяц назад +3

    Chinno unapenda ku show off

  • @Sizzablack
    @Sizzablack Месяц назад +4

    Big

  • @user-fg3nj1bg5n
    @user-fg3nj1bg5n Месяц назад +3

    Mhhhh ukakasi

  • @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy
    @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy Месяц назад +1

    Vijana tuache tamaa ya pesa ya halaka, uzuli malipo ni apa apa

  • @ConstanceKarisa-yq7qc
    @ConstanceKarisa-yq7qc Месяц назад +2

    Twambie unatoa wapi pesa

  • @Tg.7_7
    @Tg.7_7 Месяц назад +3

    Sacrifices do pay!!

  • @GermainMukengere-zx9lc
    @GermainMukengere-zx9lc Месяц назад +4

    Chino wanama

  • @user-dv8cd1up7v
    @user-dv8cd1up7v Месяц назад +2

    V8 Iko wap

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc Месяц назад +4

    ni huu mziki tuu au kuna mziki mwingine

  • @user-uc8vm6to5x
    @user-uc8vm6to5x Месяц назад +2

    Jamn tafteni ela Kwa njia za kihalali hata Mimi ningekua na tamaa za hela kama hizo ningekua nazo sababu brother angu anazo pesa zaivo mpaka zingine hajui aziganyie Nini so tafteni ela Kwa njia salama

  • @SalimAli-iw5kv
    @SalimAli-iw5kv Месяц назад +2

    Neema wa piliz

  • @user-ee8jo3qt4h
    @user-ee8jo3qt4h Месяц назад

    wabongo acheni ufala uyu hana menegiment inayo kula pesa sa anakosaje pessa

  • @jaykaris
    @jaykaris Месяц назад +1

    Huyu Jamaa nahishi anatumika na watu. Hivi tanzania kuna washwash?

  • @Lisbonofficial
    @Lisbonofficial Месяц назад +5

    Chino kidd 🫡🫡🫡

  • @user-pw5qh6fv1w
    @user-pw5qh6fv1w Месяц назад

    Kuna kanamna hpa chino 😂😂

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xy Месяц назад +2

    🔥💪💪💪

  • @timelessdaddy.2542
    @timelessdaddy.2542 Месяц назад +2

    We illuminati Tu mbona hujanunua kabla mwenzenu kufa kenge ww

  • @iddymohammed1890
    @iddymohammed1890 Месяц назад

    Abasi anauliza ana nyimbo ngap na show anafanya wap ?

  • @nurdizzotz4437
    @nurdizzotz4437 Месяц назад +2

    Wabongo tunafeki sana dah sema mtawaogopea wajinga si wengine tunajua mnapataje izo mali

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc Месяц назад +2

    kaa naye karibu akutoe kafara wee jipeleke tuu

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Месяц назад +4

    Chino kazi yko mziki bdo Iko chiniii huo utajiri apanaaa😂

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 Месяц назад +1

      Huo wivu sasa

    • @nurdizzotz4437
      @nurdizzotz4437 Месяц назад

      Waongo sana ndomana mziki wabongo aukui we ata matangazo ana izoshow za asilimia ndo zimpe utajili uo tukija kustuka wasanii wote washakuwa mashoga

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 Месяц назад

      @@furahachuma9039 hamna wivu kaka ila liangalie pia ww,

  • @SamweliMwalyungu-du5ln
    @SamweliMwalyungu-du5ln Месяц назад +2

    Ww ni tako una jitetea ili iweje

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y Месяц назад +2

    gar ulio mnunulia mamaako na babaako liko wap au ndo unawaza madem

  • @Kanyiki903
    @Kanyiki903 Месяц назад +2

    Muchawi

  • @aloyceJeshi-vt2oe
    @aloyceJeshi-vt2oe Месяц назад

    Chino wanamani

  • @pinkyg8861
    @pinkyg8861 Месяц назад +1

    Anagawa zawad kwa ex kwel freemason

  • @ibrahimmbilizi1726
    @ibrahimmbilizi1726 Месяц назад +2

    Nabado atawaliza umeonwapi utakiri wawiki mbili ivi

  • @nurdizzotz4437
    @nurdizzotz4437 Месяц назад +2

    Msanii unata tangazo show tu ndo zikupe izo gari mmh wasanii wabongo bado sana ndomana tunalogana kinomanoma

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Месяц назад +1

    LAZMA TUSHTUKE BANA,,GHAFLA SANA😊

  • @TeophilBuilding
    @TeophilBuilding Месяц назад +3

    Wanaokata chukia na kumaind wote wanatombw akil ila ukwel Ni kwamba vijan wanauza matako na yanalipa kwasas kwa mwenye weled Zaid wakufikiria wataelew na wanajua kipato cha mziki wetu kwasas matako yanawalipa

    • @shuzashadyproduction8438
      @shuzashadyproduction8438 Месяц назад +1

      😂😂😂 jau kis*ng*

    • @shuzashadyproduction8438
      @shuzashadyproduction8438 Месяц назад

      😂😂😂😂😂 Jau kis*ng*

    • @maxdesignspro
      @maxdesignspro Месяц назад +1

      hii alinambia director mmja kwamba kutrend ni rahis ila wengiwao wanaliwa sana

    • @MosesAntony-gh4yt
      @MosesAntony-gh4yt Месяц назад +2

      Yani toka ajari apate afe yule jamaa Kawa na maokoto cha ajabu ile ajali chino hakupata majereha

    • @paulmafuru7283
      @paulmafuru7283 Месяц назад +1

      Hahaha kweli Tako dili mjini Lkn daah acha nitembee kwa mguu Tako langu nibak nalo

  • @farajmohammed
    @farajmohammed Месяц назад

    Kumbe freemason n kweli 😅

  • @donhussle948
    @donhussle948 Месяц назад +1

    Umemtoa mwenzako kafara ..
    Na waambiwa KILICHO NA MWANZO KINA MWISHO .ww ww utaanza lia kuwa freemason yataka kuuwa mwisho .mziki gani walipa hvyo mbna twadanganyana waimba wanunua magari bei hiyo tusidanganyane ..sema kuna nguvu za giza ndani yako or nyuma yako ..20% alitueleza nguvu za giza lazima uwe ndani yake

    • @user-hm3qm2nf1v
      @user-hm3qm2nf1v Месяц назад

      Hlf alikuwa mbele hakuumia ht wenziwe wamekatika viungo hd leo hawajapona vizuri yy anatanua tu freemason