MBOSSO AMJIBU MARIOO "MIMI SIPENDI MTU MNAFKI,YANI UKIKAA KWENYE INTERVIEW UNANIONGELEA VIBAYA"
HTML-код
- Опубликовано: 27 май 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Team mbosso likes zenu hapa✊🏾👍🏿
Mbosso ni mkali hadi kujieleza anaweza kuliko wote wasanii bongo
Nilisema na narudia kusema, watangazaji mna UNAFIK sanaaaaaaaa... Mnalazimisha ugomvi. Mbona Marioo kaomba samahani 😮 Watangazaji wacheni UNAFIK
Nakukubali sana Mbosso, umewaheshimisha Mama zangu wa Tanga ❤😅
Mbosso is king 🤴
Hapo Kuna colabo soon Kuna track ya mbosso na marioo
MBOSSO alimfunika MARIOO ndio jibu dogo aliogopa kuaibika😂😂😂
Mbosso big up champ ,u really know how to express yourself n respect is at its best keep it up bro ,jah bless from Kenya
Mbosso is right
and i do appreciate his work 🙏🙏
Mbosso mtu poa sana
Ok mm sio fun wa wasafi bt mbosso nkati ya wasani wakali east africa.....
Jibu ni kwamba Marioo aliogopa kutoa wimbo sababu aliona MBOSSO kamfunika
Ndio
Mbosso ni mkali sana tena marioo huenda ni nusu ya mbosso
Mbosso alimpoteza Toto Bad kweny izo collabo😂😂😂😂😂
Unamjua vzr lakin Toto bad wewe!!? Kuna colabo gani ashawah kupoteana, mbosso ni mkali saaaana lakini kuhusu kumfunika kwenye colabo marioo bado labda Kuna miss understanding zngne tu
Huyu marioo haingii kwa mbosso hata robo na nyimbo zake za watoto mbosso ni mtunzi nyimbo zake ni za kiutu uzima na mtu yoyote anasikilaza ukichukua huyu hapa inameza nyimbo zote za marioo
Mboss acha makasiliko moyo utaumaaa❤
Mbosso kwa kuigiza namwaminia sana. Video zake hazichoshi, hasa zile anazokuwa peke yake
Kweli ep yako kali sana
Mamboo yaxhaixha lkn bdo mnaendelea kuyakuzaaa tuu😠😠
. ...Marioo motoo weweeeee.......
Mariooo kaogopa angethibitisha uwezo wa mbosso
Mbosso verry verry interview 🎉
😂😂nimependa hapo#pasindikizwi mtu kwenye utajiri 👍🇰🇪🇰🇪.....
Mashallah kwa mawaidha mazuri ya kifo mwanangu sana Khan
Nakubal sana Mbosso khan 💪🏿💪🏿💪🏿
Nakubali mbosso ❤️❤️❤️❤️❤️❤️👏👏👏👏😂😂😂
INAONEKANA MBOSSO ALIUA IZO NYIMBO
Umeona eee? Ndo jibu Hilo Kwa haraka haraka
Mashaallah Allah akujalie kheri
❤ Nakukubal sana tuu
Marioo ni kama Harmonize... Wanafki na roho mbaya...😂😂😂
Ukweli kabisa
😅🤣
Weee koma!!!! usimtaje harmonize wetu kwa vitu vya ajabu
@@SusannaTaji-os8jh 😂✍🏽
@@SusannaTaji-os8jh anakujua Kwan ww ,una hata namba yake usmtaje Hamo kama huna Tako au kuvuta bangi
*ukweli ni kwamba huo mziki marioo alifunikwa na mboso ndomana hakuutoa* 😂😂😂😂😂
Marioo msifananishe na uo utoporo wenu😢
😂😂😂wakati alifunikwa kwenye collaboration akaogopa kuutoa wimbo
Respect 👏👏👏👏👏
Nakubali king
Mbosso anajuwa kuimba kiukweli ni Lovix kutoka Congo
Baranaba my best friend 👋👋🌟
Mboso 👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻
Media za siku hizi uswahili sana ndio contents, Hawa vijana wote ni wakali, mbona mnawachochea maneno?
Mboss verry verry
Nimeona marioo kaomba msamaha siku 2 zilizopita, sasa inapofikia mtu kaomba msamaha c inamaana amekubali kosa ndio maana kakili. Ningekuwa mm nisinge jibu baada ya marioo kuomba msamaha
Anafos bifu
Hii interview ni kabla ya Marioo kuomba msamaha juzi.Fuatilia vizuri
Huyu jama Hana akili 🙄
Marioo anawivu na Mbosso. It is obvious..anajuwa huyu mtu ana natural talent 😅😂
Wivu 😂😂😂😂kwa kipi sasa
@Nahima Gingo Wee shut it...Mbosso habari nyingine..huyo Mr Amapiano anakingine cha kuadd kwenye mziki wake? Et best lyricist in the industry 🤣
@@m___ck799 just wait and please stop crying poor baby okay 😆
@@nahimagingo1289 wew unakataa nini? Marioo alifunikwa akaona Bora apuuzie tu
MWAMBIENI MBOSSO ABADILISHE NGUO KILLA SIKU HIZO HIZO
Wew unazo ?
Maroo usiwajibu hawa wanataka kukupoteza kwenye kiki kaa kimya ushaomba msamaha inatosha kaa kimya
Mimi nataka mufanye ngoma na harmonize njoo nda kukubali kama wewe huna bla bla bla na wasani.
Mmae uyo aliempoteza htr cyo kwa mavi ayo
🤣🤣mavi tena
Acheni kupost vitu vya zamani mbwa nyie mnalazimisha ugonvi echeni usenge wenu mnakela 🤬🤬🤬
Mbosso khani
Marioo asaiv yupo juu mboso mtoto mdogo sana marioo kapambana toka dar kugumu mpka leo marioo ni mshindi na mziki anajua sana
Mmeona marioo kashajibu ndo mnapandisha hii interview hapa mnataka mabishano na marioo
@Adam Hamis..Marioo akijibu na hii atakuwa zaidi ya mjinga maana yeye ndo'alianza kulikoroga sasa awe mpole tu..afunike kombe mwanaharamu apite
Kipind kisharuka kwenye tv
Kwani wew unampangia?
Sasa si ushaombwa msamaha au, yaishe basi dogo na dogo mwenzio mpatane, au hamuon kama mziki unakifa polepole. 😢
Kilungi yuko makilometer saaana mbali na toto bad
Marioo ushakuwa star..unafanya vizuri kwenye industry.sasa magombano na mtu kama Mbosso inakushukishia Hadhi mkubwa wangu.heri ngekuwa unabishana na akina Harmonize basi...wasanii wa bongo mbona hammuigi Diamond.Kasemwa mangapi na anafanya kazi zake bila majibizano!!!!?
Ww mshamb 2 level za yamoto bend ni tofaut na izo za yamoto kiberit
Hawa wana wimbo
Mbosso nikweli watu wanapenda wajione wazuri kuliko wengeni wewe usifatane Nao chapa kazi yako bloh
APA baba Kuna mchezo unaofanyika Kua makini
Wasafi wana ng'ang'aniza bifu ya mbosso na marioo mbona marioo aliomba msamaha mbona hawaja zungumzia hilo kma umegundua hili nipe like.
Mario sio WA mchezo mwacheni tu
Mapianoo ni uchafuuuuuuu
acha kulia lia ww
😂😂
Naona unajitowa ufahamu eti aumushindikizi mtu kwenye utajiri. mbona uko unamshindikiza Diamond P kwenye huo utajiri ?
We jamaa unakuwa msenge msenge sanaaa
Team marioo likes zetu hapa ❤❤
Marioo yuko juu babu
menina aupendezi umeka kiwiziwizi
p
Analazimisha bifu na mariooo
Wewe mboso kitobo tu labor ndio ina kubeba bila yah WCB ungekua kwenu kijichi una vuna nazi mshamba wewe msenge wa fela
Sijui ni macho yangu ama nimevuta bangi nyngi ila mbosso usoni wamempiga sana make up adi unaona sura yake ina rangi ya njano
Hakuna make up si ni kamera au mazingira ya humo tizama mikononi
Hiyo ni light😂😂
Wasafi mnafosi bifu na marioo , marioo ameshawaacha hao wote mnaomlinganisha naye yeye saivi yupo top 3 acheni kumlinganisha na mboso
Kwa hiyo wewe unasema marioo anamshinda mbosso kimziki??
Nafikili awezi jibu ilo swali
@@user-gy5zi9we7i numbers zinaonyesha kuanzia digital platform Hadi mtaani Hadi club , yaani saiv unatamtaja mond , harmonize anafuata marioo na soon atawapindua wote hyo ndo fact
Hatusemi kwamba marioo ni mbovu lkn co wa kumfananish na mbosso dada yangu n kwamb tu marioo amekuw na ngoma nying this time na mbosso alikaa kmya kdg uwez wa mbosso n mkubw na upo kokote marioo hizi amapiano nazo znatuchosha kwakee abadilikee tushamkariri Sasa
@@sofiaissamkandama2742 ww mwehu kabisa alikiba unamwacha wapi Hamo Bado mdogo mno ukimtoa mond,kiba,rayvany,mboso,zuchu,marioo ndio hamo anakuja
Sio kakuongelea vby ww mnafka sana pmj na Team yenu yotee ya wcb
Kwani amna abali nyingine
Tupe wewe habali nyingine hiyo uliyonayo wewe
@@abubakarikasamwa5792 wewe punguza shobo mchicha ujaitwa apa
Akiliiiii hunaaaaa weweeeee pimbiiiii
Abubakari bigup
@@abubakarikasamwa5792 sawa bwege🙄🥱😂
Usijifananishe na marioo wenzako wanakudanganya wanakwambia uwena bifu na marioo mwenzako anafanya mziki wa kimataifa
🤣🤣🤣🤣🤣tutajie mmoja wakimataifa,huyo mbosso kishakichafua mbele huko,mdogo wetu marioo kakiwasha wapi?
Hawa madogo hawako serious....stupid
I like your courage mbosso.come and participate in our series.naona unapenda acting sana......
Atauwa huyu dogo
@@rajabdibwa6415 sanaaaa bana
Kuna sharuh khan..mbosso khan..Amir khan hao wote wanaweza ni moto