Masha Allah Sheikh naomba ufanye ziara ya kuja Malindi ufanye darsa huku angalau kwa mda wa wiki,,,,in sha Allah,,Allah azidi kukupa ilmu Ili tuelimike...Shukrn Sheikh Izzudin
Sheikh huyu hana maana hata kidogo.eti asema bora aswalishwe na Shoga kuliko kuswalishwa na shia.yani ni ujahili mkubwa. Alafu anadai Alhajaji aliswalisha watu pamoja nakuwa alikuwa akiuwa maswahaba. Lkn shia hawezi kuswalishe kwa kudaiwa kuwatukana maswahaba. Sasa kuuwa na kutukana lipi kubwa? Hata akili yakupima hana. Alafu jambo jengine hajui .mawahabi hawasomi kabisa bismillah kwasababu hawaamini kuwa ni aya ya Quran. Sunni anaamini bismillah ni sehemu ya sura.sasa wahabi atakuswalishaje.lkn nikwamba hawa ndo walopewa pesa na mawahabi ili kufifisha upotofu wao.yani sheikh huyu chuki yake juu ya mashia imemfanya amekuwa kipofu haoni hata haki
MashaAllah nafurahia sana kupata faida katika Darsa za shekhe letu
Lakini Izudin kwa vichekesho. Masha Allah 🎉
Ah kweli 😂
Barak Allah kheri
MashaAllah
Masha allah tabaraka llah
Allah akupe afya na umri mrefu upache kuchupa daawa za allah na mtume muhamad scw
Masha Allah Sheikh naomba ufanye ziara ya kuja Malindi ufanye darsa huku angalau kwa mda wa wiki,,,,in sha Allah,,Allah azidi kukupa ilmu Ili tuelimike...Shukrn Sheikh Izzudin
😂😂😂😂😂😂😂😂..ustadh mungu akueke amiin mawaidha nailed home!!!
Maashallah shke tunaelimika A
Asalam alykum video haina sauti
Sheikh huyu hana maana hata kidogo.eti asema bora aswalishwe na Shoga kuliko kuswalishwa na shia.yani ni ujahili mkubwa. Alafu anadai Alhajaji aliswalisha watu pamoja nakuwa alikuwa akiuwa maswahaba. Lkn shia hawezi kuswalishe kwa kudaiwa kuwatukana maswahaba. Sasa kuuwa na kutukana lipi kubwa? Hata akili yakupima hana. Alafu jambo jengine hajui .mawahabi hawasomi kabisa bismillah kwasababu hawaamini kuwa ni aya ya Quran. Sunni anaamini bismillah ni sehemu ya sura.sasa wahabi atakuswalishaje.lkn nikwamba hawa ndo walopewa pesa na mawahabi ili kufifisha upotofu wao.yani sheikh huyu chuki yake juu ya mashia imemfanya amekuwa kipofu haoni hata haki