MAJIBU YA ULIZA UJIBIWE (PART 06)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 мар 2023

Комментарии • 11

  • @MustaphaSaidi-lf9mz
    @MustaphaSaidi-lf9mz 5 месяцев назад +1

    MashaAllah nafurahia sana kupata faida katika Darsa za shekhe letu

  • @lexygeisar8303
    @lexygeisar8303 Год назад +3

    Lakini Izudin kwa vichekesho. Masha Allah 🎉

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Год назад +3

    Barak Allah kheri

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 Год назад +1

    MashaAllah

  • @AADANXAAJI-vj1gy
    @AADANXAAJI-vj1gy Год назад

    Masha allah tabaraka llah
    Allah akupe afya na umri mrefu upache kuchupa daawa za allah na mtume muhamad scw

  • @AIFOSMUGOTV
    @AIFOSMUGOTV Год назад +4

    Masha Allah Sheikh naomba ufanye ziara ya kuja Malindi ufanye darsa huku angalau kwa mda wa wiki,,,,in sha Allah,,Allah azidi kukupa ilmu Ili tuelimike...Shukrn Sheikh Izzudin

  • @xasaxuma9835
    @xasaxuma9835 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂..ustadh mungu akueke amiin mawaidha nailed home!!!

  • @mwanakombotambwe9887
    @mwanakombotambwe9887 Год назад +2

    Maashallah shke tunaelimika A

  • @MAKE.N.BAKE_
    @MAKE.N.BAKE_ Год назад +3

    Asalam alykum video haina sauti

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Год назад

    Sheikh huyu hana maana hata kidogo.eti asema bora aswalishwe na Shoga kuliko kuswalishwa na shia.yani ni ujahili mkubwa. Alafu anadai Alhajaji aliswalisha watu pamoja nakuwa alikuwa akiuwa maswahaba. Lkn shia hawezi kuswalishe kwa kudaiwa kuwatukana maswahaba. Sasa kuuwa na kutukana lipi kubwa? Hata akili yakupima hana. Alafu jambo jengine hajui .mawahabi hawasomi kabisa bismillah kwasababu hawaamini kuwa ni aya ya Quran. Sunni anaamini bismillah ni sehemu ya sura.sasa wahabi atakuswalishaje.lkn nikwamba hawa ndo walopewa pesa na mawahabi ili kufifisha upotofu wao.yani sheikh huyu chuki yake juu ya mashia imemfanya amekuwa kipofu haoni hata haki