VILIO VYA WAKE MAJUMBANI | Sh yusuf Abdi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 64

  • @Amina-dm5iw
    @Amina-dm5iw 2 года назад

    mashallah shehk mwenyezimungu ambariki kinywa chako kwakunifikisha kwenye njia hii kuongoza njia ilionyooka🙏🙏

  • @sitiali9286
    @sitiali9286 3 года назад +6

    MashaAllah sheikh, Maneno swadakta.

  • @lilalila3267
    @lilalila3267 3 года назад +4

    maashallah nimejifunza Allah akujaze Kheri inshaallah

  • @mwanakhamiskhamis3115
    @mwanakhamiskhamis3115 3 года назад +1

    Tena twalia sanaa

  • @iqbalomar9162
    @iqbalomar9162 3 года назад +9

    MashaAllah Ukweli unauma.
    Hilo wazo la kusomesha ndoa ni zuri sana. huenda likapunguza matatizo ya ndoa kwa percentage kubwa.

  • @fatmasuleiman1902
    @fatmasuleiman1902 3 года назад +1

    Allah atuonqozee tuwe wnye kuskia na kutwii inshllah🙏

  • @bakariabdallah2579
    @bakariabdallah2579 3 года назад +1

    Alla akulip Kila la kheir

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 года назад +1

    Tunakuombea sheikh Allah akuwezeshe tuwe tukipata darsa kama hivi,nadra sana kupata msemaji mzuri kama hivi,kutufundisha waume na wake,Alhamdulillah Allah atupe mwisho mwema

  • @hadijam.7037
    @hadijam.7037 3 года назад +5

    Masha Allah....totally truth ..many women suffer in bad marriages...

  • @fatumasalim7123
    @fatumasalim7123 3 года назад +4

    Mashaallah sheikh Allah ibarik, mada hizi ziwe Mara kwa Mara coz siku hizi hamna mapenzi ya kweli(true love) imani hamna tena. Mateso ni mengi mno wengi wamenyamaza si wake si waume. Hafadhaka allah

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 года назад +1

    Mashallah hii darsa iko sawia sheikh Yusuf abdi,matatizo yawanadoa kila uchao yazidi Allah atuongoze na atufahamishe

  • @umma6654
    @umma6654 3 года назад +3

    Nimejifunza shukran

  • @zuwenaseif4950
    @zuwenaseif4950 3 года назад +1

    ماشاءالله شكرن خزك الله لخير
    Somo limeeleweka
    Allah akuzidishiye ufasaha

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 года назад +2

    Subhanallah swadakta sheikh

  • @nshimirimanadjamilla7270
    @nshimirimanadjamilla7270 3 года назад +1

    Allah akulipe kheri

  • @mwanaishayusuf9968
    @mwanaishayusuf9968 3 года назад +2

    Mashallh sheikh yusuf abdu Allah akubarik Inshaallah

  • @mejumaamwachirero7324
    @mejumaamwachirero7324 3 года назад

    Wallah huyu Shekh sijaskia hata siku moja akiongea upuuzi kila ninapomsikiliza huwa anaongea point zakunigusa zinazoleta hisia.Poleni sana wanandoa

  • @salmanaaman1594
    @salmanaaman1594 3 года назад +4

    MashaAllah

  • @a.856
    @a.856 3 года назад +2

    Jazakallah khayran

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 2 года назад

    Mashallah

  • @hassaneyn
    @hassaneyn 3 года назад +1

    Maa shaa ALLAH. Allah akujaz

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 3 года назад +1

    SubhanaAllah
    Allah awaongoze waume zetu

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 3 года назад +5

    Mimbar aliyosimama mwanaume ..shujaa .. 🦁 🦁 simba wa kenya Sheikh aboud rogo rahimahullah نحسبه شهيد والله حسيب

    • @issaabdi9129
      @issaabdi9129 3 года назад

      Mjuwe Kwanza historia ya sheikh rogo then msifu. Bali amepeleka vijana njia potevu .sasa ndio wenyeji wa Mombasa Wanavuna.

  • @nasrasalathassanhassan8372
    @nasrasalathassanhassan8372 3 года назад

    Mashallah sheikh Yusuf mungu akupe umri refu

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 года назад

    mashaallah,sheikh hujawahi kukosa kutuelekeza kulingania, watoa mafundisho ya ndoa na kijamii kama hivi,huwa ni adimu nadra sana kuyapata haya kwa viongozi wetu,watu tunapotea katika dini na maadili mema siku hizi hakuna,Allah atuhifadhi na atupe mwisho mwema

  • @hadijahamis2965
    @hadijahamis2965 3 года назад

    Mashallah shekhe ,Yani umegusa penyewe shekhe likawe funzo kwa Wana ndoa wote

  • @nasraalismailiy5188
    @nasraalismailiy5188 3 года назад

    mashaAllah mashaAllah Allah akuzidishie ilmu yaarab nimefurahi moyo wangu kwa mawaidha mazuri sana

  • @ummua5006
    @ummua5006 3 года назад

    Jazakumu Llaahu khairan

  • @hassanharuna1519
    @hassanharuna1519 3 года назад +2

    Masha Allah

    • @muhammadbakari9713
      @muhammadbakari9713 3 года назад +3

      Mashallah Allah kulipe kheri akupe umri na afya njema na furaha daima ameeen shekh wetu uzidi kitufaidisha ameen ameen

  • @swalehsaid1531
    @swalehsaid1531 3 года назад

    mashaallah sheikh wetu

  • @slyadckyalii1784
    @slyadckyalii1784 3 года назад +2

    Mashaallah ustadh mm ndio wa kwanza kucomment

    • @AbuShuraim
      @AbuShuraim  3 года назад

      Shukran

    • @shufaafadhilahmed25
      @shufaafadhilahmed25 3 года назад

      A.alkm.naomba no ya shk yusuf abdi ya wasap au yakumpigia direct nina maswali nataka ushauri na naswaha

  • @fatmasaid7093
    @fatmasaid7093 3 года назад

    MashaAllah ❤️🌹❤️ALLAH barik

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 3 года назад +1

    Masha Allah ❤❤❤

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 года назад +3

    Kwakweli nimtihan

  • @nuurjumaan266
    @nuurjumaan266 3 года назад +4

    Shukran kw kuleta mada hii wanaume wanatesa wanawake walia sijui ni iblis or hasada or or nini jamani? Watto ndipo wana potea

  • @mohamedoierussis1784
    @mohamedoierussis1784 3 года назад

    Mashallah ❤❤❤👍

  • @halimaissack2209
    @halimaissack2209 3 года назад

    Shukran

  • @mwanakhamiskhamis3115
    @mwanakhamiskhamis3115 3 года назад +1

    Wasichana , watoto, vijana wa kiume, waume na wake wotee wanalia ila kilio cha wake au Wanawake kwa ujumla ni kilio kikubwa mnooo

  • @jkphilosophy101
    @jkphilosophy101 2 года назад +1

    Wanaume ambao wakali nje wengi ni ma dhayuth ndani majumbani na ambao ni wakali nyumbani Basi wengi ni wanyonge nje. Alafu wanaume wengine kabla ya kumuoa make hua anajipendekeza kwa yule mke lakini baada ya kumuoa basi hamwangali tena mke. Wengi ambao hufanya hivi ni wale ambao wana date badala ya kuposa

  • @bsamohamed122
    @bsamohamed122 2 года назад

    Mimi binafsi shekh ni mmoja ambaye nimedhulumiwa na nduguyangu wa kiume mkubwa ambae ndie aliniozesha mume mbaya,kisha akasaidia mume mbaya nikaatwa kwajili nduguyangu ajali maslahi ya kupewa msaada na watu wa mume wangu,na nduguyangu huyo ni shekh mkubwa kwenye jamii ni msomi wa Quran,ni daaiya katika RUclips na kila mahali,hii ndio Hali ya waisilamu

  • @AyushAli-gv1yl
    @AyushAli-gv1yl 3 года назад

    Sheikh mm nilipigwa kisa nilikataa kununua hometheater na yy hanihudumii kw chochote

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 3 года назад

    Mayatima pia wapo wengi ambao ni watoto wadogo ambao hawawezi kujitetea wanapoteswa kimawazo au kwa udhalilishaji nk. Natoa Mwito Ma imaam wafanye iwezekanavyo kuwasajili watoto wote wa karibu na msikiti ili kuwawezesha kujua maendeleo yao ya kielimu na kimaslahi na kiafya nk. Tukumbuke Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, amesema, كلكم راع وكلكم مسؤول عن رعيته
    Kwamba, Nyote ni (kama vile) mchungaji wa mifugo na (kila) Mchungaji (ajue) ni mwenye kuulizwa kuhusu Raiyah wake.

  • @aishaaisha1495
    @aishaaisha1495 3 года назад

    Wanaume achen ubahir

  • @abumuhidin6842
    @abumuhidin6842 3 года назад

    Ndiyo

  • @bsamohamed122
    @bsamohamed122 2 года назад

    Shukran sheikh,lakini wajuwa kama sisi wanawake was kiisilamu twaumizwa kisaikolojiya kwasababu wanaume wa kiisilamu wamepewa khatamu ya kudhulumi wanawake Kwa kisingizio dini imewapa rukhsa,kwahiyo hakuna mjadala hapa ,hapa ni hivi uislamu umempa rights mume,na mke Hana rights huu ndio uwadilifu wa hukumi ya dini, tushkuru tuu na tukubali tumeumbwa kuteswa Wala sio lengine

  • @shamimnassor6192
    @shamimnassor6192 3 года назад +1

    Kuna wanaume walaji marungi huwa wakorofi sana akeshe barazani usiku kucha akirudi usiku wa manane ataka mke aamke ampe mke akikataa kutoa labda kwa hasira anapigwa mpaka asubuhi afunika uso watoto wasimuone alivyotolewa manundu

  • @AyushAli-gv1yl
    @AyushAli-gv1yl 3 года назад +2

    Na nikimkataza zinaa anambia yy sishoga,nikimuelekeza mambo ya dini anambia najifanya mm najua dini sana

    • @sikukuuchuo3093
      @sikukuuchuo3093 3 года назад +1

      Wengi wao wakielekezwa utaambiwa wajifanya wajua dini

  • @christopherwarutere3489
    @christopherwarutere3489 3 года назад +4

    Mashallah mawaidha mazuri lakini fupi sana sheikh shuraim twataka clips nyengi kuhusu ndoa kama itaezekana

  • @hassaneyn
    @hassaneyn 3 года назад

    Maa shaa ALLAH. Allah akujaz

  • @cusmaanaweys2179
    @cusmaanaweys2179 3 года назад +3

    Mashaallah