Sheikh Hamza Mansoor - Kukabiliana na Mitihani ya Dunia

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 561

  • @yusufhemedy5106
    @yusufhemedy5106 3 года назад +48

    Mashallah!! Ewe Mola wangu niongozee kwenye njia unayoipenda wwe,mmi pamoja na umma wa kiislamu...nisamehe dhambi zangu zote mmi na wazazi wangu wawili

  • @kigenimohammed7847
    @kigenimohammed7847 Год назад +7

    Dua ya kuingia msikitin na kutoka msikinitini
    1) kuingia.... bismillahi wassalaatu wassalaamu Alaa rasuulillahi allahumma ftahalii abewaaba rahmatika
    2) kutoka... bismillahi wassalaatu wassalaamu Alaa rasuulillahi allahumma inniy as aluka min fadhilika allahumma A'aswiminy minash shaytaani rajiyim..love you all from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ramilialiy3725
    @ramilialiy3725 4 года назад +27

    Yarrab waongoze watoto wangu wawe wema ameen yarrab wame mashekh na maamir na maukhty kuliko mashekh na maukhty wote dunia nzima ameen yarrab .sheikh Hamza Allah akulipe pepo ww na sisi ameen yarrab

  • @shamimwabuke5379
    @shamimwabuke5379 2 года назад +10

    Mwenyezi mungu nisamehe dhambi zangu pamoja na wazazi wangu wote 🙏🏿

  • @husseinhassan4241
    @husseinhassan4241 5 лет назад +73

    ewe mwenyez mungu mwingi wa rehema mwenye kurehemu nijaaalie Mimi nawazazi wangu mwisho mwema

  • @cosmasthobias5226
    @cosmasthobias5226 5 лет назад +73

    Mashallah shekh mungu akupe mwisho mwema wewe na sisi kwa pamoja

    • @ilhamaman8324
      @ilhamaman8324 5 лет назад +2

      Allah azidi kukupa elimu ili utukumbushe waislam, ila usijekubali kujiunga ktk BAQWATA utajivunjia heshima yako,pia epuka sana mizozo na mashekhe wenzako,baadhi ya mashekhe wako kwa ajili ya kusubiri mashkh wenziwao waongee kitu ktk membari halafu nawao hujidai kumkosoa ili yey onekan bora,liangalie sana hili maalim.

    • @aminaabdiabdi7112
      @aminaabdiabdi7112 4 года назад +1

      Amiin yarrab 🤲

    • @adachaadam3707
      @adachaadam3707 4 года назад +1

      Shukrn yaa usitadhi Allah akupe mwisho mwema lnshallah🙏

    • @aishaali284
      @aishaali284 3 года назад +1

      Ameen

    • @arqamibnarqam.7185
      @arqamibnarqam.7185 3 года назад +1

      @@aishaali284 Assalaamualykum

  • @mufidaswaleh1416
    @mufidaswaleh1416 4 года назад +17

    Haya mawaitha yamenigusa sn kikweli ila alhmdlh nashkuru. Yamenipa moyo sn haya mawaitha. Shukran shekh

  • @saidomar6806
    @saidomar6806 4 года назад +27

    Mashaallaah. Sheikh. Allah Mola mwenye Huruma atujaalie kizazi chema na awarehemu wazaz wetu na atusamehe tulipo kosea atupe mwisho mwema inshaallaah,,,,, Aaamin⭐🌙🕋🕌

  • @mohamedrowa1425
    @mohamedrowa1425 4 года назад +10

    Ya Allah mrehemu wazazi wangu na uwaokoe na adhabu ya kaburi

  • @isayaphiri1564
    @isayaphiri1564 4 года назад +14

    Asante kwa darasa shekhe wetu mungu akujalie akupe maisha marefu na uzidi kutukumbusha inshaallah

  • @ayushiabubakar1930
    @ayushiabubakar1930 4 года назад +6

    Ya rabii mungu a tujaliye mwisho mwema shk mungu akupe umri mrefu na akukutanishe na kipenzi wetu S. A. W

  • @sammyngunjiri5369
    @sammyngunjiri5369 2 года назад +55

    I wish I had known this earlier... After listening to this teachings, I think I have come to love this religion

  • @salwaalii775
    @salwaalii775 3 года назад +6

    Allah atuongoze kwenye njia ya haki itakayo mfurahisha Allah Amin yarab

  • @juwairiakhamu8719
    @juwairiakhamu8719 3 года назад +5

    Mashallah Jazakallahu kheir sheikh Mansour Allah akuzidishie Ilmu tena na tennaa

  • @alimohamedalisaid7040
    @alimohamedalisaid7040 5 лет назад +49

    Nice darasa mashallah my brother mungu akuzidisia elimu ameen thuma ameen akupe afia ameen

  • @kidawaadam7363
    @kidawaadam7363 4 года назад +51

    Subra ni jambo jema tumtegemee allah,,shukran shehe kwa nasaha

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 года назад +38

    Masha Allah, May ALLAH grant you Jannah Firdhaus Sheikh Hamza Mansour🤲🤲

  • @khalidomar9611
    @khalidomar9611 4 года назад +11

    Allah atupe mwisho mwema Sisi pamoja na wewe inshallah

  • @sumuhaji13
    @sumuhaji13 3 года назад +7

    Masha Allah Allah awalipe mashekhe wetu kheri na malipo zaidi ya Yale yanayostahikk

  • @tushfatma8823
    @tushfatma8823 3 года назад +6

    Ma sha Allah sheikh may Allah grant you jannatul firdous

  • @user-hk9sg1vf5w
    @user-hk9sg1vf5w 2 года назад +4

    Asalam alekum, Mashallah tabak ALLAH;Mimi niko Saudi Arabia nimefurahi sana kwahiyo Mawaitha yako ALLAH akuzidishie kilalagheri dunia na akhera .👍👍👍👌💯💯🇰🇪💐🇸🇦🇸🇦

    • @mohmgonda
      @mohmgonda 19 дней назад

      Mashaallah Allah ubarik sheikh Allah àkupe umri mrefu

  • @mauridiruhasha8057
    @mauridiruhasha8057 4 года назад +7

    Maanshaallah BarakaAllahu khayra Allah akuzidishie kheri, na akujalien mwisho Mwema inshaallah

  • @leylafadhili8646
    @leylafadhili8646 2 года назад +7

    Subra ni jambo jema katika maisha na mwenyeezi mungu atafungua njia 😇

  • @omarhakizimanakishikbongo2186
    @omarhakizimanakishikbongo2186 5 лет назад +29

    Kweri nimempendasana shak Allah akurinde Amiin

  • @ayshakompo483
    @ayshakompo483 4 года назад +7

    Inshallah mungu atupe subra katika kila hatua ya maisha yetu na atupambe na baraka zake ktka majambo yetu

  • @mwahijalukali2387
    @mwahijalukali2387 4 года назад +11

    Mashallah sheikh Hamza mansoor mungu atakulipa

  • @hassanidrissa1071
    @hassanidrissa1071 5 лет назад +56

    Jazakallahu khayra sheikh, maashallah, mbora ni yule anaesikia nakuyafanyia kazi, inshaalla Allah atufanyie wepesi tuyafuate yaliosemwa,

  • @nasirshekhi6070
    @nasirshekhi6070 3 года назад +15

    ●▬▬▬▬▬▬ஜ۩۞۩ஜ▬▬▬▬▬▬●
    اللَّهُمَّ صَلِّ عَلَى مُحَمَّدٍ وَّ عَلَى آلِ مُحَمَّدٍ كَمَا صَلَّيْتَ عَلَى إِبْرَاهِيمَ وَعَلَى آلِ إِبْرَاهِيمَ إِنَّكَ حَمِيدٌ مَجِيدٌ
    اللَّهُمَّ بَارِكْ عَلَى مُحَمَّدٍ وَّ عَلَى آلِ مُحَمَّدٍ كَمَا بَارَكْتَ عَلَى إِبْرَاهِيمَ وَعَلَى آلِ إِبْرَاهِيمَ إِنَّكَ حَمِيدٌ مَجِيدٌ
    ●▬▬▬▬▬▬ஜ۩۞۩ஜ▬▬▬▬▬▬●

  • @madinaomar679
    @madinaomar679 4 года назад +12

    Mungu atusamehe madhambi yetu. Amiin

    • @kibirashabani
      @kibirashabani Год назад

      mwenyezi mungu atudjalie Amani nasalama 🙏

  • @nusralilobwa4752
    @nusralilobwa4752 6 лет назад +43

    Jazakallahu kheri kwa ukumbusho

  • @ayushiabubakar1930
    @ayushiabubakar1930 4 года назад +2

    Ya rabii mungu tunusuru si umat Muhammed s a w ya samiu mjibu shk kila analo litaka LA kheri ya manani walipe mashk wetu ujira unao ujuwa kwa kazi kumbwa ya rabii wape umri mrefu na mwisho mwema piya nimefaidika sana kwa mawaidha yako

  • @shayammunir1489
    @shayammunir1489 4 года назад +40

    Mungu atuongozee kwa njia za Sawa in shaa Allah

  • @hawasomane4222
    @hawasomane4222 4 года назад +15

    Asalam alaikum warahamatulah warakatu.maostadhi na mashekhe Allah awape umri mrefu na awape nguvu za kutupatia nasakha.Allah awape maisha mema dunia fili akhera

  • @asimamusasuleymanimusa3210
    @asimamusasuleymanimusa3210 2 года назад +1

    Asante sheikh kwa mawaidha MUNGu ataleta wepes ishaallah kwa mawaidha yak MUNGu atusameh kwa makos yetu inshaallah biidbininllah 🤲🙏

  • @rahmaalaala8208
    @rahmaalaala8208 Год назад +8

    I like so much listening to your khutbah ,mawaidha .may Allah Grant you a blessed life and Grant you jannah

  • @MerveilleUseni-qm4gh
    @MerveilleUseni-qm4gh 3 месяца назад +1

    Heeee mwenye zi mungu samehe wazazi wangu hote mawili mali wipo Amina yarabih 👏👏

  • @ibrahimmaskini2967
    @ibrahimmaskini2967 5 лет назад +50

    Allah wepesi avikuze vyombo vyetu vya kiislaam

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 5 лет назад +17

    Shukran sheikh wetu kwa mawaidha mazuri unayo tupatia tunamuomba Allah akujaalie umri mrefu na elmu zaid uzidi kutuelimisha sisi pamoja na vzazi vyetu na Allah akulipe kher hapa dunian na akhera

  • @aishahassan9545
    @aishahassan9545 2 года назад +2

    Masha Allah mawaidha mazuri Allah atuongoze na akujaze na ww na kheri zote duniani umetuilimisha

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd9839 4 года назад +4

    Ya rabil nipe mwisho mwema mm na wazazi wangu na mumewangu na watoto wangu

  • @jamalmuhumud7579
    @jamalmuhumud7579 3 года назад +5

    Ahsante sana sheikh, asante kwa kutupatia mawaidha na nasahi hii ya maana sana, tunaomba mungu atuzidishie neema zake na wote wako katika imaan, tupatane katika Janaah, ameen ameen

  • @bashnurhassan5240
    @bashnurhassan5240 6 лет назад +20

    Allahuakubar mungu akuzidishiye elimu zaidi inshaallah.

  • @Kachaa254
    @Kachaa254 2 года назад +4

    Jazakallahu khair ustadh 🙏🙏 Allahu'akbar Alhamdhulilah 🤲❣️

  • @haziz7731
    @haziz7731 5 лет назад +15

    Naaaam Allah atupe mwisho mwema ya RABBI

  • @aishakazungu8507
    @aishakazungu8507 Год назад +2

    Mashaallah Allah atungoze katika njia ilio swa lnshaallah

  • @bintmohamedmalevi3771
    @bintmohamedmalevi3771 4 года назад +6

    Maa Shaa Allah.Sheikh mbora Allah atupe mwisho mwema.

  • @imanmohamed7632
    @imanmohamed7632 3 года назад +4

    Allah akupe khusnul KHATIMAH Allahumma Amiin

  • @ummyzee6247
    @ummyzee6247 4 года назад +13

    Shukran jazeelaah.. Allah akufanyie wepesi wa kutuelemisha,Allah na sisi waja wako wanyonge subra ya mitihani zetu

  • @JamilaYusuph-df5qw
    @JamilaYusuph-df5qw Год назад

    Allah Akbar walillah walihamnd wallah Akbar Allah atujalie mwisho mwem inshallah 🤲

  • @shabanstyles4643
    @shabanstyles4643 3 года назад +8

    JazzakaAllahu Kheir .....mashaaalah i just love this sheikh

  • @deqocllahideqocllahi5520
    @deqocllahideqocllahi5520 3 года назад +2

    Mashaallah sheikh hamza mungu akuzidishiye

  • @saidmohamed4776
    @saidmohamed4776 4 года назад +4

    Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu sheikh Hamza uendelee kutupa mawaidha mazuri.

  • @imanmohamed7632
    @imanmohamed7632 3 года назад +11

    MashaAllah TabarakkahAllah sheikh I love you for sake of Allah

  • @mariammaalim3317
    @mariammaalim3317 3 года назад +2

    Allah mpe umri mrefu huyu shekh apate kutuelimisha zaid inshaallah

  • @radhiakhamis8273
    @radhiakhamis8273 4 года назад +9

    Allah tujaalie tuwe miongoni mwa waja wko wema

  • @huscopoz1491
    @huscopoz1491 Год назад +1

    Asante Kwa faida shekh wangu ALLAH atakujaza moyo huohuo na yeye ndo atakulipa

  • @jamilaatemu3882
    @jamilaatemu3882 3 года назад +4

    Mashallah jaza yako iko kwa Allah

  • @adijahidi1215
    @adijahidi1215 2 года назад +4

    Subhanallah Allahuakbar jazakallah kheri Alhamdulila Allahuakbar ❤ 💚 💙 💕

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 5 лет назад +16

    Allah akulipe pepo

  • @BetriceMwanisawa-ui8yj
    @BetriceMwanisawa-ui8yj 10 месяцев назад

    Mashallah ewe Yarabi tujaalie mema hapa duniani na kesho akhera

  • @rahmaabdullah7756
    @rahmaabdullah7756 3 года назад +14

    Maa shaa Allah sheik Hamza may Allah bless you....long life💖

  • @nasrasuleiman5710
    @nasrasuleiman5710 Год назад +1

    Allah atujaalie tuwe miongoni mwa waja wema

  • @abdiibrahim3309
    @abdiibrahim3309 3 года назад +2

    Mungu amlaze pahali pema peponi shekh Hamza Mansoor kwa kutupea elimu inshallah

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 года назад

      Kwani keshatangulia mbele za haki?

    • @saidmgawe3196
      @saidmgawe3196 3 года назад

      Ewe mola wetu tujarie wisho mwema duniani na kesho ahera

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
    @sanoureyaliwadoakaroyo1696 2 года назад

    Jazakallahu Khairaa Allah Azid Kukuneemesha Sheikh Wtu

  • @dullysavage5939
    @dullysavage5939 2 года назад +1

    🤲 mungu akulipe kheri shehe duniani na ahera.

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 2 года назад +1

    Sheikh wangu umenitoa mbali sana

  • @lucasmlolwa7639
    @lucasmlolwa7639 4 года назад +15

    Sheikh Hamza...
    Your teachings are real.

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад +1

    Shukraan Sana sheikh wetu Allah akuhifadhi naakujaalie kher kwa ukumbusho jazakallah khaira

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 2 года назад

    Ammyn thumma ammyn thumma ammyn yarabb laalamyn
    Shukran sana sheykh kwa mawaydha tuna muomba allah nasi waja Wake atujaalie mwisho mwema

  • @ahmadbelier3160
    @ahmadbelier3160 Год назад

    Sheikh Hamza Allah akupe kila unchokitamani Ila kiwa ni halali Allahuma amiiin 🤲

  • @hawayusuph2079
    @hawayusuph2079 5 лет назад +7

    Mashaallaah

  • @AlbyMohamed-uv8uh
    @AlbyMohamed-uv8uh 5 месяцев назад

    Mashaallah!!ALLAH atupe Imani n subra katika kila Mtihani unaotufika inshaallah

  • @hikmarashid1729
    @hikmarashid1729 4 года назад +4

    Allahu akbar 🧕❤🧕

  • @hamidmbarakabdurahman6394
    @hamidmbarakabdurahman6394 4 года назад +8

    Masha Allah mungu akupandishe darja tukufu.

  • @shemsamasroor480
    @shemsamasroor480 Год назад

    Allahumma ajirnii fi muswibatii wa aghlif lii khairan minha

  • @majomaali2340
    @majomaali2340 4 года назад +4

    Masha Allah Dunia inatudanganya atuangalii mbele

  • @user-pp5dc5bv5x
    @user-pp5dc5bv5x 10 месяцев назад

    Mashallah ewe ya raaby tunaomba mwisho mwema mola wetu

  • @AshuraAbduly
    @AshuraAbduly 5 месяцев назад

    Ewe mola wangu nakuomba unijaalie mwisho mwema🙏

  • @petermazingwa9690
    @petermazingwa9690 4 месяца назад

    Ya Allah wasamee ndugu zetu walio tangulia Allah uma amiiin

  • @shinayzashiraaz4588
    @shinayzashiraaz4588 2 года назад +12

    MashaaAllah, Allahu Akbar!! Ya Sheikh ,May Allah grant u jannatul Firdousy,grant u more knowledge to acknowledge us more, because of this...am so glad,peaceful, relieved and the knowledge I had of this,Alhamdulillah!!
    Jazakumullah kheir

  • @dc4543
    @dc4543 7 месяцев назад

    Alhamdulillah kwa kila jambo mwenyezi MUNGU ni mjuzi zaidi

  • @CarlitacelestinoLimas
    @CarlitacelestinoLimas Месяц назад

    Mungu nijalie mwisho mwema Mimi na família yangu amin🤲🥰

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 2 года назад +2

    Mashaallah shukurani 🙏🙏🙏❤️❤️

  • @user-op7bh8lb9u
    @user-op7bh8lb9u 10 месяцев назад

    Yaa allah nisameh mazambiyangu ayamawaidha yananigusa nisameh mimi mujawako ninakiri makosayangi🙏🙏🙏🙏nisameh ya allah

  • @user-bn7wt2zx9g
    @user-bn7wt2zx9g 3 года назад +3

    Masha Allah Alhamdulillah

  • @user-mb1kv4pt4k
    @user-mb1kv4pt4k 5 месяцев назад

    Mashallah Kwa mwaidh mazuri inshallaha yarrabi tupe mwisho mwem

  • @khadijaali4657
    @khadijaali4657 2 года назад +2

    Mashallah,Allah atujaalie mwisho mwema inshallah

  • @hawlatachieng
    @hawlatachieng Год назад

    Mashaallah ustadh.....mafundisho mazuri.Allah Ibarik

  • @saharayusuf5543
    @saharayusuf5543 3 года назад +6

    Masha Allah bless you and your family Ijumaa kareem my shelkh

  • @adijahidi1215
    @adijahidi1215 2 года назад +3

    Subhanallah walhamdulila wa laailahailallah Allahuakbar walahaula wa lakuwata Ilabilahilaaliyu laadhim ❤ ♥

  • @frdmedia6235
    @frdmedia6235 3 года назад +1

    Allah akujalie mwishomwema inshallah nawa Islam oote watakaomfata mtume wetu Muhammad swalallah alayhi wasalam

  • @sophiamponi6666
    @sophiamponi6666 11 месяцев назад

    Mashallah Ewe molanisaidie kwenye mtihani yangu na wasaidie wazaz wangu na mtto wang waepushie magojwa wape ridhiki

  • @omarsalim6330
    @omarsalim6330 4 года назад +4

    MAA shaa Allah

  • @husnatsuma755
    @husnatsuma755 2 года назад

    Mashallah baraka allahu khayra allah mwenyewe mwezi mungu akupe maisha mema na kesho ahera mwenyezi mungu akepu maisha mema

  • @user-yk2ci7ip4h
    @user-yk2ci7ip4h 6 месяцев назад

    Alhamdulillah
    Mawaidha yanatutoa sehem moja kwenda nyengie Allah akulipe kheri

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 4 года назад +3

    Swadakta maneno matam sana hakuna mfano wadini ya hakki Kama uislam niraha sana Masha Allah Allah akulipe kheri

  • @elizagona8534
    @elizagona8534 4 года назад +4

    sheikh ALLAH ATUJARIE kila kheri wewe na sisi wanafunzi wako

  • @user-gh7nm6sf2b
    @user-gh7nm6sf2b 11 месяцев назад

    Sheikh hamzaaa mungu akuwekee kwa jili ya waislam wote 😢

  • @zakiaali4651
    @zakiaali4651 6 лет назад +12

    Shukran Nasaha nzuri Sana MashAllah Allahubarik

    • @zaidukimara8887
      @zaidukimara8887 4 года назад

      Mbora wenu ni yule anayemcha. M.ungu. mashallah ustadhi nakupnda kwa mawaiza yako mazuri sana tu

    • @rajabumbinga1816
      @rajabumbinga1816 3 года назад +1

      Mashalah Allah akuongoze

  • @masembamayunga866
    @masembamayunga866 Год назад

    Shekh Allah akulinde na mashekh wote wanaofanya hay kwaajili ya allah