MashaAllah mungu akupe kitabu kwa mkono wakuliya shk nafaidika sana na mawaidha mungu afuguwe nyoyo za waislam wawe niwenye kusikiya mafuzo nakuyafwata
Shekh amza Alla akupe maisha marefu apa duniani na kesho akera na Alla ukufugulie milago ya jana yote wewe na waumini wote na pia akujalia Keri na baraka na akuepushe na mabaya amin ya Alla nitakabalie hii Dua amin
Nakuomba Allah akube raha duniya na kesho aqira all family and muslim brother and sister am Sahara from Kenya mombasa inshallah
Namshukuru Mungu kunitoa kwenye ukristo na kuningiza katika dini ya khaki uislamu
Sheikh Hamza I love you because of Allah
Yallabi tupe mwisho mwema ni yakawe maisha yetu yenye kufurahika siku ya mwisho
Akulinde mungu Sheikh mawaidha yako yanafunza na yanaliza mungu akupe maisha mema na akuepushe na maradhi hapa Kenya elimu inafika
MashaAllah may Allah reward u shekh Hamza
Nasi pia mungu atujalie mwisho mwema
MashaAllah mwenyenzi Mungu avihifadhi vyombo vyetu vya habari na awape afya mashekhe wetu
Asalam_alaikum, kila la heri kwa waislam wote, kwenye safari ya kuondoka hapa Dunia, Mola atupe wepesi wa mauti inshallah
My
Amin
Masha Allah, mawaidha mazuri sana, naomba jina la msomaji wa Quraan mwanzoni mwa mawaidha haya
M.Munguakupe umri mrefu uzidi kutuelimisha busmillah mashaallah mawaidhayako yanagusa mwenendo mzima wa maishayetu vipi tunatskiwa tuwe alhamdulillah
Allah tujaalie mwisho mwema 🤲
Amin thuma Amin 😢😢
Amiiin
AMIN
Sina lakusema isipokua laila haila llah Muhammad rrasulu llah😢😢😢😢😢😢😢
Sallalahu aleihi wa salaam ❤❤
Awe mwenyeezi mungu tunakuomba utujaalie mwisho mwema
Subhanallah!!yaa rabby tufishe Hali yakuwa niwenye kutamka kalimatu'ttauhiidu laailaaha illa'llah Muhammad rasuulallah.
Amiiini Yarabillahmin
MashaAllah mungu akupe kitabu kwa mkono wakuliya shk nafaidika sana na mawaidha mungu afuguwe nyoyo za waislam wawe niwenye kusikiya mafuzo nakuyafwata
ALLAH akuzidishie elm sheikh tunaomba huuje kenya hutoe kutbah kama hii nzuri
Allaah akujalie kila la qeri na akukinge Shari dunia na kesho aqira inshallah
Allah akuhifadhi ndugu yetu Sheikh Hamza hakika mawaidha yako yanatujenga vilivyo
Hakika umesema kweli ewe mja wa Allah na kwa kweli nashuhudia amefkisha na umekumbusha .Allah S.W ) akulipe kheir
Allah akujalie shekh Hamza uzidi kutupa darasa
Ya Allah bikhusnil khatyma iwe kwetu sote in Shaa Allah
Allah hatufanyie wepesi wauchungu wa umauti hatufishe haliyakuwa hameturidhia na hatujalie mwisho mwema
Allahumma ameen
Allah subhanah wataala atujalie mwisho mwema
Subhaana Allah may Almighty give us good end asichukue roho zetu paka awe radhi na sisi
Allah tujalie mwisho mwema waja wako
Mungu akubariki sh.hamza
Yaa Rabb Tujaqalie mwisho mwema waja wako 😭 😭
Love ❤️ from MALAWI 🇲🇼
Unsjua kiswahili kaka jambo
Mungu nijalie mwisho mwema mimi na kizazi changu 🤲 🤲😭
Sheikh HAMZA . ILOVE YOU BECAUSE OF ALLAH SUBIHA WATTA. ALLAH
JazakAllah Kheyr Sheykh Hamza
Shekh amza Alla akupe maisha marefu apa duniani na kesho akera na Alla ukufugulie milago ya jana yote wewe na waumini wote na pia akujalia Keri na baraka na akuepushe na mabaya amin ya Alla nitakabalie hii Dua amin
Subhana Allha yallabi tupe mwisho mwema.
Allah atujalie mwesho mwema
may Allah reward Mahasin tv team for their good work they are doing Mashaa Allah
@@mohamedjambia6873 pppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp
@@mohamedjambia6873 ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp
@@mohamedjambia6873 00ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp9pppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp9ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp
@@mohamedjambia6873 pppppppppppppppppppppppppppppppppppp
@@mohamedjambia6873 0pppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp9pp
Tumuombe ALLAH atufanyiee wepesi na tuwe na mwisho mwema
subuanalaaah Allah atupe mwisho mwema in shaa Allah..jazzakaAllah... suhukuln shehk
Allah atujalie mwisho mwema ndg yetu sheikh hamza mwenyezi mungu akujalie iliuendele kutulingania ishaallah
subhana allah tunakuomba tupe mwisho mwema sisi viumbe vyako
Ya rabb atujalie mwisho mwema
Manshaalh alaah akuzidishie
Allahuma nas aluka husnul hatima indal maut wa rahma wa rahaat baadal maut, Allahuma Ameen
Allahuma Amiin Yaa Allah 😭
Allah akujalie peponi na Maisha mema duniani
Amin yarab
Yarab tusamehe makosa yetu😢😢
anaa bihibbak LiLLah Yaa sheykh
wa jazaakaLLahu AL-jannah wa jaMii'aL MusLiMiina waL MusLiMaat
ya fatah tujale mwisho mwem waislam wote😭😭😭
Allah atujalie mwisho mwema wajawako
Amiin yarab
Mungu tupe mwisho mwema yarabi
@@rk.dhufaan mambo
Amiin
Shukran sheikh wetu barraka allahu feek yaarabi atujalie tuwe ni wenye kutenda kher
Allah atujalie mwisho mwema Aamin
Mungu wangu utupe mwisho mwema waislamu wote tunae shikamana kwajili yako
Astaghafirullah may Allah(s.a) forgive us and bless us with his jannah without Hisaabu. InshaAllah
InshaAllah
Amen!
Amiin
Ameen
Lahaula wala kuwwata ilaa bilah Allah tujalie mwisho mwema umat muhammad
Allah atupe mwisho mwemaa yaarabh. Akuhifadhi wewe pammoja na siyee.
Yarabi tujaalie mwisho mwema sisi waja wako
Mashallah Allah atujalie mwisho mwema
Allah atujalie mwisho mwema
Mashallah Mashallah shekhe hamza allah akuzidishie afya njema ameen
M.a Allah atujalie mwah Mwema and wenye kuikubali maneneno ya Prophet Muhammad sws
Allah Atujaliye mwisho mwema
Allah atujaalie mwisho mwema yaarabbi ukisikia mawaydha ya husuyo mauti utalia mauti yanauma jamani
Swadakta sheikh wangu
Amiin allah allqh akulipe pepo kwa ukumbusho huu
Allah hatujalie wishomwema.ishallah
Ya allah tujalie mwisho uliyo kuw mwma y rabbi
Subhanallah mm huwa nawaza hadi nakosa amani😭
Manshallah may Allah reword u sheikh hamza
Allah tujalie mwisho mwema
Shukran cana kwa ujumbe mzur Allah akulipe shekhe
Sheegh hamz MM sina cha kukupa zaid y'a kusem allah akuzdshie ufaham zaid
Mashallah ustadh wetu Allah akujaalie pepo ya juu inshallah
subhanaallah yarabi tupe mwisho mwema yarabi shukran allah akubarik
Shukran sana sheykh hamza kwa mawaydha
Allah atuafikie mema na hathima njema ya Rabii
Maasha Allah
Ya Rabb tusamehe!!!am crying
Mungu atufanyie wepesi inshallah
Mashaallah sheikh Allah akutakie mwisho mema
Allah tujaalie mwisho mwema😭😭😭🤲🤲🤲🤲
Sheikh tunaomba ufike kenya INSHAALLAH
Allah atupe mwidho mwema
Allah tujaalie mwisho mwema
Mashaallah shukran kwa ujumbe mzuri Allah akuhifadhi sheikh
Allah bless you
Allah amwihifadh shekh Hamza
Ya Allah tujalie mwisho mema
Asalamualeykum, shukran Mahasin TV, Yaa rabbi tufishe hali ya kuwa waislamu kamili hukuviumba mbingu na ardhi bure basi tuepushe na adhabu moto
Allah atujaalie mwisho mwema inshaallah 🤲🤲
Amiin
yarbi tujalie mwisho mwema
Allah Akbar,yaallah tupe mwisho ulokuwa mwema
Ya raab tunusulu na adhabu ya kabri
Shukran
Mungu atufanyie wepes tuwemiongon ktk pepo
Allah atujalie kila lenye kheri
Mashaallah Mungu akizidishie
ALLAH atujalie mwisho mwema
Subhanalallah
Tuwe pamoja na mtume wetu inshallah yaumul hisab
Allah is every thing
Mashaa ALLAH tabarakallah
Shukran jazzilan 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
MashaAllah sheikh Hamza
Allah akupe pepo in sha Allah
Yarrabi tujaliye mwisho mwema waisilamu wote lnshallah