Комментарии •

  • @samiradotto
    @samiradotto Месяц назад +7

    Yaa allah mpe maisha marefu sheikh huyu na mpe wepsi apate elimu zaidi aminii na wajalie wazazi wangu afya njema wote wawili

  • @user-un7wr3ob2z
    @user-un7wr3ob2z 9 месяцев назад +16

    Ewe mwenyezimungu mjalie mam yangu mwishomwema na umjalie afya njema. AMINA

  • @bakaribori3263
    @bakaribori3263 Месяц назад +4

    Ewe mwenyez mungu waondolee adhabu za kabur wawazi wangu na uwangize pepon kwa rehema zako

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 10 месяцев назад +63

    Ewe Allah mjalie mama yng afya njema na umpe maisha mema hapa na kesho akhera na umraham baba angu na Islam jamii

  • @user-xk6gm6xn4c
    @user-xk6gm6xn4c 8 месяцев назад +7

    Alhamdulillah msneno unayo ongea yakweli yamenigusa yakitokea kwa baba yetu tulikuwa wengi ira nani atajitolea kutowa pesa kumuguza mimi nikajitolea sitaji mchango mpaka kifo chake akuna alie shudia nimimi tu ata alielala nae ospital akumuona nilipofika mimi tu yeye akatoka nje mimi nikampakata bale pale akafa kwenye miguu yangu km alikuwa ananisubili namshukuru mungu

  • @Zawadi-gp5vy
    @Zawadi-gp5vy 14 дней назад +2

    Allah Wareham wazazi wangu kama walivyo nilea mimi kwa iman na mimi nizidishie imani kwa wazazi wangu na wazazi wa wenzangu na waislam wote kwa jumla

  • @IslamabuuIslamabuu
    @IslamabuuIslamabuu 14 дней назад +2

    Yaa RABBI wajaalie wazazi wangu maisha marefu inshaAllah ili niweze kuwafanyia kila wanachohitaji

  • @user-rz5no7us8e
    @user-rz5no7us8e 9 месяцев назад +19

    Ya Allah warehemu wazazi wangu uwaepushie adhabu za kaburi uyafanye makaburi Yao yawe raudha minraudhati jannahtul firdaus na waislamu wote Kwa jumla Amiin Ya Rabbal Alamiin

  • @aminajuma
    @aminajuma 10 месяцев назад +7

    Allah Akbar 😢
    Shukran saana kwa Élim yaa sheikh. Allah akujaze Iman 🤲🏼🤲🏼🤲🏼
    Amiiin Amiin

  • @user-mq9rk9fm4d
    @user-mq9rk9fm4d 10 месяцев назад +9

    Ya rabbi wasamehe wazazi wangu na uwarehemu kama walivyonilea na nakuomba umsamehe baba yangu aliyetangulia mbele ya Haki na mjaalie mama yangu kauli thabiti atakaporudi kwako

  • @omarbanza-dr8wf
    @omarbanza-dr8wf 4 месяца назад +9

    Mawaidha mazuri sana shukran ustadh Allah akulinde na sharri balaa na husda,na akupe husnul khatima mwisho wa maisha yako na akupe daraja kubwa katika jannatul Firdausi Ameen Ameen

  • @SaumMashasha
    @SaumMashasha Месяц назад +1

    Mawaidha mazuri Allah awajalie wazazi wangu Rehema leo na kesho akhera

  • @BakarMbokoi
    @BakarMbokoi 14 дней назад +2

    Yarab. Wasamehe wazazi wangu wote na uwaepushe a dhabu ya Kaburi

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 10 месяцев назад +9

    SUBHANA ALLAH! ALLAH Atustiri Ya Rabb. Baaraka Allahu Fiik Wa Jazakah Allahu Kheir. Allahumma Amiin 🤲

  • @user-be7id1fw5e
    @user-be7id1fw5e 10 месяцев назад +3

    Mashallah Jazakallahu kheyraan mawaitha mazuri Mola awarehemu wazazi wangu na jamii ya islam

  • @aal8041
    @aal8041 2 месяца назад +2

    Ya allaah .namuombea mama yangu umpumzishe pema peponi na msameee makosa yake na kumfungukiya pepo firdaus iwe makazi yake na nawaombea wazazi wote waliyotangukiya mbele ya khaki allah wapumsihe pema peponi 😢😢🤲🤲🤲

  • @user-jk9ob5nu1k
    @user-jk9ob5nu1k 10 месяцев назад +5

    Maa shaa Allah sheikh nakuitikia Ameen Allahhumma Ameen yaraab kwa dua zote ulizoombewa

  • @user-ti9jw1to5t
    @user-ti9jw1to5t 6 месяцев назад +1

    Ahsante Kwa somo zur naomba Allah awajaalie wazaz wangu waliopo mbele ya haki awajaalie pepo

  • @butoyiamidu5686
    @butoyiamidu5686 10 месяцев назад +7

    MashaAllah Tabarakallah mwenyezi Mungu Akuhifadhi Sheikh wetu 💓💖❤️💓💞💯

  • @HusseinMussa-on8mo
    @HusseinMussa-on8mo Месяц назад +1

    Ya allah tusamehe sisi na wazazi wetu na utujaze mapenzi❤

  • @hassanboru
    @hassanboru 9 месяцев назад +5

    Allahmdulilah mimi nimeodokewa na wazazi wote wawili Allahmdulilah kwa wale wazazi wao wako hai wafanyea wema wakiodoka utakua na uzito kubwa walai ya Rabbi nakuomba wajalie wazazi wetu jannatul fardoz na pia sisi tupe mwisho mwema hapa Duniani na kesho Akheira 🤲 ukweli hakuna mtu hanakupenda kama wazazi wako❤️❤️❤️ Allahmdulilah Allahmdulilah Allahmdulilah 👏

    • @alexmahundi1978
      @alexmahundi1978 3 месяца назад

      Allah awajaalie kauli thabit lakin bado tunalazimika kuwafanyia wema hatakama wametangulia Allah atujaalie tuwakumbuke wazazi wetu

    • @fatumajane7124
      @fatumajane7124 2 месяца назад

      Amin

  • @zaidinakimolo4538
    @zaidinakimolo4538 11 месяцев назад +9

    Mungu akuzidishie elim shekh wangu hakika mawaidha yako ni Zaid ya lulu

  • @omarylukhoso
    @omarylukhoso Месяц назад +1

    Ewe Allah mjalia mama maisha marefu hapa dunian na kesho akhera.

  • @skajskakka8918
    @skajskakka8918 Месяц назад +2

    Subhanllah Allah awalaze wazazi 😢 wangu mahala pema peponi uwakabidhi vitab vyao kwa mkono wakulia

  • @AubinNijimbere
    @AubinNijimbere Месяц назад +1

    Ewe Allah uwape wazazi wangu maisha marefu na uwakinge na maradhi uwape mwosho mwema nitazidi kuwafuraisha wazazi wote 2 nawapenda sana

  • @Abdulmuheimin-vv3fg
    @Abdulmuheimin-vv3fg 3 месяца назад +4

    Allah wajalie wazazi wangu wa wili pepe

  • @rahmahty7026
    @rahmahty7026 10 месяцев назад +2

    Allah akuhifadhi, akuongoze na akuridhie Muhammad. Atupe nasi watoto wema. Amiin kwa dua yako

  • @user-qx4lr2co3i
    @user-qx4lr2co3i 4 месяца назад +2

    Mungu akujaaliye mema she wangu nawaisilam masomo haya tuyafanyie kazi inshaal

  • @shalemu
    @shalemu 3 месяца назад +1

    Alihamndulilah rabila allamin sheikh Mohammed bahero ulipo kuja singida nilifurah sanaaaaa nilipo jaliwa kuusikiliza maneno yako yatakuwa ni yenye kuendelea kila siku huwa narudia kila wakat mawaiza

  • @SheikhAbdull-ys2fd
    @SheikhAbdull-ys2fd 4 дня назад

    Allah amjlie baba yngu noor ktka kaburi lake na ampe maisha marf na amraham mumngu mzaz alieslia hai

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 10 месяцев назад +14

    Wema kwa wazazi wawili ni ibada kubwa zaidi

    • @KhadijaRajabu-hr6ts
      @KhadijaRajabu-hr6ts 10 месяцев назад

      Kweli shekh. Tuombe radhi sana kwa wazazi wetu na tuwapende zaid.

    • @mbarakahatibu4267
      @mbarakahatibu4267 9 месяцев назад

      ​@@KhadijaRajabu-hr6tskiikjkkkkkjklklllllll0ⁿ⁰ò⁰⁰0

  • @user-oy1pq4zb5r
    @user-oy1pq4zb5r 10 месяцев назад +2

    Allahuma wajaalie wazazi wangu afya njema na kheri nyingi hapa dunia na kesho kesho akhera Inshaallah

  • @yussufmwinyi4604
    @yussufmwinyi4604 25 дней назад

    Yaa Raab, wenye wazazi hawajui thamani,mie nnalia kwa kuwakosa. Yaani pepo mie siipati kwa bonus ya bir ul walidein😭 pepo chini ya nyayo ya mama nmeikosa. Yaarabi wahifadhi makazi mema palipo na wema, unikutanishe nao katika pepo yako Ya Allah

  • @bahatiomar5297
    @bahatiomar5297 2 месяца назад

    Mashaallah tarakaallah ya Allah wajaliwe na uwarehemu wazazi wetu Inshallah 🙏🙏

  • @zulekhamalambu6212
    @zulekhamalambu6212 Месяц назад

    Yaa Allah wape utulivu wazaza wangu kwenye makaburi yao na ujaalie majirani zao wawe ni malaika wema na waja wema walotangulia.
    Alla akuhifadhi uzidi kutufungua na kututoa katika giza lilotuzunguka

  • @bashirbaristo7294
    @bashirbaristo7294 11 месяцев назад +4

    MashaAllah Ajaab walahi may Allah swt reward you abundantly Sheikh MBS

    • @saudamohamed7208
      @saudamohamed7208 11 месяцев назад

      MashaAllah barakaAllah fik.

    • @fathiahaji189
      @fathiahaji189 10 месяцев назад +1

      Allah akulipe kheir na akufanyie wepesi katika maisha yako amiin umesema maneno makubwa sana

  • @FahmiAl-mauly
    @FahmiAl-mauly 2 месяца назад

    MashaAllh allh akuzidishie ilmu na uwape watu wengine amin

  • @NassoroMakamla
    @NassoroMakamla 2 месяца назад

    Jazaq llahu khayraa Allah akulipe sheikh Muhammad kwa ukumbusho mnzuri Allah akujaalie mwisho mwema kwa uu ukumbusho🎉

  • @asmahasanirashid5059
    @asmahasanirashid5059 10 месяцев назад +6

    Maashallh mafundisho mazuri sana mwenyezi mungu akuripe ustadhi wetu

  • @abdallahhamesa9746
    @abdallahhamesa9746 10 месяцев назад +2

    Mashallah khutba nzuri yenye mafunzo mema

  • @MahirJuma-es7lg
    @MahirJuma-es7lg Месяц назад

    Ewe Allah 😢 wajaalie wazazi wetu waliopo hapa duniani na waliokwisha tangulia mbele ya haki 🤲🤲amiin.. nawapend san wazazi wang🥰,, Allah wape furah wazazi wang popote walipo inshaallah

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Месяц назад

    Allah akuifadhi ustadh fill dunia walakhera akujaze kwa kila hal na sisi atuogozee wanawetu wawekaa wewe yarrabh❤❤❤

  • @ahmedseif1754
    @ahmedseif1754 10 месяцев назад +1

    Mashaa Allah, Maneno mazito na nasaha ya busara nyingi.Mwenyezi Mungu awatiye fikira hawa watoto wa leo na watukuze wazazi wao

  • @farjallahubeydabdulrahman4845
    @farjallahubeydabdulrahman4845 10 месяцев назад +2

    shukran sheikh jazakallaahu kheyr Allah Akuzidishie umri mrefu yenye baraka

  • @SheikhAbdull-ys2fd
    @SheikhAbdull-ys2fd 9 месяцев назад

    Allah amjlie na kmurhm mum yngu Khadija ampe maixha marfu hpa dunian na imjlie janatul fatdoos atkpopndwa zaid n Allah..

  • @hawaismail5060
    @hawaismail5060 10 месяцев назад +1

    hakika ilah barky shekhe allah akuhifadhi na atujalie sote kwa vizazi vyetu viwe vinyoofu biidhinlah karim aminy aminy

  • @mwajumayusuph8094
    @mwajumayusuph8094 2 месяца назад

    Ewe mola wang wa khaki mjaalie mama angu kila lenye kher na umuondoshe na kila la shari na utujalie mwisho mwema wa maisha yetu ya dunian inshallah

  • @user-ku1ok9cr7j
    @user-ku1ok9cr7j 9 месяцев назад

    Maasha Allah. Allah akulipe malipo stahiki kwa kuumbusha umma. Nacc atuzidishie Imani na uwezo wa kumtiiaaaaaa yy na wazazi wetu

  • @AbdurahmanMiddy
    @AbdurahmanMiddy Месяц назад

    Ya Allah na mm nijaalie Imani kumbe ya kumtii mzazi wangu

  • @hawagodana6140
    @hawagodana6140 8 дней назад

    Ewe Allah bless my mom and my dad and my aunt and help my aunt to recover in his sickness amin

  • @ahmedhamisi-jc2hs
    @ahmedhamisi-jc2hs 2 месяца назад

    Kwa kweli kabisa shekh wangu umesema kweli kabisa kwani ndio mambo yalivo kwani wengi wetu uwa twakosea Sana wazi wetu

  • @swafiyasaggaf5168
    @swafiyasaggaf5168 2 месяца назад

    Allah awa sameh wazazicwetu walio tanguliya mbele ya haqi. Amin

  • @FadhilaHaji
    @FadhilaHaji Месяц назад

    E mola wangu mlinde mama yangu pamoja na baba YAngu uwape rehema na amani ❤

  • @ZeinabuKassa-xp2mm
    @ZeinabuKassa-xp2mm 10 месяцев назад +1

    Allahu Akbar walillahil hamd, shukran jazillan brother. May Almighty Allah make it easy for us.

  • @MaryamAlly-fd2zr
    @MaryamAlly-fd2zr Месяц назад

    Ya allah wajaalie wazaz wang afy njem na umr weny kher na ss watt tuw ni sababu yakwend pepon

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 10 месяцев назад +1

    SUBHANALLAH ALHAMDULILLAH ALLAHU AKBAR...ALLAH akuhifadh sheikh.

  • @NairatKhalfan
    @NairatKhalfan 2 месяца назад

    Masha Allah. Shukran ustadh kwa mawaidha . Allah akulipe ujira usio n mwisho . N atujaalie tupate radhi kw wazazi wetu . Amiin

  • @Mohammedjuma-pg8qz
    @Mohammedjuma-pg8qz 2 месяца назад

    Yaa Allah warehemu wazazi wangu wote wawili na uwajalie afya bora InshaAllah 🤲🏼

  • @fahadhilal1611
    @fahadhilal1611 2 месяца назад

    MashaAllah MashaAllah my brother Mungu akupe afya na elimu Zaidi

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i 2 месяца назад

    Ya Rabb uwasamehe wazazi wetu,,,uwarehemu na uwaghufirie makosa yao

  • @MizeSheba
    @MizeSheba Месяц назад

    Allah akupe umri,na baraka uzidi kutupa mawaidha.Allah atupe hurma Kwa wazazi wetu .

  • @dokaramathan6369
    @dokaramathan6369 3 месяца назад

    Asante sana kwa masomeso nzuri sana. .mullah wetu akulipe inn Sha Allah

  • @user-gc5wj5tm3p
    @user-gc5wj5tm3p 10 месяцев назад +1

    Mashallahu ALLAH Akuzidishie ILMU ZAID

  • @fatumajane7124
    @fatumajane7124 2 месяца назад

    Asant mwalimu kwa mawaida yako mungu miepushe mama na adabu zakaburi kisha afuguliwe mulango wa peooni amiini

  • @sinawsinaw6201
    @sinawsinaw6201 10 месяцев назад +1

    Maashaallaah allaah atuzidishie mapenzi kwa wazazi in shaallaah na kware waliotangulia mbele ya khaki bas allaah awarehemu nas tuwazidishie duwa in shaallaah

  • @OmarMwenyemali
    @OmarMwenyemali Месяц назад

    Mwenyezi Mungu anisamehe kwamakosayote nimeshawakosea wazaziwangu

  • @avpbigsam3433
    @avpbigsam3433 2 месяца назад

    Ya allah mpe maman yangu maisha mema na mazuri. Aishi vizuri na umpe mwisho mwema ...

  • @fatmaali9305
    @fatmaali9305 2 месяца назад

    Ewe Allah nipe maskizano na wazee wangu tuondolee misukosuko ya familia tupe amani nyumbani yaa Allah🤲 😢

  • @fatmahassan4829
    @fatmahassan4829 2 месяца назад

    Ya rabi mola wape pepo wazazi wangu uwaondoshee adhabu za kaburi uwaghufirie madhambi yao uwasamehe wazee wangu

  • @rahmahsaidomar9111
    @rahmahsaidomar9111 9 месяцев назад +1

    JazakaAllahu khyran wa barakaAllahu feek. Allah anijaalie wanangu wawe kama ulivo na zaidi kwa dini. Ameen.

  • @mohamedabshir3226
    @mohamedabshir3226 7 месяцев назад +1

    Allah akuhifadhi na akujalie pepo inshallah 😢😢😢❤❤❤

  • @yusufasman9718
    @yusufasman9718 3 месяца назад +2

    Allah mpe mamangu afya na umri na mwisho mwema

  • @FahmiAl-mauly
    @FahmiAl-mauly 2 месяца назад

    Shekh Allah akulipe kila lakheri akupe umri na hekma zaidi

  • @halimaali1042
    @halimaali1042 10 месяцев назад +1

    ASLAM Alekm: shukran Sheik kwamawaitha mzuri ALLAH akujalie kilalakheri

  • @shabanindadaye480
    @shabanindadaye480 Месяц назад

    Lailahailallah 😭 subukhanallah yaraby niperoho yakuwapend wazaziwangu nakuwadjal😭😭🙏inawumasan

  • @FahmiAl-mauly
    @FahmiAl-mauly 2 месяца назад

    Shekh Allah akikupa umri mrefu basi kila baadae yamda mawaidha haya yarejee Allah akulipe kheri zaidi

  • @user-yc3xt5ob3v
    @user-yc3xt5ob3v 9 месяцев назад +3

    بارك الله فيك ياشيخ كبير جزاك الله خيرا

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 10 месяцев назад +1

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER INSHALLAH ALLAH ATUJAALIE TUWE NIWENYE KUWAPENDA WAZAZI WETU INSHALLAH NA MWISHO MWEMA INSHALLAH❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AliihajiAlii
    @AliihajiAlii 2 месяца назад

    yah allah nijalie niwatii wazazi wngu,na wape wazazi wangu maisha mema ya Dunia na akhira

  • @user-nm3tq2cv2r
    @user-nm3tq2cv2r 11 месяцев назад +11

    May Allah bless you and give you more knowledge ❤

  • @mwanashamohamed4881
    @mwanashamohamed4881 6 месяцев назад

    Ya Allah,,mrehemu mmangu na umsamehe makosa yke yarab,,na umpe shufaa y haraka bbangu kwa ugonjwa alionao yarab

  • @elsimaniga
    @elsimaniga 5 месяцев назад

    Ewe Allah Umujali mama maisha mema apa duniani na kesho ahera
    Na umu rumiye kama vile ulikuwa ukini rumiya utotoni ya rabbi

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 9 месяцев назад

    Allah amulekhem baba yangu😢😢 kabaki mama yangu. Alhamdulillah. Nikiwa nacho hua nampa hata kama hajaniomba najiongeza namtumia nimemtibia baba yangu mpaka katuondokea mikononi mwetu innalilah wainallh rajiun

  • @SafiaAbdulrazack
    @SafiaAbdulrazack Месяц назад

    Shukran sheikh Allah awape umri mrefu

  • @YohanahzabronkanunuMlyakado
    @YohanahzabronkanunuMlyakado 2 месяца назад

    Asant sheikh namuomba mwezimungu anijaalie manen mazuri kwawazazi wang nawasio wazaz wang

  • @SophiaKombo
    @SophiaKombo 2 месяца назад

    Allah utupe mwisho mwema kwa wazazi wetu

  • @user-es1ks9fp1v
    @user-es1ks9fp1v 10 месяцев назад +1

    Mungu akuzidishiye elmu na Mimi anifahamishe amin

  • @user-qg9ip2dg4m
    @user-qg9ip2dg4m Месяц назад

    Mashaallah shekh bahero Allah akulipe

  • @halimaguje2649
    @halimaguje2649 Месяц назад

    Allah awajalie wazazi wangu Jannaht Firdos, amin amin

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i 2 месяца назад

    As-salam alaykum,, shukuran kwa ukumbusho,,,enyi mnaodharau wazazi mutubu kabla ya umaut

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Месяц назад

    innalilah wainnaillah rajun wallah yasikitisha sana. Allah atuongoze watoto wetu mitiani.mikubwaa wallah masikitisho wallah

  • @ChingeMustapha-wz4lf
    @ChingeMustapha-wz4lf 2 месяца назад

    Alhamdulillah maneno mazuri sana ila sheikh. Kunamazingila yanakuwa magum sana ila naomba niulize swali

  • @user-oe6jn3oy4f
    @user-oe6jn3oy4f 4 месяца назад

    Mashaallh ALLAHA akuzidishie🕋👍🤲

  • @Amirshamte
    @Amirshamte 3 месяца назад

    Ewe Allah wajalie wazaz wng maixh mema hapa dunian na akhera wajalie mwxh mwem amiin

  • @jarajara7859
    @jarajara7859 2 месяца назад

    Mashaallah tabaraka Allah shekh Allah barq akupe qauli thabt

  • @user-sb5ef1nv1f
    @user-sb5ef1nv1f 6 месяцев назад

    Allah wajalie wazazi wangu afya njema na nguvu ili niendelee kuwaangalia mungu atulinde inshallah.

  • @neemairadukunda2113
    @neemairadukunda2113 10 месяцев назад +1

    Ya Allah 😢😢😢atakama mayatima tuna shida ila wallah nawenye wanao wazazi leo kunabadhi yawo wanashida kutuzidi mayatima😢

  • @-tokyo3112
    @-tokyo3112 10 месяцев назад +8

    بارك الله فيك شيخنا الفضيل وجزاك خير جزاء

    • @eichermiss4196
      @eichermiss4196 9 месяцев назад

      Aaa😂😂 honorable shikh is shikh muhammad baroooo

  • @user-to1tu3rd7t
    @user-to1tu3rd7t 5 месяцев назад

    Allah atujaliee tuwe wenye kuwapenda wazazi wetu

  • @DibadikaSheikh
    @DibadikaSheikh Месяц назад

    Shukran ustadh mawaidha mzuriii...... jazakhalahu kheir