Asalam Aleikum shekhe.. Naomba kuuliza hivi Kuna muda maalumu wa kuoga mchana wa Ramadan... Kuoga kawaida kwasababu Kuna wengine wanasema ukioga mchana swaum yako umeitengua
Personal hygiene is paramount and very cardinal (Read 74-5 Quran ) cloths no blood stains/dirty cloths (74-4) Ladies ! never stand infront of Allah unclean or with periods! NEVER! FOREVER!
ALLAH akujazi kheir tumefaidika sana mwenzi mzima wa Ramadan
Asalam Aleikum shekhe.. Naomba kuuliza hivi Kuna muda maalumu wa kuoga mchana wa Ramadan... Kuoga kawaida kwasababu Kuna wengine wanasema ukioga mchana swaum yako umeitengua
Personal hygiene is paramount and very cardinal
(Read 74-5 Quran )
cloths no blood stains/dirty cloths (74-4)
Ladies ! never stand infront of Allah unclean or with periods! NEVER! FOREVER!
Maa SHAA Allah Wenda malizia amu ama Wenda funga amu 😆
Masha Allah
Assalam alaykum Warahma tullah wabarakatu..
Je ikiwa kuna surra katika Qur- an siwezi kuisoma kiarabu je ninaruhusiwa kusoma tafsiri yake au ile kiarabukiswahili?
Je ikiwa kuna surra katika Qur- an siwezi kuisoma kiarabu je ninaruhusiwa kusoma tafsiri yake au ile kiarabukiswahili?