ULIZA UJIBIWE 023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 12

  • @ShamimAhmed-hn5kk
    @ShamimAhmed-hn5kk 2 года назад +3

    shukran sana sheikh izzudin kwa kutuelimisha Allah akujaaliye killa la kheri amiin

  • @halimaramadhan2975
    @halimaramadhan2975 2 года назад +1

    Baraka llahu fiyk ustadh

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 2 года назад

    bc tuanze kuwapa nafasi wafanye ibada zao juma pili hapo shibu tuanze baci

  • @abuusumetwimashallah8447
    @abuusumetwimashallah8447 2 года назад +1

    Mashallah

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 2 года назад +1

    mashaa llah shukrn sheikh

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 2 года назад

    sheikh lkini tatizo sio kuingia msikitini kila siku waingia jamia bt tatizo niviomgozi wa siasa watafanya kama makanisa watawatoa thamani eeeh masheikh kma wanavyotolewa thamani mabishop Hilo mjue

  • @samirahassani8606
    @samirahassani8606 Год назад

    Mashallah.

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 2 года назад

    nkma hufaa Kwa nn imamu WA jamia asikkitishe na nimsomi yy mbona aone makosa kama ajua sio kosa Kwa nn asikitike ?

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 2 года назад

    jee simu yke ikilia akitoa akakupita KW ambee huku na huku ?

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 2 года назад

    shida nikua masheikh wakiulizwa hwakujibu nao wako bzy tuu mitandaoni wauliza swli tena Kwa no wazitoa bt utatuma audio maa msg mara kdhaa hawulizi kamwe nanhuangalia watu Fulani watawjibu Kwa kua wajua hawa ni msponsor bt bt Sisi masikini wazunguka na swali Hadi waona wacha ikae tuu

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 2 года назад

    sasa swali huja Kwa nn wao wawe safu ya mbele na muislam mwenyewe awe safu ya nyuma na twambiwa kuan daraja katika saffu na mfano ukikosea alioko nyuma hakusikii jee hao watakurekebisha na hawjaui kitu wao siwkaae nyuma bt Sawa masheikh ni nyinyi tutawafuata masuulia ni yenu siku hio ya ALLAH coz masheikh wamekosa kusema ya Sawa Kwa sababu ya kutaka kufaidi wao kibinafsi haswa Kenya

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 2 года назад

    bc tuanze kuwapa nafasi wafanye ibada zao juma pili hapo shibu tuanze baci