ALIKIBA KWENYE BABY SHOWER YA MARIOO NA PAULAH
HTML-код
- Опубликовано: 16 апр 2024
- President wa CROWN MEDIA na Mwanamuziki wa Bongo Fleva Alikiba alivyowasili kwenye usiku wa Baby Shower ya Marioo na Paulah Kajala wanaotarajiwa kupata Mtoto wa Kike.
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz - Развлечения
Kumbe ukiwa na Radio 📻..mtu unaeshimika kiasi hiki..Ahsante kiba 😂
Nampenda King kiba....hana ubaguzi❤❤❤
Ufalime wa crown media 👑 hapa ni nyumbani
Nampenda alli hana maringo naahaachi kusalimia watu ❤
Hii Ndo maana halisi ya kuwa mfalme wasanii wote walio kuwepo wakaammka kwenda kumsalimia HANA BAYA hongera Sana hiyo ndo picha halisi tunayo taka kuiona nchini Tanzania #beblessed
King himself 🤴 everybody was happy to the king and more respect 🤴🔥🔥🙌
Raha ya alikiba ndo hii na baya na mtu kwak kicheko tu sio wengine wakishajiona wako juu bas wasanii wadogo wanahadhi ya kumbato safi sana King 👑 mbinguni kuna kiti chako
Chakwako kipo na wazaz wako maana unamsujudu m2 hata hana gaida kwako
Kbx
Sema wew ❤ maan c wngin htuaminik
Jamani mbona kila mtu anatamani ashikane na Alikiba ❤
❤❤ king ana upendo sana MashaAllah Allah amlinde🙏
King kiba, napenda sana ulivyo mambo ya kusuka, kuweka vipini hakuna safi sana hiyo big up to you Ali kiba 👊👌👍🇹🇿🇹🇿
Ali Kiba,you are smart....very quiet... intelligent.God bless you.from Lusaka.
Wabongo Kwa Kuiga wanapeana Mikono Kizungu.
Kingkiba❤❤❤
Ali is so down to earth
Mstarabu sana wewe Ali kiba, NI MTU WA MAMA SANA WEWE, ALI KIBA 💐💐👌👌
😂😂😂king kiba ila babaake na levo bhana
Haringi anajua Kuna kesho
Mashallah alikiba Kila mtu anataka ampe hi hii n good heshim umepewa nmependa
King kiba ni mtu poa hana makubwa🤝
Sikuzote.
❤big love Alikiba
Uyu kaka mungu amuweke kbx ❤❤
Hongera sana kiba🎉
Alikiba anavaa kama mwanaume siyo wengine siyo wengine wametobowa masikiyo na puwa mpaka uwezi kujuwa wanawake au wanaume
Angekua mwingine asingepita kusalimia wote ivyo ❤❤❤❤
Kiba hongera sana
King 👑 n mmoja tu❤
Nimefurahi Kama nmeona kuku wasikukuu
Nimependa king alivopass by kutoa hi kwa wasanii
Boss kama bos❤❤
Alicia wew kak pic sana umewapa Hai Watu mpk rahaaa❤
Crown media 🎉
Hana baya msanii wangu ❤
Nani kamuona dulvani kamkumbatia king
Wasanii wengi wanaunafiki mwingi😢
My king kiba 💯
Very humble guy🎉
Ndagukunda Alikiba❤
Woow very respective man. Yan anashow love kwa kila mtu. Hugs from me Broh. u nailed❤
Safi sana hajikwezi,ana Imani kubwa ya MUNGU,mengine yamekaa kishetani
Upendo raha sana
Baba levo kwa ali kiba t😮😊
Namependa kweli nimtu wawatu
Sasa mbona Ali ajaongea jamani
Crown hapa n nyumban
King kiba 👑👑👑
King Kiba 👌
Crown vamos 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Huna baya king✌️
Kingkiba
Mchicha mwiba dullvan anaona aibu mwnyw alisema hamjuh kiba
king kiba ❤❤❤❤ huna baya kaka nakupenda bure
Baba levo nmafki sana anajua kug'ata na kupuliza 😅😅😅😅😅😅
Nilikua natafuta coment kama hiii nikajua nimeona peke angu😂😂😂😂
Yaan mi nimependa kwakwel hata huyo dulvan kasema hamjui alikiba lakn kamsalimia ali nimtu pisi kwakwel
Respectfully to presider
Kiba❤🎉
Hapa ni nyumbani tuu
Raha ya alikiba no tattoo no kusuka appreciating you bro❤
Ali MTU WA watu❤️❤️
Nimependa
Baba Levo kingkiba
Hii ndoheshma unapokuta watu salimia wot bila kujal we ninan wao ninan
Hakika
@@talibthetruth8709 😘
Kwa aliyezingatia apo atagundua kuna ka attention flan hv ka tofaut wasanii wamekuwa nako wakat wanampa salam kiba🤣🤣🤣
Yeah I see too
Ali kiba ni king❤🎉
Kweli King👑 paka wasani wana shimama.. na ule wa👃
Kwel alikiba ni king 🤴 alipoingia tu kila mtu anatak kumusalimia
Spelling ya baby is wrong , correct it
Jaman Duluvani alisema hamfamu alikiba, mbona kamkumbatia?
Nice
🎉
King❤❤❤❤❤
Thats ma king
Babay
❤❤
Huyu ni rais sio.mkurugenzi hao muwambie tena ili wapate akili
😂😂😂😂nimecheka aki ongeza sauti hawajasikia
Uhakika
Ohoo
Kiba ni kipenzi ca watu wote
❤❤❤❤❤❤
🤴 🎉🎉🎉❤❤❤
Huyu jamaa anapendwa sana
❤❤❤
💞💞💞
❤❤❤❤
✍️✍️
jaman uyu ni raisi sio mkurugenzi tafadhali
Yeeebabah 😇 😇 😇 😇 😇
❤❤❤❤❤❤❤
wanyamwezi wamepoa
Broo huna baya all the best
Tupo visuri
Kipenzi cha watu
Nimependa Chino wameerewana na malioo
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Alikiba mtyu na heshima zake mjini
Bado sana
hana bayaking kiba salut kwake
Uyu baba levoo mmmh
Mtu poa san
King kiba ❤❤❤❤❤❤
Hitifaki izingatiwe
Kiba
Kesho 2tapata habari nyengine kuhusu Ali k. Kukumbatiana na baba levo. Mana njua wabongo wamepata content tyr.
Jamani mashabiki wenu mnatunyima raha njoeni hewani basi na wapenda sn
King 👑
Kiba ❤❤❤