Hongera paula mungu awabariki sana tulia na baba mtoto wako sasa hivi ujue watu wamekaa masikio wazi wasikie hbr zako wapete la kusema mitandaoni jiangalie sana love you paula ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu awafikishe mbali sana awasimamie kwa Kila jambo awaepushe na husda za walimwengu mmeamua kupendana pendaneni sana piah msiache kumtanguliza mwenyezi mungu kwa Kila jambo kwa maana hata mpaka hatua mliyofikia ni kwa neema ya mungu ndio maana amewabariki mnatarajia kupata zawadi ya mtoto msiishie hapo mkawe wazazi wazuri kwenye uzao wenu na mwenyezi mungu awabariki kwa Kila jambo.
Mario anamwambia mwandishi asogeza mkono usiguse tumbo la mama kijacho🌺💕 nimeipenda hio🙏🙏
Hongera paula mungu awabariki sana tulia na baba mtoto wako sasa hivi ujue watu wamekaa masikio wazi wasikie hbr zako wapete la kusema mitandaoni jiangalie sana love you paula ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Onguera sana paulah &marioo mungu azidi kuwa linda nakuwabariki.tunawapenda sana.yani tumekesha nanyiye ♥️♥️♥️🙏🙏🙏
Mariooo mkalii Yuko makinii kumlindaaa bebeee wake jmn msiishie hapooo mdumu DAIMA mana NDOOO Kwanzaa kumekucha km mmeamua kuzaa n kuj kuishi pamoj mvumiliane achen mamb y mitandaaoooo sanaaa..na mshirikishen MUNGU ktk kil jmbo
Nawapenda ❤❤❤❤Paula n mariyoo
Me nawapenda sana Hawa watu🥰🥰
Mungu awafikishe mbali sana awasimamie kwa Kila jambo awaepushe na husda za walimwengu mmeamua kupendana pendaneni sana piah msiache kumtanguliza mwenyezi mungu kwa Kila jambo kwa maana hata mpaka hatua mliyofikia ni kwa neema ya mungu ndio maana amewabariki mnatarajia kupata zawadi ya mtoto msiishie hapo mkawe wazazi wazuri kwenye uzao wenu na mwenyezi mungu awabariki kwa Kila jambo.
Wow🎉🎉🎉 raha jamani
Manshallaah
Toa mkono we dada🤣🤣🤣 nice👍🏽👍🏽👍🏽
Paula so apige konzi huyo mwandish atoe mbichwa wake
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣👍🏽
Why ask silly questions 🙏🙏🙏🙏
😂😂😂😂 hebu sogeza mkono kwanza
Waandishi wa habari mnakera sasa maswali ya nini kwa Paula na mnaona kabisa kachoka au hamjui mimba ziko vipi ???
❤❤❤❤
😂😂sogeza mkon kwanza
sogeza mkono😂😂😂
😢♥️♥️♥️♥️♥️
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤🎉🎉🎉
Sasa izo mic zote juu ya tumbo, huyo mtoto angalieni asije akwa mtangazaji huyo mtoto kueni makini mikono mengine sio 😂
Kwaiyo utangazaji ni kazi ya laana sio
Wanakera hawa waandish balaa
❤❤❤❤
🔥🔥🔥🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
😂😂😂😂😂
❤❤❤
❤❤❤❤❤❤