Hawa wote wanaotajwa na Simba kusajiriwa mwisho wayote tunaishia kwa kina Sawadogo tuwe wakweli hii ni timu kubwa .Tunawasubili wakinampanzu ,Camara ,Fabrice, nk
Hv huo usajir wa ligi yetu unasajiriw Simba tu, make kila kukicha Simba wanamtak huyu Simba wanamchukua huyu! Kwhyo wengne hawafanyi usajir!? Na kulikon mnaisakama sana Simba!? Coz hzo habar nyingi na zote tu tuseme ni za uwongo......
Huyu mwamba anaonekana anaweza hongera simba
Fanyeni kweli wanangu simba sports club
Mungu bariki simba nguv moja
Ni mchezaji mzuri sana
nice bro nakukubali sana
Mheshimiwa Garibu Mzinga!pokea 👊 mkuu! Hakma kubwa mtu wa watu, Mtanzania safi! Uishi maisha marefu bro!
Simba wakiinasa sign ya huyu mwamba sitawadai kabisa kama walivyo msign Steven mukwala 🎉🎉
Huyu jamaa noma sana
Juma mzabu hapa : hatutaki maneno yawe mengi tunataka yaendane na vitendo
Ghalibu knows football, ghalibu speeks about football
Nikweli nakuku Bali galibu wa shauli simba
Kaa kwaku2lia
Tunataka kazi ionekane uwanjani sio tetesi
Mo baba hatukudai goli 10 asisiti 9 mpaka hapo utopolo mpo
🔥🔥🔥🔥
Watanzania mdomoni wako vizuri lakini vitendo hakuna
Mchana uwoooo
kabla ya interviews setini sauti maaan inabast saaaan masikioni
Sawa kaka dumila tupo kaka hatujambo
❤❤❤❤❤❤❤❤
Hawa wote wanaotajwa na Simba kusajiriwa mwisho wayote tunaishia kwa kina Sawadogo tuwe wakweli hii ni timu kubwa .Tunawasubili wakinampanzu ,Camara ,Fabrice, nk
Giza limeondoka pesa inaongea
Tumeramba dume🤣🤣🤪
Mh ngoja tuone
DRC Congo? What does C function in DRC?
Sio DRC CONGO NI DR CONGO
Hv huo usajir wa ligi yetu unasajiriw Simba tu, make kila kukicha Simba wanamtak huyu Simba wanamchukua huyu! Kwhyo wengne hawafanyi usajir!? Na kulikon mnaisakama sana Simba!? Coz hzo habar nyingi na zote tu tuseme ni za uwongo......
Rafik simba ni timu ya maana na kubwa hap africa lazma isemwe sasa wakamseme utopolo kwa lipi
yanga wamefungiwa
Kilichowatokea simba msim uliopita ni mamb ya ball tu ila simba ni big bland
Wachezaji hawajaisha na wenyewe wanasajili kimpango wao
kutokana n ukubwa wa SIMBA ndg 😂😂