Rais Samia aagiza kampeni ya msaada wa kisheria ifike nchi nzima

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2024
  • Waziri wa Katiba na Sheria, Pindi Chana amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maelekezo kwa wizara hiyo kuhakikisha kampeni ya utoaji wa msaada wa kisheria ya ‘Mama Samia Lagal Aid’ inawafikia wananchi wa mikoa yote nchini.
    Amesema hadi sasa tayari kampeni hiyo imefika katika mikoa sita na hivi karibuni itafika Njombe.
    Waziri Chana amesema hayo mkoani Arusha ambapo amesisitiza kuwa Rais Samia ameiwezesha wizara yake rasilimali watu pamoja na rasilimali fedha ili kuhakikisha kampeni hiyo inafanikiwa na wananchi wengi wanapata msaada wa kisheria bila malipo.

Комментарии •