Wadau wapendekeza ubunge wa viti maalumu ufutwe, Mdee ajibu
HTML-код
- Опубликовано: 24 май 2024
- Wadau wamependekeza kufutwa kwa nafasi za ubunge wa viti maalum kwa kile kinachotajwa nafasi hizo zinachangia ukatili, hazileti dhana ya usawa wa kijinsia na kuigharimu Serikali zaidi ya Sh200 bilioni kila baada ya miaka mitano.
pendekezo hilo limetolewa leo Mei 25, 2024 katika ukumbi wa Hoteli ya Victoria Palace jijini Mwanza na Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania, Dk Ananilea Nkya, wakati wa mdahalo wa wazi wenye lengo la kujadili mchakato wa kupata Katiba Mpya ya Tanzania ulioitishwa na Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS).
Kwa mujibu wa Mchambuzi wa Masuala ya Kisiasa, Deus Kibamba, mwarobaini wa changamoto ya viti maalum bungeni itaondolewa kwa kuanzishwa kwa mchakato wa Katiba Mpya, mchakato alioutaja kwamba utaondoa mambo yaliyopitwa na wakati.
Hata hivyo alipopigiwa simu kuzungumzia maoni ya wadau kuhusu kufutwa kwa nafsi hizo, Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee amesema
💯ifutwe
Huyu mama ana hakili nyingi sana. Changamoto hii nchi inaongozwa na vilaza, hawawezi kuona hii analysis.
Mama umebalikiwa kiakili sana mungu akutunze sana amina
Naunga mkono hoja...Gonga like
Nchi hii inapigwa sana haiwezekani ukawa na wabunge zaid ya miatatu na ushee watoto wanakosa bima hii nihatar sana
CCM inaturudisha nyuma sana wananchi walishavikataa viti maalum ktk maoni kwa wingi wao lakini mpk leo vinaendelea kinyume na matakwa ya wananchi..leo tunajadili ujinga ule ule tulioukataa..
Mama ameongea point nzuri sana. Pia wabunge waanze kulipa kodi pia kama raia wengine
Ni kweli hii imepitwa na wakati
Nakuunga mkono, na Jambo lililostahili kufutwa miaka kumi iliyopita
Ni kweli viondolewe
Mama uishi miaka mingi Mungu akulindeeeeee
Ondoweni Wana wekwa wanaweke wasio na cv Wana chagua sura kama huna sura hupati Amina mama Kwa nini mama samiya asikuteuwe uwe mwanasheliya mkuu hata jaja mwanasheliya mkuu hajaona Hilo wewe umeona tunataka watu wenye maono siyo sura
Dada uko vzr viti maalum zifutwe hawana mchango wowote wanakula Kodi ya Wananji bure
Kweli kbsa
Watfutwe na pesa hiyo ya wabunge hao uwekwe kwajili ya kufuta tozo
Tunataka Wanawake kama hawa Mungu akulinde
Nimekuelewa sanaaaaaa
Naunga mkono hoja hiyo wafutwe wote
Hafai ni ujinga tu
Sasa ucho ki rogo hapo katkat nichanini🤔
FUTA VITI MAALUMU KWELI ZIMEPITWA NA WAKATI TENA HAKUNA TIJA YOYOTE.
Hakuna umuhimu wowote zaidi ya upigaji tuu