Hakuna mwana Adam hajazaliwa na Mama. Mama pambana kwa taifa letu.Mungu atakulipa.Kila hatua unayopiga unaacha alama.Nakuombea kwa Mungu akulinde kwa kila kitu.
kwahio suala la SGR halipo kabisa katika mipango yenu naona mnataka kutengeneza TRAM sasa zitumie mafuta waendelee kuuza ila SGR itakayotumia umeme clean energy hamtak ata kuliongelea 🇹🇿🤦🏽♂️
MAMA UNAPENDA WATU WAKO,HONGERA KWA BIDII YAKO,YA KUJIKWAMIUA KIFEDHA,BILA YA KUTUMIA NJIA YA UNYANG'ANYI KWA WAFANYABIASHARA. UADILIFU WAKO KWA RAIA NI MATUIANI KWA TAIFA.
Hata uki like ninachokoment ukwelii ndio huo anatafuta kutuuzia Inchi yetu ndio maana kashirikiana na hao wamemuwaa maghu ipo siku yatamkuta ety nimeiacha inajadiliwa kumbee Samia Uchungu wako nikuuza tanzanian Ipo siku Tozo vituu vimepanda Bei unawanyanyasa wamachinga kisa Wazungu ipo siku ipo siku ipo siku na saa utaenda kuyajjbu mbeleee za haki
Endeleeni tuu Mungu yupo anakuona madini zetu zinabebwa Wanyama wanaondoka Nazo yaani wameshafanya tanzanian kama shamba la BIBI Yao kwani bila Ulayaa uwezi kujiongoza ndio maana unawatowa wakina kabudi hili ubaki salama ipo siku siye niwa pita NJIA tuu hapa Dunianii Samia Samia Samia badilika nilionyeshwa Ndoto juu ya hao watu unaowaona wanakupenda hakuna Kupendwaa hapo Jiazarii SANA
Amekaribisha wezi. Yangu macho. !!!!!
acha chuki, wameiba chupi zako?
@@rayisadesigns2646 🤣🤣
Anatuona Kama watoto wadogo atujui kitu Muhongo Matilioni yote ya JPM wamegawana,
Kwani mama hawezi kutumia pesa za ndani ad uende kuomba kwa nanii
Mikopo hatupewi bure hilo tuliwekeni akilini
Watanzania msimsikilize uyu bibi Uongo Mtupu akunaata mmoja la ukweli
No comment.
Hivi tanzanian insfadhiliwaa imekosa Nini kama sio kutafuta Shida amaaa
Unafiki na roho mbaya ....
Mbowe is not a terrorist
Umeongea nao nn ulienda kuomba pesa tu we huna jipy
Unafiki isiwepo ktk hutuba zako mama tunakupenda tena Mbowe sio GAIDI#
Umechoka wewe achiangazi jiuzuru unatualibia nchi
NANI ALIMCHOKOZA MWENZAKE,!
Tz mnaelekea kubaya nyamazeni tu hivyo mutauzwa Na huyu mama walaah iko siku mtakumbuka mlio ambiwa mtakumbuka,yetu macho 🇰🇪
Rais gani uyu
MUNGU ibariki Tanzania
HOMBA HOMBA HOMBA unatutia haibu
Mwendo wa kumega safi sana
Hakuna mwana Adam hajazaliwa na Mama. Mama pambana kwa taifa letu.Mungu atakulipa.Kila hatua unayopiga unaacha alama.Nakuombea kwa Mungu akulinde kwa kila kitu.
Mbona watu kimya washajua nn?
Sawa rais wetu naomba kuuliza kwa nn Barbara ya mwendo kas isiwepo arusha pia kwan ajali n nying msongomano n mkubwa
kwahio suala la SGR halipo kabisa katika mipango yenu naona mnataka kutengeneza TRAM sasa zitumie mafuta waendelee kuuza ila SGR itakayotumia umeme clean energy hamtak ata kuliongelea 🇹🇿🤦🏽♂️
Bosi huyu raisi ni utoporo full yaani. Yaani SGR itafanya vigogo wengi wenye malori wasile pesa kama sasa.
Tunakupenda mama munqu akupe maisha marefu
MAMA UNAPENDA WATU WAKO,HONGERA KWA BIDII YAKO,YA KUJIKWAMIUA KIFEDHA,BILA YA KUTUMIA NJIA YA UNYANG'ANYI KWA WAFANYABIASHARA.
UADILIFU WAKO KWA RAIA NI MATUIANI KWA TAIFA.
Hakika mama unaweza! Mungu akutie nguvu! Wanaokupinga Wana lao jambo
Kinacho endelea ulusi na ukren
Umetufanya tusiwe tunaagaliatalifa unajali wezungu na matajili masikini unaturudikia ma tozo mengi hufai kabisa
Ngoja nikakoje Mimi nikalale
Piga kaz mama
Wamewasaidia kumuuwa Magu sasa walipeni fadhila zenu ma devil ship wakubwa
Sasa hizo bendela wanazopeperusha ndo za nchi zenu?
Pole na safari. Ombi langu kwa mh ,rais mwachie mbowe kwani mbowe sio gaidi Bali Ni kuchafua taswira ya nchi yetu kimataifa
Ni jambo jema kwa taifa kutengeneza mahusiano na nchi wafadhili kwa nia ya kuchochea maendeleo
Hata uki like ninachokoment ukwelii ndio huo anatafuta kutuuzia Inchi yetu ndio maana kashirikiana na hao wamemuwaa maghu ipo siku yatamkuta ety nimeiacha inajadiliwa kumbee Samia Uchungu wako nikuuza tanzanian Ipo siku Tozo vituu vimepanda Bei unawanyanyasa wamachinga kisa Wazungu ipo siku ipo siku ipo siku na saa utaenda kuyajjbu mbeleee za haki
Endeleeni tuu Mungu yupo anakuona madini zetu zinabebwa Wanyama wanaondoka Nazo yaani wameshafanya tanzanian kama shamba la BIBI Yao kwani bila Ulayaa uwezi kujiongoza ndio maana unawatowa wakina kabudi hili ubaki salama ipo siku siye niwa pita NJIA tuu hapa Dunianii Samia Samia Samia badilika nilionyeshwa Ndoto juu ya hao watu unaowaona wanakupenda hakuna Kupendwaa hapo Jiazarii SANA
Tueni na hofuu ya mungu heeee HATA Kama
Hakuna maendeleo kwa kukopa tu kila siku
Na mungu akutangulie
Umekutana na tundu lissu Umemsifia Kazi nzuri ya KUMUUA JPM
Rais wangu chapa kazi
Tumevuna.
MAMA CHAPA KAZI
Mungu nisamehe hakuna salaam inanikwaza kama hiyo kwanini mama usimtaje Mungu aliye hai ok maandalizi ya mpinga kristo.
Uko Vizuri Sana Rais wetu wa Tanzania Samia Suluhu Hassan....Songa mbele Usiogope chochote Mungu ameruhusu Uongozi huu utuongoze Wewe.
Tuelezeee mnafanya Nini kuhakikisha rasilimali zetu zinasaidiaje nchi??????
Kazi indelee. Pole na uchovu mama
Tanzania ubong wen hauna akir mbona kati anaend hakutuaga na wala hatukumxindikza xi angerud kimy kimy lazma tumpokee
Ombaomba
Naona mama anaenda kutafuta pesa njee inaonekana ziko nyingii uko maana tukiomba tunapewa
Mbowe siyo gaidi
U
Kazi iendelee MAMA
MUNGU ibariki Tanzania