MHE. DKT. NCHEMBA AMUAGA BALOZI WA DENMARK ALIYEMALIZA MUDA WAKE
HTML-код
- Опубликовано: 7 июл 2024
- Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amuaga Balozi wa Denmark nchini Tanzania aliyemaliza muda wake, Mhe. Mette Dissing-Spandet, katika Ofisi za Hazina Ndogo, Jijini Dar es Salaam.
Dr nchemba wewe ni mwamba broo me ni kijana mpambanaji nataman siku 1 tukutane nina vingi vya kukwambia