VIDEO: WAZIRI MWIGULU ACHAFUKWA, AWATAKA WABUNGE MASUALA YA UGANGA WA KIENYEJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 26

  • @isayaanthony6716
    @isayaanthony6716 Год назад

    Daaaa Hiki nacho ni kichwa

  • @donjb3178
    @donjb3178 Год назад +1

    Sijui tutaendelea mpaka lini kupongeza pongeza wanadamu yaani kuna unafiki mkubwa sana ndani yake

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Год назад +4

    Hao wanafunzi si dharura. Takwimu za shule zipo. Mnafahamu ni wanafunzi wangapi watamaliza shule.

  • @elibari1034
    @elibari1034 Год назад +3

    Mkuu lengo lenu liwe kutowakatisha tamaa wananchi, sio Rais... Mbona uchawaaaaa, kwani nchi hii ni ya Rais au wananchi ?? Ovyo sana

  • @mohdmazruiy2028
    @mohdmazruiy2028 Год назад +2

    Mwigulu tushakuchoka huna jipya

  • @robertpaul7714
    @robertpaul7714 Год назад +2

    Mwigulu ivi uyu jmaa anajionaj kwanza anadhan tunaomsikiliza hatuelewi Sana kuhusu uchumi au akili zetu kashika yye uyu jmaa mbona ka nchi yake vile yaan katiba mpya inahitajika Sana Tena mno

  • @elibari1034
    @elibari1034 Год назад +2

    " that's how you broke a vicious circle "

  • @NadeemKhan-zo8dc
    @NadeemKhan-zo8dc Год назад +2

    Huyu ndyo anaharibu nchi

  • @swalehemusakiluwa9405
    @swalehemusakiluwa9405 Год назад +3

    Bilioni 160 madarasa mangapi,,

  • @jacobshao1260
    @jacobshao1260 Год назад +2

    Amna tumepigwa me binafsi sikukubali hata kidogo,kwan hii nch haina rasilimali, ndomaana ww cy mchumi nimwanasheria ,uwez kuongea kitu Kama icho, mwananch lazima apewe kipao mbele na sii mwekezaji

  • @charzykazimilymajahasy703
    @charzykazimilymajahasy703 Год назад +2

    Katoa, katoa, hizo ni pesa zake? Hizo ni pesa zet yeye Hana hata sent Tano hapo maana maisha yake yote ni bule, kula, kulala, kusafir, ulinz, kuvaa, posho ,kunya, na ikitokea amekufa msiba wake nao tunaugharamia wananchi.. so mwigulu acha kusema tumushukur mbona unakuwa kama hunazo

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Год назад

    Baadhi ya wabunge siwaelewagi! Wao ni makofi mda wote.. Sasa me sielewi wako mrengo upi..

  • @ymusic1299
    @ymusic1299 Год назад +1

    Kila wakati anajifichia kwa raisi duhh

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Год назад

    Wewe mwigulu unatuweka tuwe masikini ilimututawale kwa manynyaso

  • @paultwaha6981
    @paultwaha6981 Год назад

    Huyu mwenyekiti kimeo

  • @chillaxybeatz4273
    @chillaxybeatz4273 Год назад

    "Dependency theory of development"

  • @ezekielmwakyagi9330
    @ezekielmwakyagi9330 Год назад

    tusijifiche kwa raisi

  • @elibari1034
    @elibari1034 Год назад

    Mnaweza mkaona umuhimu wa katiba mpya hapa, pamoja na vilio vyote vya wananchi kuhusu kupanda kwa gharama za maisha, Mwigulu amekaza shingo kumtia moyo Rais, ina maanisha hana mpango kuwasikiliza wananchi kwa lolote , kwani Rais amekata tamaa kwa lipi...? Si ni wananchi ndio waliokata tamaa ??

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Год назад

    Katiba mpya inahitajika kabisa, kwa hali hii!!!!!!!??.

    • @mohamedsaid2882
      @mohamedsaid2882 Год назад

      Ambacho kipengele gani katika hy katiba mpya itatutoa ktk umaskini sisi vijana

    • @malugukushaha6764
      @malugukushaha6764 Год назад

      @@mohamedsaid2882 husikii kinachoongelewa kuhusu uwazi wa matumizi ya rasilimali fedha za umma. We unaona pako sawa hapo.

    • @makelemohuya2723
      @makelemohuya2723 Год назад +1

      Hiii timu ya Jk itaiangamiza hii inchi mawaziri vilaza kama hawa hawakutakiwa

    • @makelemohuya2723
      @makelemohuya2723 Год назад

      Serikali takataka kabisa hii inaongozwa na genge la majambazi,Mawaziri vilaza vilaza kama haya unayawekaje kwenye sector nyeti kama hii, kama siyo maelekezo ni nini?

  • @musasimbeye7829
    @musasimbeye7829 Год назад

    Lichawa Likubwa wewe.