Spika Aifuta Kauli ya Mwigulu Nchemba I Uganga wa Kienyeji Yawaumiza Wabunge I Mpina, Katani Watajwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #KutokaBungeni Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo Bungeni Jijini Dodoma amefuta katika kumbukumbu rasmi za Bunge (Hansard) kauli iliyotolewa na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba kuhusu “Embu tujadili mambo mengine yanayohusu uganga wa kienyeji kwenye uchumi”.
    Mhe. Dkt. Tulia, ameyasema hayo Bungeni wakati wa utaratibu uliombwa na Dkt. Mwigulu wakati Mbunge wa Tandahimba Mhe. Katani Ahmadi Katani alipochangia taarifa za kamati Februari 7, 2023.
    Tembelea kwenye akaunti yetu ya RUclips “Clouds Media” tumekuwekea Video yote Spika wa Bunge akisoma utartibu aliomba Waziri wa Fedha na mipango.
    #CloudsDigitalUpdates
    #7bisha

Комментарии • 10

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 Год назад +1

    Mwigulu ana hasira ,Mungu amjalie apunguze hasira

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Mwingulu mchemba ni jambazi na nilazima uandoke aliwatukana wabunge kwakusema yeye ndiyo mwanauchi tu sasa sisi tunataka kujua akuna mchumi zaidi yake

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Год назад +2

    Imebidi spika aifute kumlinda mwigulu. Ingekuwa wengine msemaji angetakiwa aifute mwenyewe...

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 Год назад

    Kufuta taarifa bila kutoa adhabu kwa muhusika haitoshi kwa sababu ametumia undisciplined words na inabidi apate adhabu ili kesho asirudie kitu kama hicho.
    Angekuwa amejutia na kuomba radhi hapo kumsamehe ni sawa lakini badala ya kukiri anajibaraguza na kusema kwamba Mbunge kasema uongo kwa kutoa hiyo allegation.

  • @Josephinetemba-km8fu
    @Josephinetemba-km8fu Год назад

    Tulia ummetulia kwelii nakupongezaa

  • @Josephinetemba-km8fu
    @Josephinetemba-km8fu Год назад

    Huyo angepekekwa kwa wizara nyinngine tuu

  • @kitogolawrence8230
    @kitogolawrence8230 Год назад

    Mh Mwigulu anapaswa kufuta kauli mwenyewe kwasababu kaitamka kama waziri na si kama Mwigulu. Iwenye spika mfutie kauli? Mbona wabunge wengine wanapotamka kiti cha spika huwa kinawaomba wafute? But why for Mwigulu?

  • @WalwaJames-bm5pc
    @WalwaJames-bm5pc Год назад

    Mwigulu amelewa saana madaraka Bado mapema mno sio nzuri hiyo

  • @johntendwa7856
    @johntendwa7856 Год назад

    No n